Kusema ukweli hili nimelipenda sana na hivo ndivo inatakikana,upinzani wa mipira isiwe ni sababu ya kuweka tafauti ndani yenu ni vijana tunaowategemea na iwe ni kioo cha jamii kwa walio chini yenu kujifunza kilochobora kutoka kwenu,pia ni vizuri kwamba nyoote hamuna sandals za ajabu ajabu kama yule jamaa anaependa mitandao na umri wake Haufanani na anayoyafanya,Allah awasimamie
Ally kamwe mtu safi sana hana roho mbaya we love u bro
Nimependa utani wa Ali kamwe
Feisali akiamua kiondoka ataondoka ti muda wowote ule wala hasubiliagi et miazi 6 wala nn??
Kusema ukweli hili nimelipenda sana na hivo ndivo inatakikana,upinzani wa mipira isiwe ni sababu ya kuweka tafauti ndani yenu ni vijana tunaowategemea na iwe ni kioo cha jamii kwa walio chini yenu kujifunza kilochobora kutoka kwenu,pia ni vizuri kwamba nyoote hamuna sandals za ajabu ajabu kama yule jamaa anaependa mitandao na umri wake Haufanani na anayoyafanya,Allah awasimamie
Nawakubali
ila Ally kamwe daaah anakela kinoma kiutani utani😂😂😂😂
Wewe. Alikamwe mh
Nakukubali kamwe huwezi kushindwa
😅 5:15
Hakuna Angle Kwenye Super Black Hahahahahahahahahhahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ibwe ameongea kiume
Alikamwe lakn 😂😂😂😂
Ali kamweeeeeee hoeeeeee
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