Mashallah, hongereni sana, wanaume wasiojua au watu wasiojua watamuona uyu Mwanaume ni mshamba, ila kiukweli waneno yake yako sahihi, Mwanamke siku zote na mda wote anahitaji maneno mazuri asikwambie mtu.
Huyu mwanaume amekuwa anaipenda familia yake sana sababu ni moja kampata mwanamke anayejitambua na mtii na mnyenyekevu hangekuwa ni mwanamke wa maneno maneno naamini upendo usingekuwepo asilimia kubwa ya wanawake wanamakelele mengi mpaka mtu kurudi nyumbani mapema Kwa mwanaume inakuwa ngumu maana mwanaume anakosa pumziko kutoka Kwa mke wake.
Wewe pia mwaume ufanye sehemu yako na mkeo lazima atakuwa sehemu yake km mke mwema kwako mwangalie uyo kaka na maongezi yake na izo video zoa mkwe mwingine anakuwa mwema tu shida unakuta mume pia ni chazo cha mwanamke kuwa nagubu
Mashaallah mashaallah mashaallah mubarikiwe sanaaaa♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💪 mwenyezi mungu awarinde siku zote na mabaya muishi Kwa upendo furaha na Amani 🤲🙏♥️♥️♥️♥️
Kweli broo umeongea kweli kabisa mm nina mpenzi mwaka wa tano sasa, ikipita siku kadhaa hajanitongoza sababu nampenda namkumbusha bby wangu nimemic kutongozwa, akishanitongoza najisikia vizuri hatari...kwa hyo unachosema n sahh kbxaa
Kweli mwanamke mwenye hekima ataijenga ndoa yake. mwanaume hakemewi hata akikosea ila ukiwa mwanamke kuna hekima ya namna positive ya kumwingia mwanaume aliyekukosea, kwa elimu zaidi jifunze hapo. Nimeipenda sana hii interview
Huyu kijana kwa umri ni mdogo lakini kichwa kake, ni cha wazee wenye hekima na busara, Mungu akutanguliye mwinjisti katika yote, njoo maana kwa kabila langu tunaambiwa, yayi anaweza ku shauria jogoo,na waoooo ooooo
Safi sana kaka. Haya ndio mambo yakuleta kuelimisha jamii yetu inayokumbwa na janga la michepuko. Upendo tata, vita vya nyumbani nk. Wake kwa waume tunapenda kupendwa, kudekezwa. Kukumbushana kuwa bado tuko bora.
Eti kumbe Kuna mahusiano na wanandoa ambao hawana Amani 😄😄dah kumbe Kuna wenzetu wengine km hawa wapendanao wala hawajui kuhusu mafarakano jinsi wanavyopendana, kwenye dayari ya fahamu zao na diary ya Mahusiano yao hakuna neno mafarakano 👌👌😄kwahyo ni vice vesa Kuna wengine hawajui Amani kwenye mahusiano yao😅 nimewapenda bure , Mmebarikiwa sana mpka wivu 😢 😍😍
@@giliadidadaye6048 Mungu akubariki mtumishi, ikimpendeza Mungu uwe mwalimu wa ndoa kwenye makanisa jamani, una upeo mkubwa sana , wewe na mkeo shuhuda, amekua shuhuda kama jina lake ❤nimempenda bure shuhuda, km awe mama angu wa kiroho na ndoa vile 😊😊❤
Jamani ujumbe unaeleza vizuri wanaotreand tiktok,kazi rahisi sana hata wakina kajala waliishafanya kwenye maigizo,huu ndio uzuri wa bongo kila wakati Kuna raia anaibuka na Jambo maadamu tuwe bize na mambo ya kufurahisha,muda utaongea,Sina mengi.
Wachawi sasa msije mkamwonea wivu mkamuroga kijana wawatu akaanza kufarakana na mke wake wakasambaratika! Maana kinacho vuruga ndoa ni watu tu na mawivu yao! Lakini watu wote wanaooana lazima walipendana kwanza! Sasa kuachana ni mipango ya ibilisi shetani kupitia wanadamu tunao kutana nao! Huyu yuko sawa kabisa!
