KIMEUMANA! MPINA VS MWIGULU BUNGENI "HUO NI WIZI NA UFISADI, MWIGULU, MBARAWA WAKAMATWE!"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
  • KIMEUMANA! MPINA VS MWIGULU BUNGENI "HUO NI WIZI NA UFISADI, MWIGULU, MBARAWA WAKAMATWE!"
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 682

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw 10 หลายเดือนก่อน +45

    mbunge wangu wa nguvu mtu makini ruhaga mpina 💪🙏

    • @mwandisimfukwe326
      @mwandisimfukwe326 10 หลายเดือนก่อน +1

      alikuwa wazir alifanya nini🫣

  • @toney..
    @toney.. 10 หลายเดือนก่อน +56

    Mbunge bora WA mwaka.... Kuwe na tuzo za wabunge bora kila mwaka jamani....

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 10 หลายเดือนก่อน +55

    Daaah huyu mwamba namkubali sana yuko smart kuanzia mavazi mpaka point zake

  • @NkwabhiZephania
    @NkwabhiZephania 10 หลายเดือนก่อน +61

    Mpina kutoka moyoni Mungu anisamehe dhambi zangu ili akubali maombi yangu kwakweli mpina Mungu akulinde sana

    • @adamukidua962
      @adamukidua962 10 หลายเดือนก่อน +2

      Awe makini, wasiojulikana hawapo,mbali 😭😭😭

    • @tusajigwe7491
      @tusajigwe7491 10 หลายเดือนก่อน

      Amina kwa ajili yake

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 10 หลายเดือนก่อน +29

    Mh Mpina pokee 🎉🎉🎉🎉💐💐💐💐 yako ukweli utabaki ukweli maana Kila point unapigwa taarifa ili uzibwe mdomo muuu, Mungu wetu tushike mkono peke yetu hatuwezi RIP MH JPM .

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz 10 หลายเดือนก่อน

      MTANZANIA ALIYEOLEWA NIGERIA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YA JUMBA LAO LA KIFAHARI HUKO.!
      th-cam.com/video/9bXTiw6Qklc/w-d-xo.html.
      MSICHANA MREMBO WA KITANZANIA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA TED JOHN ALIYEKUWA AMEOLEWA NCHINI NIGERIA NA TAJIRI MKUBWA.
      AELEZA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YAJUMBA LAO LA KIFAHARI LILIPO NCHINI HUMO KISHA KUKIMBIA NA WANAE.
      UBALOZI WA TANZANI WAMUOKOA NA KIFO KWA KUMTOROSHA USIKU NA KUREJEA TANZANIA NA WANAE WATATU, AMUOMBA RAISI SAMIA.
      WATANZANIA WOTE NA DIASPORA KUMSAIDIA KUHUSU WANAE AMBAO HAWAJUI KISHWAHILI HATA. CHEMBE.
      AONGEA NA MKOI TV, VIDEO HII HAPA, SHARE KWA KILA MTANZANIA DUNIANI KOTE ILI WAMSAIDIE DADA HUYU.
      COMMENT NA SUBSCRIBE MKOI TV ONILI AU KAMA UNA MAONI TUTAFUTE WHATSAPP NO +255713575718.
      KARIBUNI SANA

    • @georgesemakula1063
      @georgesemakula1063 10 หลายเดือนก่อน

      😊😊

    • @merygodfrey3709
      @merygodfrey3709 10 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa nini mnaingilia taarifa mmeshaona anaonyesha nja za upigaji.Hongera Mpina Songa mbele.

  • @MichaelKibona-p9m
    @MichaelKibona-p9m 10 หลายเดือนก่อน +13

    Congration mr.mpina mungu akulinde sana mpina,kwasababu nchi msema kweli hadumu.

  • @kumekuchaonlinetv
    @kumekuchaonlinetv 10 หลายเดือนก่อน +9

    Wabunge wetu hongereni sana kwa angalau kuonesha Uzalendo kwa nchi yetu!

