Nataka mume, sipendi dhambi - Khadija Kopa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 104

  • @balancedviewpoint7418
    @balancedviewpoint7418 4 ปีที่แล้ว

    Wewe malkia wa Taarabu Khadija kopa twakueshimu sana miaka mingi na umri wako pia huko katika ile hali ya Heshima yake. Ukiongea kitu chochote watakikana upime matamshi siampatane na hekima na bushara wa hali ya juu sana ndio pia watoto wako wajifunie kuwa na mama wa heshima. Mimi ni wa miaka yako kabisaaa lakini miendeno zangu, lugha na matamshi ni ya kipekee. Watoto wangu wanieshimu na pia wajukuu.
    Ukiongea mambo ya maaba ama ndoa inatakikana unalenga kiusafi na kieshima ndio sisi wafuazi wako wa dadhi na wadogo wako, sana sana watoto wako wajifunie mama yao. Kutamka hadharani mbele ya umati na dunia kiolela hivo kidogo haileti zangwe kwa watasamaji. Ukiwa 57yrs kiza useme unataka kijana mdogo kwako inaoneza sura mbaya kwa watoto wetu.
    Sijui, ukiamka kesho ukapata binti suchu anangangania lijizee lia miaka 50 utasemaje? Kupata mpenzi ni haki ya kimsingi lakini hatusemi hatarani hivyo peupe. Labda kwenu Tanzania inakubalika, kwetu kenya ni muongozo mbaya kwa watoto wetu.
    Lakini nakuombea upate mume wa kukufaa kwa mathumaini yako dada. Muziki zako zote tangu 1990 ninazo mimi, nasipenda sana kwa dadhi

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 6 ปีที่แล้ว +9

    Santaaa bi. Khadija kopa umeongea ukweli wengine si wanaume magumegume. Naona bado uko chonjo

    • @ayshamahariq8126
      @ayshamahariq8126 6 ปีที่แล้ว +2

      MWANAHALIMA MWACHILI Daaa Atulie saahii mama Etu Alee wajukuu

  • @emmymotaungmotaung6365
    @emmymotaungmotaung6365 3 ปีที่แล้ว

    I looooooooooooooooooooove her honestly..Khadija Kopa for Life

  • @rashidseif6103
    @rashidseif6103 6 ปีที่แล้ว +4

    Usijizidishe zambi Khadija kopa, ww una sifa gani hata ukajifananisha na mke wa Mtume (swa) ww ukiamka ni pombe ukilala ni pombe. Hapo ulipo upo hoi.... Rudi kwa Allah dada usihadalike na dunia.

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 6 ปีที่แล้ว +2

    Lkni kwa huo umri mama hataa huezi kuamini yani upo strong mashallah, kuna wanawake wengine miaka 54 wamejichokea ile mbaya, yani sjui ni maisha ndio yanayowatatiza au ni hizo pesa ndio hawana zakujieka vzuri, utaona mwanamke ana miaka 30tu pengine kazalishwa watto wawili lkni ukimuangalia utafkiri ni mtu wa miaka 70.

  • @daprince7545
    @daprince7545 6 ปีที่แล้ว

    onekana mama umesumbua sana wanaume nikiona vile wajisebedua daaaah waniumiza moyo wangu

  • @yusuphiszraeljoseph8575
    @yusuphiszraeljoseph8575 4 ปีที่แล้ว

    Yaani nakukubali sanaa tu

  • @khuwedaamin8402
    @khuwedaamin8402 6 ปีที่แล้ว

    Santaaa bi khadija mameno yko kweli. Swadaqtaa

  • @bosiabu6607
    @bosiabu6607 6 ปีที่แล้ว +4

    njoo tusitiriane khadija hakika tubakie kuleta istighfar

  • @mrishobhaya8965
    @mrishobhaya8965 6 ปีที่แล้ว

    Mche Allah acha ufedhuri dunia inadaa sana

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 5 ปีที่แล้ว

    Hongera bado kabinti upo kwenye chati

  • @sheillahchisika8414
    @sheillahchisika8414 6 ปีที่แล้ว +3

    Hadija nimekupenda usiitikie kibenten kitakukula akini ushangae

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 6 ปีที่แล้ว

    bibi angu ana 64 Happy birthday to u guys betweeen 10 years but bibi angu yuko kama mtu wa 80 😳 But anaumwa na kisukari

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 ปีที่แล้ว

    Nyooh bi khadija ndio wew

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 6 ปีที่แล้ว +2

    Jamani mama anajua kurembua huyo, kweli, natamani nimuoze mjombangu, nimempenda hadi raha.

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 6 ปีที่แล้ว

    BASI FUNIKA KICHWA JI HESHIMU , IKIWA KWELI WAMTABUA BI KHADIJA RADHIALLAHU ANAHA

  • @mashmashmkeyenge9210
    @mashmashmkeyenge9210 6 ปีที่แล้ว +1

    NITAKUOA MM KHADIJA NIKUPIGIA KINANDA NYUMBANI NA WEWE UNIIMBIE

  • @praxidesam8373
    @praxidesam8373 6 ปีที่แล้ว

    Napenda ukweli wako you are so strong baby gal watu hawapendi ukweli but uko poa

  • @eunicenelima9485
    @eunicenelima9485 6 ปีที่แล้ว +4

    apo sawa dada

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 4 ปีที่แล้ว

    Bibie Kizee Kopa umri umeenda achana na mambo ya kishaitwan. Jielekeze kwenye Ibada, uwe na hofu ya Mungu. Miaka 54 bado unatafuta Mime, huchokiiii!. Huna haya hata chembe. Waachie wanao akina Zuhura wahangaike sio wewe.

