KIMEUMANA! MPINA VS MWIGULU BUNGENI "HUO NI WIZI NA UFISADI, MWIGULU, MBARAWA WAKAMATWE!"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- KIMEUMANA! MPINA VS MWIGULU BUNGENI "HUO NI WIZI NA UFISADI, MWIGULU, MBARAWA WAKAMATWE!"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
mbunge wangu wa nguvu mtu makini ruhaga mpina 💪🙏
alikuwa wazir alifanya nini🫣
Mbunge bora WA mwaka.... Kuwe na tuzo za wabunge bora kila mwaka jamani....
Daaah huyu mwamba namkubali sana yuko smart kuanzia mavazi mpaka point zake
Mpina kutoka moyoni Mungu anisamehe dhambi zangu ili akubali maombi yangu kwakweli mpina Mungu akulinde sana
Awe makini, wasiojulikana hawapo,mbali 😭😭😭
Amina kwa ajili yake
Mh Mpina pokee 🎉🎉🎉🎉💐💐💐💐 yako ukweli utabaki ukweli maana Kila point unapigwa taarifa ili uzibwe mdomo muuu, Mungu wetu tushike mkono peke yetu hatuwezi RIP MH JPM .
MTANZANIA ALIYEOLEWA NIGERIA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YA JUMBA LAO LA KIFAHARI HUKO.!
th-cam.com/video/9bXTiw6Qklc/w-d-xo.html.
MSICHANA MREMBO WA KITANZANIA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA TED JOHN ALIYEKUWA AMEOLEWA NCHINI NIGERIA NA TAJIRI MKUBWA.
AELEZA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YAJUMBA LAO LA KIFAHARI LILIPO NCHINI HUMO KISHA KUKIMBIA NA WANAE.
UBALOZI WA TANZANI WAMUOKOA NA KIFO KWA KUMTOROSHA USIKU NA KUREJEA TANZANIA NA WANAE WATATU, AMUOMBA RAISI SAMIA.
WATANZANIA WOTE NA DIASPORA KUMSAIDIA KUHUSU WANAE AMBAO HAWAJUI KISHWAHILI HATA. CHEMBE.
AONGEA NA MKOI TV, VIDEO HII HAPA, SHARE KWA KILA MTANZANIA DUNIANI KOTE ILI WAMSAIDIE DADA HUYU.
COMMENT NA SUBSCRIBE MKOI TV ONILI AU KAMA UNA MAONI TUTAFUTE WHATSAPP NO +255713575718.
KARIBUNI SANA
😊😊
Kwa nini mnaingilia taarifa mmeshaona anaonyesha nja za upigaji.Hongera Mpina Songa mbele.
Congration mr.mpina mungu akulinde sana mpina,kwasababu nchi msema kweli hadumu.
Wabunge wetu hongereni sana kwa angalau kuonesha Uzalendo kwa nchi yetu!
Hongera Sana mpina mungu akusimamie ktk uwakilishi wa nchi,wewe ni mzalendo
Nilizoea sana kuangalia taarifa ya habari kufahamu yaliyojili na nchi inavyoenda lakini siku hizi hata hamu tu ya kuangalia taarifa ya habari sina kwa sababu najua kabisa naenda kupata maumivu ya moyo, hakika ipo siku wachache hawa walioamua kupuuza thamani ya jasho la wanyonge watalipa maumivu haya, iwe kwa Mungu kuwapa magonjwa yasiyotibika pamoja na wingi wa pesa zao haramu, watoto, wajukuu na vizazi vyao vyote kupata matatizo mbalimbali hapa duniani. Huwezi kupuuza maumivu na thamani ya binadamu mwenzako ukabaki salama.
Wabunge wenzenu wakichangia ya maana musiwe wa kupiga makofi bila kujua mwenzenu anaongea Nini Sasa mnafurahi Sana tunapoambiwa uongo kumbukeni huyo ni mbunge anaye jitabua
Pole sana, kweli tunabeba maumivu mioyoni nwetu!
Tupo wengi atuangalii habari
bora kuangalia tamthiliya tyu kuliko habari mijizi tyu inaoa wanawake kila siku 😂
Kweli shauku ya kuangalia taarifa ya habari kama Kwa Magufuri haupo
Ashukuriwe mungu Hapo hakuna upinzani.
