Poleni sana kwa familia, kumbe Tanzania hakuna nidhamu, serikali inaendeshwa kimabavu sana, nyoko sana binaadamu kufanyiana u mabavu sana, kila mtu ni jizi. Mhhhmmm
Katangulia tu huyo wote tutakufa, Ila kama wameuliwa Kwa kudhulumiwa wamekufa kifo kizuri saana , kifo cha kuuliwa na Askari wa Jeshi ambalo Halina Imani ya Mungu, na sote tuliopata habari tutawatolea ushahid mzuri tukisimamishwa Kwa Muumba, ktk matukio haya wote mbele za Mungu wanahusika, Mwenyezi Mungu wote waliohusika , na wote wenye nyadhifa na kukaa kimyaaa Tunamuomba Mwenyezi Mungu wao na familia zao wasiwe na Amani tena wajaalie hofu ktk nyoyo zao, na walio fatua risasi Mwenyezi Mungu tunakuomba wasiweze kufanya tukio lingine kama hili wewe ndio mjuzi na mwenye hekma, angamiza wote na vifo vyao viwe fundisho Kwa wengine, Mwenyezi Mungu wewe ndio mjuzi na bingwa wa kupindua hila za waovu
Mzee mbona mnapishana sana maelezo yenu wewe na kijana wako huyo mkubwa (from Jambo TV). Taarifa zenu we na kjana wako zna tuchanganya. Ngoja tusubiri taarifa rasmi. R.I.P
inabidi ifike muda ukija mtaani km huna uniform na kujitambulisha askari,, wananchi tumalizane nao tu tukiwa na sisi kama wao tutaheshimiana tu,, hawa washazulumiwa na hamna watachokipata zaidi ya kumbukumbu na maumivu yasioisha
😂😂😂dah ndugu ulosawa kabixa serikaliya sasa ya ccm nawengineo hovyo tuuhaya angalia vijana wenzetu bado wadogo nguvukazi ya taifa wameenda lait ningekua mm ndio mmoja wandugu bas hao askar wangefurah inabid tuish hvyo heshima itakua
M'mungu hana kazi kabisa, Malaika pia hawana Kazi ila wao ni utekelezaji tu, ila viumbe Majini na Binaadam kwa kweli ni Balaa kubwa linalotungojea. ALLAH atunusuru inshaAllah.
@@aisharamdan8358hawa nyumbu si Yuko nao kitaa sema raiya hawajaamua tuu Kisha tunawamaliza bila kujulikana si unajua sifa ndege aina ya tai na inzi ni mmoja? Kupenda mizoga,mapolisi na tani lao mmoja
Askari wetu mnafanya kazi vizuri lakini naomba msitumike vibaya hakika mm swala hili limenikuta mwaka jana mwezi wa7 askari wamekuja kwanjia hiyo hiyo walikuja mapema tu maeneo ya mtahani kwetu tena mimi mwenyewe nikiwaona kuanzia saa2 asubhi lakini ilpofika saa5 asubuhi wakavamia nyumba yetu na kuuliza jina langu na kisha kuingia chumban kwangu huku risasi zikipigwa vya kutosha baraa lililotokea hapo Mungu mwenyewe anajua kwa nini mimi mzima hadi leo yani kipigo nlichopitia hadi leo mwili wangu hauko sawa mimi nafahamu wazi police hawakosei wafanyapo kazi bali wenye chuki na wauwaji niwatoa taharifa za uongo pindi wanaripot habari ya mtu hawo ndiyo watu wabaya kwetu na tupo nao mtahani niwape pole ndugu jamaa na marafiki lakini Mungu akawaoneshe adui yenu mapema kabla ya kuwalaumu Police mkamjue aliyeshika kauli ya kuwafanya askari kuja hapo Raisi wetu anashughurika na Vingi lakini kuna aja ya kulifatilia Jeshi la police na mkuu wa jeshi la police kwa uweledi wa hali ya juu kuna askari wengi mno wanachafua kazi ya police kwa kufanya kazi nje na kazi zao kwa mshahara