Subhaana'Allaah...ni mambo ya kusikitisha...Sanaaa... Shukran...Sanaaa...nyoteni wasau wetu wa Simulizi mix...na pamoja na mtunzi na muwandishi na Msimulizi wetu...mahiri...
Asante sana Felix kwa simulizi tamu lkn unetukosea sana eti Wadada ambao hawajaolewa huwa wanawaza Ngono tu kweli tunawatoto wadada wa Kaka familia majukumu tuwaze ngono your hilarious brother 😂 Kaka zetu waangalie red flags ukiona Mtu hataki uguse nywele mara kisogo mara anakula usiku mara anaoga peke huyo Jini au galula kaeni chonjo!!!
Pole sana kaka kabla sija sikiza vizuri nilijua si mwana mke wakawaida, kakuharibia maisha yako,😡😡 lakini usijali utapona tu kua naimani kua Iko siku utakua sawa,nausichoke kuomba Mungu, Asante sana musimulizi
Somo kubwa hakika. Asante sana Mwenda na Hans Nimejifunza🇰🇪
DUH!!!! Noma, Hans Maleen na Felix Mwenda , hamnaga kazi mbovu. Thanks guys!!!
Mungu awape nguvu na miaka mingi ili muendelee kutufunza mengi wana simulizi mix, be blessed 🙌
Kaka felix sauti yako laaaaa bonne voix woow
Subhaana'Allaah...ni mambo ya kusikitisha...Sanaaa...
Shukran...Sanaaa...nyoteni wasau wetu wa Simulizi mix...na pamoja na mtunzi na muwandishi na Msimulizi wetu...mahiri...
Asante sana Felix kwa simulizi tamu lkn unetukosea sana eti Wadada ambao hawajaolewa huwa wanawaza Ngono tu kweli tunawatoto wadada wa Kaka familia majukumu tuwaze ngono your hilarious brother 😂 Kaka zetu waangalie red flags ukiona Mtu hataki uguse nywele mara kisogo mara anakula usiku mara anaoga peke huyo Jini au galula kaeni chonjo!!!
Asant sana msimuliaji,,,sio kilakitu mnachoo kiona unadhani nidhahabu vyengine vyakuximu,, mtandao ulikuponza kwadakika tuu kidogoo imegarimu maisha yako,, hukujiulixa ndoa bila watu mmm mbona mitihani.
Muuuntaaazi Allah awafanyie wepec ktk kaz zenu
Pole sana kaka kabla sija sikiza vizuri nilijua si mwana mke wakawaida, kakuharibia maisha yako,😡😡 lakini usijali utapona tu kua naimani kua Iko siku utakua sawa,nausichoke kuomba Mungu, Asante sana musimulizi
ujumbe mzuri sana smix
😂😂nacheka kama manzuri ila Simihemuko jamani daaah mpaka munaogopesha yaani.asanteni sana FM na Hans
Asante kaka Felix kwasimulizi, hd
Hii kitu makini sana yani,daah inatufunza vyema kabisa vijana, kwenye maamuzi yanayotawaliwa na icia zetu
Hapa masleen ametuliza akili sana yani, kitu inateka icia kabisa
Akika tunazidi kujifunza asante Sana god bless nyie
Asnte sana kaka felx
Duuh jmn pole unaowa Mwanamke kwao upajui
Nakuaminia sana kaka felx 👌👌👌👌 pambe sana
Asante sana Felix mwenda
Asante sana felix mwenda na hans masleen
Pole sana kaka kwa majanga watu wengi nimeckia wamepata matatizo kama hayo Kati hii mitandao ya ngono
Hanse huna kazi mbovu 🙏🤝✍️
Asant sana🙏🙏🙏
😆😆😆😆😆😆😆😆hicho kichwa kina nn tena jamaniii
Woow mm w kwanza lei
Pole inasikitisha sana
Daa! Makubwa lakin ndio maisha jaman
Hakika simulizi zenu zinamafunzo mazuri xana
Asante sana simulizi mix
Asante felix mwenda kwa simulizi nzuri nayenye mafunzo
USHAULI WANGU UYO KIJANA AOKOKE NA MUNGU ATAMPONYA KATIKA JINA YESE
Jamani ziko kweli family za Ki Africa wanafanya uhuni kama hivi???!!! Loooh hatari....
Umekmya mpaka miss you Felix
Tooo much ad’s it’s annoying
🙏🙏🙏
Lzima nije kwenda uko Mbogoland , felix anakusifia sana.... lol
Zuri sana
Kaka Felix sauti yako inaashiria we una hekima n ur a gentleman
Duuuuuu 🤣🤣🤣🤣🤣
❤
ivi umesha potezea simu yk na pesa yk unaanzaje kuondoka bika kujua unapo elekea pole sana Dar ni watu ni wezi sana unatakiwaa kuwa makini 😢
Ama kweli dunia inamajabu yake basi mengine ndohaya tunayo yasikia pole sana kaka kwa yaliyo kukuta
Pamoja Sana ✌️
Asante kwa simuluz
🤔🤔 duuh pole saana
Eti majumba ya kifahari yapo kwa kina Felix au mbogo land. Hata kwetu yako bwana
D.oen plz anasherehesha vzr
Makee hapo nicheke kwanza eti "ama ww udindishi nn"?
Asante
Jamanii😭😭😭😭
Nzursana
😭😭😭
Doh
🤗🙏🙏🤝🤝
Yani leo mumetend haki
👂
Kisamvu😋
🙏🙏🙏