Kabito The Star 🌟🤩 don't give up sheikh, you have a bright future ahead. Allah is with you and our prayers with you. You are the next winner 🏆just improve ur self where you went wrong, and the No. 1 is waiting for you........ In shaa Allah.
Mashaallah Sheikh Nurdin pamoja na ukhty wetu Najat kwa kumfariji Kabiito wetu kipenz cha watanzania,,,ametusimua kwa kweli cku ile yani siamini ila ni mipango ya Allah,,azid kukaza buti mwakani Inshaallah
Mungu awajaalie wote walioshiriki na waliopa moyo Kabito, God bless you all for the what made, that is the best way to Go to God. Tabaraka ladhy biyadihil mulku wahuwa ghala kuli shay in Gadiru.
Allah akubariki sister Najat kwa kazi zako nzuri za khairats katika kila kitu, Allah akupe afya nzuri na furaha katika maisha yako ya hapa na kesho siku ya malipo na waisilamu wote.Fajazakumullahu khairan sister 🥀🌹💮🌸🌸💐💐⚘🌷🌷🌻🌻🌺🍁🍁🍀🍀🌱🍀🌿🌾🌾☘🌱🌴🌳🌲🪴🍂⚘🌷🌼🌼🌻🌺🌺🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍈🍉🍊🍊🍊🍋🍋🍍🥭🥭🍎🍎🍏🍐🍑🍑🍒🍓🫐🥝🥝🍎🍎🍏🍏🍎🍎🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍇🍏🍏🍏🍉🍉🍑🍑🍑🍋🍋🍓🍓🍓🍌🍌🍍🫐🫐🫐🫐🥭🥭🥝🍎🍎🍏🍏🍏🍐🍐🍑🍑🍒🍒🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍒🍒🍒🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍎🍎🍏🍐🍐🍑🍒🍓🍓🍓🍒🍒
Niliumia saanaa mm pamoja na marafiki zangu pale uwanjani tukaondoka kwa hasiraa,, mpaka machozii yalinitoka kwa uchungu yaani ata Top 4,,,..!!!apanaaa apanaa jamaniii 😤🙌
Ila mimi namkubali sana kabiito .upande wangu nawaamini majaji ila nahisi tunamuhurumia sana kabiito kwa alivyo labda, ukijumlisha na usomaji wake mzuri basi imechangia mara dufu.naamini ushindani ni mkubwa TUWADHANIE MAJAJI VIZURI .
Kabito my younger brother never lose hope come back again next year in shaa Allah for the competition and I do believe that you will make it's better more than this year @Nash005
@@salamamohamed5805 Watu hawataki kujifunza Qurani wanavutiwa na ushabiki wa sauti ya mtu badala ya kuzingatia huku na usomaji wa Qurani kwa ujumla wake.