wa mtu binafsi leo mm naona haya ya hawa vijana kufanyiwa hivi akili yangu inasema uwenda siku watanirudia tena nmekosa amani hata sasa niko na butwaa maana niliwekwa mahara tofauti tofauti kwa siku 63 pasipo taharifa zangu kamili na hata sasa sijui kwa nini yalinikuta makubwa yote ambayo kwa kuyaeleza hapa sitoweza na pia sijui kwanini niko hai na tena uraiani pale pale palipotokea sintofahamu bado nasema Tanzania iko mikononi mwa Police na majeshi mengne hvyo jeshi letu likawe mfano mwema kwa sura ya nchi matukio ni mengi na vijana tunapotea kwa maneno furani ya watu kwa mtoto wa furani
Unajuaje huwezi kuuwawa tu tena hadhalani IPO sababu jamani sio buure nakama Hao marehemu walipanda basi hayo Ni mavuno Yao vijana tuishi Maisha ambayao Mungu anatujalia ili tufike umri ambazo Mungu ametupangia kuishi
Apa laia wengi mnaoa kama wameonewa hawa vijana lakini hawo vijana wameshindikana hapo vingunguti wanaiba adharani wanapiga adharani wanajiamini yote kuwa waxazi wao wanajiweza walikujq huku kwetu goba hawo vijana wapo 5 hawo ni hatari sana ni bola walivowauwa hawo waliokimbiq watafutwe
Huwa inakua hivi, kituoni huwa hawajui kwa sababu kituo huwa hakija watuma. Kituo kikiwatuma, lazima anakuwepo askari ktk unifoŕm. Hawa askari huwa ni w ale ambao mtu mwenye "yake" anawapa pesa, gari binafsi hao askari wasio na maadili. Kisha anaetafutwa hufuatwa popote, hasa home. Wakikukuta umeliwa kwani askari ambao hutumiwa sana ni wale wasiovaa magwanda na ambao huwa na bastora muda wote. Wao, kuua kwa pesa kidogo ni kitu cha kawaida. USHAURI: Ili yasikukute, vi-pesa vyako visiwe vya kuharibu ndoa za watu, wizi na dhuruma visiwemo ktk mikono yako, Ujana usikudanganye, maisha utayaaga kwa mateso kama hao vijana.
Polisi una maelezo meng sana mara nyingi nyinyi ni zulma tu wala hamna maana alafu polis mna tamaa sana pia mnapenda bifu na raia kiujumla ni waonevu sana
Hiyo kazi ya kuihangaisha familia sio kazi ndogo, familia zenyewe ni za watu wanyo ge hawamiliki usafiri basi hizo akiba ndogo za kinyonge wazitumie mara nenda hapa mara nenda pale ni uonevu tu hakuna la maana hata moja
Bongo hii mkae mkijua polisi wakikukamata usitegemee sana kuwa salama. Ni heri ushikwe na al shabaab wataitisha noti uachiwe ila tz police hapana aise🙌
Niatari kumbe Tanzania iZo hali ya kupiga watu risase km kongo nilizani Amani ipo kumbe akuna kitu ooohh uruma kweli mahana nilivyo kua nasikia eti tanzania Amani ipo niatari
Awa asikali wanambo yakikuma mno maana yakutengeneza kituo nini sasa na mutawauwa wangap sasa kwa staili iyo acheni ujinga ipo siku wanamchi watachoka na ayo matukio yenu nyinyi wazembo inauma ujue
Huyu Samia nchi imemshinda kabisa kwa Nini Mama unaendelea kuwa rais ni uwe mkweli Na Mungu wako hujiuzuru urais? Watanzania watakuheshimu zaidi ukichukua uamuzi wako
Alisema abudu rogo askari wauwa watu sasa,kwa serekali yetu hapo ni sawa na kuupiga konzi mdoli,ilivyo hapo wanataftiwa zegwe lolote tu na wanaendelea na kutafuta wengine na kuwauwa,nchi inatisha snaa hii,kuna watu wapo juu ya sheria
