Fuse Podcast: Umewahi kusikia Hanlon's Razor na Inavyotumika Kufanya Maamuzi ya Kugawa Watu Kiakili

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 18

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 7 วันที่ผ่านมา +1

    Upo sahihi kabisa, nimejifunza vingi sana toka kwenye hii

    • @djsma255
      @djsma255 6 วันที่ผ่านมา

      🙏

  • @BarakaExperius
    @BarakaExperius 9 วันที่ผ่านมา +2

    ...Mungu akujalie afya kaka...kwa alchokujalia nawe ukashea na nasi nashukuru nami nmekpata...

  • @ErickJr-k5b
    @ErickJr-k5b 9 วันที่ผ่านมา +1

    Asante bro, tunapata mengi kwako, basi ukipata mda ongea kuhusu Masihi dajal au mpinga kristo .

  • @kanezajoella6663
    @kanezajoella6663 9 วันที่ผ่านมา +2

    Kama kuna mtu huwa sichoki kumsikiliza ni Dj Sam na de dr elie wamenifanya ni badirike sana ongera sana Kaka MUNGU akupe maisha marefu

  • @dn_arg
    @dn_arg 9 วันที่ผ่านมา +2

    Nice content, 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾🤝

  • @jumariohaule8911
    @jumariohaule8911 9 วันที่ผ่านมา +1

    dj SMAA Nasikitika Akili kubwa sana Madini ni mengi Huwa unamwaga humu ila pengine wachache tunaipata SNSTZ inshallah wakuwone pia Media kubwa kama Azam wakupe kipindi ukamwage pia huko Madini haya ila Usiisahau SNSTZ ndo baba la vipaji Akili kubwa kaka SKY anapambana sana ipo siku itakua jengo kubwa la HABARI

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 9 วันที่ผ่านมา

    Big up bro MAA SHAA ALLAAH

  • @ramagwama
    @ramagwama 10 วันที่ผ่านมา

    Sma big up sana ukwel umetuamsha wana Fuse

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 9 วันที่ผ่านมา

    Pamoja sana bro🇧🇮♥️♥️♥️♥️

  • @hamisitsuma-rc2ej
    @hamisitsuma-rc2ej 10 วันที่ผ่านมา

    +254 hapa Congratulations sma unatupa vitu adhimu vya kutujenga si kiimani tu bali hata kijamii

  • @MasudiRashidi-c5u
    @MasudiRashidi-c5u 10 วันที่ผ่านมา

    Nice bro

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg 10 วันที่ผ่านมา +1

    Sijaelewa chochote dah!

    • @hamisitsuma-rc2ej
      @hamisitsuma-rc2ej 10 วันที่ผ่านมา +1

      +254 hapa 😂yani wewe hujaelewa kitu isikilize mara zaidi ya mara moja utamwelewa sma

    • @djsma255
      @djsma255 10 วันที่ผ่านมา

      Rudia kuisokiliza mara kadha

  • @HUSSEINSUNDAY
    @HUSSEINSUNDAY 9 วันที่ผ่านมา

    Naomba kuuliza, hivi Ep 1 huku kwenye Whatsapp Channel ni view once au!? Maana nimewatch nilivyoikata kidogo tu kurudi ikanigomea

    • @djsma255
      @djsma255 8 วันที่ผ่านมา +1

      Hapana ipo na hata hapa ipo kwenye playlist unaweza juitazama

    • @Karimchembela
      @Karimchembela 7 วันที่ผ่านมา

      Mbn mi siipati hiyo chanel Whatsapp