Yesu Kristo asifiwe. Nashukuru sana Mtumishi kwa ujumbe huu. Naomba kujua: ikiwa mtu mume au mtu mke wanaishi pamoja na wana watoto mbele ya Mungu wanatambulika kama mume na mke bila kuwa na ndoa?
Amen sisi wengine America wanatwambiya eti kuna wokovu wa mjini na wokovu wakijijini ila ashukuriwe Mungu kwasababu nimeelewa Yesu yule jana leo na ata milele niliye mwamini Africa nakumitumikiya ndiye ninaye mwamini America Shalom Shalom
Kwanza nashukuru mungu,,pili promover TV kwa ushunda wao wote ,,kwa hakika imenipatilisha sana kimwenendo kiroho na vingine wacha mungu awabariki sana,,mm neno la kiroho sana barikiwa sana
Bro nakupongeza kwakua mtiifu, Kitendo cha ku delete ushuhuda wa YULE nabii uliyeleta uzushi wake wa ajabuajabu uliosababisha taharuki,nimekuona kama shujaa. Ubarikiwe endelea kufanyia kazi maoni ya watazamaji sisi ndo walengwa so tukipokea message mbovu inayotubomoa badala ya kujenga,inayotupa taharuki badala ya meditation kwa Mungu,hiyo haitufai. Kongole my dear brother
Somo limenifikia kwa wakati mwafaka...asante bwana Yesu
Amina Amina nimepata ujumbe tokea🇰🇪🇰🇪.
Hii ni amina na kweli.. ..Mungu azidi kujifunua kwako
Asante sana Mtumishi ubarikiwe sana
Yesu Kristo asifiwe. Nashukuru sana Mtumishi kwa ujumbe huu. Naomba kujua: ikiwa mtu mume au mtu mke wanaishi pamoja na wana watoto mbele ya Mungu wanatambulika kama mume na mke bila kuwa na ndoa?
Amen sisi wengine America wanatwambiya eti kuna wokovu wa mjini na wokovu wakijijini ila ashukuriwe Mungu kwasababu nimeelewa Yesu yule jana leo na ata milele niliye mwamini Africa nakumitumikiya ndiye ninaye mwamini America Shalom Shalom
Ko ulidhani kila nchi Ina mungu wake au
Nakupenda bure kabisa maana umetoa somo zurizuri zuri sanaaa , barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. ..
Heeeh!! Kumbe hata snema za kutisha ni dhambi , unanifumbua macho mtumishi asante
Kwanza nashukuru mungu,,pili promover TV kwa ushunda wao wote ,,kwa hakika imenipatilisha sana kimwenendo kiroho na vingine wacha mungu awabariki sana,,mm neno la kiroho sana barikiwa sana
Amen, Asante Sana mungu awabariki🙏
Jamani hii inasumbua watu sana
Asante sana kwa mafundisho Mungu akubariki
Mungu akubariki kweli kwa ujumbe mtamu kweli yani nimebarikiwa saaana 🙏
Asante.kwa.somo.zuri.nimejjifunza.barikiwa
Hakika dhambi hii inatisha sana
Asante mama
Asante sana ubarikiwe
Nimepata somo
Nimejifunza kitu asante sana.
Bro nakupongeza kwakua mtiifu,
Kitendo cha ku delete ushuhuda wa YULE nabii uliyeleta uzushi wake wa ajabuajabu uliosababisha taharuki,nimekuona kama shujaa.
Ubarikiwe endelea kufanyia kazi maoni ya watazamaji sisi ndo walengwa so tukipokea message mbovu inayotubomoa badala ya kujenga,inayotupa taharuki badala ya meditation kwa Mungu,hiyo haitufai.
Kongole my dear brother
Huyu mama u tube channel ake inaitwaje
Jesus Reigns Restoration Ministry. 👇 th-cam.com/channels/7fuOIZJcUOHR_VgfQPmzfA.html
Haya maarifa ya kiroho ni yapi nimshinde shetani?
Huyu mama anasema tubatizwe kwa jina la yesu wakati mchungaji akisema kwajina la baba na la mwana na la roho mtakatifu si kitu icho icho sasa
mungu akubariki sanaaa hayando mafundisho tunayatafuta
Ngono ngono 😓😓😓