Huyu kijana ni mpumbavu Sana,huwezi nielewa usipotumia akili Sana,na kutafakari. Kwanza hajaoa ANAZINI,alafu watu mnashangilia eti Wana Upendo.Kuna Upendo gani kwenye uzinifu??? Tuna jamii ya hivyo sana
huyo doctor mwaka yeye ndo mzima? alikusanya wanawake watatu bila kujuwa tabia zao na natsi zao ili iweje? kwanini asiishi na yuleyule mmoja aliekuwanae, acha achezewe move kama alivoweka ndowa mtandaoni hayo ndo mavuno yake
Mnjilist Anafanya Uzinifu, Yani ANAISHI bila Ndoa ya kiimani. funga Ndoa bana achana na Maisha ya kinyumba. "PONGEZI ZANGU" UNAISHI VIZURI KWENYE MAISHA HAYO TUNAYO YAONA : HONGERA SANA :
25:37 Wanandoa waachane na kupekuapekuana simu ya mwenzako na ukiwa unamdalefu uko safari mbali na nyumbani toa Taalifa kwamba unaenda sio kunyata Ili ufumanie.🤔
Dah! Huyu Kaka Angefaa Kuwafundisha Wanandoa Kuhusu Mausiano Gonga Like Kama Unamkubali huyu Kaka Maneno yake🤲🙌🙌🙌🙌🤝
❤❤
Ajengewe bango
Ww acha hizo vina muda basiii hahaha mm mpaka sasa kwenye mapenz nasikiliza ushuhuda tu na siyo ushauri wa mapenzi 🤒
Daah huyu kaka ana ongea point Sana mungu ambariki wafike mbali na mkewe✍️🙏
😂😂😂😂hogera Na iwe fuzo Kwa wengi
Wooowww 🔥🔥🔥🔥🔥 Asante kwa kupenda interview yangu hii
@@innocentpaschal-yk2hg asanteeeee Sana mpenzi kwa kupenda interview yangu hii
Power of positive mind,,this guy deserves to be someone
Yupo really,na yupo proud na mke wake pia,Mungu azidi kuwafungulia
Mashallah, hongereni sana, wanaume wasiojua au watu wasiojua watamuona uyu Mwanaume ni mshamba, ila kiukweli waneno yake yako sahihi, Mwanamke siku zote na mda wote anahitaji maneno mazuri asikwambie mtu.
Swaumu 🤝
Kbs
saumuuuuuuuu
Asanteeeee Sana kwa kupenda interview yangu hiyo ubarikiwe Sana
Waaa alhamdullillah kumbe ni mume, ngoja nimpende mie, Kaka asante Sana na uzidi kubarikiwa na familia yako
Ameeeeeen ubarikiwe Sana
Hasnat bola tupendane na ss
Wooowww 🔥🔥🔥🔥 Asante kwa kupenda interview yangu hii
@@NasibuRamadhanisoroka-um1wv asanteeeee Sana kwa kupenda interview yangu hii
Gud sana mdogo wangu Mungu awape maisha marefu,kwani nimefulahi sana life style yenu ,nimaisha ya shangwe niwachache sana wenye upendo kama wenu.
Asanteeeee Sana ndugu
Amina kubwa, asanteeeee Sana KWA kupenda interview yangu hii
Kumbe ni mwinjilist ni halali kabisa🙌🙌. MUNGU bariki ndoa hii.
He is so young and wise
Sema si watu wa kigoma tunajua kupenda bhana asikwambie mtu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sema mimi siyo wote.
Jisemee wewe Kuna mjitu mmoja hivi sitaki hata
Tena wachafu na wavivu
na mnajua kuoa na kuacha
Sawa Mzee upo juu. Urakhooze.
Ni kijana mzuri kwenye kazi za mbao! Na ni muaminifu. Mpeni kazi.
