Msingida mwenzangu nakupataa vyemaaa, Pamba Disco, kulikua na wahuni bhana Disco lile. Sikuwahi kuingia ila siku moja nilichungulia kwa nje nikamwagiwa mimaji sikurudia tena kila nikirudi Singida nikipita tu pale nakumbuka hiyo siku 😄 🤣 😂 😆 😄
Davista Kama unafatilia comment na kuzifanyia kazi,huyu mchizi Yuko true kinoma na story yake,life flani amepitia vijana wengi wamepitia hususani swala la starehe
Doh Mungu tusaidie na tuliokoka tuombee wenzetu ambao hawajamjua Mungu
God saved him many times kweli
Story zako zote nimekuelewa lakini apo kiasi cha uvutaji wa bangi marastar wote Akuna Aliyefikia kiwango hicho cha huvutaji 🥱🇹🇿🇬🇷😁
Msingida mwenzangu nakupataa vyemaaa, Pamba Disco, kulikua na wahuni bhana Disco lile. Sikuwahi kuingia ila siku moja nilichungulia kwa nje nikamwagiwa mimaji sikurudia tena kila nikirudi Singida nikipita tu pale nakumbuka hiyo siku 😄 🤣 😂 😆 😄
Asante sana Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Shukran nidarasa zur na asilimia kubwa ya vijana wengi hua maisha yanamna hio wamepitiaa
Safi sana kipindi 😮
Davista Kama unafatilia comment na kuzifanyia kazi,huyu mchizi Yuko true kinoma na story yake,life flani amepitia vijana wengi wamepitia hususani swala la starehe
Ako vizuri simulizi nzuri kweli
100%
Yes
J.boys 1999
Afu watu muweni sliasi! Hivi kweli wanawake hata wawili wanaweza kukubali kulala na mwanaume mmoja?
Pesa yako tu
Wanawake hata 10 wanaweza kulala na mtu mmoja cha msingi ni pesa yako tu
25:00 Hizo rangi na maana zake mbona zinafanana kabisa na zile za bendera yetu ya Kenya na maana yake.
salimia Baba Raila Odinga
@@petermwaibofu3260 haha sawa 😅
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Story ya mgodini inaanzia clip ya ngp?
Ya 10
@@lizzybeth6344 mrembo🤗