  • @RehemaKisunga
    @RehemaKisunga 10 หลายเดือนก่อน +41

    Hongera Sana mpina mungu akusimamie ktk uwakilishi wa nchi,wewe ni mzalendo

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 10 หลายเดือนก่อน +47

    Nilizoea sana kuangalia taarifa ya habari kufahamu yaliyojili na nchi inavyoenda lakini siku hizi hata hamu tu ya kuangalia taarifa ya habari sina kwa sababu najua kabisa naenda kupata maumivu ya moyo, hakika ipo siku wachache hawa walioamua kupuuza thamani ya jasho la wanyonge watalipa maumivu haya, iwe kwa Mungu kuwapa magonjwa yasiyotibika pamoja na wingi wa pesa zao haramu, watoto, wajukuu na vizazi vyao vyote kupata matatizo mbalimbali hapa duniani. Huwezi kupuuza maumivu na thamani ya binadamu mwenzako ukabaki salama.

    • @RehemaKisunga
      @RehemaKisunga 10 หลายเดือนก่อน

      Wabunge wenzenu wakichangia ya maana musiwe wa kupiga makofi bila kujua mwenzenu anaongea Nini Sasa mnafurahi Sana tunapoambiwa uongo kumbukeni huyo ni mbunge anaye jitabua

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 10 หลายเดือนก่อน

      Pole sana, kweli tunabeba maumivu mioyoni nwetu!

    • @omaryyusuph7877
      @omaryyusuph7877 10 หลายเดือนก่อน +1

      Tupo wengi atuangalii habari

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 10 หลายเดือนก่อน +1

      bora kuangalia tamthiliya tyu kuliko habari mijizi tyu inaoa wanawake kila siku 😂

    • @bahatikyomo4067
      @bahatikyomo4067 10 หลายเดือนก่อน

      Kweli shauku ya kuangalia taarifa ya habari kama Kwa Magufuri haupo

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g 10 หลายเดือนก่อน +22

    Ashukuriwe mungu Hapo hakuna upinzani.

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 10 หลายเดือนก่อน +9

    Ndo namkumbuka kauli ya ndugai iv uh wizi mpaka lini mbunge wangu bola ni mpina tu mungu akulinde sana

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 10 หลายเดือนก่อน +32

    Wabunge wanacheka nakushabikia bila kujari masirahi ya taifa yaani ni upuuzi tu .Safi Mpina wabane kabisa hao

    • @janetsemahimbo8083
      @janetsemahimbo8083 10 หลายเดือนก่อน

      Mungu amlinde kwa kweli

    • @bernadethashiduki6936
      @bernadethashiduki6936 10 หลายเดือนก่อน

      Mungu wa mbingu na nchi akulinde na kukutunza Mpina

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 10 หลายเดือนก่อน +11

    Nilikuwa naomba kuwe na kura za maoni kuhusu mwigulu hebu jaribuni

  • @gwamakagwamaka
    @gwamakagwamaka 10 หลายเดือนก่อน +7

    Ndugu yangu mpina ww unamoyo mzuri naunaipenda nchi yetu mungu akuwekemaisha marefu Huyu mwinguru na naibu waziri hawanauruma nanchi niwezi tu

  • @GwamakaAmosi
    @GwamakaAmosi 10 หลายเดือนก่อน +18

    Harafu wengine wanacheka baada ya kusikitika Bungeni nomaa

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mpina ni mtu na nusu..Big up sanaaa...The Next president

  • @BonepherceMichael
    @BonepherceMichael 10 หลายเดือนก่อน +13

    Huyu mbunge ni hazina🎉 ya nchi, Watanzania wema na wenye mapenzi mema na Taifa letu la Tanzania tumwombee kwa MUNGU amwagizie Malaika walinzi wamulinde usiku na mchana,MUNGU AKUBARIKI AKUTUNZE NA KUKULINDA.AMINA.

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 10 หลายเดือนก่อน +6

    Mpina Mungu akubariki

  • @sadokibrasio4777
    @sadokibrasio4777 10 หลายเดือนก่อน +9

    Big up mpina,unamachungu na nchi hii

  • @toney..
    @toney.. 10 หลายเดือนก่อน +17

    Mwigulu kuwa waziri WA fedha ni dharau Kwa taifa......

