🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- 🔴#live SIMBA WANAJAMBO LAO MUDA HUU/ WAJUMBE WA BODI UPANDE WA WANACHAMA WAGOMA KUJIUZULU
#live #simbatv #singidafountaingate #yangatv #yangasc #diamond #kondegang #wcb #wasafimedia.#singidafountaingate #yangatv #yangatv #simbatv #singidafountaingate #diamond #simbasc #kondegang #kingmusicofficial #wcb #yangatv #yangasc #simbasc #kondegang #wcb #simbatv #singidafountaingate #live #yangasc #diamond #kondegang #kingmusicofficial
Dah ili kuelewa hiki kinachoendelea unapaswa kuweka pemben hisia/mihemko na kutumia maarifa.
Ukimuangalia huyo mzee anavyo ongea facial expressions yake inakuambia hali halisi ilivyo ndani ya Simbasc, sema mimi napata furaha sana nikiwaona makolo wanateseka😂😂
Una akiri utopolo
Utopolo mtateseka sana kila cku c ijumaa SIMBA NGUVU MOJA
Sasa unafanya Nini huku ndo shida kuwa na tabia za kike
Ilii jamaaa zuUu
Iv mlikubalije kuunda body ya wakurugenzi wakati transformation haijakamilika kama syo nyiny wenyewe mnayasababisha haya matatizo maan mpka sasa Mo syo mwekezaji ni mfadhili tu kwahyo hata haspotoa hela hamna wa kumdai utamdaije wakati hujamtimizia matakwa yake??
Hakika nyie ni viongozi bora xana nacc wanachama na maxhabiki wote tumewaamini na tunawapenda pia tunawaomba muendelee kuiongoza simba ye2 na uongozi mkuu ubakie madarakani hao waliojiuzulu kutaneninao waambieni bado tuna imani nao warejee kwny nafac zao kuijenga simba mpy ya mcmu ujao. Simba nguvu1
HAPO SIMBA MPAKA SASA IMEKWISHAAA KABISA NA MSIMU UJAO NDIO ITAKUWA PAKAAA KABISA
Kama mo ana asilimia 49 kwnn mtu wake ndo awe kiongozi wa bodi? Simba yenye asilimia 51 ndo wawe kiongozi wa bodi
Izo 59%imetoa kiasi Gani au ni 59 jina
Hamuwezi kuendesha simba msijilazimishe tunahitaji uwonqozi mpya
Hata wakija wapya ni kazi bure tajiri muhuni huyu
Hiyo haitasaidia
Kama hamsajili vzr mtafukuza na kufukuzana ovyo 🤣🤣 ..... Matokeo mazuri huleta watu pamoja ....
CPA. Issa Masoud ana hoja, tatizo hakuna wa kumuelewa. Mbumbumbu kibao.
Huna akili! Anaongea baada ya mambo kwenda kombo! Siku zote halikuwa wapi?
Hawa wote ni wez wanaibia simba ndio maana wanagoma kujiudhuru na wakati hawana lolote wanalo fanya
ukiwasikiliza kwa umakini ,,simba kuna changamoto na huu mfumo,,cpa masoud anazungumza vitu vizury vyenye logic sana
MASUDI ana jambo anataka kulisema lkn anauma uma Maneno na kama mo hapaswi kutoa pesa nje ya Document hizo anazo zitoa mnazipokea za nini..? Na mnazipeleka wapi..? Je siku akizitaka zirudi mtamlipa nini..?kama vipi Muondoke..mmekwama
Alikuwa wapi muda wote huo aje ajitokeze leo baada ya kusikia kuna kamati ya usajili imeundwa na wao watakosa 10% ndo wanajitokeza
Inasikitisha sana kuona kiongozi mwenye akili timamu aliyepewa nafasi ya kuongoza taasisi kubwa anasimama mbele ya media na kusema haona sababu ya kujiudhuru hali ya kuwa matokeo yote ya misimu yote wanayo. Duh kazi ipo aisee!
