Subhana Llah mpaka munazeeka bado muko kwenye Mijimandazi na michapati ukienda haja mpaka ujikamue litoke shonde rangi ya mandazi badilisheni hamuoni haya watu wako kwenye mapiza Fatayer Basbusa!!!!!!
Mshamba wa kujichukia nafsi yako, sikulaumu maskini roho yako mbovu kama ulivyo tu. Tumezaliwa nayo na tutakufa nayo, hizo fatayer na pizza zako hupikwa na maboga au bado ni unga juha wa mwanzo na mwisho wewe. Maskini utasema umelelewa magetini kumbe chapati pia zimekukiza lakini Lumbukeni wa vyakula vya wenyewe ovyooo
@@jkizondoswahilibites434 wewe kizuka tafuteni kazi nyingine majumbani mwenu sio kujianika mitandaoni hata majina yenu yako tofauti kizondo kizuka balaa tupu Mwenyezi Mungu awahifadhi InshaAllah kheri na majimandazi ya kufunga tumbo.
@@jkizondoswahilibites434 huo ndio ujuzi wenu na midomo yenu ilivyo kutukana ndio heshima kubwa kwenu hamulaumiki mukiambiwa ukweli kwenu na karaha mukisifiwa munajitanua zaidi ni malezi hayo yamo ndani ya damu ni tabu kuelewa na vipi utamjua mshenzi lazima uwe mshenzi ushamba uko huko ulikotoka halafu unajiita mwisilamu unafunga mwisilamu hatukani tumia hikima ya kizondosi!!!!!!!
Hilo shonde lako unalojikamua mpaka litoke umesahau ulikuwa ukitaka kulitoa wenda shamba chini ya miti hata choo mlikuwa hakuna kwenu Mahukuruni mungu mmekuja ktk nchi za watu mkafungua macho ulikuwa wala ugali na chumvi nyama hamli ila mpaka eid
Maa Shaa Allah Tabaraka Allah❤❤❤Allahu barik ukthy Jamillah
Waalaykum musalaam warahmatullah wabarakatu
MashaAllah
TabarakaAllah
Aslm a kweli jamila ni jamila like 👍
Mwanitamanisha😂😂 sijui na mm nitaonja mahamri ya Jamila lini😊😊 MashaAllah ❤
Subhana Llah mpaka munazeeka bado muko kwenye Mijimandazi na michapati ukienda haja mpaka ujikamue litoke shonde rangi ya mandazi badilisheni hamuoni haya watu wako kwenye mapiza Fatayer Basbusa!!!!!!
Mshamba wa kujichukia nafsi yako, sikulaumu maskini roho yako mbovu kama ulivyo tu. Tumezaliwa nayo na tutakufa nayo, hizo fatayer na pizza zako hupikwa na maboga au bado ni unga juha wa mwanzo na mwisho wewe. Maskini utasema umelelewa magetini kumbe chapati pia zimekukiza lakini Lumbukeni wa vyakula vya wenyewe ovyooo
Wanaume wenzio wako busy makazini wewe uko mitandaoni kukosoa wanawake wanaojitafutia halal zuka waheed
@@jkizondoswahilibites434 wewe kizuka tafuteni kazi nyingine majumbani mwenu sio kujianika mitandaoni hata majina yenu yako tofauti kizondo kizuka balaa tupu Mwenyezi Mungu awahifadhi InshaAllah kheri na majimandazi ya kufunga tumbo.
@@jkizondoswahilibites434 huo ndio ujuzi wenu na midomo yenu ilivyo kutukana ndio heshima kubwa kwenu hamulaumiki mukiambiwa ukweli kwenu na karaha mukisifiwa munajitanua zaidi ni malezi hayo yamo ndani ya damu ni tabu kuelewa na vipi utamjua mshenzi lazima uwe mshenzi ushamba uko huko ulikotoka halafu unajiita mwisilamu unafunga mwisilamu hatukani tumia hikima ya kizondosi!!!!!!!
Hilo shonde lako unalojikamua mpaka litoke umesahau ulikuwa ukitaka kulitoa wenda shamba chini ya miti hata choo mlikuwa hakuna kwenu
Mahukuruni mungu mmekuja ktk nchi za watu mkafungua macho ulikuwa wala ugali na chumvi nyama hamli ila mpaka eid