MZEE MASATU:AVAA MABOMU YA MO,AJILIPUA MBELE YA UMATI STESHENI KUMKINGIA KIFUA | KIBU NI PROPAGANDA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 61

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga หลายเดือนก่อน +3

    MASATU ANAOGOPA KUTIWA NDANI 😢😢😢😢😢😢

  • @mwanjaa9213
    @mwanjaa9213 หลายเดือนก่อน +6

    Hata yanga anacheza kila baada ya siku 3

  • @AbbasiMdabwa
    @AbbasiMdabwa หลายเดือนก่อน +2

    We Mzee masatu uwongozi Bora Simba niupi mbwana sioni

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 หลายเดือนก่อน +2

    Kiufupi ni kwamba nawewe ushaingia kwenye mfumo wa mangungu na wenziye. Yani nawewe ni kama kisugu. Yani nawewe unatumika.

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee masatu mnafki kama kisugu saaa umegeuka

  • @user-uw5oh5yy5m
    @user-uw5oh5yy5m หลายเดือนก่อน

    Mzee masatu nakukubali sana unaongea fact kabisa🎉🎉🎉

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 หลายเดือนก่อน +1

    Sio kweli kwamba kila mzee ana busara.

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 หลายเดือนก่อน +1

    Kuwa Nawazee Vinyonga Kama Hawa Nikhatari Sana Kwa Manifaa Yajamii Husika. Leo Kabadilika kutoka Kuwa Paka Mpaka Kuwa Chui Namsamaha Anaomba.

  • @maryamtan682
    @maryamtan682 หลายเดือนก่อน +3

    Mzeee mpuuzi huyu kwani yanga alikua anachezaje si hivyo hivyo, sk 2 ya 3 mechi.

  • @hassankhamis1881
    @hassankhamis1881 หลายเดือนก่อน +1

    MZEE MWEZANGU KAPAGAWA

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee masatu nawewe usituchanganye viongozi na mwekezaji ndo tatizo ilo liko wazi

  • @shabanialfani5394
    @shabanialfani5394 หลายเดือนก่อน +1

    Leo Kombe la Muungano limekuwa chungu😂😂😂

  • @biggiee1
    @biggiee1 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee mumshike anaenda kupagawa mbona yanga kacheza jana na ni mkoani pia keshokutwa anagame umesikia maneno mjikaze kila mtu ashinde mechi

  • @AbbasiMdabwa
    @AbbasiMdabwa หลายเดือนก่อน +1

    Mzee masatu kwenye kilpu hii sijakuelewa

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p หลายเดือนก่อน

    Mzeee masatu unakitu mwilini

  • @user-xg5se4sy2t
    @user-xg5se4sy2t หลายเดือนก่อน +1

    Uyu mzee keshakua hajitambui uongozi m,bovu unaleta usenge tu

  • @user-gb1jq9zz1j
    @user-gb1jq9zz1j หลายเดือนก่อน +1

    Kuna kirusi kwa simba apendi maendeleo ya simba ila mungu atamuona.

  • @user-xg5se4sy2t
    @user-xg5se4sy2t หลายเดือนก่อน +2

    Mzee msenge huyu

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 หลายเดือนก่อน +1

    We ni mzee wa ovyo kabisa. Njaa inakulevya.

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ni mangungu

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j หลายเดือนก่อน +1

    Muacheni mzee apatee bahasha ndio hawa Bdo wanataka viongozi wazee

  • @user-lg6je8xh4p
    @user-lg6je8xh4p หลายเดือนก่อน +1

    Dah Njaa mbaya. Jamaa kesha nunuliwa.

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc หลายเดือนก่อน

      Yaani Kisha sahau yote aliyokuwa anaongea siku za nyuma mweee😂

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 หลายเดือนก่อน +1

    mzee masatu vipi tena????