Hawana lolote, wanatuharibia tu timu
Kwa upande wng mm nimewaelewa sana na nimejua shida ipo wap nawaomba pigeni kazi hii simba inapaswa ifanye kazi kwa weledi hatutaki ujaja ujaja
Hii ni aibu kubwa sana kwa timu kubwa kama simba eti hao ndio viongozi wake!!! Hawajui chochote
Viongozi hawana hata Hoja ...sijui tulitumwa na nini kuwaweka duh
Taratibu zabkiuongozi ulipaswaa kuelezeaa mafankio yako ndani ya miaka hiii ulofanya kazii ....useme ahadii uloahidi na umezitekelezajee na kama uloahdiii zmefelii maana yake ufaii
Umeshindwaa tekelezaa ulichoahidi
Tokeni nyiye , hamtoshi kuongoza Simba. Leo Simba ya kucheza Shirikisho kweli? Badala ya kusonga mbele mnaturudisha nyuma. TOKENI
Mpaka hapo hujaelewa changamoto zilizokupeleka shirikisho?
Kunanini jaman leoooo
Hatuwataki hatuwataki kwa nn mnaing'ang'ania simba kama yanu nyinyi mumetufelisha kila kitu
Tokeniiiii mapepo nyieeee tokeniiiii😢😢😢😢😢
Nadhani jambo kubwa lilikuwa kuitisha mkutano mkuu wa wanachama sio press conference. Pia hamjazungumzia usajili wa wanachama upya.
Ukiwasikiliza vizuri unajua wengi wao hawako kwa ajili ya kisaidia simba.ila wapi kolinda maslahi Yao. Sawa Mo anataka FEDHA zake alizotoa nje udhamini kupitia bidhaa zake .je kwa upande wao wanataka waziitaje kama sio mtaji?!.
Je wao wangekopa sehemu/kwa mtu mwingine wasingelipa?
Je hawakuwajibika wapi hadi FEDHA hizo za mo club ikazitumia?
Issa MASUDI
Pesa ambazo uliwahi kunukuliwa ukisema Mo ameshatoa Pesa vipi leo useme hajawahi kuweka..? Shame on you
Tunaomba mjiuzulu kwanza mmeshakosa sifa, kwanza haya mambo alipaswa Kuja kuzungumza Mwenyekiti
Hiyo bodi yenu pande zote mbili hamna mnaloweza kufanya. Unaoneka una njaa sana. Kama ni kweli hamjajiuluzu mpaka Sasa mfanye hivyo. Viatu vimewapwaya. Na hajui mnataka Nini! Kuiua Simba au? Qacheni ujinga hakuna taharuki ni raha sana mkiachia ngazi wote. Acheni kutafuta kamuavuli ni kadogo.
Wekwendazako tuachieni simbayetu nyieyanga inachangia tuacheninatimuyetu nahii imetokana timuyetu kujitoa sports pesa iliwaumasana
Kweli GSM ameamua kuongoza Yanga na Simba Hawa wanaoongea ni viongozi waliowekwa na GSM Ili kuizohofisha Simba.
Huyu mwenyekiti wa ukaguzi wa Fedha ni mjanja mjanja sana.....
Kama wao ndo wanaongoza Timu halafu wanashangaa eti mjumbe wa kuunganisha wanachama hayupo? Naona hajielewi? Nani anapaswa kujua hilo?? Maoni yangu muondoke wote.. kele zenu hazina maana.. kajamaa kanasoma English kanajua wengine hatuelewi tuone anajua sana... Muondoke wote mchwa nyie.. Haiwezekani timu muishushe daraja
Mbona huwa mnafukuza makocha kila siku mnaona ugumu gani kujiudhulu. Mnatakiwa kujiudhulu hata ikibidi kila mnapovurunda hata ikibidi kila mwezi. Ondokeni hapo
mnapaswa kujihudhuru nyie mmefeli kuingoza club
Unapogeuza club iliopo kwenye mfumo wa kisiasa kuwa ya business ni shida kweli kweli. Tatizo kubwa nilioiona ni conflict of interests ndani hii club
Nyie ni wapumbavu wachache wenye tamaa. Muda wote timu inafanya vibaya milikuwa wapi kuzungumza. Nyie ni kundi la wahuni tu. Kujiuzulu ni lazima, simba sio mali yenu. Wahuni na makofia yenu.