@salama Mohammed turidhike kuwa ni qadar ya Allah hakupata nafasi ambayo baadhi walitarajia..na pia majaji walitenda haki kadri Allah alivyowawezesha Mashallah(Allah awazdishie kheri). Ila ukisema kuna aya aliisahau unaweza ukaulizwa ni aya IPI! ...hebu angalia vzr aya alizoulizwa, ..ya 12:10(Surat Yunus), kisha aya ya 50:27(Surat Nnamli), na Aya ya 17:52(Surat At-tur)...Naomba nisaameh kama nmekukwaza, sio lengo langu...Ramadhan Mubarak
Mm kwaushauri hao wasklizaji waliokuja kuna watu wana sklz yakutosha wanaijua vzur Quran Kuanzia tahfeedh, hukmu, saut, nasheria nyengine za Quran Lkn kwavile kuna majaj walio chaguliwa Tukubaliane nao Inshaallah
Well done dear Naj.. wa JazaakUmAllah kheir dunia walAakheera kwa wote yaaRab mashekhe wetu majaji wetu na watoto/ndugu zetu wote mahaafidh wa Quraan.. tunamuomba Allah atujaalie sote min ahal’Quraan na vizazi vyetu 🤲🤲🤲 Amen 🙏
Nyny hatamkasema alieshinda ndio anae tangazwa nyny mnenogewa na sauti t watu wanaangalia quran inasomwaje hukmu matashi na mengneyo sasa ww hjasoma nyamaza sio utoe ushindi
Nikweli shekhe kishiki uwiislam una sheria zake na Qur ani ina hukumu zake mfano ukikosey herufi 1 tuu kuitamka km ilivyo bc maana ya ile neno inabadilika au ukipunguza herufi 1 maana inabadilika au ukiongeza herufi 1 maana inabadilika haya yote huwez kuyafahamu ww usiyona elimu lazima usome Allah awahifadhi wote waislam na waliyosom
Majaji 4 tu waliomsikia kabito ni zaidi ya 60.000 kwa mkapa tu bado kupitia tv tz nzima. Nawote hao wamempitisha kabito. Nakosa kubwa lilianzia kwa fundi mitambo kupitia kwa jaji yule wa mweusi Ndio waliomkosesha ushindi kabito kwa makisudi. Kishki hakikisha Majaji wanafanyiwa usaili ili kujuwa uwezo wao .
Sauti ni sawa kapata nahilo ndilo tuliowengi tuna HUKUMU.Majaji wana HUKUMU nyingi zaidi ya Sauti tuu.Mimi naamini sana wenye dhamana yaani majaji.Kwani huyu aliyeshinda sio mtanzania pia:Sasa huwezi changanya HUKUMU na hisia
Hayo mashindano ni Ya Al hikma foundation.Na sio ya Kimataifa. Kabito amehifadhi vzr ila Hana Tajweed nzur. Na pia haya Mashindani Ni Hayafai kwani yanaharib Msingi wa Dini
Justice must be done to kabito .Why this he was expecting alots for this musabaqa .does it's means katika hao washindi watano hawakuwa na makosa hta moja ama mbili katika ahkamu tajweed
Hawo wenye kulalamika eti wajaji hawatenada haki basi hamjuwi kwakweli.skilizeni kile kisomo ca ule kijana aliye toka wakwanza.Allahu Akbar alistahiki kabisa ila na kabito yuko vizuri saaana lakini haki ilitendeka muace kusema bitu hamna ujuzi nabyo please.Majaji walitenda haki kabisa
Kila 1 kajaaliwa makadiliyo yake km mm Allah kanijaaliy sauti nzury san yausomaj pia na ukalili ila kuhifadhi kwangu mtihani hap bd sijajaaliwa km sehemu za kusimama na kuwanza km alivyosom shekhe kishiki wallah sipat ht %1 hhhhh ila kwa sauti na ukalili km kebito nazan nafaulu tunapaswa kuendeley kusoma dini ya Allah na kuijuwa vizury siyo kuchukuliy juu juu simpo ila alivyosom huyo mganda albino nimependa
MW.MNGU AWAJAALIE NYOTE MLIO MSHIKA MKONO KABIITO
Hatukuona kumkosoa hata maramoja
Mashallah
@@muhsinisihaka7739 yule hakukosolewa sababu hajakosea kilichomkost pumz maskin alipumzika sehem zisizostahil kupumzika
@@mahmoodalghefeili5370 kwl kbsaaaa
Aamin
Kabito The Star 🌟🤩 don't give up sheikh, you have a bright future ahead. Allah is with you and our prayers with you. You are the next winner 🏆just improve ur self where you went wrong, and the No. 1 is waiting for you........ In shaa Allah.