    • @emmanueliman7408
      @emmanueliman7408 10 หลายเดือนก่อน +6

      Shangaa anajitetea kulinda upigaji alafu eti baadhi ya wabunge wanamshagilia eti.

    • @tusajigwe7491
      @tusajigwe7491 10 หลายเดือนก่อน

      😂😅

    • @kisabihamadi7555
      @kisabihamadi7555 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@emmanueliman7408dah hatari sana

  • @nestor384
    @nestor384 10 หลายเดือนก่อน +65

    Hii ndiyo tafsiri halisi ya mwakilishi wa wananchi.
    Wenye akili wamewekwa kando wapumbavu watuongoze!!!💔

    • @bockerbocker8495
      @bockerbocker8495 10 หลายเดือนก่อน +8

      Ndilo lipo kwa sasa,akili ndogo kuongoza akili kubwa

    • @clarencelazaro9600
      @clarencelazaro9600 10 หลายเดือนก่อน +6

      Duuuu kweli tunaongonzwa na vilaza waliopelekwa bungeni kwa wizi

    • @jacksonchaula6010
      @jacksonchaula6010 10 หลายเดือนก่อน +6

      Mungu akulinde mpinaa

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 10 หลายเดือนก่อน +4

      Very true

    • @georgesemakula1063
      @georgesemakula1063 10 หลายเดือนก่อน +1

      P0😊

  • @IdrisOmar-i6h
    @IdrisOmar-i6h 10 หลายเดือนก่อน +4

    Muda wake ulikuwa haujaisha ukiondoa muda wa hizo taarifa big up muheshimiwa Mpina kwa uthubutu wa kusimamia rasilimali zetu za nchi

  • @Gamba177
    @Gamba177 10 หลายเดือนก่อน +11

    Wezi watupu mijizi ccm kazi ya kulala bungeni na kujamba ovyo bila ya kusaidia walalahoi.

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂🤮🤮

    • @stellakaguo8728
      @stellakaguo8728 10 หลายเดือนก่อน

      Safi sana mpina sema kweli mafisadi wamezidi kuitafuna nchi.

  • @GraceShayo-mj3oc
    @GraceShayo-mj3oc 10 หลายเดือนก่อน +13

    Mungu akuinue kukuweka nafasi ya juu ktk jina la Yesu

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mtamkumbuka sana Magufulitu mtake msitake hataondoka mioyoni mwa watu hatakidogo uozo huu hakuna wa kufumbia macho niuozo mtu mtupu yani mpaka inaogopesha wananchi wanapita katita maisha magumu umeme mgao mlipuko wa bei alafu ipo mijizi ina kula kodi ya wana nchi haita wezekana

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 10 หลายเดือนก่อน +32

    Luhaga mpina wewe ndio mzalendo wa kweli MUNGU AKULINDE YEYE NDIE AJUAE

    • @geraldlyimo2859
      @geraldlyimo2859 10 หลายเดือนก่อน +2

      Nina wasiwasi bunge lijalo watamwacha kwa kuwa hawataki mseji mkweli

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 10 หลายเดือนก่อน +2

      @@geraldlyimo2859 😂😂😂 hawawez coz wakimuacha akihamia CHADEMA anapata Jimbo coz wananchi wanamkubali

  • @elisifajoshua6155
    @elisifajoshua6155 10 หลายเดือนก่อน +4

    Kwann taarifa nyingi sana mwachen aongee. Mungu akulinde usiogope mtetezi wako yuu hai

  • @reubendofu1760
    @reubendofu1760 10 หลายเดือนก่อน +5

    Keep it Up Mheshimiwa Luhaga MPINA Mchango mzuri wenye hoja na uthibitisho wa kutoka Kilichobaki ni serikali kuyafanyia Maamuzi yanayosemwa

