Mchungaji ubarikikiwe sana yaan somo la leo limegusa maisha yangu na familia yangu hakuna ambacho sijaona mungu akupe miaka mia ili uendelee kufundisha naamini utasaidia familia nyingi ziishi kwa amani
Hata wanaume nao wanasahau tunapoanzia,kuna mwingine unaweza kuta hana hata kitanda,sura imekomaa wewe unamkubali kuishi naye afu siku mambo yakiwa vizuri anakuona wee humfai anawatafuta wenye hadhi kama yake kwa wakati huo,inaumiza sana
Kweli mchungaji maneno Yako nimuimu sana ata mimi inanipitia Ivo Ivo kama unaviosema mpaka nimetupwa na baba yangu kwasababu iyo juya Mali yake wandungu wamenichukia
Mmi hata sikuwai pewa hela na mchumba wangu, ata hiyo lotion sikuiona adi mwenyewe nijitebgeneze ndio anipende, ila umenena Mungu akubariki maana kunao wanawake wa aina iyo, ila mmi hapa sikuona nikiwa kwetu,🙌🙌🙏🙏
Mtumishi wa Mungu unasema ukweli kabisa na umenikumbusha mbali sana kwa family ya kina babangu walizaliwa watoto tisa watano ni wakihume na wanee ni wakike babu alikua na shamba kubwa sana sasa watoto wakiume wakgauliwa shamba heka 4 kwa kila mmoja sasa sisi wajukuu tulikuwa wachanga sana kwa bahati mbaya babangu akafaa muda si muda mamangu akawa mwendawazimu kwa miaka 10 sisi watoto tukagawanyishwa kila mtu akachukua mtoto mmoja tuko wa 5 wavulana 2 na waschana wa 3 kwa bahati tena mbaya tukageukwa na ukoo shamba letu likauzwa ndugu zangu sahisi awana hata pakusimamisha nyumba but tunashukuru Mungu kwa huzima hii dunia haina mwenyewe sisi ni wapita njia.
Amen mchungaji nabarikiwa na maubiri yako kutoka kenya 🇰🇪 ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mchungaji ubarikikiwe sana yaan somo la leo limegusa maisha yangu na familia yangu hakuna ambacho sijaona mungu akupe miaka mia ili uendelee kufundisha naamini utasaidia familia nyingi ziishi kwa amani
Nakubali pastor Mgogo.
Be blessed man of God
God bless u man of God listening from Kilgoris kenya
Hongera kwa kuhbiri maneno ya ukweli,
wanao udhuria kanisa la huyu Mtumishi mna bahati sana . Ni ngumu kupata mafundisho kama haya siku hizi .
Amina mtumishi Mungu kakupa Neema na kibali Cha hali ya juu
Injili ni uweza wa mungu uletao wokovu asante mch kwa mafundisho ya uzima:
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Huwa unaniguza sana mchungaji...napenda sana mahubiri yako maana yananinyoosha kweli kweli. Ubarikiwe mno.
Kenya nabarikiwa na mafunzo haya mazuri.
Pastor mgogo barikiwa sana
Mungu azidi kukuinua na kukutunza kwa namna zote ili uzidi kuzinoa familia zetu katika jina la yesu✋
Amen.. Maneno matamu mno barikiwa mchungaji🙌🙌
Ubarikiwe sana Baba tunashukuru Mungu kuku tumia anatupenda sana
Amen Mt MUNGU akutunze na kukupigania kazi yako sio bure utaikuta taji yako mbinguni
mgogo wewe ni mtumishi wa Mungu kwa hakika unatubariki sana.
Pongezi Mchungaji tunashukuru kwa mafundisho.yako.
Ameen ubarikiwe sana na mungu azidi kukufunulia meng zaidi
Pastor am blessed have learn something in my marriage
Hongera Mchungaji Daniel Mgogo kwa mafundisho mazuri
Amina baba
Ahsnte kwa somo zuri mchungaji Daniel,ubarikiwe
Niceeee nafurahia mafundisho. Mungu awabariki watu wa Betheli na imbaseny kwa ujumla
Mungu aendelee kukufunulia mengi
Mungu akuzidishiye maharifa
I really love your sermons. I can't stop listening to it. May God bless you
Amina mtumishi
Gawa mashamba kwa ndugu zako acha ubinafsi ameeen nimekupata mtumishi
AMEN AMEN UBARIKIWA
Hata wanaume nao wanasahau tunapoanzia,kuna mwingine unaweza kuta hana hata kitanda,sura imekomaa wewe unamkubali kuishi naye afu siku mambo yakiwa vizuri anakuona wee humfai anawatafuta wenye hadhi kama yake kwa wakati huo,inaumiza sana
Ijust love listening to you man of God you're abig blessing to my life God bless you and continue to increase His knowledge upon you mightily
Ubarikiwe sana mchungaji
Amina baba! Mahubiri yako ni Dawa ya familia
Tuanzie yerusalem hakika neno linaishi
AMEEN
Mtumishi nakuwa nabarikiwa sana na mafundisho nazaidi wakati niliona ukienda gerezani kuona star lolojoo Mungu akubariki
Amen praise the Lord!
Pastor you are soo..humorous...I.like the preachings
Amen
Amen Amen it's true pastor😘👆 tell them people people it's true💪
Napokea mafunzo kwelikweli....thanks Pastor.
