Napenda kukupongeza chado kwa kuwapa nafasi wasanii wadogo kufanya kazi pamoja na wa katika movie hii endelea kufanya hivyo mungu atakubariki 🎉 like kwa chado master
@@aishaomar2287 yeah hawataki raia wavae kitu kinachofanana na chao ila huko kwenu tu tz huku Mongolia unavaa tu t-shirts trouser kofia mkanda buti boxa ila uko kwenu ni issue
Hichi kitoto jaman daaah Ila ni funzo kwa serikali hvi vijitoto vyengine visumbufu sana vinajitakia vyenyewe kubakwa mbora wafungwe woote jela ndio vitapungua kushobokea wanaume
Kama unampenda chado like hapa
Nampenda chado yuko vizuri 😅 yani sijacelewa kabisa
Napenda kukupongeza chado kwa kuwapa nafasi wasanii wadogo kufanya kazi pamoja na wa katika movie hii endelea kufanya hivyo mungu atakubariki 🎉 like kwa chado master
wapi hao wasaniii wadogo😅😅😅😅
@@sharifamohd3857Kwan hujaona huyo kijana mdogo
Leo na mm mnipee likes zangu, more love from 254
Like kwajili ya chado master mnyama nipeni kidogo naombeni tafadhali
Wakwanza Leo nipeni like hata 10 jamani
Safi sana tem chado Like nyigi kwa tem chado ❤❤❤❤
Ww mwanaume hacha kulilia mwanaume
Sema jamani tuwe wakweli hii movie nikubwa kuliko Yani atali atali chado unajua sana sna sna kaka
Chado mwamba asiemuerewa chado huyo hovyoo
Kisong cha mahaba nacho kitamu cjui ntakipatapi .Pole kaka gadaya,l feel your pain 😢
😂😂 huyu aliyeibiwa mke kawa mnyonge hadi najiskia vibya sijapenda !!
😂😂😂😂ni huzuni
Chado msalimie sana ngadaya kazi nzur ❤
Wa kwanza Leo kaz mzuli bro 🎉🎉
Chado master nakukubali sana pamoja na Baga❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
Nice blo
Chado Jina la nyimbo jameni
Chine-aniue
Wakwanza mm like zenu
Unahendeleya vizuri sana MTU wangu chado master
Naombeni like ata kumi tuu
Nilikua sipendi bongo movie lakini hii nimeikubali❤❤❤
dahh mwanangu Baga ndo atutakuwanae Tena au😢😢😢😢
Sana sana boy naqbar chado❤❤❤❤
Nampenda sana chado so hand some boy
Yani chado sijui nimsifu nani nyote muko talented mwanzo hao waproblem 🤣🤣🤣👌👌👌👌👌👌humu tu humu tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰bagaaaaah
Ongeza dakika chado! Nakubali sana mwamba... Mimi chabiki kutoka mozambique🇲🇿
Good
Hiki chawashwa kwl km kkake anavyo sema😂😂😂Much love from 🇰🇪🇰🇪 Chado❤
Chadu lupango ngome 😂😂😂 nakupenda chado
Ngadaya ulipigwa changa la macho! Ati kaka kumbe wanakakana😂😂😂...wafanyie zile za kwenye problem wakuheshimu hao 😊
Daaaah! Mnatisha sana kaka haswa kaka ake kindege upepo😂😂
Mr chado 🙏👍💯 twende na kazi
Mimi ha pa kutoka kuzimu naitaji kafara yangu
Jina lenyewe linaonesha umetoka kuzimu😅😂
@@user-qb4qp7xj7d😂😂😂😂
Gongeni like nyingi kwaajili ya chado master
Niko tu in love na huwo wimbo😢
hiko kitoto kitafutien nguo nzurii zashule maan hzo hazifai jmn duh..yaan zinamuharibikia niushaur tu jmn ....ila mnafany kazi nzuri sanaaa❤🎉
Au avishwe na juba yan hijab ndoyaendan na sket ndetu viatu pia abadilishiwe avae visimpo black iyo itapendeza na shat ya mikon mirefu
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana@@Realme-xm3sh
Tem chado hio safi sana
Safi sana kuna sound moja matata sana bravoo
Kaz mzuri
Wa kwanzaa leoooo
Kinawashwa😂😂
