Ufafanuzi wa Rais Magufuli kuhusu kuminywa kwa demokrasia Tanzania
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- Ni wakati wa mkutano kati ya viongozi wa dini na Rais Magufuli uliofanyika Januari 23, 2019 Ikulu jijini Dar es Salaam ambapo mchungaji Amani Lyimo wa KKKT alitoa ushauri kuhusu suala la demokrasia nchini.
“Baba unafanya kazi sana, lakini Baba Demokrasia,Watanzania wengi wana hofu, wengi hawathubutu kuzungumza wana hofu...nakuomba Rais kama kuna uwezekano Baba waachie pumzi wazungumze.."
Akijibu hoja hiyo, Rais Magufuli alikanusha kuhusu kuwepo kwa suala hilo akifafanua kuwa hakuna mahali ambapo demokrasia imeminywa nchini Tanzania na kusisiza kuwa viongozi wote wa kisiasa wako huru kufanya mikutano ya hadhara katika majimbo yao pekee.
Rais Magufuli amesema alichokizuia ni maandamano na mikusanyiko ya kisiasa yenye vurugu ndani na inayoambatana na matusi kutoka upande mmoja kwenda mwingine jambo linaoweza kusababisha uvunjivu wa Amani.
Mi rais wangu ni magufuli mpaka sasa 25/12/2021 .
Nakubari sana rais wangu nikupendae mungu akuweke mahari pema saiv sewezi piga kura kwa mtu yoyote
Namimi pia
na mimi pia
Demokrasia ndio kusema nini....hiyo ndio inaweka chakula mezani
Hakika naikumbuka sana JPM R.I.P😭😭😭😭
Na mimi pia
Milele
Msema kweli mpenzi wa Mungu,,,,,hiyo ndiyo demokrasia ya kweli,,,,,nakubali kukataa.
💯
Inauzunisha
Na Mimi pia magufuli ni raisi wangu
MAGUFULI OYEEEE
Labda ufufuke baba ndo nitapiga tena kura
Acha ujinga
Acha wafu wazikane.
Namimi pia
Nani kama magufuli