@jeanclaudechilileofficiel sasa mnautaratibu gani wakuu mimi shabiki wenu kwa hiyo siwezi kuacha kuwambia aseee ,, mi MSUKUMA kutoka mwanza napenda nikiwa machungani nikikaa naanza kucheki movie safi
RAY MIMI NAONGEA KWA NIABA YA WOTE HIYO MOVIE HAINA SAUTI MBELEE KO IRUDIWE ALAFU MBNA MNAACHIA MOVIE HEWANI WAKATI HAMJAIHAKIKI KAMA IKO SAHIHI A TO Z WHY NIJIBIWE BASI SIJAPENDA JAMANI MIMI RAY NI SHABIKI WAKO KABISA LAKINI UMENIKOSEA KWA HII MOVIE KAMA NAONGEA UKWELI WEKA LIKE HAPA 👈👈
Video ina sauti, fuatilia kuanzia mwanzo utasikiliza sauti na kwa taarifa yako, akaunti hii sio ya Ray, nachapisha filamu zao tu maana watu wengi wanaihitaji.
@jeanclaudechilileofficiel hata kama sio ya ray wewe c umejitosa kusambaza movie ko zingatia tunayokwambia mashabiki Kwan mm nimekwambia namtafta ray mm lengo langu movie iwe quality of sound A to Z
Mbona sauti haipo
Tanzania
❤❤
Asante dj 🎉🎉
Asante saana kbx kutuletea movies nzuri nzuri jukuwa mauwa yako🎉🎉🎉 from Burundi je ww unatok wapi dj??
Asante pia, kwa sasa ninaishi Congo Kinshasa.
@@jeanclaudechilileofficiel mbona dj Haina sauti mbna mnatuangusha siku hizi mashabiki zenu
@SaidyLuway-i8l Hapana, video ina sauti tangu mwanzo, isipokuwa kwamba ubora haukuwa mzuri, ndiyo sababu utaona kwamba inarudia mara mbili zaidi.
@jeanclaudechilileofficiel sasa mnautaratibu gani wakuu mimi shabiki wenu kwa hiyo siwezi kuacha kuwambia aseee ,, mi MSUKUMA kutoka mwanza napenda nikiwa machungani nikikaa naanza kucheki movie safi
RAY MIMI NAONGEA KWA NIABA YA WOTE HIYO MOVIE HAINA SAUTI MBELEE KO IRUDIWE ALAFU MBNA MNAACHIA MOVIE HEWANI WAKATI HAMJAIHAKIKI KAMA IKO SAHIHI A TO Z WHY NIJIBIWE BASI SIJAPENDA JAMANI MIMI RAY NI SHABIKI WAKO KABISA LAKINI UMENIKOSEA KWA HII MOVIE KAMA NAONGEA UKWELI WEKA LIKE HAPA 👈👈
Video ina sauti, fuatilia kuanzia mwanzo utasikiliza sauti na kwa taarifa yako, akaunti hii sio ya Ray, nachapisha filamu zao tu maana watu wengi wanaihitaji.
@jeanclaudechilileofficiel hata kama sio ya ray wewe c umejitosa kusambaza movie ko zingatia tunayokwambia mashabiki Kwan mm nimekwambia namtafta ray mm lengo langu movie iwe quality of sound A to Z
@SaidyLuway-i8l sawa
Mbona hakuna sauti
Kule Mwanzo iko
🙏🌺🌹🌹
Aksante sana
Fake promise ya pili iko wapi kaka?
Bado naitafuta hiyo pia, nikiipata nitaiweka moja kwa moja, usijali labda kabla ya mwisho wa wiki hii utakuwa nayo.