Kilichomkuta Mwanasheria Aliyebishana na RC Makonda Utashangaa, Ona Aki..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
- Weh! Mwanasheria Aliyebishana na RC Makonda Hadharani Akipata Alichokitafuta Hadi Aka..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#rcmakondaarumeru
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu #MABISHANOMAKALI #mwanasheriavsmakonda
Pole sana Mheshimu Makonda.Naomba Haki ya Wananchi itendeke Mtumishi wa Bwana. Ubariki Tz❤
Uko vizuri mkuu wa mkoa Makonda.
Hongera sana Paul Mungu akulinde mji mdogo ni ni shida tu maji imeme barabara hakuna kitu kinachofanyika Bora kabisa
From UK makonda may god bless you
Ndio mzee baba sheria ukizijua Tamu na tunafurai raia wako
Hakika nimekukubali Makonda.Unafanya kazi openly bila woga.Upewe Uwaziri Mkuu.
Kutoka Kenya makonda napenda kazi yako
Ongera sana mweshimiwa ubarikiwe
Hongera sana mh Makonda 👏👏
hongera mh paulo mungu akulinde
Natamani watendaji wote wa serikali wangekuwa na uthubutu kama huu wa Mh Makonda ,nchi hii ingekuwa mbali sana.
😂😅😂😅😂😂😂😂😂Yan mkuu makonda ingekuwa voice not ningecheka kwa sauti San lkn pia hongera sn 🙏🏿
Makonda mtu wa principles. Mungu akuweke tunakumiss Dar.
Mh Rais watumishi wengi hawajui ulichowatuma ila makonda ninyota yaa asubui
Good job makonda
halmashauri inspangisha tu ,,hawezi kua Mali yake kwakua wamenjenga ktk eneo lao ,wangenenga wenyewe ,shule ichukue Kodi tu la ardhi ,maeneo mengi halmashauri wanataka kuchukua maduka maeneo mengi ,waje ge maduka wapangishe napenda kazi yako mkuu wangu ,mwenyezimungu akulinde na watu WABAYA
Vivi kuna faida gani kuwa na watendaji wa Mji Mdogo na watu wanajenga barabarani na hawaingii kwa wananchi waone walivyokaa.
Huyo dada ( ambaye ndiye mtendaji mkuu wa huo mji mdogo ) zero brain hata hajui anazungumzia Nini!! Hebu fikiria huyo ndiye kiongozi mkuu katika hiyo mamlaka anajikanyakanyaga tu 😢😢 tutafika tumechoka sana hatoshi kwenye hicho kiti aise ,Bora hiyo mamlaka ivunje tu.
Makonda, unafaa kuwa Raisi wakati wako ukifika
Badala ya kufuta tatueni matatizo! Miji ni maendeleo! Hao viongozi wa mji waelekezwe na wasimamie! Malengo ya mji yatakuwa yanaeleweka
Makonda oyeeeee
Wakora walifanya kula pesa za serikali. Washenzi kweli kweli.
❤❤❤
Hapo tayari bila usomi picha tu imeinama hiiiyooo.
Mheshimiwa MAKONDA Mpige Nusu kaputi huyoo
Imagine huyo kaimu mwanasheria anajibu kwa jeuri hivyo kwa mkuu wa mkoa ,
je kwa wananchi si anawatemea mate? Hii mijitu mingine bwana.
Kuna kutosha a tena hapa jamani 😮😮😮
halmashauri inspangisha tu ,,hawezi kua Mali yake kwakua wamenjenga ktk eneo lao ,wangenenga wenyewe ,shule ichukue Kodi tu la ardhi ,maeneo mengi halmashauri wanataka kuchukua maduka maeneo mengi ,waje ge maduka wapangishe
Mnywa GOngo kabisaaa mtoe nje kabisa Tena akalale Sero Mbafuu Sanaa
Jamaa anamaswali dada anatetemeka.
Wana madudu Mengiii ndio ujasiri wa kuongea hawana
Natafakari uchaguzi ujao nitajikuta nimeandika Makonda sijui utagombea baba?
Kweli manangu huyo akili yake imelaa hafai aidha anakula pombe akili yake ni yapombe huyo hafai mwanngu makonda timuua wanafanya mdhaha
Mwanasheria mbabaishaji sana huyoo
😅😅😅
😀😀😀
Mwamba una akili sana genius
Wanyooshe mkuu
Spana
Uozo mtupu nchi hii.😵😵😵.
Samahani jamani kama tulivyoongea juzi tukasema kuwa shule na Manispaa ya Arusha ni Watoto wa mtu mmoja.
Kwenye shida ni upande wa Wananchi ambapo zoezi lilifanyika Nchi nzima la kuwapora Wananchi na zoezi liliongozwa na Rais JPM mwenyewe ambapo ni dhulma kubwa sana ikifanyika.
Kwa sasa kinachotakiwa ni kurudisha tu upangaji kwa waliovijenga Mhe RC Makonda jamani.
Pumba
😂😂😂😂😂😂
Na hizo dhulma kubwa sana zilichochewa na hilo neno third party ambapo mtu anatakiwa kutokukodishia mtu mwingine ambapo huo huwa ni sawa na upuuzi kwakuwa haiwezekani mtu kuganda mahali pamoja Mkuu.