Ndo namkumbuka kauli ya ndugai iv uh wizi mpaka lini mbunge wangu bola ni mpina tu mungu akulinde sana
Wabunge wanacheka nakushabikia bila kujari masirahi ya taifa yaani ni upuuzi tu .Safi Mpina wabane kabisa hao
Mungu amlinde kwa kweli
Mungu wa mbingu na nchi akulinde na kukutunza Mpina
Nilikuwa naomba kuwe na kura za maoni kuhusu mwigulu hebu jaribuni
Ndugu yangu mpina ww unamoyo mzuri naunaipenda nchi yetu mungu akuwekemaisha marefu Huyu mwinguru na naibu waziri hawanauruma nanchi niwezi tu
Harafu wengine wanacheka baada ya kusikitika Bungeni nomaa
Mpina ni mtu na nusu..Big up sanaaa...The Next president
Huyu mbunge ni hazina🎉 ya nchi, Watanzania wema na wenye mapenzi mema na Taifa letu la Tanzania tumwombee kwa MUNGU amwagizie Malaika walinzi wamulinde usiku na mchana,MUNGU AKUBARIKI AKUTUNZE NA KUKULINDA.AMINA.
Mpina Mungu akubariki
Big up mpina,unamachungu na nchi hii
Mwigulu kuwa waziri WA fedha ni dharau Kwa taifa......
Shangaa anajitetea kulinda upigaji alafu eti baadhi ya wabunge wanamshagilia eti.
😂😅
@@emmanueliman7408dah hatari sana
Hii ndiyo tafsiri halisi ya mwakilishi wa wananchi.
Wenye akili wamewekwa kando wapumbavu watuongoze!!!💔
Ndilo lipo kwa sasa,akili ndogo kuongoza akili kubwa
Duuuu kweli tunaongonzwa na vilaza waliopelekwa bungeni kwa wizi
Mungu akulinde mpinaa
Very true
P0😊
Muda wake ulikuwa haujaisha ukiondoa muda wa hizo taarifa big up muheshimiwa Mpina kwa uthubutu wa kusimamia rasilimali zetu za nchi
Wezi watupu mijizi ccm kazi ya kulala bungeni na kujamba ovyo bila ya kusaidia walalahoi.
😂😂😂🤮🤮
Safi sana mpina sema kweli mafisadi wamezidi kuitafuna nchi.
Mungu akuinue kukuweka nafasi ya juu ktk jina la Yesu
Amen
Mtamkumbuka sana Magufulitu mtake msitake hataondoka mioyoni mwa watu hatakidogo uozo huu hakuna wa kufumbia macho niuozo mtu mtupu yani mpaka inaogopesha wananchi wanapita katita maisha magumu umeme mgao mlipuko wa bei alafu ipo mijizi ina kula kodi ya wana nchi haita wezekana
Luhaga mpina wewe ndio mzalendo wa kweli MUNGU AKULINDE YEYE NDIE AJUAE
Nina wasiwasi bunge lijalo watamwacha kwa kuwa hawataki mseji mkweli
@@geraldlyimo2859 😂😂😂 hawawez coz wakimuacha akihamia CHADEMA anapata Jimbo coz wananchi wanamkubali
Kwann taarifa nyingi sana mwachen aongee. Mungu akulinde usiogope mtetezi wako yuu hai
Keep it Up Mheshimiwa Luhaga MPINA Mchango mzuri wenye hoja na uthibitisho wa kutoka Kilichobaki ni serikali kuyafanyia Maamuzi yanayosemwa
Daah mpina wewe kweli mwamba MUNGU akulinde Sana
Akika mpina tunakuombea sana awa wezi tunawasubili sana 2025
Kwa Sasa Mpina duhh ndo Mbunge wangu wa mwaka .
Makini sana jamaa
Mpina much respect
Naliona giza katika nchi yetu ukweli utaongea daima, RIP Rais Magufuli
Mi nikimuona Mwigulu nasikia kama aibu ya Taifa
😢😢yani
Mwiguru anasitahiri kufungwa maisha ana nimwizi wa kupitiriza
Sema wasukuma tunaongoza kuwa na viongozi wenye uelewa saana bungeni
Muda wake mume uchukua kwa mitaarifa yenu mlipaswa mkae kimya tusikie aibu zenu mnatusababishia gharama za maisha kuwa juu kumbe pesa mnazibeba...
