nasalim my beloved relatives from Kenya maeneo ya Mwingi,walioondoka tangu mwaka 1994 na kuishia Tanzania kule Mwanza.ikiwa kunaye anaekumbuka familia ya babu yetu aliejulikana kama Mwanza, naomba ujionyeshe hapo kwnye comment nitafurahi saaana.thanks inadvance davis
Walikuwa wanajaribu kumchomoa kwa yule mzee wa Kakonko maana alikuwa akimuonya sana kuhusu tabia na mwenendo wake, nahisi walimpambania sana, nadhani alikuwa apitee kabisa najaribu kuunganisha matukio alukuwa keshachukuliwa na mzee wa kakonko kigoma. Ila ukimtegemea Mungu unabaki salama. Pole sana maana kwakweli walipambana nasikia huyo mzee ni hatari huko ni ukweni kwangu.
Atakuwa alirudishwa kwa mzee mahala kule Kakonko. Maana alioneshwa watu wakati alipoenda kupewa dawa.
Baada ya kushindwa masharti yake.
nasalim my beloved relatives from Kenya maeneo ya Mwingi,walioondoka tangu mwaka 1994 na kuishia Tanzania kule Mwanza.ikiwa kunaye anaekumbuka familia ya babu yetu aliejulikana kama Mwanza, naomba ujionyeshe hapo kwnye comment nitafurahi saaana.thanks inadvance davis
Nishagundua story ikiw nzuri kont zinakuw chache watu wako busy kuskiliza
Walikuwa wanajaribu kumchomoa kwa yule mzee wa Kakonko maana alikuwa akimuonya sana kuhusu tabia na mwenendo wake, nahisi walimpambania sana, nadhani alikuwa apitee kabisa najaribu kuunganisha matukio alukuwa keshachukuliwa na mzee wa kakonko kigoma.
Ila ukimtegemea Mungu unabaki salama. Pole sana maana kwakweli walipambana nasikia huyo mzee ni hatari huko ni ukweni kwangu.
Duh kaka ulipitia mengi Yesu ahimidiwe
Hii stori safiiiii kabisa in mtafyaa’s voice 😅😅
Story nzuri anajua kusimlia pia
Kaka devlstar Mata uko makini sanaa
Story nzuri
Nimeamini wako kweli watumishi wa Mungu Yani mda huo wote nyoka hakuwa i chomwa
Twende Kazi Mr.................
Hii story nikama imekatwa vile....kanisani kulifanyika nini hiyo siku
tupo pamojaaaaaa
Harusi lini Mr DM
Santa mr
Leo wa kwanza ndugu zangu akina pili mnipokee atakama atujuani vizuri
Uko ni gaboshi, kuligana na story nyingi nimewai sikia kutoka kwa mikasa ya Devister mater, naye mungu zi hadhumani 🙏
Safi Sana broo
Pole sana kaka
More fire
Unaweza ukahisi ni ndoto etii,, aisee haya mambo simchezo
Hao watu walikua ni misukule na ilibidi upotee, mavumba yako mungu mkubwa
Mbona umekata kipande walipienda Kanisani Mama yake na dada walipokuja?
Hebu davistar jitahid kidogo kuhoji kama sheby alawi
Davistar Mbona shehe Amiri aliyeokoka , huweki ushuhuda wake? Wewe unafanya kazi ukisikiliza watu wanasema nn huwezi fikia lengo,
Ndani
Yani hii story hebu andika kitabu
Nice bro
Mafunzo mazuri🙏
Bona vidole zake za mikono ni nyeusi ebu mulize?
Watu wakome waganga kabisa Yani huyu aliponea angebaki misukule
Pamojaaa
Back 2 back
Babu alikuiba kichawi akakutoa kanisani
Uchawi jamani
Huyu alikua chizi ila hataki kufunguka
Story inazid kunoga
9
Fireee
Bongee LA tor
Davista mata
MTAFYA TAJIRI ALIEUA WATOTO WAKE 2 KICHAWI NA KUISHI NA NYOKA NDANI KAMA MKEWE