Et hamjaona sababu za kujiuzuli kwahiyi mpaka team ishuke daraja siyo kumanina zenu nyie wapuuzi nyie uwanjani ntakwenda wenyewe jezi mtazivaa wenyewe Pepo mtaisikia2 nguruwe weusi nyie 😮😮😮😮
Mlikuwa wapi kwa sajiili zilizokuwa zikiendelea? Lakini je, mbona maneno yenu yapuuza mchango wa MO?
Ukiona viongozi wanakimbilia kwenye vyombo vya habari ujue kuwa hao viongozi wamejaa unafiki na Ubinafsi, pamoja na hayo .... wote hao ni Hatari mnooo
Yani nyie mchanga kweli wakati Wa kujipanga kubolesha timu kysajili nyie mnaanza migogolo tengenezenu timu acheni ujinga
Mlikuwa wapi,nyie ni wanafki,kuambiwa kujiuzuru,mpo hapo kufanya nini,pesa hamna,mtaisaidiaje klabu,
Waliosema mtachapwa ninani hao wajinga kabisa nyinyi mmechemsha ondokeni yani hapo nilidhani mnatangaza kujiuzuru
Kwa mwenendo huu wa SIMBA timu itaendelea kushuka hadi nafasi ya tano kwenye ligi
Hyo sio taharuki , sisi tumepokea hzo habari kwa furaha na moyo mkunjufu, mjiuzulu,
Hivi watu mna uwezo mdogo wa akili au mnaongozwa na hisia. Hawa wajumbe mliwachagua mwaka jana tu. Wana mwaka mmoja tu ofisini. Na wanasema waliingia na kuanza kupambana kunyoosha mfumo. Nyinyi mmekomaa kuwaambia habari za failures za miaka mitatu. Hata hamsikilizi video yote. Mnakera!
Kwanza hawa jamaa wanaongelea kwenye ofisi zipi za Simba? mbona kama chini ya mti karibu na vibanda umiza. Hakuna kitu hapa....
Mshaakaa miaka mitatu leo ndiyo mnawaza sera za usajili,leo ndiyo mnashtuka mshatumia 20bil za muwekezaji kama ametoa kiasi hicho ni pesa nyingi si bure na hao wachezaje waliokuwa wanasajiliwa kienyeji mlikuwa wapi hizi zote zinaonyesha capability yenu ipo chini uwezi kusubiri miaka miatatu
Jaman hivi kweli nyie niwakusema kuwa hamtajiuzuru kabsa viongozi kabsa imefikirisha hii kauli
Msijali wakuu, wanachama tumewaelewa na tupo pa1 shirikisho
Unafagilia wezi timu inakufa
muondoke wala hatuwahitaji ht msingetoka hamna jipya km hamjawekeza ktk bank zenu mtajua wenyewe, ili msijiuzulu mtuambie faida yenu nini
Inabidi mjiudhulu hatuwataki kwahiyo miaka mitatu mfululizo mnaangalia tu panapo vuja mabwege nyinyi
Wana mwaka mmoja labda baadhi na m/kiti
Panapovuja kipindi Cha masika ndo hapo hapo kipindi Cha kiangazi zinadndoka vitu vya thaman pesa , dhahabu , almasi .... Sasa unahic wapazibe kweli?? Au masika wavumilie kiangazi wale neema zao .... Jaribu kuvaa viatu vyao 😂😂😂 ingekuwa wewe ungepaziba kweli ?? 😅😅😅😅
Hivi ilikuwaje wanachama wa Simba wakawachagua watu wa dizaini hii?! Sura zao tu ni wahuni wa mjini! Ukitizama wajumbe wa bodi ya Simba upande wa muekezaji unaona kabisa ni watu muhimu na cooperate kabisa! Hawa ni wachumia tumbo na matapeli!
Kikao na waandishi wamekiitisha uchochoroni na meza za coke cola😂😂Alafu wanaiwakilisha taasisi.