Mwiziiiiiii uyoooo
Hakunaga msukuma boya hongera wapoti
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Lissu alisema hawa jamaa wana tupiga kwenye mradi leli kwa kuongeza kilo mita
Bunge hili sasa lina wabunge wawili tu wengine chenga tu. MPINA ❤+ MSUKUMA❤
Mpina anachokiongea anakijua,hawa wengine wanaleta porojo tu na fujo
Hongera sana mh Mpina kwa uzalendo wako kwa taifa letu la tanzania... Nchi inajengwa na wanyonge inaliwa na familia za wachache serikalini inauma sanaaaaaaa
Taarifa,za nini? Waziri wa fedha unapaswa usikilize hoja wabunge maana nao wana ufahamu pengine kuliko hata wa kwako.
Wizi ukiwepo acha ujengewe hoja huo wizi.
Mkaguzi wa hesabu za Selikali hata hujui anachochsngia mbunge Luhaga Mpina ww ni Waziri gani wa fedha ss?
Kiatu kinakupwaya ebu Mh Raid aangaze nn anafaa kuendelea kukusaidia ktk maswala ya fedha kwa uwazi zaidi hasa tunahitaji kuingia uchaguzi wa Selikali za mitaa bila maswali tata kuhusu taarifa za ukaguzi wa mkaguzi mkuu wa hesabu za Selikali.
L
mnafany janja janja ya tarifa za wizi wa mda pia mna ufisadi
Mwigulu mwizi ndoana anaingilia hoja wt wasiapate kumuumbuwa
Kimeumana wazalendo bado wapo
L
Nliposikia mwigulu anaingi hiki kitengo daah ... 😢😢 Kwanchi kama Tz kuwa na kiongozi kama mh.mwiguru niaibu kwetu kama watanzania
Kiukweli viongozi wetu mnatuangusha saana ...
Eti transaction sio uhamisho kwahiyo English ndio lugha sanifu ya nchi now daaah ...🤣😄😄🙌
Anafikiri tuko mbumbumbu!!! Transaction na uhamisho,,,anasujudu lugha za watu kuliko anaowaita watanzania wakat alishatuhamishia Burundi kitambo,,, shameless
Asante Mheshimiwa Mpina. Watanzania tunakulewa. 2025 kiteleweka tu.
Mpina pokea🎉🌹🥀💐🌹yako mapema maana umeongea point sana
Mpina safi sana keki watu wanakula wachache sana
Daaa Mungu akubariki mpina aendelea kitupambania
Wabunge simameni imara Wananchi tumechoka sana, Majizi wametuchosha sana, tusaidieni msiogope kuuawa.
Asante sana M/Mungu anatenda sasa Mama Mh Samia ona mama madudu hayo walikuwa wanakudanganya hao ndiyo maana wananchi mioyo yetu inavuja damu wakati sisi hali huku mbaya wenzetu Maisha Raini vitambi vinakua kwa kodi zetu walala hoi Siyo hao tu wapo wengi tunakupigia magoti mama tenda kazi yako kwa mamlaka uliyopewa hao watu kama hao wanakuchafua sana funga hao hata kumi tu heshima yetu itarudi
Nafasi ya kiongizi wa juu ifanye kazi wananchi tunaumizwa sana sana
Huyu mpina atasababisha mwigulu ajinyonge
MZEE WA TRABU AND TRAT ANAPIGA HELA TU MPK NDEVU KASAHAU KUNYOA BADO TOZO AMEKUSANYA
Jamaa hana muda na taarifa zao, "muheshimiwa mwenyekiti akae na taarifa yake". 😂 🙌
Na unaweka na emoji ya kicheko?
@@nsajigwamwakalonge5702 Ulitaka niweke ya mkundu wa mamaako? Pumbavu.
Waziri wa fedha Mwizi anaimaliza nchi hii cjui kwann mama anamng'ang'ania atatufnya tuamini Wanashirikianaaa
Wanabebana
transaction ni uhamisho wa fedha, hapo waziri umekula pabaya. Transaction = uhamisho wa fedha kielectronic.