Amna kitu kinacholeta umaskini katika maisha ya vijana wengi kama umalaya mtu anahali ngum anakusanya wanawake kama mafungu ya nyanya
The power of knowing, understanding and accepting who you are,married couples hope the volume is oky,great inspiration,this guy is bright upstairs 👌💪
Thank my dear for love this my interview
Kila nikiwaza bando linaisha... nimejikuta nasikiliza adi mwisho🌺✨
🤣🤣🤣🤣tuko wawili kumbe , zinaisha lkn siwezi acha kumalizia , ngoja nisonge 😁😁
Asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Jamani Asante mpenzi wangu kwa kupenda interview yangu hiyo
😂😂
Ni mwanaume anae jua thaman ya mwanamke ukiona mwanaume anamthamin mamake ujue anajua thaman ya mwanamke mungu awaongoze
Ameeen asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Ujumbe umefika kwetu tutaufanyia kazi ,mpenzi wangu popote ulipo nakupenda sana ukinioa ntazidi kukupena❤
Kama hujampta nitaftee 😁😁
Waooow asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Jamaa anaongea point sana
Mpaka naandika notes
Dah!!
Hakika kila siku ni siku ya wapendanao
True
Asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Huyu jamaa ni mimi kabisaa yaani ni tunafanana elements za ndoa kuwapenda Wake zetu
Mzee BABA kazia hapo hapo bby wako aenjoy na aione thamani yako
Hongereni Sana
Lakini utashangaa mwanamke ana cheat
@@westmanmoses541 aloooooo 😂
Asante Sana Kaka
Nilichokipenda sana kutoka kwa uyo kaka ni uko smart sana unaelewa nakutambua nn unachokiongea, hongera sana
Asanteeeee Sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Hii nchi kuwa star ni rahisi sana ,,, sema jamaa ana akili sana idumu milele ndoa yao 😂😂😂
Ameeeen asanteeeee Sana kwa kupenda interview yangu hiyo
kama ni rahisi lishanen pilau hivyo shoneni suti za zambarau
@@richardlucas2275 hahahahahaaa kweli Sio rahisi , asanteeeee Sana kwa kupenda interview yangu hii
Ki ukweli hajakosea ukitaka mwanamke wako awe wa kipekee inabidi umtengeneze mwenyew yani ugharamie big up kwake
Semeni asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
@@giliadidadaye6048 usijali
Maisha ni shule, umeongea vizuri sana na nimejifunza mengi. Mungu awabariki kwenye ndoa yenu. Felicidades
Huyu mwanaume amekuwa anaipenda familia yake sana sababu ni moja kampata mwanamke anayejitambua na mtii na mnyenyekevu hangekuwa ni mwanamke wa maneno maneno naamini upendo usingekuwepo asilimia kubwa ya wanawake wanamakelele mengi mpaka mtu kurudi nyumbani mapema Kwa mwanaume inakuwa ngumu maana mwanaume anakosa pumziko kutoka Kwa mke wake.
Asanteeeee Sana kwa kupenda interview yangu
Wewe pia mwaume ufanye sehemu yako na mkeo lazima atakuwa sehemu yake km mke mwema kwako mwangalie uyo kaka na maongezi yake na izo video zoa mkwe mwingine anakuwa mwema tu shida unakuta mume pia ni chazo cha mwanamke kuwa nagubu
Anaongea point sana...nimekupenda sana
Asante Sana kwa upendo wako kwangu jaman
Nimeamini kabisaa wakati Wa Mungu ndowakati sahii🙏
Ameeeeeen
Mungu awabariki kwenye mapezi yenu
Mashaallah mashaallah mashaallah mubarikiwe sanaaaa♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💪 mwenyezi mungu awarinde siku zote na mabaya muishi Kwa upendo furaha na Amani 🤲🙏♥️♥️♥️♥️
Ameeeeeen Asante kwa kupenda interview yangu hiyo
Uyu kaka minampa ongera mana mausiano yasahivi mkizaa mtoto moja tu mapenzi yaisha lakin wao utasema wameowana sasa ongera 🥰🥰🥰
Hongera yake sana,anamawazo mazuri sana na ushauri mzuri sana kwenye mahusiano
Asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Ni kweli kabisaa kaka wanawake tunasahau tunatakiwa kuambiwa kila siku nakupenda
Hahahahaaaa asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Kaka Mungu akubariki na endelee kukutuza,, na family yako
Kweli broo umeongea kweli kabisa mm nina mpenzi mwaka wa tano sasa, ikipita siku kadhaa hajanitongoza sababu nampenda namkumbusha bby wangu nimemic kutongozwa, akishanitongoza najisikia vizuri hatari...kwa hyo unachosema n sahh kbxaa
Heee jamani kutongozwa kila wiki!!!