  • @osumsafi2095
    @osumsafi2095 10 หลายเดือนก่อน +5

    Daah mpina wewe kweli mwamba MUNGU akulinde Sana

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 10 หลายเดือนก่อน +6

    Akika mpina tunakuombea sana awa wezi tunawasubili sana 2025

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera685 10 หลายเดือนก่อน +4

    Kwa Sasa Mpina duhh ndo Mbunge wangu wa mwaka .
    Makini sana jamaa

  • @emmanuelndone4767
    @emmanuelndone4767 10 หลายเดือนก่อน +5

    Mpina much respect

  • @JosephatNyamageu
    @JosephatNyamageu 10 หลายเดือนก่อน +11

    Naliona giza katika nchi yetu ukweli utaongea daima, RIP Rais Magufuli

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 10 หลายเดือนก่อน +13

    Mi nikimuona Mwigulu nasikia kama aibu ya Taifa

    • @hilalmohd8941
      @hilalmohd8941 10 หลายเดือนก่อน

      😢😢yani

  • @bwilumarigo
    @bwilumarigo 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mwiguru anasitahiri kufungwa maisha ana nimwizi wa kupitiriza

  • @benjaminsendula7503
    @benjaminsendula7503 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sema wasukuma tunaongoza kuwa na viongozi wenye uelewa saana bungeni

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman 10 หลายเดือนก่อน +4

    Muda wake mume uchukua kwa mitaarifa yenu mlipaswa mkae kimya tusikie aibu zenu mnatusababishia gharama za maisha kuwa juu kumbe pesa mnazibeba...

  • @stevenmeshack467
    @stevenmeshack467 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mwiziiiiiii uyoooo

  • @jumamakamba2212
    @jumamakamba2212 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hakunaga msukuma boya hongera wapoti

  • @fredimtaze9982
    @fredimtaze9982 10 หลายเดือนก่อน +5

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿Lissu alisema hawa jamaa wana tupiga kwenye mradi leli kwa kuongeza kilo mita

  • @MariamAsajile
    @MariamAsajile 10 หลายเดือนก่อน

    Bunge hili sasa lina wabunge wawili tu wengine chenga tu. MPINA ❤+ MSUKUMA❤

  • @bockerbocker8495
    @bockerbocker8495 10 หลายเดือนก่อน +5

    Mpina anachokiongea anakijua,hawa wengine wanaleta porojo tu na fujo

  • @sikuzamwishotutaonamengira6788
    @sikuzamwishotutaonamengira6788 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mh Mpina kwa uzalendo wako kwa taifa letu la tanzania... Nchi inajengwa na wanyonge inaliwa na familia za wachache serikalini inauma sanaaaaaaa

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 10 หลายเดือนก่อน +13

    Taarifa,za nini? Waziri wa fedha unapaswa usikilize hoja wabunge maana nao wana ufahamu pengine kuliko hata wa kwako.
    Wizi ukiwepo acha ujengewe hoja huo wizi.
    Mkaguzi wa hesabu za Selikali hata hujui anachochsngia mbunge Luhaga Mpina ww ni Waziri gani wa fedha ss?
    Kiatu kinakupwaya ebu Mh Raid aangaze nn anafaa kuendelea kukusaidia ktk maswala ya fedha kwa uwazi zaidi hasa tunahitaji kuingia uchaguzi wa Selikali za mitaa bila maswali tata kuhusu taarifa za ukaguzi wa mkaguzi mkuu wa hesabu za Selikali.

    • @benedictmabuga8707
      @benedictmabuga8707 10 หลายเดือนก่อน

      L

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 10 หลายเดือนก่อน

      mnafany janja janja ya tarifa za wizi wa mda pia mna ufisadi

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 10 หลายเดือนก่อน

      Mwigulu mwizi ndoana anaingilia hoja wt wasiapate kumuumbuwa

  • @andreampemba1465
    @andreampemba1465 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kimeumana wazalendo bado wapo

