Kama unaamini hii ni hadithi ya kutengeneza gonga like twende sawa yani wamarekani kwa kupenda sifa wamuue osama bila kubeba mwili wake hiyo haiwezekani
@@happyndossi3617 Nafikir hujui maana Halisi Ya Baraka Za Mungu, Nchi iliyoruhusu Ushoga, Nchi inayotumia Mabavu Kuiba Mali za nchi zenye unyonge, nchi inayouwa watu wengi duniani kuliko nchi nyingine kwa vita inayopandikiza yenyewe, Kweli Ndo walewale Akili ndogo.
@@happyndossi3617 mama ww Mungu anakupa baraka ww ndio utakaye amua uzifanyie wema ama ubaya Marekan inatenda ubaya kwanchi karibu zote za Dunia.....mpaka siku viongoz wa Taifa lako watangaze hadharan ndio utaamin sio????
Ata hii makala bado ya uwongo ukweli Ni kwamba alifia mikononi mwa mke wake na aliumwa na kichwa pia hizo bangi na picha za x no uzushi ili kumchafua Osama alikuwa mumin mzuri Sana polen kwa uwongo msiamini''' innalilah wa innahilahi rajuhun
Thank you my brother am from in Tanzania African my brother thank for your job continue to do it well God bless you all the time all of you my brother from another mother 🙏❤️
Osamaaa ni legend kawajambisha wazungu kwakua alikua akidhihirisha uovu wao na unyanyasaji wao jamani wote tunajua maovu ya marekani sindio sasa ukiwa muislamu uko kwao af ukadhihirisha maovu yao basi utapigwa vita mbaka uione dunia chungu
Hello ,me nimfuatiliaji mkubwa wa the story book lakini kwa mda kidogo Sasa nimekuwa nikijaribu kuangalia if there are any new videos sipati,, napenda Sana unavyosimulia ,, naomba uongeze new videoa and stories to keep it consistent, najua so kazi rahisi but keep it up!💪...hongera sana you have a great voice compared to other story tellers I have known😘...in short I love the story book.. On top of that kuna documentary nyingi Sana za history all over the world that some people can't watch or listen due to language barrier, unaeza pia kuzitafsiri for the benefit of the fellow Tanzanians just an advice coz napenda Sana this program.. Asante 😊
*Maana ya comment ni maoni na si kuomba like pumbavu nyie, mnashindwa kujadili ili kujua mengi zaidi nyie mmekazana oooh "mie wakwanza naomba like" shenzi kabisa nyie mnakera mno wapuuzi nyie.*
Mussa Taliye kuwa labuda hujajua,alijificha sasa Ulinzi tena?. Walinzi wakionekana majiran wangehoji anae Lind was halafu inakuwa siyomaficho tena.ebu fikiria tena kama alihitaji ulinzi alipojificha
Kulikuwa na walinzi ambao ni ndugu wa kalibu na awakutaka kuweka walinzi wengi ili wasijue anapoishi na wamarekani walipanga nyumba kalibu na anapoishi ili wapate uwakiki walikaaa mwaka moja na nusu walifanikiwa kumuona mala moja tu
Hapana hiyo story ya Osama kukufa unayosema ndo ilikuwa uongo - ili wadanganye waamerika na watu eti Osama sha kufa. Osama alikufa Pakistan kwa kuuawa na waamerika
Kama unaamini mungu yupo sema amen
Kama unaamini hii ni hadithi ya kutengeneza gonga like twende sawa yani wamarekani kwa kupenda sifa wamuue osama bila kubeba mwili wake hiyo haiwezekani
Hamis
@@user-vh4kb6li9oll😊
Are leave
Kwel kabisaa uongoo mtupuuuu
he was so handsome mashallah mungu ampe kauli thabit
AMEEN na aturuzuqu SHADDAH kama ya sheikh
Marekani ni nchi iliyo laaniwa Kama Unaamini Kama Mimi Twende Sawa.