Hahahahhahahahahahahaaaaaa
Wooowww 🔥🔥🔥🔥 asante sana kwa kupenda interview yangu hii
Mungu muanzilishi wa ndoa aendelee kunumisha ndoa yao na Mahusiano yao yazidi kupambwa na furaha, upendo, na uaminifu wa kweli.
Mkewe amekuwa chachu kumbadilisha mwanaume lkn angekuwa na mke mgomvi wasingetoboa imagine mwanamke anakufumania hlf yy ndo anakuwa humble 🙌🏾🙌🏾
Kweli mwanamke mwenye hekima ataijenga ndoa yake.
mwanaume hakemewi hata akikosea ila ukiwa mwanamke kuna hekima ya namna positive ya kumwingia mwanaume aliyekukosea, kwa elimu zaidi jifunze hapo.
Nimeipenda sana hii interview
Asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
@@giliadidadaye6048 nakubariii
Huyu kijana kwa umri ni mdogo lakini kichwa kake, ni cha wazee wenye hekima na busara, Mungu akutanguliye mwinjisti katika yote, njoo maana kwa kabila langu tunaambiwa, yayi anaweza ku shauria jogoo,na waoooo ooooo
kwaiyo hiindio habari kabisaa nchii ikooo huru sana hiii
😄😄😄😄😄 Acha tujifunze bhanaaaa
Aisee umeongea point Hadi umepitiliza aisee we ni zaidi ya mshauri ktk mahusiano
Mie nawaombea sana jini mkatakamba wandoazawatu asiwapitie inshallha
Amin🙏
Asante kwa kupenda interview yangu hiyo
Hongera sana brother kwa kupata mke mzuri
True love 🥰🥰
Kumbe na mi ntafte mwanamke nioe na nimpende sana
Safi kabisa
Fanya hivyo utafurahi
Uko vzr kwenye nafc y'ako safi sana
Asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Safi sana kaka. Haya ndio mambo yakuleta kuelimisha jamii yetu inayokumbwa na janga la michepuko. Upendo tata, vita vya nyumbani nk. Wake kwa waume tunapenda kupendwa, kudekezwa. Kukumbushana kuwa bado tuko bora.
ASANTE Sana kupenda interview yangu hii
Huyu ndg! Anastahili pongezi Sana. Anastahili kufundisha vijana na wanandoa kwa ujumla wake. MUNGU ambariki Sana.
Ameeeeeen , asanteeeee kwa kupenda interview yangu hii
Eti kumbe Kuna mahusiano na wanandoa ambao hawana Amani 😄😄dah kumbe Kuna wenzetu wengine km hawa wapendanao wala hawajui kuhusu mafarakano jinsi wanavyopendana, kwenye dayari ya fahamu zao na diary ya Mahusiano yao hakuna neno mafarakano 👌👌😄kwahyo ni vice vesa Kuna wengine hawajui Amani kwenye mahusiano yao😅
nimewapenda bure , Mmebarikiwa sana mpka wivu 😢 😍😍
Asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
@@giliadidadaye6048 Mungu akubariki mtumishi, ikimpendeza Mungu uwe mwalimu wa ndoa kwenye makanisa jamani, una upeo mkubwa sana , wewe na mkeo shuhuda, amekua shuhuda kama jina lake ❤nimempenda bure shuhuda, km awe mama angu wa kiroho na ndoa vile 😊😊❤
Ona Muha alivyo mbishi mpaka kwenye ndoa..hataki kumwacha mkewe..😂😂😂...hongera kaka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔🤔🤔🤔
🤣😂🤣❤️❤️❤️❤️❤️🤗Ma Love Loveeeeeee Doveeeee 🤝
Asanteeeee kwa kupenda interview yangu
Hongera sana. Kuna mengi ya kujifunza kwa wabandoa na vijana
Nampongeza kwa kujikubali yeye mwenye anajikubari kama mimi
MUNGU akutunze na mke wako na familia kwa unumla. Mtu watatu shetani apite mbali.