Mashaallah Sheikh Nurdin pamoja na ukhty wetu Najat kwa kumfariji Kabiito wetu kipenz cha watanzania,,,ametusimua kwa kweli cku ile yani siamini ila ni mipango ya Allah,,azid kukaza buti mwakani Inshaallah
I'm very proud of you my younger brother kabito🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
MashaAllah beautiful recitation may Allah protect him
Kabito mdogo wangu mwenyezi mungu akujalie afya njema. Umejitaidi sana
Amiin
Mungu awajaalie wote walioshiriki na waliopa moyo Kabito, God bless you all for the what made, that is the best way to Go to God. Tabaraka ladhy biyadihil mulku wahuwa ghala kuli shay in Gadiru.
Nawasihi ndugu zangu turidhike na haki iliotendeka majaji wamejitahidi sana. Kazi hiyo ni ngumu sana hakika wamejitahidi.Mashaallah Allah awahifadhi.
Allah akubariki sister Najat kwa kazi zako nzuri za khairats katika kila kitu, Allah akupe afya nzuri na furaha katika maisha yako ya hapa na kesho siku ya malipo na waisilamu wote.Fajazakumullahu khairan sister 🥀🌹💮🌸🌸💐💐⚘🌷🌷🌻🌻🌺🍁🍁🍀🍀🌱🍀🌿🌾🌾☘🌱🌴🌳🌲🪴🍂⚘🌷🌼🌼🌻🌺🌺🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍈🍉🍊🍊🍊🍋🍋🍍🥭🥭🍎🍎🍏🍐🍑🍑🍒🍓🫐🥝🥝🍎🍎🍏🍏🍎🍎🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍇🍏🍏🍏🍉🍉🍑🍑🍑🍋🍋🍓🍓🍓🍌🍌🍍🫐🫐🫐🫐🥭🥭🥝🍎🍎🍏🍏🍏🍐🍐🍑🍑🍒🍒🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍒🍒🍒🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍎🍎🍏🍐🍐🍑🍒🍓🍓🍓🍒🍒
Niliumia saanaa mm pamoja na marafiki zangu pale uwanjani tukaondoka kwa hasiraa,, mpaka machozii yalinitoka kwa uchungu yaani ata Top 4,,,..!!!apanaaa apanaa jamaniii 😤🙌
Ila mimi namkubali sana kabiito .upande wangu nawaamini majaji ila nahisi tunamuhurumia sana kabiito kwa alivyo labda, ukijumlisha na usomaji wake mzuri basi imechangia mara dufu.naamini ushindani ni mkubwa TUWADHANIE MAJAJI VIZURI .
Exactly Hata mimi Najat nilikuwa natizama nilijua yeye ndio mshindi nilikuwa disappointed sana kuona Kapito hakushinda
Kabiito Masha Allah jazaka Allahul khair
Najat umefanya kazi nzuri sanaa
Allah amfanyie wepec kabito ashiriki tena mwaka ujao
😭😭😭😭mashaallah mwenyezi mungu atampa maranyingine inshaallah kasoma.vizuri lakini mahali ndio wanajuwa max zaidi
Mashaallah m.mungu amjaalie
Beautiful voice
Kabito my younger brother never lose hope come back again next year in shaa Allah for the competition and I do believe that you will make it's better more than this year @Nash005
Tunaomba majaji walio amua washindi wa tano bora na kabito akuema tafadhalini nawaomba Muelezeni mwalimu wa kabito marekebisho mmnayo hitaji kabito ayarekebishe Mwakani InshaaAllah Tunamuhitaji ashirikishwe Katika Msabaka mwakani InsaaAllah panapo Majaliwa .Sheik Kishki Twaomba litimizwe ombi tafadhal. Mallah awabariki nyote
Mashaallh
Imemuathiri sana naona, mungu ampe nguvu
Kabito mungu akujaliye kila lamafanikiy ishaallah🤲🤲🇺🇬
Majaji wako right mashaallah
MashAllah JazakAllah 🙏🙏🙏❤
Love you kabiito Allah is with you mashallah
MashaaAllah MashaaAllah
Nikweli ndug zangu qur'an inamipangilio ukisoma vibaya unaleta maana tofauti turidhike na masgehe wetu
@@salamamohamed5805 Watu hawataki kujifunza Qurani wanavutiwa na ushabiki wa sauti ya mtu badala ya kuzingatia huku na usomaji wa Qurani kwa ujumla wake.