hawa panya road wanaumiza watu kila cku alaf mnaongea upuuzi kwa vile nyinyi hawawaumizi me naomba polisi washuhulike na hawa wanaowatetea pia mana nao ni tatizo
Innalilah wainnaillah rajiuun mwenyez Mungu awape kauli thabiti yarabiy Polen sanaa familia kwa ujumla Allah awape subra njemaa Jozi la mnyonge hulipwa na mwenyez Mungu
Pingu kazi yake nini? Mafunzo wanayo jifunza kwaajili ya nini? Kwahivyo siku hizi hawana Uniform.? Hii itachangia ongezeko la ujambazi, Tunawindwa Nasio kulindwa tena😢
Najua Kama mzazi inauma kweli lakn huenda hujui lakni kwahili jeshi la polisi limefanya kanzi nzuli mana awo vijana walikuwa tishio sana mnao tuhumu polisi hayajawakta
Tusikurupuke jamani askari mara nyingi sio wajinga Hawa vijana ni panya rodi police hawezi kurupuka kwenya kufanya matukio bila uhakika wa jambo na pia km walikuja na nguo za raia ni mbinu zao za ubunifu Ili wapate kila hisi mana wangekuja na nguo za polisi waharafu si wangekimbia
Poleni sana wazazi wa vijana hao marehemu. Hii issue ni serious,kulisafisha jeshi la Polisi na tuhuma hizi inabidi Mkuu wa Mkoa-IGP-Waziri wa Mambo ya ndani wajitokeze na kutoa kauli zao ili wananchi wapate kujua ni kipi sahihi?
Haina haja ya kuangaika na polisi na serikali yao wewe funga muombe mungu ingia chaka soma halbadili 1 takatifu mshtakie mungu wallah mwezi aufiki itajibu tu wanapukutika wote hao
Wakati wà Magufuli ndio ilikua mbaya sana polisi wakiua na kuonewa watu kwa kauli ya wamepewa amri toka juu. Na wasiojulikana ndio mbaya zaidi labda umesahau???
Katika watu siwapendi wakwanza duniani ni police na Ningekua kiongozi wajuu wa tz kitu cha kwanza muhim ningefanya ni kufuta kitu kinachoitwa police wamekua majambazi badala ya kuwalinda watu mungu atawaadhibu adhab kali sana ndio maana vifo vyao ua vya ajabu sana wanakufa kama ngurue mafilauni hao
aliepokea miil mochwar si anajua nani aliowaleta,,
Kuna kipind nlitamanigi kazi ya polisi lakin namshukuru Allah saiz ni mwalimu tu nafundsha watanzania kwa aman kabisa
Ww mtoto wa kike uwez kuwa polic
@@rashidisaidi8535polisi wa kike wako wangu na wengi wanaroho mbaya,omba MUNGU usikutane nao
Na unafundisha askari usiowajua😅
Askal yoyote anaetenda dhuruma huwa mungu anakata kizaz chake...na mwisho wake unakuwa ni mbaya mno
Poleni sana kwa familia, kumbe Tanzania hakuna nidhamu, serikali inaendeshwa kimabavu sana, nyoko sana binaadamu kufanyiana u mabavu sana, kila mtu ni jizi. Mhhhmmm
Mzee anasimulia kirahisi lakn watot bana sio pos
Huyo mwenyekt anaufaham mchezo!. ataje alompgia cm ilitoka kituo gan cha polis na huyo mhudum wa mochwari lazma abanwe ataje wallet hyo mili mochwari
Hao ni porisi maana raia hawezi kuua arafu akabeba miili kuipeleka mwoshwali
