Mm mwanafunz mpya naomba ushirikiano wenu!
Vzur bro nimeelewa namna ya kuingiza j wire kwa circuit breaker ya three phase je unazitoaje kuingia kwenye body nifafanulie kitoka circuit breaker to body
Cable za siku hizi zina aina nne za wire je inakuwaje namna ya kuzifunga kutoka kwenye Pampu??
Jee? Wire wakupokea moto naweza kutumia 4.5? na kuenderea
Leo nimejifunza kitu
ase mwalomu jarobu kuandaa video ambayo inaonesha uharisia yaan practical na c kama unatuhadithia
Hiyo triple phase main switch inatumika zaidi wapi
Add me the group plz
Asante Mwalimu