Chukuwa maua yako 🎉🎉🎉 kazi unaweza xnaaaa na mungu akulinde
Hao wanao mpigia makofi mwiguru viraza kila hoja ndio mpina nakukubali sanaaa
Natamani hapo angekuwepo John Heche, Tundu Lissu
😂acha kutaman tumia ulichonacho
Kazi nzuri my mpina ww ni kama magufuli hutaki madudu unapasua jipu hapo hapo.Ni wakati ss raisi alone hilo
Mpina Mungu akulinde. You are excellent 👏
Mwigulu hana nyota Wala leli,yaani haoendeki jizi tu mungu atusaidie ila awaangamize majizi
Watu wa jimboni kwa mpina uyu jamaa anawawakilisha vyema ❤️ aisee
Hakuni nchi inaweza endelea kwa kufanya Importation zaidi kuliko export
Mpina hongera
Hongera mheshima a mpina wewei Kweli ni mzalendo siyo hao wengine
Safi sana mpina namungu akulinde vyakutosha
Aisee mpina Mungu akulinde sana
Mwenyezi mungu mwingi wa rehema, utukufu ni wako mwenyezimungu, naomba umlinde mbunge mzalendo mh. Luhaga Mpina na unusuru taifa letu dhidi ya mafisadi wa rasilimali zetu😭😭.
Mungu amlinde huwa hawatakiwi watu kama huyu.❤
Mtu anaongea ukweli mara taarifa mnatuona hatuna akili
Hapa ndio Makonda na Chongolo Waingilie kati Kama kweli Wamepewa Meno ya kung’ata
Namkubali sanaa MPINA
Huyu mpina ni mbunge pekee bunge lote la 2025
Hongera Mpina, lakini kwa serikali hii karibia watakupeleka kuwa balozi Msumbiji
😂😂😂😂 ama kweli
The only man with balls CCM
Penda sana wewe kaka na Ahsante from the bottom of my heart ❤️🙏🏾
Wazir wa fedha ni mwizi mnambeba sana afukuzwe
Cyo kufukuzwa tu akamatwe Kwa kuhujum uchumi
wasipo tajilika kipndi hiki cha Samia ndo bx acha wale ulefu wakamba zao bn washapewa luhsa namama
Jamani Watu Wamejaa madevu tu Bungeni wanashindwa kumsaidia Rais.
Watu wenye akili na fact wamewekwa kando ila waliopewa nafasi ni akina naniii.
Very sad😢
Mwazo nilikuwanga sikwelew kwa sasa nakwerewa sana mbunge wetu wa kisesa tunakpa tena miaka 5
TRUE
Wakipewa nafasi wanabadilika pia
Mi nmemkubali hyu mwamba balaaa sanaaaa wanafiki wengine wanampigia mchemba makofi kwa sababu ya utajiri alionayo hongera Sana mwamba
Mpina alitakiwa awe makamu waziri mkuu🎉
Huyu mbungehaki ya mungu nawambia ni zaidi ya wabunge 200 wa ccm namfananisha na marehemu deo philikunjombe huyu jamaa asee mungu amlinde
Usipotajirika kwenye hii serikal basi wew nimasikin wakufa
Bora luhaga uwe rais
Kwamba waziri hana uelewa juu ya Financial intelligent unit (FIU).
Watu wanfunguwa akaunt nje ya nchi wnaenda kuficha pesa. Uyo mwigulu afai ni. Mwizi
Ccm hawatak watu wakweli km mpina,huyu hatorud term ijayo ili wabak wez watupu humo
Mwigulu kua na utu haya maisha tunaoita mungu anakuona nyie tutesen tu
NCHI yetu ukisema ukweli unachukiwa KAZI kwako mama SAMIA RAISI WETU mpe ushirikiano Huyo Mpina 🙏
Mhe. Mpina 👏👏👏
Mwigulu Ni Mwizi
Alafu anajifanyafa yupo bize mpaka hanyoi ndevu
Tumepigwa sana bunge ni u abaisjaji tuu wanavimbianaatumbo Wana karia tarifa mheshimiwa
Huyu ni mgonjwa, sasa bujeti ya nchi ni trilioni 42,ikiibiwa 30 inamaana hela iliyobaki ni mshahara ya watumishi, sasa hiyo kazi zingine za serikali hazikufanyika.
Kanda ya ziwa kuvichwa hatar genius
Mbunge Mpina ni mkweli na sio muoga. Huyu angefaa apewe uaziri wa ujenzi.
CCM inafaa kabisa kabisa ( Jibu Horn Mwigulu)
Huyu waziri ana matatizo mengi.sema ndohivyo walioko nyuma yake niwenye nchi , kwahiyo tuone Mwisho wake,itakuwaje.
Sasa hivi sasa ndio nimejia kwanini watu walicheka maana mvutano ulikuwa mkali
Kuna genge la upigaji hapa TZ.Inapaswa kuwe na uwajibikaji kunakotokea kuna dosari kwenye kuendesha ofisi za umma.