  • @queenshebasheba3595
    @queenshebasheba3595 6 ปีที่แล้ว

    Mimi nakupa baba angu amesema tutafute mama ila sasa lipa Deni la Temba sitaki uje kwetu namadeni

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent6532 6 ปีที่แล้ว +6

    Wewe mama jiheshimie

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 6 ปีที่แล้ว +1

    Kwn io kwenye kikombe Ni chai au pombe !? Mbona kma shangingi kalewa😎

  • @khadijajuma9962
    @khadijajuma9962 6 ปีที่แล้ว

    kaka angu anataka mke,je unauwezo Wa kuzaaa???

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 ปีที่แล้ว +2

    Sante mamy umeongea point, Mimi siwaamini kabisa Wanaume vitu kama hivyo hawana, mwanaume akupende bac unapesa au unakitu, mimi cna hata hamu nao.

    • @bosiabu6607
      @bosiabu6607 6 ปีที่แล้ว

      Saumu Hassan huna adabu kwani nyege zako wapelekapi

    • @hamadhabinrashid3705
      @hamadhabinrashid3705 6 ปีที่แล้ว +1

      Dada Saumu unapokoment jaribu kuangalia uzito wa koment yako tafadhal coz bila mwanaume ww usingekuwepo dada
      Sorry if u minde

    • @mohdali2408
      @mohdali2408 6 ปีที่แล้ว

      Umewatusi mpaka manabii....be care in your statement.....

    • @adamwillyam85
      @adamwillyam85 6 ปีที่แล้ว

      Saumu mie nimekuxoma inaonekana umetendwa wewe pole sana

  • @rehemaathman572
    @rehemaathman572 5 ปีที่แล้ว

    Asantaaaa

  • @naiyanaeshongo1958
    @naiyanaeshongo1958 6 ปีที่แล้ว

    madam anajiamini,,,,, congrats

  • @oyay2821
    @oyay2821 6 ปีที่แล้ว

    Utaruka nae babake Mtu?

  • @victorndunguru1211
    @victorndunguru1211 6 ปีที่แล้ว

    Deni la Captain amelipa?

  • @dulaabdallarashid
    @dulaabdallarashid 6 ปีที่แล้ว

    ana ngoma uyo shaurienu

  • @maggykavata9439
    @maggykavata9439 5 ปีที่แล้ว

    bado mama wataka kuolewa...mama wacha aibu

  • @bambamaly680
    @bambamaly680 6 ปีที่แล้ว

    Mimi niko kuna nafasi

  • @faizahsaleh9652
    @faizahsaleh9652 6 ปีที่แล้ว

    Kweli bi Hadija kopa

  • @sallyogolla7560
    @sallyogolla7560 6 ปีที่แล้ว

    hahahaha wanifurahisha sana mama, uko sawa kabsa!!

  • @orestleon50
    @orestleon50 6 ปีที่แล้ว

    Umezeeka bibi kizee.