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u หลายเดือนก่อน

    Masatu umeongea vizur sana wabovu lakin wanawataka hao ndo wanawanunua wachezaji wetu wacheze vibaya

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l หลายเดือนก่อน +2

    Simba nguvu moja❤❤😂😂

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 หลายเดือนก่อน +1

    Ni nani aliyeomba mechi na Azam isogezwe mbele??? Ni nani aliyeomba mechi na mtibwa isogezwe mbele??? Na ni nani aliyeomba kwenda kombe la muungano??? Jibu ni kwamba viongozi wa simba ndio walihitaji vyote hivyo!! Sasa iweje leo mzee masatu unasema kuwa tff ni adui yako wakati alikupa vyote ulivyovihitaji?? Fikiria kwanza ndipo uongee

  • @alnasmwalingo4670
    @alnasmwalingo4670 หลายเดือนก่อน +2

    We Mzee nani aliewalazimisha kushiriki muungano???? mbona Yanga walikataa!? nyie mlijua hamwezi kuchukua ubingwa wa NBC ...mmefaidika kuchukua ubingwa wa million 50! Tena wewe masatu unalalamika! Aisee....

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 หลายเดือนก่อน

    Mzee upo sawa

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa3612 หลายเดือนก่อน +1

    We mzee hata timu zigine pia zinakaa siku tatu kama simba acha ushamba

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p หลายเดือนก่อน

    Mzee unakitu mwilin kwakwel

  • @user-gb1jq9zz1j
    @user-gb1jq9zz1j หลายเดือนก่อน +1

    Iv unauliza habali za simba afu unaweka habar za yanga we vp

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo babu vipi? We chawa nn

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 หลายเดือนก่อน +1

    We mzee sio shabiki wa simba mimba ya njaa inakusumbua.

  • @user-eh6wn9qf4b
    @user-eh6wn9qf4b หลายเดือนก่อน +1

    Uyo mzee amezeeka akili msiwe mna mfanyia interview 🐕‍🦺🐕‍🦺🐕‍🦺

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga หลายเดือนก่อน +1

    MASATU KAVURUGWA HAELEWEKI KABISAAA
    YAANI KAVURUGWA
    TFF ANA KOSA GANI
    YAANI ANABADILIKA KAMA NYWELE .....YAANI ANAWEZA KUKUUZA MCHANA KWEUPEEEEE
    KUHUSU SAIDO KAWA KIMYA KABISAAAA😂😂😂😂😂😂😂😢

  • @MubibuHassani
    @MubibuHassani หลายเดือนก่อน +1

    Umeshakua kirusi na wewe mavi yako ila njaa njaa mbaya sana

  • @mtalemwadenis1500
    @mtalemwadenis1500 หลายเดือนก่อน

    Yaan wanasimba Sasa mnaanza kupoteana wakati mnacheza club Bingwa mlifurahi na wenzenu waliendelea na kupiga Game leo mnaanza kuishtumu TFF acheni mpigwe

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg หลายเดือนก่อน

    Sasa viongozi kama hawapigi kelele?

  • @samwelmachaka936
    @samwelmachaka936 หลายเดือนก่อน

    Nilikuwa naona unahakilii mbona pia yanga anacheza baada ya siku 3

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 หลายเดือนก่อน

    Kwani Yanga si katikati hapa alishapiga game back to back mpaka akina Pacone wakaumia

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 หลายเดือนก่อน

    Kipengele kwenye mkataba lazima acheze Saidoo

  • @SaidiMndeme
    @SaidiMndeme หลายเดือนก่อน +1

    Mzee unatoa boko.kwa umri wako hukupaswa ww kuwa chawa

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 หลายเดือนก่อน

    72

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 หลายเดือนก่อน +1

    Bahasha zitawamalizia mikundu nyie jahazi linazidi kuzama wewe unatetea ujinga,tena mo apishe haraka sana na hao vibaraka vyake