Marekani imebarikiwa kwa kila aina taifa kubwa na lenye nguvu kama huamini bac
@@happyndossi3617 Nafikir hujui maana Halisi Ya Baraka Za Mungu, Nchi iliyoruhusu Ushoga, Nchi inayotumia Mabavu Kuiba Mali za nchi zenye unyonge, nchi inayouwa watu wengi duniani kuliko nchi nyingine kwa vita inayopandikiza yenyewe, Kweli Ndo walewale Akili ndogo.
@@sumillohabdallah3259 wamepewa na mungu uwezo wa kukontol dunia kama hutaki haya
@@happyndossi3617 mama ww Mungu anakupa baraka ww ndio utakaye amua uzifanyie wema ama ubaya Marekan inatenda ubaya kwanchi karibu zote za Dunia.....mpaka siku viongoz wa Taifa lako watangaze hadharan ndio utaamin sio????
Jiulize tajiri na maskini nani amebarikiwa...
Kama unaamini serikar ya American haijamuua Hosama gonga like
Kipaji kinachokuja juu kwa kasi ya ajabu MTIGA ABDALLAH you are the best mdogo wng gonga like kama na ww umesanuka
Kweli
Jmani hta jniangalia bsiiii
Kniangali
Good story
Nimekua mtu wa7 leo kutazama hii likes zenu tafadhar...bt jamaaa anajua balaaa salute
Hongera
we like zinakuxaidia nn bn
@@shaibuhalifa9060 🤣🤣🤣🤣
ivi like ni shibe au ni utajiri sana maana sielewi kila mtu ohooo naombeni like zenu
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Ata hii makala bado ya uwongo ukweli Ni kwamba alifia mikononi mwa mke wake na aliumwa na kichwa pia hizo bangi na picha za x no uzushi ili kumchafua Osama alikuwa mumin mzuri Sana polen kwa uwongo msiamini''' innalilah wa innahilahi rajuhun
Huyu mtoa story msikilize vizuri anasema nini
Are you sure?????
Wangemuua wenyewe si wangemuonyesha maiti yake hata kwa mwezi mzima maana wapenda sifa hao!
Napenda sana story zako mungu akubaliki maana tunajifuza mengi
This voice makes everything a reality, beyond explanations...we lov u jamal april, from meru kenya.
Hadi wewe baite uko huku😂😂
Huyu sio jamal ni Mtiga anasauti kuliko jamal
daaaaah!!! huyu jamaa huwa namuelewaga sana anasimulia vzr sana
Emma Marl
Nikweli jamaa waga anasimulia vzur
Hawa jamaa wanatudanganya bhn kama kweli wamempata kwann wasimuoneshe huu ni uongo wa dhahir
Kwa ninavo wajua wamarekani kwa sifa ...kama kweli wamempata osama wangemtembeza hadi Zanzibar ....osama kafariki kwa ahadi yake na sio kuuwawa
Something in my mind is telling me that Osama is still alive
I also think so
Jamaa alikua handsome sana, na anaoneka he was a very polite man
Ogopa sana wapole na watartibu
Yaaani Alikuwa handsome Sanaa huyu baba
So true ,very polite very kind ,so loved by his people
@@shakilarashid2588 🙄
Co handsome tu na alikuwa mstaarabu atari
Thank you my brother am from in Tanzania African my brother thank for your job continue to do it well God bless you all the time all of you my brother from another mother 🙏❤️
Sasa isome tena comment yako na kwa utulivu uone vile uko mzungu
@@clustermqsir9840 vp ase
naikubal san kazi ya wasaf media wcb for life
Hadithi tamu saaanaa nakubali hongera bwanamdogo
Hawa marekani ni washenzi sana mtu akitetea haki yake na nchi yake wanamgeuzia kibao wanamuita gaid r.I.p osama mwanaharakat wa ukweli
Inaumaa sana niwashenzi Hawa wamemuua kwasababu nimwislam ndio maana wakafanya hivyoo