For real he deserve to be a motivation speaker
Jamani ujumbe unaeleza vizuri wanaotreand tiktok,kazi rahisi sana hata wakina kajala waliishafanya kwenye maigizo,huu ndio uzuri wa bongo kila wakati Kuna raia anaibuka na Jambo maadamu tuwe bize na mambo ya kufurahisha,muda utaongea,Sina mengi.
Sio kweli haigizi namfahamu yupo hivyo kweli nifundi mzuri sala fundi seremala
Asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Kijana huyu Yuko vizuri Sana, anajua kuihendo ndoa
Abarikiwe, Asante kwa kupenda interview yangu hiyo
Huyu jamaa ukimsikiliza vizur, ana akili fulan hivi ya kipekee
Hongera Sana kijana was kabanga weng wanaish maisha fek ya kukopi na kupest fundisha vjana vjana weng tunachangamoto
Wachawi sasa msije mkamwonea wivu mkamuroga kijana wawatu akaanza kufarakana na mke wake wakasambaratika! Maana kinacho vuruga ndoa ni watu tu na mawivu yao! Lakini watu wote wanaooana lazima walipendana kwanza! Sasa kuachana ni mipango ya ibilisi shetani kupitia wanadamu tunao kutana nao! Huyu yuko sawa kabisa!
Kabisa
Safi nimeipenda
Hongera mwnjilist wa kisasa
Amina, Asante kwa kupenda interview yangu hiyo
🤣🤣🤣🤣🤣😊Raha nyie, 😜natafuta na mimi wa kufananan nae👌🏽nipo seriousl
Mtake Allah msaada.
Karibu
Kwa hiyo uliwambiwa umtafute huku?? Kwani mama Ako alikwambia alitafutwa huku?? Kuna vijana wa siku hizi wa hivyo Sana,nawe ni mmoja wapo
Mpo wengi wa HOVYO SANA
Huyu kijana ni mpumbavu Sana,huwezi nielewa usipotumia akili Sana,na kutafakari. Kwanza hajaoa ANAZINI,alafu watu mnashangilia eti Wana Upendo.Kuna Upendo gani kwenye uzinifu??? Tuna jamii ya hivyo sana
Hongera kaka angu na jirani angu kwa kuwa mwanga wa jamii... Utumishi wako pia hasa kwa utoaji ni mwema.
Mungu awatangulie
Mapenz malezi jamani na kuleana.pnd sn awa watu
Na mimi najiuliza je angekuwa mshamba media ingeenda.? Watu bhnna hapendi kuona watu wakipendana.Angekuwa ananyanyaswa mgesemaje tena?
Yani hyu mkaka hajali wala nini yeye hana stress hadi raha wache wakorofi wanune
Yajayo hanaumiza,,omba MUNGU Sana kijana,,,
Hawa viumbe wanawake hawatabiriki,,, KAMUULIZE DR MWAKA
huyo doctor mwaka yeye ndo mzima? alikusanya wanawake watatu bila kujuwa tabia zao na natsi zao ili iweje? kwanini asiishi na yuleyule mmoja aliekuwanae, acha achezewe move kama alivoweka ndowa mtandaoni hayo ndo mavuno yake
Aki ubarikiwe sana
Masha'Allah yaani hiyo kaka anajielewa kupita maelezo Masha'Allah
Ongera sana nikweli na kingine wawatuzi ndio mahana wanashindwa kuwaposit
Dah nimependa jinsi unavyo uko Makin kujibu maswalu bro hongera xn
Anapenda kucheka jamani hadi raha imeonyesha jinsi gani anaroho safi kwa mkewe
Kongore mjuba..
