ISSA TAMBUU AMJIBU DOTTO MAGARI / NIMEMSAIDIA SANA / HANA SHUKRANI / NILIMUOKOTA MTAANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
  • BOSS WAKE DOTTO MAGARI ISSA TAMBUU AMEMJIBU MFANYAKAZI WAKE DOTTO BAADA YA KUSHUTUMIWA AMEKUWA AKIMFANYISHA KAZI DOTTO PASIPO KUMLIPA PESA NI UTATA MTUPU TAZAMA HAPA FULL INTERVIEW HAPA
    #manaratv #hajimanara #wasafimedia #diamondplatnumz #dottomagari

ความคิดเห็น • 36

  • @tshibangumunyenza7383
    @tshibangumunyenza7383 4 หลายเดือนก่อน +5

    ISSA TAMBUU you are the best in TZ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿watching you live from Toronto Canada 🇨🇦 na apa ipo . Issa one love ❤Bro

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 4 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu Issa ni muungwana na mcha mungu, hapendi ugomvi ana uwa so tu. Doto si muungwana hata ukimwangalia ni mshenziiiii mshambaas

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 4 หลายเดือนก่อน +5

    Jamaa yupo hamble sana sema anaishi na kichaa mtandaoni

  • @Haytham-ip3ou
    @Haytham-ip3ou 4 หลายเดือนก่อน +4

    Najifunza sana hekma yako Allah akuzidishie kaka

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimempenda kwa kutokuwa na majibu kwa kisasi cha kuongelewa maneno mabaya na doto japo hatujui ni ya kwao wenyewe lakini jamaa ame-play part na maneno ya hekima❤

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 หลายเดือนก่อน +1

    Una mdomo sana wewe kumbe ulitegemea ukiuza gari ulipwe pesa yote? Bila yeye ungejua hata aina ya gari wewe? Kuwa na shukrani japo kidogo. Kwa mdomo kama huo hakuna atakae kutaka na Issa Mungu atakulipia tu.

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kiki hizo hawa Viumbe wanaishi Vizuri sana ngojeni namuone 😮

  • @MADINAKITEMO
    @MADINAKITEMO 4 หลายเดือนก่อน +2

    Namkubali sana huyu kaka kwanza ana hofu ya Allah

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 4 หลายเดือนก่อน

      Hana

  • @JumanneSudi
    @JumanneSudi 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jamaa ana hekma saana

  • @KassimMwamtunda
    @KassimMwamtunda 4 หลายเดือนก่อน +6

    Lakini swali ni? Utani hadi wadoto kusema huyu magari yake mabovu anaibia watu tena kwenye social media public hii imekaaje ndugu sababu si wote ambao wataipokei hii kama utani kwenye biashara wako walio na interest yakuja nunua wataogopa, ata chizi ataelewa hapa

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 4 หลายเดือนก่อน

      WENZAKO WANAISHI MAISHA YAO HAWANA MIPAKA

  • @zomasamweli
    @zomasamweli 4 หลายเดือนก่อน +2

    Issa Yuko simpo nasa Hana noma kabisa

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wanajuana
    Wana utani ndo niligundua

  • @alonchobasamiye6844
    @alonchobasamiye6844 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sema doto wengine wanamuona miyayusho lakin kuna message anaifikisha mahali

    • @muhsiniamiri9310
      @muhsiniamiri9310 4 หลายเดือนก่อน

      abadilik doto mropokaji halaf anajiona San japo anajitetea kwa maneno yak yakuchekesha..... lkn kiukwel anapasw kubadilik

  • @salehehalifa2606
    @salehehalifa2606 4 หลายเดือนก่อน

    Issa Yuko vizuri tu

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ni Kiki hawa Dotto na Tambuu wanajuana wana feki ugomvi kiki tu.

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo Ni Chizi fresh aisee...Tambuu muweke mbali asije akakuharibia sasa,,,vita imeanza

  • @kaizerabilahi5958
    @kaizerabilahi5958 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ila boss mwenyewe anacheka Cheka tu🤨

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 2 หลายเดือนก่อน

    Doto anapayuka ila binaadam hatunaga shukurani NO fadhira

  • @stanleymwaselela1849
    @stanleymwaselela1849 4 หลายเดือนก่อน +7

    Wewe hiyo ni muvi kama hamjui mm nawajua vzuri Hawa wanatengeneza teshen ili muwe munawafuatilia

  • @GeofreyMtensacollection
    @GeofreyMtensacollection 4 หลายเดือนก่อน +1

    Issa yupo smart sana kichwani,

  • @mahmoudibnabdillah8227
    @mahmoudibnabdillah8227 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi huyu doto ana udugu na markuba zimwi au?

  • @raimondnduwi
    @raimondnduwi 4 หลายเดือนก่อน

    Naweza kuongea na Issa wa Motors

  • @mustafamuhunzi4047
    @mustafamuhunzi4047 4 หลายเดือนก่อน

    Acha unafiki ukisema watu walikua hawamtaki hiyo ni dharau mbona alikua akikunadi sana sasa iweje leo achukie, ongea ukweli Issa.

    • @Blackgoat-t6l
      @Blackgoat-t6l 4 หลายเดือนก่อน

      We doto aumjuwe mambo yake

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf 3 หลายเดือนก่อน

    Sheikh ni mtu mwenye elimu kubwa

  • @DaariaSaid-z9w
    @DaariaSaid-z9w 4 หลายเดือนก่อน

    Issa ni mstaarabu sana mtan wangu back na mungu mtan

  • @JumaBakari-eb3ft
    @JumaBakari-eb3ft 4 หลายเดือนก่อน +2

    jamaa mbona kama muongo ivi

  • @eliaschimba5152
    @eliaschimba5152 4 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi watangazaji niwa chonganishi sana, are you trying to investigate what is behind the relationship of dotto magari and issa, try to be professional

  • @mamalange2277
    @mamalange2277 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi=0

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson6698 4 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu jamaaa muongo anaonekana ukiona mtu anachekacheka kam Malaya mbovu ujue