RICARDOMOMO DIAMOND WANAMCHUKIA HALAFU ANAWAONGOZA/HARMONIZE HAJULIKANI NA MEEK MILL ANGEKUWA DIAMON
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
Kaka Ricardo shida ya watanzania wengi ni wanafki na hawana roho nzuri..wengi Kwa wanafki ..ila nakukubaligi Sana Ricardo. .unajuwa Sana kuongea kaka
Huyu jamaa anaongea kama mondi
Ndo kaka ake Mond uyo
King Diamond forever.
Diamond hawezekaniki africa
Ila harmonize 😂😂😂
Nzuri iyoo
Ndio momo yule jamaa onando sijui ndio anapeleka watu kimataifa uuuuhhhhfffff!
Fact
Mnaoji bubu 😂😂
Wezombi haujui Simba wamasimba dangote 🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌍🌍🌍🌍
Heka lakini anafanya nae funga domo
Upo sahihi Kaka
Wewe ricado kelele wewe fanya yako domo kaya achana na hamo sasa. Subiri ujiobe ya hamo sasa ndio maana mkeo amekukimbia. Acha chuki na hamo😮😮😮😮😮😮
Choko wewe sasa apo kaongea nini kibaya kuhusu mtu mfupi
Hakuna kibaya ameomgea kwa harmo