MTOTO WA MAGUFULI JESCA AFUNGUKA HAYA AMTAJA RAIS SAMIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • #UhondoTV #Uhondo

ความคิดเห็น • 17

  • @HAIKALYImO-u3k
    @HAIKALYImO-u3k 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nampenda sana doto biteko niwaziri anaye jiamini mungu akutuze kwa ajili ya familia yako na watanzania wote

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jpm alikuwa Baba lao Apumzike kwa Amani Jpm wetu

  • @productionwinderbuly
    @productionwinderbuly 10 หลายเดือนก่อน +1

    Binti imara huyu.

  • @meryevance6744
    @meryevance6744 10 หลายเดือนก่อน

    Muhuuu kazo hipo munawashukuru madui zenu

  • @meryevance6744
    @meryevance6744 10 หลายเดือนก่อน

    Biteko nimunafiki

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 10 หลายเดือนก่อน

    Raisi, Faraja ✅. Laisi, falaja ❌

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 10 หลายเดือนก่อน

      Usomi wako wote huu hujulikani bado! Sisi wasomi wa kawaida tumefanikiwa kubeba ujumbe tu

    • @WilsonMgwilanga-bj9li
      @WilsonMgwilanga-bj9li 10 หลายเดือนก่อน

      Wabongo bwana kukosoa ndo kitu umejua

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 10 หลายเดือนก่อน

      Kiswahili ni lugha ya taifa na kimataifa! Mbona ukiboronga lugha za kigeni unasahihishwa. Raisi mwenyewe anasahihishwa, usomi wangu ndio maaana naandika kiswahili fasaha. Ukiona jitu halina busara mtandaoni, ujue halina pa kula wala kulala, alafu Kobe la mwezi mtukufu na kisimu chake cha mkopo, ovyo. Mtanzania halisi ni yule mwenye uchungu na Lugha yake. Soma hiyo, usomi wako bila matamshi dhahiri tunakuona muiba vyeti tu na mpotosha lugha yetu pendwa tu. 🤣

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 10 หลายเดือนก่อน

      @@WilsonMgwilanga-bj9li Na ndio mana umekoment manake, limekukuna panapokuwasha hilo na umeelimika. Karibu sana, teacher natembeza mbarati mchana kweupeee.

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 10 หลายเดือนก่อน

      @@jayjay4313 huna maarifa ya kutosha, acha nikupe usiyoyajua kupitia comment yako ingawa unawatemea shombo wasiojua wenzio:
      1. Umeandika "Raisi" usahihi ni Rais
      2. Umeandika "kiswahili" usahihi ni Kiswahili

  • @Elizabethmwanga-y5e
    @Elizabethmwanga-y5e 10 หลายเดือนก่อน

    Magufuli jembe

  • @TPW_FLUXY
    @TPW_FLUXY 10 หลายเดือนก่อน

    Biteko acha uongo mnatukatia umeme kila wakati mengi aliyafanya Dr John Pombe Magufuli alifanya kazikubwa na bado mnaendeleaje kumtukana na machawa wenu