Soo proud of wasafi for letting all world to wat is hidden thank u soon much keep it up
Respect k!ongoz! Xema Fanya mpango story ya Fernando Torres
Daaaah yani unavutia jinsi unavyo simulia kwa ufasah
Daaaaaah 😰😰😰😰😰
Nimependa
Kama nimekutangulia kuangalia nipe like
Muombe mam ako like
Ndoma sipend wamarekani mimi wanyam watupu😢😢
Hao ni waongo hawakuweza kumuuwa osama wazembe ao
Wamarekani laanatullah
Hv kuna tofauti Kati ya mtiga abdalah na Ananias edgar
Manake naona sauti ndo ileile ila majina ni tofauti
edga noma
joe Madinda hapo Kuna mtafuta story na msimulizi wa story wako togauti kila mmoja anakitengo chake
awa ni watu tofauti
Ananias 🔥🔥🔥🔥htr sana
Ananiasi level nyingine kabisa
Osamaaa ni legend kawajambisha wazungu kwakua alikua akidhihirisha uovu wao na unyanyasaji wao jamani wote tunajua maovu ya marekani sindio sasa ukiwa muislamu uko kwao af ukadhihirisha maovu yao basi utapigwa vita mbaka uione dunia chungu
kweli kaka marekani ni wanafiki kazi yao nikuchonganisha watu wagombane wao wawapole mali zao
Tunaomba historia ya vita ya veitamu
Tumepoteza duniani mwanaharakat wa ukweli asiyewasujudia wazungu
Hello ,me nimfuatiliaji mkubwa wa the story book lakini kwa mda kidogo Sasa nimekuwa nikijaribu kuangalia if there are any new videos sipati,, napenda Sana unavyosimulia ,, naomba uongeze new videoa and stories to keep it consistent, najua so kazi rahisi but keep it up!💪...hongera sana you have a great voice compared to other story tellers I have known😘...in short I love the story book..
On top of that kuna documentary nyingi Sana za history all over the world that some people can't watch or listen due to language barrier, unaeza pia kuzitafsiri for the benefit of the fellow Tanzanians just an advice coz napenda Sana this program..
Asante 😊
Saf
Upo fresh kueleza.. I appreciate your historic
Noo. Osama hajafa.
Mimi siwezi amini vile walikua wanamtafuta wangemuua wangemueka kwa jumba la kumbukumbu
jaman naomben like cjawahi kufiksha angalau like 18
Laiki za nn sasa kama sio ushoga
Jamani Naomba mnicheki na mie mpate kunisubscribe kwenye hiichaneli yangu. Nafanya youtube videos pia.nitashukuru sana
Izo like zitakusaidia nn
Inasaidiaga nini kupata hizo likes za kuomba?
Mamb
Uwongouwooooooo
Dah kweli tulidanganywa mana story ingine inaanzia kwenye milima ya torabora pia wakati wanaenda ilikuwa ni usiku kingine ilikuwa ni afganstan
Ni uongo Osama wangemkamata lazima2 wangemuonyesha kwenye Television Sasa mnatuletea(marekani)Stori za Sungura na Fisi
uongo ulikuwepo🤣🤣
Ww ukweli ulikuwepo 🤣😂
*Maana ya comment ni maoni na si kuomba like pumbavu nyie, mnashindwa kujadili ili kujua mengi zaidi nyie mmekazana oooh "mie wakwanza naomba like" shenzi kabisa nyie mnakera mno wapuuzi nyie.*
Moto tv wanakeraa badala wachangie mjadala
@@demboyzdelamboza4143 sijui wananufaika na nini wakipata hizo likes
Wape vidonge vyao
Wambie kk
Moto tv nimekubali bro watu wajinga sanaa
WANGAPI TUNAUNGANA NA MWANDISHI WA HABAR
↔↔ Hersh ↔↔
kma marekani waongoo
Story Book uwa inanielimisha sana
Malgré la souffrance du monde ,mais Jésus est le tout puissant.