Katangulia tu huyo wote tutakufa, Ila kama wameuliwa Kwa kudhulumiwa wamekufa kifo kizuri saana , kifo cha kuuliwa na Askari wa Jeshi ambalo Halina Imani ya Mungu, na sote tuliopata habari tutawatolea ushahid mzuri tukisimamishwa Kwa Muumba, ktk matukio haya wote mbele za Mungu wanahusika, Mwenyezi Mungu wote waliohusika , na wote wenye nyadhifa na kukaa kimyaaa Tunamuomba Mwenyezi Mungu wao na familia zao wasiwe na Amani tena wajaalie hofu ktk nyoyo zao, na walio fatua risasi Mwenyezi Mungu tunakuomba wasiweze kufanya tukio lingine kama hili wewe ndio mjuzi na mwenye hekma, angamiza wote na vifo vyao viwe fundisho Kwa wengine, Mwenyezi Mungu wewe ndio mjuzi na bingwa wa kupindua hila za waovu
Amina yaarabi
Mzee mbona mnapishana sana maelezo yenu wewe na kijana wako huyo mkubwa (from Jambo TV). Taarifa zenu we na kjana wako zna tuchanganya. Ngoja tusubiri taarifa rasmi. R.I.P
inabidi ifike muda ukija mtaani km huna uniform na kujitambulisha askari,, wananchi tumalizane nao tu tukiwa na sisi kama wao tutaheshimiana tu,, hawa washazulumiwa na hamna watachokipata zaidi ya kumbukumbu na maumivu yasioisha
😂😂😂dah ndugu ulosawa kabixa serikaliya sasa ya ccm nawengineo hovyo tuuhaya angalia vijana wenzetu bado wadogo nguvukazi ya taifa wameenda lait ningekua mm ndio mmoja wandugu bas hao askar wangefurah inabid tuish hvyo heshima itakua
Points broo
Point
Point wangu
Hata xx tunatakiwa tulipize wakiuwa raiya popote akijichanganya tunampoteza nae
Kumbe saa hizi polis bila kuja na kiongozi wa mtaa hakuna kutoka nje
Kwa mungu kuna kazi
Mungu/MUNGU sio mungu
@@Zaburi-Kwan mungu na MUNGU inatofaut Gani?
M'mungu hana kazi kabisa, Malaika pia hawana Kazi ila wao ni utekelezaji tu, ila viumbe Majini na Binaadam kwa kweli ni Balaa kubwa linalotungojea. ALLAH atunusuru inshaAllah.
Hao askari ipo siku nitakuja kuondoka nao zaidi ya 1000000
Utawaweza?
Hamza kafufuka😂
@@aisharamdan8358hawa nyumbu si Yuko nao kitaa sema raiya hawajaamua tuu Kisha tunawamaliza bila kujulikana si unajua sifa ndege aina ya tai na inzi ni mmoja? Kupenda mizoga,mapolisi na tani lao mmoja
@@aisharamdan8358usimvunje moyo awa askra wanaznguwa tpewe slaa alafu ndo utajuwa tnaweza ama atuwez il tuwindane vzr
Acha mihemko comment yako ipo na hapa wapo watu tofauti jishikilie
Askari wetu mnafanya kazi vizuri lakini naomba msitumike vibaya hakika mm swala hili limenikuta mwaka jana mwezi wa7 askari wamekuja kwanjia hiyo hiyo walikuja mapema tu maeneo ya mtahani kwetu tena mimi mwenyewe nikiwaona kuanzia saa2 asubhi lakini ilpofika saa5 asubuhi wakavamia nyumba yetu na kuuliza jina langu na kisha kuingia chumban kwangu huku risasi zikipigwa vya kutosha baraa lililotokea hapo Mungu mwenyewe anajua kwa nini mimi mzima hadi leo yani kipigo nlichopitia hadi leo mwili wangu hauko sawa mimi nafahamu wazi police hawakosei wafanyapo kazi bali wenye chuki na wauwaji niwatoa taharifa za uongo pindi wanaripot habari ya mtu hawo ndiyo watu wabaya kwetu na tupo nao mtahani niwape pole ndugu jamaa na marafiki lakini Mungu akawaoneshe adui yenu mapema kabla ya kuwalaumu Police mkamjue aliyeshika kauli ya kuwafanya askari kuja hapo Raisi wetu anashughurika na Vingi lakini kuna aja ya