  • @Keyjop
    @Keyjop 10 หลายเดือนก่อน +8

    Nliposikia mwigulu anaingi hiki kitengo daah ... 😢😢 Kwanchi kama Tz kuwa na kiongozi kama mh.mwiguru niaibu kwetu kama watanzania
    Kiukweli viongozi wetu mnatuangusha saana ...
    Eti transaction sio uhamisho kwahiyo English ndio lugha sanifu ya nchi now daaah ...🤣😄😄🙌

    • @tumainikomba9008
      @tumainikomba9008 10 หลายเดือนก่อน

      Anafikiri tuko mbumbumbu!!! Transaction na uhamisho,,,anasujudu lugha za watu kuliko anaowaita watanzania wakat alishatuhamishia Burundi kitambo,,, shameless

  • @simonkabuka9170
    @simonkabuka9170 10 หลายเดือนก่อน

    Asante Mheshimiwa Mpina. Watanzania tunakulewa. 2025 kiteleweka tu.

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 10 หลายเดือนก่อน +5

    Mpina pokea🎉🌹🥀💐🌹yako mapema maana umeongea point sana

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 10 หลายเดือนก่อน +14

    Mpina safi sana keki watu wanakula wachache sana

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 10 หลายเดือนก่อน

    Daaa Mungu akubariki mpina aendelea kitupambania

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 10 หลายเดือนก่อน

    Wabunge simameni imara Wananchi tumechoka sana, Majizi wametuchosha sana, tusaidieni msiogope kuuawa.

  • @BernadethaSimba-qi4dw
    @BernadethaSimba-qi4dw 10 หลายเดือนก่อน

    Asante sana M/Mungu anatenda sasa Mama Mh Samia ona mama madudu hayo walikuwa wanakudanganya hao ndiyo maana wananchi mioyo yetu inavuja damu wakati sisi hali huku mbaya wenzetu Maisha Raini vitambi vinakua kwa kodi zetu walala hoi Siyo hao tu wapo wengi tunakupigia magoti mama tenda kazi yako kwa mamlaka uliyopewa hao watu kama hao wanakuchafua sana funga hao hata kumi tu heshima yetu itarudi

  • @samwelililenga
    @samwelililenga 10 หลายเดือนก่อน +9

    Nafasi ya kiongizi wa juu ifanye kazi wananchi tunaumizwa sana sana

  • @TECHTZTV
    @TECHTZTV 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mpina atasababisha mwigulu ajinyonge

  • @simonsonda5363
    @simonsonda5363 10 หลายเดือนก่อน +1

    MZEE WA TRABU AND TRAT ANAPIGA HELA TU MPK NDEVU KASAHAU KUNYOA BADO TOZO AMEKUSANYA

  • @edwintouches
    @edwintouches 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa hana muda na taarifa zao, "muheshimiwa mwenyekiti akae na taarifa yake". 😂 🙌

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 10 หลายเดือนก่อน

      Na unaweka na emoji ya kicheko?

    • @edwintouches
      @edwintouches 10 หลายเดือนก่อน

      @@nsajigwamwakalonge5702 Ulitaka niweke ya mkundu wa mamaako? Pumbavu.

  • @DoriceSawaki-vg4sb
    @DoriceSawaki-vg4sb 10 หลายเดือนก่อน +2

    Waziri wa fedha Mwizi anaimaliza nchi hii cjui kwann mama anamng'ang'ania atatufnya tuamini Wanashirikianaaa

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 10 หลายเดือนก่อน +5

    transaction ni uhamisho wa fedha, hapo waziri umekula pabaya. Transaction = uhamisho wa fedha kielectronic.