Ata kama ndo ata Top 4 apana aisee tuseme ma elf ya watanzania wanaolalamika awaijui vizur qur aan
@salama Mohammed turidhike kuwa ni qadar ya Allah hakupata nafasi ambayo baadhi walitarajia..na pia majaji walitenda haki kadri Allah alivyowawezesha Mashallah(Allah awazdishie kheri). Ila ukisema kuna aya aliisahau unaweza ukaulizwa ni aya IPI! ...hebu angalia vzr aya alizoulizwa, ..ya 12:10(Surat Yunus), kisha aya ya 50:27(Surat Nnamli), na Aya ya 17:52(Surat At-tur)...Naomba nisaameh kama nmekukwaza, sio lengo langu...Ramadhan Mubarak
@@othmanbakari6033 Wala hukunikwazwa tupo kwenye kuelimishana shukran....
@@salamamohamed5805 Shukran sana sana...Allah atujaalie mwema...Aamin Aamin.
Asalam Alaikum, MashaaAllah, Ramadhan Mubarak ✨♥Fajazakumullahu khairan 🌹🥀🥀🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘💐🌸🌸💮🌱🌱🌱🌲🌲🌳🌴🌵🌵🌾🌾🌿🌿☘☘🍀🍁🍁🍂🍃🍃🏵🌹🌹🥀🥀🌺🌺🌻🌼🌷💐🌸🌸💮💮⚘⚘🌷🌷🌻🌳🌴🌵🌾🌿🌿🌿🌱🌱🪴🌲🌳🌳🌴🌴🌵🌵🌱🌱🍀🍀🍀🍁🍂🍃🍃🍃🌹🌹🥀🌺🌺🌺🌹🌹🥀🌼🌼🌼🌷⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘🌷🌺🏵🌹🌹🌹🥀🥀🌺🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘💐💐💐💐💐💐💐💐🌸🌸🌸🌸🌸💮💮💮🌹🌹🌹🥀🌺🌻🌻🌼🌷🌷⚘⚘🌹🥀🥀🥀🌺🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘⚘⚘⚘
Shukrani sana dada uliye mzawadia mabiito
Ma shaa Allah
Mashaallah tabalakallah
Mashallah 🤲🤲🤲
Huyu kijana katusisimuwa sana ...mashaallah
Yaaani Mimi nililia jamani mtt anasauti maa shaa Allah nilijua atashinda
@@mishigambagamba6302 shida sio sauti kinachozingatiwa ni ahkam
Mm kwaushauri hao wasklizaji waliokuja kuna watu wana sklz yakutosha wanaijua vzur Quran
Kuanzia tahfeedh, hukmu, saut, nasheria nyengine za Quran
Lkn kwavile kuna majaj walio chaguliwa
Tukubaliane nao Inshaallah
Mwenyezmungu amuongezee baraka
Inshaallah
Well done dear Naj.. wa JazaakUmAllah kheir dunia walAakheera kwa wote yaaRab mashekhe wetu majaji wetu na watoto/ndugu zetu wote mahaafidh wa Quraan.. tunamuomba Allah atujaalie sote min ahal’Quraan na vizazi vyetu 🤲🤲🤲 Amen 🙏
Inshaallah allah atamlipa pepo kwani malipo ya hapa Duniani silolote sichochote nakilakinacho tokea nikadari yake allah
Umeifanya vizuri sana Dada Allah akuzidishie zaidi yaicho mashaallah shekh kishki
Masha Allah
Wallah nami aliniumiza sana, shauku yangu ashinde sauti tu inavutia niliumia sana😭😭😭😭😭😭
Mie nimekosa hata nguvu machozi yanamwagika tu yaani Allah ampe subra inshaallah tupo pamoja Ushindi upo mbele yako usikate TAMAA
hata sisi na familie yangu hapa belgium huyo kijana ndio mshindi masha allah kapito
Nyny hatamkasema alieshinda ndio anae tangazwa nyny mnenogewa na sauti t watu wanaangalia quran inasomwaje hukmu matashi na mengneyo sasa ww hjasoma nyamaza sio utoe ushindi
Mashallah dada hadinalia
@Abubakar Mohammed usiwadhanie vibaya wamejitahidi kiasi chao