Ondokeni bhn nyiee wapiga dili tu pelekeni njaazenu.huko kwani hamujui kufanya kazi nyingine
Acheni ushamba mafala nyie mumetutesa sana kuma nyie Sisi tumepoteza wazazi wetu kisa nyinyi jezi muta vaa wenyewe mafala nyie
Wapigaji haoooo watokeeeee
nyinyi mtaboresha nini yaani nyinyi nje na kuivunja timu hamna mnachofanya,
muwekezaji hana muda na nyinyi yaani hadi itokee kiukweli mkiwepo mwakan tutaendelea kuumia,
Hamna maana yeyote hamfai kabisa sijui happy wanaowapendekeza kukaa Hadi sasa hamna chochote kwani simba yenu leo ndiyo mmejitokeza hasa mnaonyesha sura zenu aaaa jamani hebu muone haya .hatujata kufundishwa kanuni Leo wote tokeni
Yaani nyie hamtakiwi kuwepo hapo tokeni mapema maana mmesubilia timu kufikia pabaya ndo mmnakuja kuleta huo ujinga hapa? Mmesubilia watu waanze kelel ndo mnatoka mbele
Tokeni bwana nyote pisheni muda wa kusema hayo umeisha kwisha sasa
Mnapaswa mjiuzulu
Usivae viatu vyao ....... Acha wachape kazi, kwanini wajiuzulu ? Hawa ni watu waungwana Sana walikuwa wanajitahid Sana kupigania maslahi ya Simba Bila kuleta taharukii ndani ya club .... Mambo mengine ni mivutano ya kiutendaji baina ya upande wa mwekezaji na upande wa wanachama kwa kuleta balance of interest kwa Kila upande ufaidike na sio conflict of interest ambapo upande mmoja unajivutia kwake ..... Ndo maana walikuwa wapo kimya ila upande mwengine 😂🤣 ukaona uweke mambo naked watu wa NJe wajue kilichopo ndani
Kama huyo ameivaa t shirt ina picha ya mama hata hatumuelewi kibaha kunavyovunjwa wewe anaona sawa halafu baadae anaenda kuwaomba kula wakati watu wamekufa na presha simba haina hela si mseme ukweli tu
Hawa wanataka kutuharibia zaidi timu, timu lazime iwe na malengo na kama malengo hajafikiwa kwa mwaka wa tatu mfululizo kwa nini wasiachie wenye uwezo?
Huna lolotee wewe jingaa tuu miaka mitatu ujafanya jambo lolotee kilaa mwaka polojoo ...
Unefeliii kaaa kimyaaa
Walikuwa wapi miaka yote wasitufanye wajinga hao waondoke tu wasituongope
Hivi kweli nyie mnatusajilia kina jobe afu bado unaongea kana kwamba hujui chochote mnakera sanasana
Kwann iwe Leo ndomnayaongea hayo wakati Simba miaka mitati inafanya vibaya mlikuwa wapi hapo msitudanganye
Kwa kweli inabidi Simba Sc tukae chini, hii hai itatuua 😅😅 kumbe shida ipo kubwa tu, tajirii MO bhana 😂😂
Nawaombea sana Mungu wasimamie sana kuiongoza simbayetu simbanguvu moja
Mbona mnalazimisha kua viongoz wasimba sisi hatuwataki mbona vinganganizi mnanufaika na nini wakati mnaipeleka simba pabaya sisi hatuwataki achieni timu tu msiwe namamba mengi
Kwa hiyo kama mo katoa pesa zake kabla ya mchakato wa mabadiliko kukamilika ni kama ametoa sadaka hivi yaani kama mfadhili tu 😂😂 kiufupi mhindi imekula kwake😂😂mtumeee
Sisi hatutaki blaa blaa tunataka usajili bora sio Mambo katibakatiba kama fedha hakuna tuambieni mashabiki tuchangie hatutaki manenomaneno au siasa hatutaki.