  • @ChristineElias-bn4dw
    @ChristineElias-bn4dw 2 หลายเดือนก่อน

    Chukuwa maua yako 🎉🎉🎉 kazi unaweza xnaaaa na mungu akulinde

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 10 หลายเดือนก่อน +8

    Hao wanao mpigia makofi mwiguru viraza kila hoja ndio mpina nakukubali sanaaa

  • @Brama_A37
    @Brama_A37 10 หลายเดือนก่อน +4

    Natamani hapo angekuwepo John Heche, Tundu Lissu

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey 10 หลายเดือนก่อน

      😂acha kutaman tumia ulichonacho

  • @isayakazimoto3192
    @isayakazimoto3192 10 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri my mpina ww ni kama magufuli hutaki madudu unapasua jipu hapo hapo.Ni wakati ss raisi alone hilo

  • @shabanimasue6546
    @shabanimasue6546 10 หลายเดือนก่อน

    Mpina Mungu akulinde. You are excellent 👏

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 10 หลายเดือนก่อน +9

    Mwigulu hana nyota Wala leli,yaani haoendeki jizi tu mungu atusaidie ila awaangamize majizi

  • @mcmetroboom530
    @mcmetroboom530 10 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wa jimboni kwa mpina uyu jamaa anawawakilisha vyema ❤️ aisee

  • @novathmsanyamsanya7702
    @novathmsanyamsanya7702 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hakuni nchi inaweza endelea kwa kufanya Importation zaidi kuliko export

  • @FrancisWangubo
    @FrancisWangubo 10 หลายเดือนก่อน

    Mpina hongera

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera mheshima a mpina wewei Kweli ni mzalendo siyo hao wengine

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 10 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mpina namungu akulinde vyakutosha

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 10 หลายเดือนก่อน +1

    Aisee mpina Mungu akulinde sana

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyezi mungu mwingi wa rehema, utukufu ni wako mwenyezimungu, naomba umlinde mbunge mzalendo mh. Luhaga Mpina na unusuru taifa letu dhidi ya mafisadi wa rasilimali zetu😭😭.

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 10 หลายเดือนก่อน

      Mungu amlinde huwa hawatakiwi watu kama huyu.❤

    • @chandeyusufu9570
      @chandeyusufu9570 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mtu anaongea ukweli mara taarifa mnatuona hatuna akili

    • @LucianSanga-q8j
      @LucianSanga-q8j 10 หลายเดือนก่อน +1

      Hapa ndio Makonda na Chongolo Waingilie kati Kama kweli Wamepewa Meno ya kung’ata

  • @eliudntabusi9712
    @eliudntabusi9712 7 หลายเดือนก่อน

    Namkubali sanaa MPINA

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mpina ni mbunge pekee bunge lote la 2025

  • @kambalakafuko7695
    @kambalakafuko7695 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Mpina, lakini kwa serikali hii karibia watakupeleka kuwa balozi Msumbiji

    • @JohnDeus-v3e
      @JohnDeus-v3e 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 ama kweli

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 10 หลายเดือนก่อน

    The only man with balls CCM
    Penda sana wewe kaka na Ahsante from the bottom of my heart ❤️🙏🏾

  • @ZulfikaHussein-fl9gt
    @ZulfikaHussein-fl9gt 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wazir wa fedha ni mwizi mnambeba sana afukuzwe

    • @jalaryababilasi1562
      @jalaryababilasi1562 10 หลายเดือนก่อน

      Cyo kufukuzwa tu akamatwe Kwa kuhujum uchumi

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 10 หลายเดือนก่อน +2

    wasipo tajilika kipndi hiki cha Samia ndo bx acha wale ulefu wakamba zao bn washapewa luhsa namama

  • @JosephMsanga-vl3ug
    @JosephMsanga-vl3ug 10 หลายเดือนก่อน

    Jamani Watu Wamejaa madevu tu Bungeni wanashindwa kumsaidia Rais.

  • @Mwalimuchannel208
    @Mwalimuchannel208 10 หลายเดือนก่อน +14

    Watu wenye akili na fact wamewekwa kando ila waliopewa nafasi ni akina naniii.
    Very sad😢

    • @BenjaminJambo-oy5ce
      @BenjaminJambo-oy5ce 10 หลายเดือนก่อน +3

      Mwazo nilikuwanga sikwelew kwa sasa nakwerewa sana mbunge wetu wa kisesa tunakpa tena miaka 5