perfectly executed and interpreted
Namfuatilia sana uyu jamaa ila nakerwa na waomba like
Mm nnashida na like5 tuu usiulize za kaz gani ila zikizidi mm ni nani mpaka nikatae bhn
Haha nimekupa like pia. Naomba mnicheki na mie mpate kunisubscribe kwenye hiichaneli yangu. Nafanya youtube videos pia.nitashukuru sana
Hahahahahaa
Akumhuwa Osama wangemhuuwa wanavyopenda sif lazima wangemonyesha mbona gdfi warimuonyesha waong
Wamalekan niwaongo yan waingie kwa osama mpaka ndan bila hata kukutana na ulinz nje ya nyumba ya osama
Mussa Taliye kuwa labuda hujajua,alijificha sasa Ulinzi tena?. Walinzi wakionekana majiran wangehoji anae Lind was halafu inakuwa siyomaficho tena.ebu fikiria tena kama alihitaji ulinzi alipojificha
Ni wamaRekani sio wamaLekani
Kulikuwa na walinzi ambao ni ndugu wa kalibu na awakutaka kuweka walinzi wengi ili wasijue anapoishi na wamarekani walipanga nyumba kalibu na anapoishi ili wapate uwakiki walikaaa mwaka moja na nusu walifanikiwa kumuona mala moja tu
@@amranahmedy2019 mmmmmh
Wachambuz wa mamb wanasema marekani ilijilipua yenyew ili kupata uhalal wa kushambulia nchi za kiarabu.
Imerudishwa 🙏🏼
Huu nao umekuwa ni Ugonjwa wa taifa,naombeni LIKE.hii nayo ni aina mpya ya OMBA OMBA
😂😂😂😂😂
Amri Haruna atari kabisa wewe kwamba dalili mpya ya omba omba
Amri Haruna wapuuzi kabisaa watu wanamna hiii
😂😂😂😂 ujinga kabisa
Mpka wanakel mfyuuuuu
me.kila.siku nakoment ila amlike jmn leo naomben like ata 10😥
Acha utoto wew
Pussy kweli wew
Sasa izo like ni za nin
🤣🤣🤣🤣
😁
Leta haraka maisha yake kabisa nakuamini sana
Subhanallah mungu anawaona mliemuua Osama mtapata tabu
hakuna alie muuua osama kaka marekani waongo hawana ubavu wa kumuua osama wangekuwa na ubavu huo wasinge tangaza dau kwa atakaye mpata
Watapata taabu ya nini ??na alivyokuwa anawasaidia magaidi kule somali??
Kama unakubali wasaf media embu like apa kwa pamoja
Kiberit online we ni fala kweli..sasa tukulike ww ndo unahadithia
Please my have you content
Best ahead, everyone must know his/her value
ALLAH AWALANI MAKAFIRI
Njoo nikup story yak
Niwaongo
Niwaongo
Kwan uyo mtoa history ni dini gan
Mazee sa5:43
No view
No comments
Nlkuwa naisubir hii mda wote
Kwann msinibless jaman sjawah fikisha ata like10
Naomba mnicheki na mie mpate kunisubscribe kwenye hiichaneli yangu. Nafanya youtube videos pia.nitashukuru sana
Umeomba like 10 umepata like 130 zikusaidia na nini 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Haaaaaa
kama umeiku bali like bc
Walituzingua hawakumuua.. Wamerakani wanapenda Sifa sana
🤝🤝🤝🤝🤝🤝ni kweli kabisa
Jameni Wasafi tungependa video ya sayari Mars... Na kila shughuli ya NASA katika sayari hiyo
download ISS Kila kitu kipo humo.
Upo makini sana, congrats
Hakuna ushahidi wa kuuawa kwa osama bin ladeni
Movie ya shozniger. Aisee Marekani na Ibilisi hawana tofauti.
Hii story umeipata full kwenye documentary... Nakukubali sana lkn ile ya tupac ndio ulitudanganya
Kazi nzuri
I wish kama action yenyewe ingepatikana... Amerika sio nchi ya kuaminika kwa lolote
Sio Kweli Osama alikutwa ameshakufa mwenyewe na sio nyumbani kwake kwenye mapango au mahandaki.