Mashllaha allah. Amuifadhi kijana huyu
Mashallah mashallah mashallah alhamdulillah
Haiwezekani watu wote tuguswe na usomaji wake alaf sio mshindi.....KABIITO NI MSHINDI WA KWELI
Ebuu niambiyee ma Dear
😭😭😭😭masikini very sad wallah no fear not fear kabisa
Assalamu aleikum warahamatu allahi wabarakatu
Machaalla
MaashaAllah Kabito
Allah akuzidishie najat
Nikweli shekhe kishiki uwiislam una sheria zake na Qur ani ina hukumu zake mfano ukikosey herufi 1 tuu kuitamka km ilivyo bc maana ya ile neno inabadilika au ukipunguza herufi 1 maana inabadilika au ukiongeza herufi 1 maana inabadilika haya yote huwez kuyafahamu ww usiyona elimu lazima usome Allah awahifadhi wote waislam na waliyosom
Machaallh
Mashaallah.
MashaAllah Tabarak Llah
Bismillah mashallah❤
hamuna la kusema hata mujitetee vp hakika hyo kabiito allah atamlipa pepo zaid ya hyo malipo yenu
Maashallah tabaarakallah
Kweli bhana
Kabiito mashaallh wingi tulitarajia ushindi wako tu lkn cjui ni kaz ya majajaji hatuwez jua undan
Cabito abdullbasti swamadu, nice one🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎧
Cabito cabito cabitoooooooooooooo masha'allah,
Sheikh bado ujaelezea ni kitugani alichokosea cabito ili ajifunze siku nyingine naomba maelezo yakunitosheleza sheikh wangu,,, why cabito has failed?
Sawa kishki wewe nimekuelewa kidogo, next time be careful with the points,
Mie nnavyoona bora wote walioshirik wapewe zawad kwa sababu si mchezo kuhifadh Quran
Kabito mashaalh
Tumchangieni kabito aende umra ishallah
Allah knowz best🙂
Majaji 4 tu waliomsikia kabito ni zaidi ya 60.000 kwa mkapa tu bado kupitia tv tz nzima. Nawote hao wamempitisha kabito. Nakosa kubwa lilianzia kwa fundi mitambo kupitia kwa jaji yule wa mweusi
Ndio waliomkosesha ushindi kabito kwa makisudi. Kishki hakikisha Majaji wanafanyiwa usaili ili kujuwa uwezo wao .
Nyinyi watanzania muna shida ,nyinyi ni madakatari,marefa,leo mmefika mbali mnajifanya majaji wa Quran ,shame on you
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Huo ndio uislam aisee kila kitu ni kadary akxante kabiito
👌❤️❤️❤️❤️❤️❤️👌👌
Yani mm cjui kama ntaifuta audio yake tuombe mwakan ashiriki tuuuu
Ndo mjue I hk ni ya kapito kbs ndo mana tuna ll mika
Jamani tupeni No tumchangie tuoneshe mapenzi yetu kwake
Namba ipo kwenye Videos tazama kwa Umakini
@@najatsaid2326 asante
Mm inaniumaa mpaka machoz yalinitoka nikasepa zangu pale uwanjanii
Sauti ni sawa kapata nahilo ndilo tuliowengi tuna HUKUMU.Majaji wana HUKUMU nyingi zaidi ya Sauti tuu.Mimi naamini sana wenye dhamana yaani majaji.Kwani huyu aliyeshinda sio mtanzania pia:Sasa huwezi changanya HUKUMU na hisia
Hayo mashindano ni Ya Al hikma foundation.Na sio ya Kimataifa.
