Kipindi kinatupa elimu kinatuburudisha na kinatupa hamasa Allah atawalipeni inshaallah msichoke msipoe hatujaridhika na elimu tuliyonayo bado tunajifunza zaidi ongezeni juhudi
Assalamu Allaikum waarhamatulahi wabarakatuh...Mhusika. Alhamdullilah we r getting a lot to know n to learn... Tafadhali ningependa ikiwezekana tuleteeni sheikh Ismail Mohammed aendelee na kipindi cha street Da'awa kwani approach na presentation yake ina mvutio waki pekee..Ni mchangamfuu n Very lively.
Nimejifunza vingi hapa ila nilichojifunza zaidi ni kwamba sisi wanaadamu hatupendi kujua tuliko toka na wapi tunakwenda na tumeridhika na hii hali na inatupelekea kuwa wajinga na ujinga wetu bado tunajifanya tunajua kilakitu na tukikosolewa tunapanick Allah katusisitiza kusoma tuijue dunia yetu na dini yetu ili tumjue yeye ukiona umepewa fursa ya kumjua Allah tumia kipawa alicho kupa Allah kuwafundisha na wengine kwani utaenda kuuliza ulitumia vipi hii neema ya akili niliyo kupa kma wew ni mwalimu, tabibu, muhandisi, au hta jirani au rafiki wajulishe watu wa karibu na wew kuhusu mola wao hivo utakuwa umeokoa watu wengi na moto
Suratul baqraa. Lkn ikiwa nyumba umeeka mapicha ya viumbe hai au vinyago haisaidii. Mapicha ya viumbe hai na vinyago vinasogeza mashaitwani na kukimbiza malaika.
Wa Alaykum Salaam Warahmatullah Ta'ala Wabarakatuh
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALHAMDULILLAH Juma lingine kwenye kipindi pendwa. Jazzaka Allahu Khairan ❤
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Mashallah Mashallah Mashallah
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh. Shukran jazakallahu khair
Waalaikum salaam warahmatullah wabarakatuh MashaAllah
Waalykum salaam warhamatullah wabarakatuh JazzakaAllah khayra kwa kipindi pendwa #teamkishki🙏
Jazakallah khayran
Walaykum sallam warahmatullah wabarakatuh mashaallah mashaallah tabarakallah
Mzee anakuambia mmenishtukiza Dah.! Kweli Munkar na Nakir wataadhibu wengi Allah atuhifadhi na Adhabu za kaburi😭😭😭
Mashallah tabarakallah
Kipindi kinatupa elimu kinatuburudisha na kinatupa hamasa Allah atawalipeni inshaallah msichoke msipoe hatujaridhika na elimu tuliyonayo bado tunajifunza zaidi ongezeni juhudi
Subuha Allah Shek Nurudin fanya uwende uko akawape elim waislam wezetu mtihan kwa kweli 😢😢😢
Walyem mssalam warrahmathuallah wabarakathu
Assalamu Allaikum waarhamatulahi wabarakatuh...Mhusika. Alhamdullilah we r getting a lot to know n to learn... Tafadhali ningependa ikiwezekana tuleteeni sheikh Ismail Mohammed aendelee na kipindi cha street Da'awa kwani approach na presentation yake ina mvutio waki pekee..Ni mchangamfuu n Very lively.
Hawa wanahitaji kupewa elimu Ashahadu sio Dua ya kulala @kishk Tv waelimishen
Surathul bakaraa ukiisoma nyumbani kwako shetaniii hatoingia kwa siku 3
SURATUL BAQARA
Masha Allah nimepatia
Suratul Bakara
Mashallah ❤
Mtihani watu hawana elimu kabisa, waisilamu jina
Namuomba Allah atuongoze kwa sote
Surat Albaqara
Surat bakara
Albaqara
Nikweli kabisa elimu ndoyo kilakitu
Mbona watu wa mji huu kama wamepoa sana
Nimejifunza vingi hapa ila nilichojifunza zaidi ni kwamba sisi wanaadamu hatupendi kujua tuliko toka na wapi tunakwenda na tumeridhika na hii hali na inatupelekea kuwa wajinga na ujinga wetu bado tunajifanya tunajua kilakitu na tukikosolewa tunapanick Allah katusisitiza kusoma tuijue dunia yetu na dini yetu ili tumjue yeye ukiona umepewa fursa ya kumjua Allah tumia kipawa alicho kupa Allah kuwafundisha na wengine kwani utaenda kuuliza ulitumia vipi hii neema ya akili niliyo kupa kma wew ni mwalimu, tabibu, muhandisi, au hta jirani au rafiki wajulishe watu wa karibu na wew kuhusu mola wao hivo utakuwa umeokoa watu wengi na moto
Wana matamshi mazuri ya kusoma Qur'an watu waelimishe huo mtaa
Daah kwa ufupi tusomeni saan jaman qura'an 😂😂
Ila watu wanaulizwa swali jingn wanaaza sema hbr za kulala 😂😂
😂
@@busta_malik5971 😁😁
🤣🤣🤣
@@siriyangu4724 😁😁
Kuna umuhimu wa wenye elimu wande waelimishe wawazimdue
Baqara
Astaghfiru Allah mungu hajulikani ht yuk wap
Yani hii wtu wajuwa ni mda wa killa tu but ni mda wwote ukisoma cyo ucku tu anyway we really appreciate
Suratul baqraa. Lkn ikiwa nyumba umeeka mapicha ya viumbe hai au vinyago haisaidii. Mapicha ya viumbe hai na vinyago vinasogeza mashaitwani na kukimbiza malaika.
😅😅😅😅
😂😂😂 takibir amin
Yaskitisha sanaa wallahy 😢
Ashhadu ndo dua la hapo kijijini kote la kulala.
😄😄😄