kulifatilia Jeshi la police na mkuu wa jeshi la police kwa uweledi wa hali ya juu kuna askari wengi mno wanachafua kazi ya police kwa kufanya kazi nje na kazi zao kwa mshahara wa mtu binafsi leo mm naona haya ya hawa vijana kufanyiwa hivi akili yangu inasema uwenda siku watanirudia tena nmekosa amani hata sasa niko na butwaa maana niliwekwa mahara tofauti tofauti kwa siku 63 pasipo taharifa zangu kamili na hata sasa sijui kwa nini yalinikuta makubwa yote ambayo kwa kuyaeleza hapa sitoweza na pia sijui kwanini niko hai na tena uraiani pale pale palipotokea sintofahamu bado nasema Tanzania iko mikononi mwa Police na majeshi mengne hvyo jeshi letu likawe mfano mwema kwa sura ya nchi matukio ni mengi na vijana tunapotea kwa maneno furani ya watu kwa mtoto wa furani
Fungeni na kuomba mungu someni yasini sana ndani ya wiki mtapata majibu watapuputika kama kumbikumbi😢😢
Kabisa
Unajuaje huwezi kuuwawa tu tena hadhalani IPO sababu jamani sio buure nakama Hao marehemu walipanda basi hayo Ni mavuno Yao vijana tuishi Maisha ambayao Mungu anatujalia ili tufike umri ambazo Mungu ametupangia kuishi
Ni mtihani. Sn ss ivi
We mzeee KUMA LA MAMAAKO,,,,NA WEWE UFE UFIRIKE,,,MZAA LAANA MKUBWA MBWAAA
Poleni sana familia
Kazi
Apa laia wengi mnaoa kama wameonewa hawa vijana lakini hawo vijana wameshindikana hapo vingunguti wanaiba adharani wanapiga adharani wanajiamini yote kuwa waxazi wao wanajiweza walikujq huku kwetu goba hawo vijana wapo 5 hawo ni hatari sana ni bola walivowauwa hawo waliokimbiq watafutwe
Lakini mm naamini aliyekua Kwa upanga naye atakufa Kwa upanga
Aiiiiii jamani jamani nani kafanya ushezi uhu jamani vijana wezetu bado wadogo jamani inatiha uruma sana
SIKU UKIKUTANA NAWO NDO UTAJUWA WADOGO AU WANAHURUMA KAMA HAWATAONDOKA NA KIUNGO CHAKO.
Mungu ni fundii
Atakae uwa kwa upanga nae Atauliwa kwa upaga
Kwel kabisaa
@@awadhally1052tuyamalize huku mtaani si tunakula na kunywa nao? Cku inakuja
Huwa inakua hivi, kituoni huwa hawajui kwa sababu kituo huwa hakija watuma. Kituo kikiwatuma, lazima anakuwepo askari ktk unifoŕm. Hawa askari huwa ni w ale ambao mtu mwenye "yake" anawapa pesa, gari binafsi hao askari wasio na maadili. Kisha anaetafutwa hufuatwa popote, hasa home. Wakikukuta umeliwa kwani askari ambao hutumiwa sana ni wale wasiovaa magwanda na ambao huwa na bastora muda wote. Wao, kuua kwa pesa kidogo ni kitu cha kawaida. USHAURI: Ili yasikukute, vi-pesa vyako visiwe vya kuharibu ndoa za watu, wizi na dhuruma visiwemo ktk mikono yako, Ujana usikudanganye, maisha utayaaga kwa mateso kama hao vijana.
ila kijana wa miaka 21 kweliiii
Usiwatetee hy kwa Askari si mara ya kwanza
nimekueless
Polisi una maelezo meng sana mara nyingi nyinyi ni zulma tu wala hamna maana alafu polis mna tamaa sana pia mnapenda bifu na raia kiujumla ni waonevu sana
Kila comment hapa ni ya umuhimu lkn adui yupo mtahani KABLA ya police na adui ni mtoa taharifa uwenda za KWELI au sikweli
Jamani jamani, Mngu atawalipia. Au kawakunutieni kumamayo zao...
