Katika inchi za africa Uganda inakuja mbele sana kwa usalama . Chakula bei rahisi sana . Kg 1 ya mchele mzuri kwa Sasa burundi ni 6000 fbu ? Je unaweza nambiya Uganda ni pesa ngapi 1kg ya mchele
Daaa hii pc kali kweli museven muachie mtoto au nikuloge.. Sio kwamba ruto ni muoga hapana uliza wakenya wamekufa wangapi ni kwamba ili kuwashusha hawa watawala wetu bila dam hawasikii Kenya wamekufa ndo mana ruto aka ogopa jumuia za kimataifa
Ruto ni katili kushinda museveni lakini kenya ni nchi ambayo machizi Wote wa Africa walikusanyika Pamoja kuunda Taifa litwalo Kenya kwa iyo akuna Mtu timamu uku
Hayo ni mawazo mepesi mzee hakuna Nchi yenye Rais anayeweza kuwashinda Wananchi, ipo hivi jua kutofautisha Wananchi kuwa tayari na Wananchi ambao hawapo tayari, Kenya harakati unazoziona leo hazijaanza leo mfuatilie Ruto na Uhuru walipambana kiasi gani, wewe mwenyewe kufika umri huo kuna ulipoanzia
Kenya ni marekani ndogo au nato ndogo kwa hiyo wasitufanye na sie tuwe kama wao sisi hatutaki uhuru wa kipumbavu kama wa wakenye mbona hawakuandamana wakati marekani na ulaya wanawekeza nguvu zao kubwa kenya kuliko nchi yoyote africa mashariki kenya ndio mfereji wa kupitishia uhuni wote wa marekani na ulaya kuja kwenye nchi zetu hizi zilizo staarabika sisi tunatakiwa kuwaheshimu viongozi wetu kenya wao hawana hiyo nidhamu
Lakwanza uwo mfereji wa uhuni kama waujua ulipo nenda ukaufunge...lapili Kenya hakuna mamako Wala mjombako...kwa hio lisilo kuhusu lisikutie hofu sheeeeenzi type 😏
Kinacho tofautiana ni katiba coz Kenya Raisi ni miaka kumi lkn angalia ruwanda na Uganda kisha angalia Tanzania ungelea Raisi kwa ubaya au tukana kiongozi lkn Kenya waeza kulingana na katiba na hio ndio tofauti rudi miaka ya nyuma wakati wa moi Kenya ilikua Raisi akija kwa mkutano kila mtu lazima aende so Tanzania Uganda kwanza wekeni sawa katiba yenu kisha ndio muanze kulinganisha na Kenya
Swala ni time tu. Dictatorship inaisha tu. Useme tu Uganda na Tanzania hatujafikia tipping point. Dictators huwa hawajali katiba. Kenyans wako tayari kufia haki yao. Na sio kuanzia Gen Z tu ni swala la history
Wakijitokeza wote kwauingi, raisi yeyote hatakama ni shetani hawezi kuwaweza. Tofauti ya wakenya na uganda wakenya wanajitokeza kwauingi wa kundi kubwa na hawaogapi wote. Uganda haina gereza ya milioni ya watu.
Ruto hana uzuri ni about Kenyans constitution uko free kuandamana ata ug ata tz constitution ina kubali serikali inaweka watu uoga wasijue haki zao
Huku kenya ni kama ulaya tunazijua haki zetu
Katika inchi za africa Uganda inakuja mbele sana kwa usalama . Chakula bei rahisi sana . Kg 1 ya mchele mzuri kwa Sasa burundi ni 6000 fbu ? Je unaweza nambiya Uganda ni pesa ngapi 1kg ya mchele
Daaa hii pc kali kweli museven muachie mtoto au nikuloge.. Sio kwamba ruto ni muoga hapana uliza wakenya wamekufa wangapi ni kwamba ili kuwashusha hawa watawala wetu bila dam hawasikii Kenya wamekufa ndo mana ruto aka ogopa jumuia za kimataifa
Huyu Museveni Kuna siku utamuona JOSEPH KONNY mlangoni kwake🙄🙄
Yana mwisho!!
Noma
Ruto ni katili kushinda museveni lakini kenya ni nchi ambayo machizi Wote wa Africa walikusanyika Pamoja kuunda Taifa litwalo Kenya kwa iyo akuna Mtu timamu uku
😂😂😂😂
Wajali wa nyarwanda kwa kagame watakiona chamoto
Rwanda awawezi wakafanya ivi kwa sababu Rwanda akuna uhuru 😢
Hayo ni mawazo mepesi mzee hakuna Nchi yenye Rais anayeweza kuwashinda Wananchi, ipo hivi jua kutofautisha Wananchi kuwa tayari na Wananchi ambao hawapo tayari, Kenya harakati unazoziona leo hazijaanza leo mfuatilie Ruto na Uhuru walipambana kiasi gani, wewe mwenyewe kufika umri huo kuna ulipoanzia
Uganda ni kama Tz..... Tz hawa kutoi uhai ila mtajaa kwenye magereza mpaka mkome.... Mtalima mashamba huko mpaka mchanganyikiwe
Kenya ni marekani ndogo au nato ndogo kwa hiyo wasitufanye na sie tuwe kama wao sisi hatutaki uhuru wa kipumbavu kama wa wakenye mbona hawakuandamana wakati marekani na ulaya wanawekeza nguvu zao kubwa kenya kuliko nchi yoyote africa mashariki kenya ndio mfereji wa kupitishia uhuni wote wa marekani na ulaya kuja kwenye nchi zetu hizi zilizo staarabika sisi tunatakiwa kuwaheshimu viongozi wetu kenya wao hawana hiyo nidhamu
Lakwanza uwo mfereji wa uhuni kama waujua ulipo nenda ukaufunge...lapili Kenya hakuna mamako Wala mjombako...kwa hio lisilo kuhusu lisikutie hofu sheeeeenzi type 😏
Kinacho tofautiana ni katiba coz Kenya Raisi ni miaka kumi lkn angalia ruwanda na Uganda kisha angalia Tanzania ungelea Raisi kwa ubaya au tukana kiongozi lkn Kenya waeza kulingana na katiba na hio ndio tofauti rudi miaka ya nyuma wakati wa moi Kenya ilikua Raisi akija kwa mkutano kila mtu lazima aende so Tanzania Uganda kwanza wekeni sawa katiba yenu kisha ndio muanze kulinganisha na Kenya
Swala ni time tu. Dictatorship inaisha tu. Useme tu Uganda na Tanzania hatujafikia tipping point. Dictators huwa hawajali katiba. Kenyans wako tayari kufia haki yao. Na sio kuanzia Gen Z tu ni swala la history
alafu sio ati ruto ni mzuri wakenya ni vichwa maji na tukiamua kufanya Jambo tunafanya kwa umoja na nguvu kubwa
Ndioila asikar wengeamua kuwauwa nakuwakamata basi maandamano yenu yasenge fikapajali
Mmh nimefall in love with huyo mwana habari
Jina lake ni Frederick Bundala also known as Sky🙏
Wakijitokeza wote kwauingi, raisi yeyote hatakama ni shetani hawezi kuwaweza. Tofauti ya wakenya na uganda wakenya wanajitokeza kwauingi wa kundi kubwa na hawaogapi wote. Uganda haina gereza ya milioni ya watu.
Museveni. Nimuwaji
Kakuuwiya nani...