Kumbe watu tunaoishi Finland tunakula sahihi asanteni sana mana afathali sky u atusaidia tukipata wageni kutoka nyumbani wasitlaumu upande Wa chakula wakija huku wakirudi wamekonda.
@@pascalkasandakasela4541 huku watu wanakula viazi ambayo ni wanga but nyama nyama ni nyingi au kuku au samaki na lazima salad 🥗 au mbona mboga na matunda lazima na sio mengi chakula cha kifini sahani yake ndio hiyo ambayo doctor 👨⚕️ anajaribu kuisema.
Mbarikiwe sana kwa kuhost darasa zuri...
Dr ameshare madini makini balaa kwa jamii
Sky wewe kweli umeamua kuja na mapinduzi mapya kabisa. Hawa huwa hawapewi nafasi kabisa japokuwa ni muhimu sana kwenye maisha yetu ya kila siku
Absolutely
Dr ahsante sana kwasomo Zuni sana. Naihitaji kitabu ntakipataje?
Uko wapi tafadhali
Aisee nimepata somo kubwa sana ubarikiwe Sky
Hiki kitabu naweza tumiwa whatsapp na nlipe na mpesa juu mi n mkenya
Tunaweza kutuma Kwa bus
Kumbe watu tunaoishi Finland tunakula sahihi asanteni sana mana afathali sky u atusaidia tukipata wageni kutoka nyumbani wasitlaumu upande Wa chakula wakija huku wakirudi wamekonda.
Mnakuje Finland jamani. Chakula chenu kikuu ni nini
@@pascalkasandakasela4541 huku watu wanakula viazi ambayo ni wanga but nyama nyama ni nyingi au kuku au samaki na lazima salad 🥗 au mbona mboga na matunda lazima na sio mengi chakula cha kifini sahani yake ndio hiyo ambayo doctor 👨⚕️ anajaribu kuisema.
Tunashukuru sana sana aisee. Watu wa nje ya nchi tunakipataje?
Tunatuma Kwa DHL
Nahitaji hicho kitabu kinapatikana wapi Dr.
Hata Mimi. Ninakihitaji
Sky mimi nataka hicho kitabu Lakini naishi Australia
Kitab tunakipataj dokta
Niko nje ya nchi nitapaje kitabu sky
sky twambie
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.