Kama ndugu yeyoye wa hao watu atasoma comment hii basi someni dua mungu atoe hukumu ata karbadiri someni kabisa waishe kama nzi😢😢😢😢
ALBADIRI WAKATI WATOTO WAO PANYA ROAD?WANAUWA WATU NA KUJERUHI NA MAPANGA?
@@stevensosipita nani alosema walikua vibaka
Hiyo kazi ya kuihangaisha familia sio kazi ndogo, familia zenyewe ni za watu wanyo ge hawamiliki usafiri basi hizo akiba ndogo za kinyonge wazitumie mara nenda hapa mara nenda pale ni uonevu tu hakuna la maana hata moja
Hivi police mtaponea wapi naomba ndugu wafunge na kuomba Mungu afanye kazi yake
Daah so sad jamnii😢
Bongo hii mkae mkijua polisi wakikukamata usitegemee sana kuwa salama. Ni heri ushikwe na al shabaab wataitisha noti uachiwe ila tz police hapana aise🙌
Lkn itakua kunasababu 2
Wamesema ni panya road
Niatari kumbe Tanzania iZo hali ya kupiga watu risase km kongo nilizani Amani ipo kumbe akuna kitu ooohh uruma kweli mahana nilivyo kua nasikia eti tanzania Amani ipo niatari
Jeshi la Polisi linatakiwa kuundwa upya. Sijui Kwa Nini malaka husika haichukulii Kwa UMUHIMU haya matukio
Liondolewe tu wabaki JWTZ TU
@@israelkisaila8401afadhali
Kabla hujakoment ujinga tafakar kuna taarifa zao kwenye mitandao mingine
Kaka hao n panya road tena vbaka walkua wanaasumbua sana uku vingungutii
@@israelkisaila8401msenge mmoja wewe
Sasa iv maisha sio watu hawaiheshim serikal mama askal wako wanakudharau Sana
Awa asikali wanambo yakikuma mno maana yakutengeneza kituo nini sasa na mutawauwa wangap sasa kwa staili iyo acheni ujinga ipo siku wanamchi watachoka na ayo matukio yenu nyinyi wazembo inauma ujue
Huyu Samia nchi imemshinda kabisa kwa Nini Mama unaendelea kuwa rais ni uwe mkweli Na Mungu wako hujiuzuru urais? Watanzania watakuheshimu zaidi ukichukua uamuzi wako
Wacha ujinga uwoo mtoto wa kike wewe ajizulu kwakukuuwawa vijana wawili
@@mohdhaji550 kweli wauwaji wako wengi, na hao tuu,au Leo ndo umeanza kuingiza huku
@@mohdhaji550ndugu yako atampatwa nae,kwani MUNGU sii athumani
Basi uchunguzi huru ufanyike na polisi wasimamishwe kuupisha huo uchunguzi
Kila kituo kina silah zenye namba na idadi ya risasi zinajulikana,kama ni polisi wanakulika tu sema marehem hana hak ktk serikal
Polen Sana wafiwa 😭😭
Majambazi hao. Wakufe tu. Vinasumbua sana
Hivi hii inchi inaenda wapi mheshimiwa rais tunakuomba hili ni tatizo kubwa
Shekhe mkubwa unatetea maalifu wacha yauwawe yanavyokata mapanga watunakuchoma visu😂😂😂
Panya road hao
Kwani ukiwa kiongozi wa walinda usalama lazima ujijengee sifa mbaya?
Siku moja mijeda km wapagawe tu waingie vituon kwenu wawakung,ute had mkome cdf amlisha jeshi lako muwape adabu kidgo mbwa hawa
Mbona taarifa nyingine za Jumanne Muliro, zinasema hao na PANYA ROAD walikua 8 wanapanga kwenda kufanya uhalifu saa mbili usku, na mapanga???
malipo ni hapa hapa mungu yupo
Kama kweli ni askari,mjitafakari ipo siku Hawa raia wakichafuka nyongo zao mtatafuta pakujificha,badilikeni ushauri wangu.