😮😮
Kazi safi Mr chado 👍👍👍💪💪💯✔️🙏🙏🙏🇰🇪
Chado nakupenda pia ....utapata barua kutoka kenya
Chado umetisha
Jumba Bovuuu😂😂😂
Kwa ninavyoijua nchi yenu ya tz icho kipensi na iyo kofia vitakuletea matatizo chado masta ni ushauri tu from Mongolia am watching the show
Hua hawaruhusu?😮
@@aishaomar2287 yeah hawataki raia wavae kitu kinachofanana na chao ila huko kwenu tu tz huku Mongolia unavaa tu t-shirts trouser kofia mkanda buti boxa ila uko kwenu ni issue
@@Maarifasnr-gu6dp kumbe
Safi sana kazi nzuri 💯💯
❤😮
Mwanzo mzuri
Hoyoooo
Madonga naikubali sana mshikaji wangu
Mapenz wewe pole ngadaya daah 😢😢
Asema achekwa hadi na vijiko😂
@@aishaomar2287 🤣🤣🤣
Ngadaya wangu analia jmn 😢😔🤦🙆😂
Hichi kitoto nacho
Mjomba uxela mnauweza knyma
Ila uyu binti anakiranga sana
Nzuri sana
Kusema ukweli jamani uyu cheusi anajuwa kuigiza yuko siliasi nampenda anavyo fanha
😂😂nkimuona ngadaya tu namuona kama ni msukule kama problem 😂 akili funguka katika jina la yesu
Haya sasa
Hii ni parfect kali sanaaa
Iyo tena mm hoi chako good sana
Dah sio poah movie ni kali sana
wote wanaoomba like wakat hawahusiki wote wanawekwa
Anqjua sana chado
Kaz nzur 🎉🎉🎉
Nakukubali chado kwa kutoa move kwa alaka saba
Wa pili Leo jmn naomben like
Kila mchuma majanga hula na nani jamani ?,nmeuliza naitaji majibu...
Hula nawakwao
Ngadaya anasauti nzuriii
Uo mzki kaimba nani
Msela so mtu
Alafu naweeee najma achakuwatiaaa wenzako kwenye matatizo
Movie Iko poa sana but nataka jina wimbo
🎉kaz nzur❤
Baga umeyakanyaga😅😅
Mmeua hiii move❤❤❤ yan atalii
From DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 i love you so much chado
😂😂😂hapo kwa Binti kuhusu kusoma ndo bac tena
Hii nyimbo ameimba huyo msichana nayempenda chado
Aka kawimbo kaz😊uri
Mm nmemfata mbabe baga namkubali sana af ile ile haipingwi 😂😂😂😂😂😂
CHADO MASTER LIKE KWAKE💯
Likes nyingi nyingi
Kindege upepo 😅😅😅😅😂😂
Ngadawa umeua mwamba😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Hichi kitoto jaman daaah
Ila ni funzo kwa serikali hvi vijitoto vyengine visumbufu sana vinajitakia vyenyewe kubakwa mbora wafungwe woote jela ndio vitapungua kushobokea wanaume
😢😢😢 jamani sisi pia tuna haki ya kupenda
@@SarahRichard-iv2dl ttzo kupenda kwenu ni mattzo kwa wenzen
Bagaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa we mbwa hujawah kuharibu
❤nakukubari
Cheusi mwanangu 😂😂😂
kaka jini unalizwa kisa mapenzi, si roga tu huyo jamaa kitu kisisimame
😂😂😂Baga million 10 na bikra unachagua bikra MBONA LEO police na bikra umechagua police 😂😂😂😂😂
😂😂
Woow amazing unaandik n mkon w shot bibie napend san
Ila kaka kabinti😅😅😅😅 kananipa raha sanaaa😅😅😅
Kazi tamu
😂😂😂😂 ila huyu mwamba mm nnampendaga eti ni shoga angu
Kachado mda mhhh mdogo et jmn
Nice brother chado❤
Iko poa kaka unajua sana
Ajifany apenda kutoa bikra ay sas kimemkuta 😅 anaependa kutoa bikra comment hap
tilatulatilala tulia mtot wa samia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
NgadayA 😂
Muendelezo jmn dk mnafany chache sn tunawaomba bas muwe mnatup vipand angalau vi2 dabo au tuongezen dk ombi lkn🙏🙏
Mission impossible iyo nzuriiiiiii
Mwamba kayakanyaga
Ongeza dakika chado