🔴LIVE: Mjadala wa Wazi Mchakato wa Upatikanaji wa Katiba Mpya Tanzania - DSM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 15

  • @eliassumila8173
    @eliassumila8173 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee Rutembeka,umeeleweka sana kwetu.bigups

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 3 หลายเดือนก่อน

    Mwambie huyo dr.nao fundisho insbidi limuingie barabara!

  • @possianokigwinya9988
    @possianokigwinya9988 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kama watanzania hawawezi kudai Katiba kwa kuingia barabarani kwa mazungumzo tu mnajidanganya.

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 3 หลายเดือนก่อน

    Ujobhile mwana gwa Ally.

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 3 หลายเดือนก่อน

    Nchi moja yenye katiba mbili?
    Zanzibsr ni nchi-hujasoisoma?
    Af unaleta za kuleta?

  • @salimukimwaga-fu8cc
    @salimukimwaga-fu8cc 3 หลายเดือนก่อน +1

    Katiba ni ya chama kimoja sio ya watanganyika mpaka apende

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 3 หลายเดือนก่อน

    Mchakato wa kudai Katiba mpya ni UPUUZI. Kinachotakiwa kudaiwa hapa ni TANGANYIKA, sio Katiba

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 3 หลายเดือนก่อน

    Katiba mpya mtusaidie nyie. Hao watawala ndo wanapindishapindisha mambo ili tusipate katiba mpya

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi napendekeza tuwe na muhimili wa nne ambao itahusiha viongozi wa Dini maana ukweli ni kwamba ndio wako na watu

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 3 หลายเดือนก่อน +1

    HII MIJADALA KILA SIKU YALEYALE HAKUNAGA HATUA ZOZOTE ZINAZOENDELEA KIVITENDO👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @JuliusMowo
    @JuliusMowo 3 หลายเดือนก่อน +1

    😅😅😅😅😅😅👍

  • @FurahaJeremiah-kd5ht
    @FurahaJeremiah-kd5ht 3 หลายเดือนก่อน

    Tanganyika sets kuliongoza taifa.raisi ashitakiwe mikataba yote iende bungeni mawazili waendane na taaluma zao

  • @possianokigwinya9988
    @possianokigwinya9988 3 หลายเดือนก่อน +1

    Katiba ni tatizo kwa watawala hatuwezi kuipata Leo Wala kesho Kama warioba amezunguka nchi nzima kwa kutumwa na watawala huku wakijua watu wanawapenda walipoona maoni ya watu kuwa wamechokwa walijilaumu Sana kumtuma warioba hadi Wanakosa aibu wanamzingishia mzee wa watu eti ni mawazo yake.

  • @hadjihadji197
    @hadjihadji197 3 หลายเดือนก่อน

    Sio rahisi kuwakanyagia "Nguru wao CCM" wakati ndio wafaidika wa Katiba Mbovu iliopo hivi sasa.

  • @lucaskatoga6896
    @lucaskatoga6896 3 หลายเดือนก่อน

    Katiba imetakiwa miaka zaidi ya miaka 30 mpaka leo TUNAJIDANGANYA