Nyongo zimejaa Bado kuzitapika nao cku sii nyingi majibu watayapata
Nchi hii inapo elekea itakua nivita tuu maana hao askali wenyewe wengi wao hawana maadili
Alisema abudu rogo askari wauwa watu sasa,kwa serekali yetu hapo ni sawa na kuupiga konzi mdoli,ilivyo hapo wanataftiwa zegwe lolote tu na wanaendelea na kutafuta wengine na kuwauwa,nchi inatisha snaa hii,kuna watu wapo juu ya sheria
Kudadek ndiomana tumikimbia bongo apo serikari inamfumo mbovu wewatu wanaangika vtuo vyamji mzima walengwa awapatkan
Ifike maali police kumbukeni mungu yupo
Ndugu rogeni hizo kuma zife kama mbuzi Kumamae zao Yan uwen wao na familia zote aise msikubal aise hzo kuma zinatamaa za pesa
Mbona nasikia panya road hawa?
Sina Imani na police wetu kwa sasa
dawa kla amilk slaa tu dadek il tuwindane vzr
hawa panya road wanaumiza watu kila cku alaf mnaongea upuuzi kwa vile nyinyi hawawaumizi me naomba polisi washuhulike na hawa wanaowatetea pia mana nao ni tatizo
😢😢😢😢💔💔💔😭😭
Innalilah wainnaillah rajiuun mwenyez Mungu awape kauli thabiti yarabiy
Polen sanaa familia kwa ujumla Allah awape subra njemaa
Jozi la mnyonge hulipwa na mwenyez Mungu
Jinsi alivyo nimstarabu huyuu kaka halafu wanamuuwa kijingaa loh
Siyo rahisi police kuwapiga risasi Bila kuwa na uhakika wa ukweli wao mpaka wapigwe risasi Bila woga
Pingu kazi yake nini?
Mafunzo wanayo jifunza kwaajili ya nini?
Kwahivyo siku hizi hawana Uniform.? Hii itachangia ongezeko la ujambazi, Tunawindwa Nasio kulindwa tena😢
Yani maaskari kwasasa nimajambazi wanamzarau sana rais samia
Innalilah wainnailah rajuun
Najua Kama mzazi inauma kweli lakn huenda hujui lakni kwahili jeshi la polisi limefanya kanzi nzuli mana awo vijana walikuwa tishio sana mnao tuhumu polisi hayajawakta
Ww nawe lazima ukamatwe utoe maelezo vizuri huenda unajua kisa chote
Mm nilisema waislam wanazaa olela ona panya road wote dini moja
Dah
Polisi wampige mtu bunduki alafu mwingne aje kuhoji kuna nini nae apigwe tena bunduki..duuuuh hao sio polisi kuna namna hapo
apo wasomeeni dua ata kituo kizima nacho kife tu msikubali
Watakuwa tuwaminye hapo ndipo heshima kati ya raiya na police itakuwepo
@@MiriamAbdallah amini me mwenyewe nna ndugu yangu walikuja pale kino wamemchukua atujamuona mbaka leo alafu wakija wanasema wao police
Kwa mtazomo wangu polecy wasitumike kwa kuuwa raia mbali wawalinde raia na Mali zao pia waziri wa Mambo ya ndani sikia vilio vya watanzania
Tusikurupuke jamani askari mara nyingi sio wajinga Hawa vijana ni panya rodi police hawezi kurupuka kwenya kufanya matukio bila uhakika wa jambo na pia km walikuja na nguo za raia ni mbinu zao za ubunifu Ili wapate kila hisi mana wangekuja na nguo za polisi waharafu si wangekimbia
Poleni sana wazazi wa vijana hao marehemu.
Hii issue ni serious,kulisafisha jeshi la Polisi na tuhuma hizi inabidi Mkuu wa Mkoa-IGP-Waziri wa Mambo ya ndani wajitokeze na kutoa kauli zao ili wananchi wapate kujua ni kipi sahihi?
