JAWABU LENYE KUTOSHELEZA KWA SHEIKH MUHAMMAD IDDI KUHUSIANA NA ARAFA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- Sheikh Abul Fadhli Kassim Mafuta Kassim Othmaan حفظه الله تعالى
Ilikuwa Ni Khutba Ya Ijumaa 09.08.2019M.
Ma'ahad Sheikhil Islam Ibn Taymiyyah - Pongwe, Tanga Tanzania.
#kumbukumbu za Maktaba 2019
Majibu Ya Kielimu Dhidi Ya Sheikh Abuu Iddi Muhammad Iddi Kuhusu Arafa.
@BABDEOMILADU
Kwahiyo hawana arafa wala kuswali Iddi wala kuchinja maana kutakosa kufanana 😂😂😂😂 uwahabi noma sana unaacha ibada kwa sababu ya kutaka kufanana Makka
Uwahabi ni nini kaka
Nyinyi hamuna majibu kwa abuu idd yenu ni mikao na ubishani abuu idd ametoa ushahidi katika vitabu vya masheikh wakubwa kama al marhum sheikh al uthaimeen rahimahullah na sheikh al marhum sheikh Abdul Aziz bin baaz rahimahullah na majmaul fiqhi al Islam ya makkatul mukarama Sasa wewe sheikh kassim mafuta vunja hizo hojja kama unaweza Wacha kuleta ngonjera zako na ubabaishaji wako
Umefahamu lakn kilichozungumzwa au unaropoka kiushabiki tu?
Huyu huwenda ikawa ana vizibo ktk masikio yke na nivigumu kuifahamu haqi kama huyo sheikh wake mzee idi