Kabito amehifadhi vzr ila Hana Tajweed nzur.
Na pia haya Mashindani Ni Hayafai kwani yanaharib Msingi wa Dini
Duh mashindano yanaharibu misingi gani ?? Ebu twambie
Justice must be done to kabito .Why this he was expecting alots for this musabaqa .does it's means katika hao washindi watano hawakuwa na makosa hta moja ama mbili katika ahkamu tajweed
Kusoma Alhamdullah kasoma vizur sana lkn kabitto kasoma Tajwid hayo ni mashindao ya Tartil
Yn uyu ndo ilibidi awe wakwanza kbs kapito kasoma vizur kuliko wote
Hapo Kuna Aya ameisahau ndio iliyimuangusha
Hiyo nikweli sheikh kishki angeshinda. Tanzania watu wanngesema.ilishapangwa Bora mashindano huyo wambalii
Me pia huyu mganda nilimtabiri kushinda but nimeshanga sanaa
Kanito fanya ujuwe kiswahili bwana
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭❤️
Hivi kwani Uganda 🇺🇬 hawaongei kiswahili jamani mpka huyo Kabito haeleiwi au hawezi zungumza kiswahili ?
👍🏾🙏🏾
Hata mm nilijua kabito ndio mshindi lakini baada ya kurudia kuwasikiliza mmoja mmoja nimeamini majaji walitenda haki ilio sawa kabisa.
Wabillahi taufiq
Kabito amisoma vzr cna
Sas jman nyie mnaangalia sauti nzuri kuruan inasheriayake nahukumu yake pia sio kuangalia sauti
Wajumbe mpaka kwenye Quran daaa baalaaa...!!! kuna kitu kinaitwa Lead objective ata uku cc kwenye mahakama ipoo lakini kilichotokea daaa very offend
❤️❤️❤️❤️😭😭😭
Aiseeee kabito 🥺🥺
KABIITO UMEWEZA AISEE
Kwa mfano engekua ni Tajwid enge pewa ushindi moja kwa 1
Hii ndo Tanzania
Hawo wenye kulalamika eti wajaji hawatenada haki basi hamjuwi kwakweli.skilizeni kile kisomo ca ule kijana aliye toka wakwanza.Allahu Akbar alistahiki kabisa ila na kabito yuko vizuri saaana lakini haki ilitendeka muace kusema bitu hamna ujuzi nabyo please.Majaji walitenda haki kabisa
Kwel turidike n majaji wetu walio chaguliwa
Mashallah
Mimi naona kasoma vizuri ni lafuzi tuh .
Kila 1 kajaaliwa makadiliyo yake km mm Allah kanijaaliy sauti nzury san yausomaj pia na ukalili ila kuhifadhi kwangu mtihani hap bd sijajaaliwa km sehemu za kusimama na kuwanza km alivyosom shekhe kishiki wallah sipat ht %1 hhhhh ila kwa sauti na ukalili km kebito nazan nafaulu tunapaswa kuendeley kusoma dini ya Allah na kuijuwa vizury siyo kuchukuliy juu juu simpo ila alivyosom huyo mganda albino nimependa
Corruption iko hapo
Majaji mushkel
Mafii muskhel
😭😭😭😭we need to do something for him.........his number please
Kabisa boss
Number the number is in this video look good
Maashaallah
mimi ni mkenya. kabito ndo mshindi
Shida nikwamba qur an inazingatiwa ahkam siosauti tu
@@abufauzan9417 kabisa tajweed ndio muhimu