Kifupi arusha wana lugha yao!, Nimeelewa jiiiiiiiiiiiiooooooon kabisa kuwa bodaboda ni wadudu, na mazima ila mengine nimesahau, ukweli boda bila kuwa simamia ni tatizo. Innalilah wainna rajiun
Hapo ni miswakini barabara imenyooka haina hata kona chunguza na fatilia jambo ndipo mtoe taarifa, alafu kwa hiyo kiswahili hata wewe unaonekana hujajitambua
Inalillah waina illay rajiuun
Innalilah. Wainailah rajuun
Inalilah wanailh rajiuuu
Number One me naomba like please
Ukachambie
We akili una watu wana majonz so fuck
@@eradiusnamkubalilinaephrai5877 ndiyo kwanza unaruhusu makasiliko
Bibi kawaita huyo!
Wanazingua tu,
Maniga 😂😂😂😢😢😢
Boda boda tena
Wadudu poleni, ila nyie vichwa kweli, mnabadilisha mfumo wa pikipiki mnaweka wa kwenu
Mkuu tafuta kazi ya kufanya achana na kujiita katibu wa igmorant,na unapandaje pikipiki 3 peaple elimi ya watanzanaia ni huruma.kwa kweli
Kifupi arusha wana lugha yao!, Nimeelewa jiiiiiiiiiiiiooooooon kabisa kuwa bodaboda ni wadudu, na mazima ila mengine nimesahau, ukweli boda bila kuwa simamia ni tatizo. Innalilah wainna rajiun
Hiyo ni nchi nyingine baba, sinyorai imeendoka na wadudu watatu
Wataisha wazazi tupate hasira
Hapo ni miswakini barabara imenyooka haina hata kona chunguza na fatilia jambo ndipo mtoe taarifa, alafu kwa hiyo kiswahili hata wewe unaonekana hujajitambua
huyu jmaaa wa mwisho anachekesha kinyama
Ukifwatilia umri wao utakuta ni watoto wa 2000.
Kwa ujumla watakuwa wameshafika Kwa bibi Yao.
Rip
Alfu2 tena na 7