Mm naona Hawa ni mafara tu, maana hatukatai changamoto mbona mlikuwa hamsemi et mnazitatua kidemokrasia hafu timu inapoteza hadhi
Kama wewe unaeongea hapo unaonekana ni tapeli tuu sijui ulujiingizaje hapo simba
Kwann msiondoke mnasubili nn nikajua mnakuja kutuambia shida ya simba ni nn hivi mkijiangalia mnaona mnatosha kweli hatutaki kuwaona ondokeni sio kweli acheni uwongo mbona hatujawaona mkiongea na wanachama ondokeni
Jamn ss mbona wanaitangza Coca-Cola bila kujua hizo meza....makolo bana
Hawa ndio wachawi wa maendeleo ya simba wala rushwa wakubwa mbwa hawa kama wanaipenda simba kweli na hawajafanikiwa misimu 3 kwanini wakatae kujiuzulu ?😢
Wapuz wakubwa nyie tuachie team yetu,hiv mnapata wap ujasir wa kukaa hapo et hamjiuzulu,leo hii simba ya kukaa nafas ya 3 afu bila aibu et mnaendelea na shugul zenu shugul zipi??nyie n matapel ondokeniiiii kwan lazima jamaniiiii,leo cadena amesema ukwel mlivyomlazmisha manula kucheza,mnauza game mbwa nyie tokeniiiiiii tokeniiiii😢😢😢😢😢
😅😅😅
😂😂😂 acha makasriko sikiliza hoja
@@leoncearistides3448 hoja gan ulioisikia hapo
Mnatuma maombi nyie ndo Bodi mnatuma maombi kwa muwekezaji wenu ni wazi MO kawasusa.
Mnafanyia kazi miaka mitatu, mbona nakuona kama.mwelewa sana lkn mbona huendani na unachokiongea??? Ona aibu bc
Tunataka viongozi wapya nyie mmeshindwa
Tokenism mnang'ang'ania nin? Halafu umevaa t shirt ya simba au ya samia?
Kilichobaki nikuwa roga mpka wafee awahi atuwataki Kwa Nin mnangangania team
Misimu 3 team haifanyi vizuri sasa nyinyi mlikuwa wapi hamkutafuta mzamini
SASA NYINYI MNAFAIDA GANI ONDOKENE ACHENI KUNG'ANG'ANIA KAMA KUPE
ITUNZENI HII CLIP WADAU WA SIMBA SC.
Kesho watatokea wengene watasema hawa hawawatambui, wala kanuni zao, ni batili
Isije ikawa jobe kasajiliwa Kwa billion 4 aaaahh Mzizi wa fitna MUD
Sasa tuambieni fedha ya usajili ipo au hakuna tunataka jibu moja sio blaa blaaa kifupi.
Sasa mnajikosha amjajiuzulu je nyie mnatosha kweli
Ukitizama maringira ya icho kikao ni uhuni tu timu Kama simba haiwezi andaa katika mazingira kama ayo
Mnachokitafuta mtakipata ivii mnatuona wanasimba ni wajinga
Hamjafanya kitu; hamna sifa ya kuendelea kuongoza
Kiufupi kunaulazima ghani nyie kubaki hapo ondokeni
kwani simtoke mashabiki sisi atuwataki kabisa yani tena muondoke
Naomba kujua kwanini hamkujitokeza kuwaeleza wanachama na mashabiki pale timu ilipokuwa ikiwa na mwenendo mbaya. Pili kwa mini mkutane na matawi Leo wakati inasemekana mwenyekiti wenu hajawahi kutembelea matawi
Wjinga nyie hamna hata aibu hakuna hata anayewataka mbwa nyie
Miaka mitatu uongizini wamekua watatu ikiisha mitano mtakua watano
Mlipuuza mzee kilomoni lakn mkamwambia hajasoma mara njaa inamsumbua je leo 😅😅😅😅😅kilomoni oyeee
Sio kilomon pekee yke waliona yule ni mzee wa zaman hajui kitu ... Old school 😂😂😂😂 , Dk khamis Kingwangala alipotoa tahadhari kwa facts kabisa , hoja ngumu ngumu , ma point makubwa makubwa mifano ya wazi 😂😂😂 wakamuona ni adui mkubwa wa maendeleo ya club ...yakatolewa majibu mepesi juu yake kuwa amekataliwa kukopeshwa pikipiki ndo maana anasema hiv na vile 😂😂😂😂😂
Mkawa mnamshanglia manzokiii 😂😂😂
Yaan hapo wote wajiuzulu abaki Issa Masoud tu
NYIE NI WATENDAJI WAZURI ILA SI MBAYA MKITUPISHA
Nina hasira na hawa nguruwe ondekeni achen temu yetu
Huyo wacha panyeshe nae hana lolote. Aondoke.
Mwenye uwezo Tena,si mmesema hamjiuzuru mna hela
Majizi haya ondokeni
Washabiki Tunataka upatikanaji wa KADI ili tuweze wanachama wenye KADI.
Mna hela ninyi?mukezaji anawataka muondoke