Uwooongo mmmh
@@noordinrashidi4692 kweli hata mm nilifuatilia vzr tena alizeeka sana,
Hapana hiyo story ya Osama kukufa unayosema ndo ilikuwa uongo - ili wadanganye waamerika na watu eti Osama sha kufa. Osama alikufa Pakistan kwa kuuawa na waamerika
@@salmaalimusa547 hapana ulidanganywa, Osama alikufia pakistan
Kweli walikuta kashakufa sema tu wamarekan ni watu wa kiki
Kaka yangu nakukubali snaaaa yani upo vzr snaaa kka yangu
osama ndio alifariki ila sio na wamarekan🙌🙌🙌USA walivo wapenda sifa wasingemzika kimya kimya wangetangaza dunia nzima🙌🙌
queen gee kwel
Wasafi 2ngependa pia mlete wasaani
cwapendi wamarekani kam nn,,,,,magaidi wakubwa wanawaua watu,,wanawadhalilisha
We nae kwenda huko
Daaah endeleza Basi stori book kumuhusu Osama bin laden maaana inaonekana nitam
The story book is bringing good news, asante sana
tunasubiri historia yake mpaka aanze kuwindwa nawa USA ilikuaje!!?
Kweli
Haswaaa
Mmmmh!! Kwahiii mmetudanganya,Osama alijifia kwakuumwa tu wala hawakumuua.
Mtiga uko vizur kk
Nafurah sana naposikiliza utafsili wako wa stery big up
Good job
Voice 💪💪
Kama unaamin waamerca wametudanganya like APA
Sio kweli
huyo soldier anavyoeleza iyo habari waweza dhani Osama alikuwa mwizi tu wa kuku kwani anauliwa kwa urahisi sana😡😡
Ata mimi nashangaa waliwezaje kuvamia kilaisi ivyo ngome iyo nawakati palikuwa na ulinzi mkubwa naosoma hawawezi kuumua kilaisi kiivyo osama alikuwa mchawi alikuwa namajini wakuupa taarifa mbaya yoyote sasa iweje wamvamie kilaisi ivyo iyo si kweli
Daaaah isay iii inauma SNA bt mungu yu pamoja na si
thanks bro
Tueeleze kisasi cha osama na america yaani bifu yao.....bonyeze like kama pia wewe wataka kusikiza
Nimeyelewa
Wamarekani waongo sana, sababu alivyouwawa Gaddafi
Me binafs siwapendi wamarekani
Kaz nzur
Aaaah mzee unajua so powa
Tuletee na ya Sadam Husein
Umenena
Mimi naona angeleta ya checuevara
Respect mtigaaa🤚🏻🤚🏻
Mlikosea sana kuuwa
What a story teller!Kudos 🙌
napenda kazi yako
Interesting story 🤝🤝🤝
Story nzuri.
anaesikiliza tena hii hadithi ya Mtiga Abdallah tujuane kwa like
🙌
Unajua saana broo kaza buti once day utakua great man broo hungs up
Wanaomba like humu nimashoga
Siezi kubali hapo eti video zisionyeshwe mbona saddam husein waliinyesha kifo chake muamerica anavyopenda sifa huu ni uongo tu
@Aboujan Omarion hapo nkweli,Niko sure wangeweka mpaka holiday hio siku.
Hawa wa America wanafki tu mbona.
@@ahmedyasin5347 wajifanya kutuchezea akili but uongo haudumu lazima utagundulika tu
Vile wanapenda masifa,na hii wakose kuionyesha?!!! Ajabu kweli!!!
Sasa mpka leo mbona hajaonekana akiongea kwenye tv kama zaman
@@shayopaterini8678 media ndo ilikuwa inacheza na akili zetu hizo za hapo awali.....
mm naisubili story ya harmorapa tu tena kwa hamu kubwaaa
hee
Unajua mtiga abdallah big up na kazi yako
kwann osama na obama majina yao yana fanana tofauti ni S na B au osama alikua ni fake kapandikizwa!!
duh
Kikulacho ki nguoni mwako 😂😂
Unaakili
OSAMA ALIKUFA KITAMBO SO TULIDANGANYWA
nimeipenda hii mb zangu hazijapotea
Hatar
Tulidanywa maana maiti hatukuiona!
Umeonaee
@@wahidashabaz5982 kabisa
Mbn sadam tulimwona
mbona watu wanaomba like znakazi gani humu like na mimi nione