Watatudanganya tuu kwani wanabebana
😢😢😢💔
Asikali wabongo ni waonevu sana ndiomana amza alifanya mamuzi yalio sahihi maana awa wasenge kabisa
Kwann Hospitalit wanakubali kupokea miili moja kwa moja bila ya kuandikwa chochote ,ujinga huo na upunbavu ,Polisi ndo kazi yao kulindana wasenge tu
Si mkono wa dollar umepeleka na mawe yakatembea,mifuko ikishatuna kwisha
Panya road hizo piga shaba
Haina haja ya kuangaika na polisi na serikali yao wewe funga muombe mungu ingia chaka soma halbadili 1 takatifu mshtakie mungu wallah mwezi aufiki itajibu tu wanapukutika wote hao
😂😂 #Mmejaribukulitafta
#JeshlaPolic
Miak
Watanzani tuwe macho leo wamekufa vijana wetu kesho sisi cos wamewatoboa hadi macho ni unyama huu
Hao vijana rekodi zao mtaani zinasemaje
Polis watanzania wamekuwaje? Mbona wanajenga chuki kwa wananchi jamani
DUU! MBONA POLIS WAMEKUA HIVYO?
Hawo wanaottuhumiwa watoe maelezo yakina kwa uma wa watanzania
me ndio mana siwapendi askali na ndoto yangu kubwa ni kumiliki pastola na siku kum* ajichanganye ataelewa kuma make
Polisi nao wapelekwe nchi zenye vita kama somalia sudani Israel Palestine wakatoe msaada huko kwani wanahamu ya vita.watatumaliza hao.
Hawo kweli ni askari au kuna mengine
Ant robbery hao, ukiwa muhalifu sugu wakakuibukia lazima wakukili
Siamini kama ni police😢ambao Wana dhamana ya kulinda raia na mali zao
Afu mpitie na kwangu wadau
Sasa iweje miwili ikutwe amanahospitol na taarifa zao zisiwepo mapokezi hapa Kuna mchezo umechezeka
Wakati wa magufuli walikua wanafanya kazi vizuri ila sasahv polis wamekua wauaji 😢😢😢
Wala siyo polisi wasingalisema et sisi ni polisi. Polisi syo wajinga hivo
Wakati wà Magufuli ndio ilikua mbaya sana polisi wakiua na kuonewa watu kwa kauli ya wamepewa amri toka juu. Na wasiojulikana ndio mbaya zaidi labda umesahau???
@@emmanuelmlowe-ew7gx sasa difenda ni yakina nani?
Kwakweli tunamalizwa na wanao sema ni walinzi wa raia na mali zao
Ila allah yupo atailipa hizo damu za walio uwawa
Wanamzarau.sana uyu raisi hawamuogopi
Inna lillah wainna ilayhi rajiuun
Duuh sasa ivi watu wanatumia vyeo kuuwa watu
Lilo wazi
Watoto zenu wezi panya road washaumiza na kuua sana wakwende uko
Uchaguzi.chagua.kiongozi.bora.sio.chama.mwenye.hekima.ya.munguu
Katika watu siwapendi wakwanza duniani ni police na Ningekua kiongozi wajuu wa tz kitu cha kwanza muhim ningefanya ni kufuta kitu kinachoitwa police wamekua majambazi badala ya kuwalinda watu mungu atawaadhibu adhab kali sana ndio maana vifo vyao ua vya ajabu sana wanakufa kama ngurue mafilauni hao
Kwan ili jesh. Haiwezekan likafutwa
Wabaneni Amana wanajua vzur tuu
hivi na wao wakitendewa ktk familia zao watajisikiaje maana ndo itakwenda huko kwa kizazi hk watu wakichoka yataanza malipizi au visasi
Tayati tusha choka cku utasikia,na yakiwakuta utasikia magaidi yameuwa police wetu,tunayasaka hayo magaidi,kumbe police ndo magaidi ya kwnza
Mmhhh
Yani sasa hivi maasikari hawajui wajibu wao wanacho kiona ni kuuza wananchi
R.i.p
Hii nchi hii sijui inaenda wapi jamanii