Aminaaa
ubarikiwe sana Mutumishi wewe usema ukweli 🙌🙌❤️❤️
Asante mchungaji, Amina na Amina.
God bless you more 🙏😇
Amina ,nikweli kabisa
Amen baba asantee
Shukran sana nisahihi kabisaa manenoyako mkuu hilolakutowa watoto ndio balaaa hapomtaani kwetu miminikitoka nawatoto wangu kuwatembeza basi majirani wakinicheka mwisho watotowao majirani zangu wakawa wananililiya nicole nao basinawaambiya wakaage kwawazeewao wave vizuri basii natokanao nawatembeza sehemu wasizofika watoto wanafurahiii wanachezaaaa wanafurshiimnoo mwisho wazaziwao wakajirebisha hiyounayosema mchungajii nisahihi kabisaa
Mwl ubarikiwe unatuponya
Kweli mchungaji maneno Yako nimuimu sana ata mimi inanipitia Ivo Ivo kama unaviosema mpaka nimetupwa na baba yangu kwasababu iyo juya Mali yake wandungu wamenichukia
Mchungaji samahani tunahitaji huduma huku kwetu katoro geita nakupataje. asante kwa mahubili mazuri unaponya ndoa zetu
Chukua hizo namba hapo juu mtafute
Mmi hata sikuwai pewa hela na mchumba wangu, ata hiyo lotion sikuiona adi mwenyewe nijitebgeneze ndio anipende, ila umenena Mungu akubariki maana kunao wanawake wa aina iyo, ila mmi hapa sikuona nikiwa kwetu,🙌🙌🙏🙏
Ameen mchungaji
Amen, asante kwa video ndefu mbarikiwe
I 8 7 and I have a lot of 8 and to be 7 7
7 is
80 77 7 77
Barikiwa
Kweli
Balikiwa sana mtumishi
Ameeeeen Ameeeeen
God bless you pastor
Sawa kabisa sema na sisi tupone.
Amen..
You are a really true servant of God.
Blessed.
Ubarikiwe mchungaji mahubiri mazuri sana karibu morogoro nahitaji kuhudumiwa nawe wa daresalam wanafaidi
Kabisa
Sema mtumisi maana watu wengi ni wabinabinafsi tuombee damu ya yesu itufunike ameen
God bless you more
Mungu akubariki mchungaji. Sema tupone kabisa
👍
Amen
Amen be blessed
Amen.
Mtumishi wa Mungu unasema ukweli kabisa na umenikumbusha mbali sana kwa family ya kina babangu walizaliwa watoto tisa watano ni wakihume na wanee ni wakike babu alikua na shamba kubwa sana sasa watoto wakiume wakgauliwa shamba heka 4 kwa kila mmoja sasa sisi wajukuu tulikuwa wachanga sana kwa bahati mbaya babangu akafaa muda si muda mamangu akawa mwendawazimu kwa miaka 10 sisi watoto tukagawanyishwa kila mtu akachukua mtoto mmoja tuko wa 5 wavulana 2 na waschana wa 3 kwa bahati tena mbaya tukageukwa na ukoo shamba letu likauzwa ndugu zangu sahisi awana hata pakusimamisha nyumba but tunashukuru Mungu kwa huzima hii dunia haina mwenyewe sisi ni wapita njia.
Ooh God mtumishi umesema ukweli sema yote usifiche.
Ubarikiwe sana mtumishi , lakini pia Sasa hivi wazaliwa wa mwisho no tishio kubwa Sana familia nyingi zinalia
Emeeeen. ...
Ameen barikiwa bb
Jamni baba umesema na familia yangu leo mme wangu ndo alivyo mpk sahvi nyumba imevunjka kila mtu anaishi kivyake
Hiyo kweli mchungajii hatasisi waislaam tunaambiwa unadhifu nilazima nakuishi vizuri kama unauwezo ubakhili Haifa lakini hayoo ndio Yamajaa mitaani
mkwawa
Nondo zä Roho zinashonwa....upako inaingia Hadi kwenye Damu.....
Mchungaji heko kwa mahubiri yako mazuri Una okoa wengi walio protea. MUNGU AWE NAWE DAIMA
Is this behavor good
SANTI SANA KWA FUNZO NZURI
Ivi anaedislike mafunzo ya huyu baba kalogwa au ni mkosefu waakili🤔🤔🤔🤔😭😭😢
Kuna dini inateswa na majini.
Lazima kila mahubiri wa- dislike na wameshaangalia
@@belindagiliard8977 sawa mwanangu
Haa, ndo nimegundua we dingi 😂😂😂🤣
Haa, ndo nimegundua we dingi 😂😂😂🤣
Nikweli baba.
Tu ambiye.
Amen, pasha injili baba.
Amen
Ok.
Burundi turaguskia 5/5
Amen amen 🙏😂😂😂😂
Mahubiri yako ni dawa kweye familia
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💟💟💟💟💟💟
Wewe ni mchungaji jaribu kuhubiri kwa kuboresha na mafungu ya biblia
Amena, neno la ukweli kabisa;
th-cam.com/video/FcEpBLmG_Tw/w-d-xo.html
Ubarikiwe mtumishiii wa Mungu.
Amen baba
Amen
Barikiwa
Ameen
God bless you pastor
Kabisa
Kweli kabisa hukoseagi mchungaji
Nimejitambua na kuanzia sasa nimebadilika ubahili sasa basis.
Amina
Amen