Na km mnandoa iwe kher kwenu
Nchi yangu ni wewe tu uchague kufa nastress
Duh natamani nifanyaje kama yeye lakini siwezi kuwa romantic
Asanteeeee Sana kwa kupenda interview yangu hiyo
@@giliadidadaye6048 😂😂
Mnjilist Anafanya Uzinifu, Yani ANAISHI bila Ndoa ya kiimani.
funga Ndoa bana achana na Maisha ya kinyumba.
"PONGEZI ZANGU"
UNAISHI VIZURI KWENYE MAISHA HAYO TUNAYO YAONA : HONGERA SANA :
Sana wapendanao
Asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Huyu namfahamu ni mdogo ake na mzamiru yasini alizaliwa kabanga kasulu kigoma
Ata mm ni mtu wauko uko kigoma wadada kaz kwnu Niko single
25:37 Wanandoa waachane na kupekuapekuana simu ya mwenzako na ukiwa unamdalefu uko safari mbali na nyumbani toa Taalifa kwamba unaenda sio kunyata Ili ufumanie.🤔
Masha'allah
Asante kwa kupenda interview yangu hiyo
MUNGU awatunze . Siku hizi wanandoa hawawezi hata kushikana mkono.
kipepo fulani dah hatari
Hahahahaahahaaaaa asanteeeee Sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Asante kaka Kwa .simamo wako nimejifunza kitu
Asante kwa kupenda interview yangu hiyo
Kweli nimeamini Kila mmoja ana njia yake yakutafuta pesa kweli TikTok ni noma
Asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
@@giliadidadaye6048 Ye mwamba shumbe chane!waelimishe kaka /waume zetu sana maana ni shidaaaaaaaa
Muinjilist halafu hujafunga ndoa, unahubiri neno la Mungu ukiwa kwenye hali hiyo. Nakushauri ufunge ndoa, usisubiri upate pesa nyingi ndo ufunge ndoa
Dah! Huyu jamaa anainjoi sana maana hakuna kitu kizuri kama kujikubalisha kwa mwanamke uliyenae kwa ridhaa ya moyo wako..
Nimeipenda iyo
Kwa kweli watu wanakula maisha 🤣🤣🤣🤣🤣
Woooowww 🙏🙏🙏🙏 asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Hii clip inakula bando sana
Watu wanaanza hivyohivyo! Hata Dr Mwaka alianza hivyo hivyo dah!
Jamaa ajengewe sanamu
Upo vizuri kaka .....
Asanteeeee Sana kwa kupenda interview yangu
We kaka unafaa kuwa mwalimu wamapenz kwasababu unatujua wanawake nn tunapenda
Ndg yake kinasa musukuma upande wa dada yake mkubwaa😁😁😁😁
Huyo anayekuita mshamba ni mshamba yeye umeupiga mwingi bro video zako
Ndoa mpya hiyo ngoja wapate watoto wa kuanzia 3 au 4
Yupo mwaka wa wa 9 tuna watoto 2 mmoja yupo darasa la 3
Jamaa linajilelewa ni hatari
Hivo kuitwa MSHAMBA jmni anatoa pesa kweli hemu aulizwe tena
Duh mpaka nataman niwe mim
Una akili sana wew
Asanteeeee sana kwa kupenda interview yangu hiyo
Yaan huyu kaka wala hatii hasira jamani😃
Hamna bhana ushalishwa ww hujui tuu
Haya jilani zangu munguawa linde mutawa wamazaza na chemu nimewamisi Sana jamani kalibuni zanzimbar mungu awajalie upondo undum katika yesukilisit
Kuanzia sasa nahitaji mume mshamba jamani tutavumiliana tu 😂kwenye valentine day hapo umeongea kabisa neno nzuri hapo ushamba wamekusingizia 😂
Hahahhahhàaaaaaa asanteeeee Sana kwa kupenda interview yangu