    • @angenyalusischmidt2321
      @angenyalusischmidt2321 10 หลายเดือนก่อน

      TRUE

    • @yyprint8263
      @yyprint8263 10 หลายเดือนก่อน

      Wakipewa nafasi wanabadilika pia

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 10 หลายเดือนก่อน

    Mi nmemkubali hyu mwamba balaaa sanaaaa wanafiki wengine wanampigia mchemba makofi kwa sababu ya utajiri alionayo hongera Sana mwamba

  • @masoudymichael
    @masoudymichael 10 หลายเดือนก่อน

    Mpina alitakiwa awe makamu waziri mkuu🎉

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mbungehaki ya mungu nawambia ni zaidi ya wabunge 200 wa ccm namfananisha na marehemu deo philikunjombe huyu jamaa asee mungu amlinde

  • @MayahBsylee
    @MayahBsylee 10 หลายเดือนก่อน +2

    Usipotajirika kwenye hii serikal basi wew nimasikin wakufa

  • @josephmaduka468
    @josephmaduka468 10 หลายเดือนก่อน

    Bora luhaga uwe rais

  • @Jovahn_company
    @Jovahn_company 4 หลายเดือนก่อน

    Kwamba waziri hana uelewa juu ya Financial intelligent unit (FIU).

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 10 หลายเดือนก่อน

    Watu wanfunguwa akaunt nje ya nchi wnaenda kuficha pesa. Uyo mwigulu afai ni. Mwizi

  • @NassorTwahiru-kf8fo
    @NassorTwahiru-kf8fo 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ccm hawatak watu wakweli km mpina,huyu hatorud term ijayo ili wabak wez watupu humo

  • @EmmaSambula
    @EmmaSambula 10 หลายเดือนก่อน

    Mwigulu kua na utu haya maisha tunaoita mungu anakuona nyie tutesen tu

  • @roggoyacny
    @roggoyacny 10 หลายเดือนก่อน +4

    NCHI yetu ukisema ukweli unachukiwa KAZI kwako mama SAMIA RAISI WETU mpe ushirikiano Huyo Mpina 🙏

  • @simonjnrmabula3785
    @simonjnrmabula3785 10 หลายเดือนก่อน

    Mhe. Mpina 👏👏👏

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 10 หลายเดือนก่อน

    Mwigulu Ni Mwizi

  • @joctanmtambi895
    @joctanmtambi895 10 หลายเดือนก่อน +1

    Alafu anajifanyafa yupo bize mpaka hanyoi ndevu

  • @ELIYACHIZA-cv7rm
    @ELIYACHIZA-cv7rm 10 หลายเดือนก่อน

    Tumepigwa sana bunge ni u abaisjaji tuu wanavimbianaatumbo Wana karia tarifa mheshimiwa

  • @fatumahassanduale4701
    @fatumahassanduale4701 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni mgonjwa, sasa bujeti ya nchi ni trilioni 42,ikiibiwa 30 inamaana hela iliyobaki ni mshahara ya watumishi, sasa hiyo kazi zingine za serikali hazikufanyika.

  • @PhilemonNdaki-f5u
    @PhilemonNdaki-f5u 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kanda ya ziwa kuvichwa hatar genius

  • @emmanuelmwamanga
    @emmanuelmwamanga 10 หลายเดือนก่อน

    Mbunge Mpina ni mkweli na sio muoga. Huyu angefaa apewe uaziri wa ujenzi.

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 10 หลายเดือนก่อน +1

    CCM inafaa kabisa kabisa ( Jibu Horn Mwigulu)

  • @ChristinaKisarika-ju8rt
    @ChristinaKisarika-ju8rt 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu waziri ana matatizo mengi.sema ndohivyo walioko nyuma yake niwenye nchi , kwahiyo tuone Mwisho wake,itakuwaje.

  • @isackmgema7376
    @isackmgema7376 10 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa hivi sasa ndio nimejia kwanini watu walicheka maana mvutano ulikuwa mkali

  • @ommymsangi9182
    @ommymsangi9182 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna genge la upigaji hapa TZ.Inapaswa kuwe na uwajibikaji kunakotokea kuna dosari kwenye kuendesha ofisi za umma.