  • @JamalAmr-nn9pm
    @JamalAmr-nn9pm หลายเดือนก่อน

    Simba mechi wiliziweka wenyewe mbona wenzao walicheza mfuluzo tatizo hata waandishi hamjui kuhuliza swali la msingi

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 หลายเดือนก่อน +1

    We mzee huna hoja kuhusu Ratiba hata Yanga hapumziki mpaka Gamondi kaongea, kingine hilo kombe muungano mlifurahia Yanga kagoma kwenda mmwchukua kombe mmefurahi ila wewe hutaki huna lolote na mwandishi huna kitu cha kuhoji unaburuzwa tu

  • @nurdinngalo-hj1ow
    @nurdinngalo-hj1ow หลายเดือนก่อน

    Mbona yanga nao walicheza mfulilizo ikiwa wana mechi ngumu na mamerod hadi akina pacome wakaumia mbona hawaja lalamika

  • @AbdulyShafii-ox5nu
    @AbdulyShafii-ox5nu หลายเดือนก่อน

    Acheni sababu murishaona hamuezikubeba ubingwa

  • @shekhesufiani9608
    @shekhesufiani9608 หลายเดือนก่อน

    Mara mo tuachie tim mara mo nisamee, we mzee umeshapewa bahasha?simba tatizo viongoz waongo sana,ktk mpira unaotakiwa ni ukweli sio siasa wala propaganda,toa pesa upate pesa,mo iga kwa haris said kusajili nenda mwenyewe kuagiza watu ndio mana wanakupiga wakuletea wachezaji wa kuokota,simba tim kubwa watakiwa upate wachezaji walevo ya simba,achen kuokota wachezaji wa hovyo,

  • @jacobmgata7235
    @jacobmgata7235 หลายเดือนก่อน

    Kibu hana account Twitter

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 หลายเดือนก่อน

    ..Mwandishi Msenge unatafuta Maswali ya Kuzua kisha kuja kuwauliza wana Simba Pumbavu sana ma wewe..

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 หลายเดือนก่อน

    🤣Masatu timu huna ondoa vizee vyote sajili vijana kingine huna mwekezaji kingine huna katiba mtalalamika kila siku ooo try again hafai ooo mangungu hafai

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 หลายเดือนก่อน

    Hilo begi la mzee masatu limebeba maokoto. . Mzee amepiga u-turn hatari..eti simba amelazimishwa kucheza muungano..wakati hana mashindano yoyote kwa sasa zaidi ya nbcpl..tofauti na yanga ambao bado wapo crdb cup na nbpl

  • @julianobihabansi4000
    @julianobihabansi4000 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z หลายเดือนก่อน

    Watu wa simba akili zao zinafana a ni walalamishi.wabishi, malimbukeni na huwa hawatumii akili zao ingawa wanazo. Hayataki kukubali kuwa timu yao iimebuma ni lawama tu kutafuta mchawi

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 หลายเดือนก่อน

    Wee mzee acha usenge nyie c ndy mliomba kuto kucheza mechi zenu mkasema mnajiandaa kimataifa leo mnalalamika nini acha ufala ww mzee

  • @hamzanangameta6243
    @hamzanangameta6243 หลายเดือนก่อน

    Wakati wenzenu wanacheza nyie mlikuwa mnafurahia viporo 😂😂😂

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee masatu naona mangungu ameshakupa bahasha wachezaji kweli wamechoka kwa nn wanatuletea wachezaji wasio na uwezo na kuwaacha fili na haleke

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule หลายเดือนก่อน

    Uyu mzee chizi...mwambieni kuna kipindi yanga alikuwa anacheza mfululizo yeye Simba alikuwa anaweka viporo mechi zake mbona yanga awajalalamika kipindi kile?

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l หลายเดือนก่อน

    timu mangungu uyo naili ndiyo tatizo letu watu wa simba atuna ushili kiano masatu lake na wengine lao akuna tena nguvu moja na masatu tupishe na mabosi wako