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 6 ปีที่แล้ว +2

      orest leon Mamako pia atafikia uko

    • @orestleon50
      @orestleon50 6 ปีที่แล้ว

      Asante saumu

  • @sowanaandsonakshi9385
    @sowanaandsonakshi9385 6 ปีที่แล้ว

    😃😃😃😂😂😂😅😆magume gume wasikiy awooooo ataree

  • @ayshamahariq8126
    @ayshamahariq8126 6 ปีที่แล้ว +2

    Wape ukweli maaa

  • @faithfussi611
    @faithfussi611 6 ปีที่แล้ว

    asanteeeee

  • @monaomar4117
    @monaomar4117 6 ปีที่แล้ว

    nikweli bi Hadija

  • @asiahmariam3942
    @asiahmariam3942 6 ปีที่แล้ว +16

    Rudi kwa mola wako achana na hanasa za dunia

    • @isihaqwanjala9026
      @isihaqwanjala9026 6 ปีที่แล้ว

      Asiah Mariam kweli mchungu ila ukweli ndio faraja

    • @mariampaulo5358
      @mariampaulo5358 6 ปีที่แล้ว

      Asiah Mariam wasafi

    • @utaani1
      @utaani1 5 ปีที่แล้ว

      Asiah Mariam wallahi tena maana amekalia kiumalaya umalaya

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 ปีที่แล้ว +1

    Asante

  • @christinanuurinkluge9118
    @christinanuurinkluge9118 6 ปีที่แล้ว

    You look Good

  • @aishasalem2568
    @aishasalem2568 5 ปีที่แล้ว

    Hapo sawa mamaa vibenten vya tution nooooo🤣🤣

  • @khadijajuma9962
    @khadijajuma9962 6 ปีที่แล้ว

    kubar lakini kua umezeeka mama yangu ,tulia tu

  • @azizalhabsi3638
    @azizalhabsi3638 5 ปีที่แล้ว

    mama jitahedi kuwacha tarabu nidhapi

  • @AishaAli-lk7gh
    @AishaAli-lk7gh 6 ปีที่แล้ว

    black beauty huyu Ana matatizo

  • @abdallahmuhammad4729
    @abdallahmuhammad4729 6 ปีที่แล้ว +2

    Bi Khadija my Advise to u now is,plzz back to Allah and ask forgiveness coz umri wako huo ssa hv hutakiwi tena kua hewani km ulivyokua Maisha kwa Mungu hatuna guarantee nayo Mama anytime twaeza pigwa mkono na Allah.shukran

  • @hamidesultan444
    @hamidesultan444 6 ปีที่แล้ว +6

    Acha miziki basi kma hutaki Zambi coz kwa muislamu sio vzr kuimba tafuta kazi nyengine bora umri umenda huo life too short my mom

  • @danyakala
    @danyakala 6 ปีที่แล้ว

    Kwan amelewa

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 6 ปีที่แล้ว

    Lipa Kwanza pesa ya temba

  • @kalamuyantajajr2605
    @kalamuyantajajr2605 6 ปีที่แล้ว

    Duh! Nina 49 aisee nakuja kukuoa

  • @shanynyalusi1507
    @shanynyalusi1507 6 ปีที่แล้ว

    Uwiiiiiiiii

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 6 ปีที่แล้ว

    Yaani huyo ndio madame

  • @OmarOmar-gy9hh
    @OmarOmar-gy9hh 6 ปีที่แล้ว

    unavisa we bibi

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 ปีที่แล้ว

    Hahaha Da khadij

  • @YhujfjuFgfj
    @YhujfjuFgfj 5 ปีที่แล้ว

    Eti naruka nae

  • @ismaelahamadammadi4057
    @ismaelahamadammadi4057 6 ปีที่แล้ว

    bibi hadidja mimi ndo mwanme mcomoro nina furahi kwe interview yako habo yawanawume

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 6 ปีที่แล้ว

    First to watch

  • @latylaty42
    @latylaty42 6 ปีที่แล้ว +3

    Ati nn? Yy ndio Bi Khadija mwnywe ...! Wacha kujifananisha na mke wa Mtume sala Allahu alayhi wasallam wakati huna kigezo chchte cha kujifananisha nae...... Umebeba jina tu

  • @jA-ox7vz
    @jA-ox7vz 6 ปีที่แล้ว +1

    V'ben ten vyataka kulelewaa 😏😏😤😤ukivipa nafasi, havijishuhulishi,,bora ubaki bila🙌

  • @chuimnyama9074
    @chuimnyama9074 6 ปีที่แล้ว

    NAOMBA NIKUOE MCHUMBA MWANAUME WA UKWELI MIMI

  • @omarkassim6761
    @omarkassim6761 6 ปีที่แล้ว

    ww mjinga umbri huo ulionae mpaka sasa hujatubu tuuuu kuna moto huko

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 6 ปีที่แล้ว +2

    Mimi nina miaka 42 lakini nipo kama Dogo janja vipi nilete Posa

    • @joycemashikolo9096
      @joycemashikolo9096 6 ปีที่แล้ว +1

      Aloyce Steven 😂😂😂😂weeh nenda tu si unamuona mwenyewe mziki wake utakunenepesha tu

    • @jA-ox7vz
      @jA-ox7vz 6 ปีที่แล้ว

      Aloyce Steven 😂😂😂😂

    • @princekijay5450
      @princekijay5450 6 ปีที่แล้ว

      😂 😂 😂 😂 wewe nenda tu kaowe

    • @missyabdull142
      @missyabdull142 6 ปีที่แล้ว

      Aloyce Steven hahaha

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 6 ปีที่แล้ว

      Aloyce Steven 😂😂😂

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi 6 ปีที่แล้ว

    Kwan Mama anajibu maswali au anachambana?😂😂😂

  • @shamsaismail7707
    @shamsaismail7707 6 ปีที่แล้ว

    Ni kweli mama wanaume wengi hufanya hivyo matokea ukiishiwa atakucheka hunathamaini tena kwake

    • @Superman--un9xz
      @Superman--un9xz 6 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @maintemushangani8925
    @maintemushangani8925 5 ปีที่แล้ว

    nikweli maneno yako

  • @aishaabdj8913
    @aishaabdj8913 5 ปีที่แล้ว +2

    hhhhhh htki kibenten

  • @khadijaarkam5701
    @khadijaarkam5701 6 ปีที่แล้ว

    😀😀😀😀😃😃

  • @wlkmwlkm2912
    @wlkmwlkm2912 6 ปีที่แล้ว

    😂😂😂wapewape

  • @mariamjuma4589
    @mariamjuma4589 6 ปีที่แล้ว

    hahaha hadija

  • @dulaabdallarashid
    @dulaabdallarashid 6 ปีที่แล้ว

    ana ngoma uyo shaurienu