💃Bwana Yesu asifiwe ! Mwanadamu ni kiumbe wonderful🎉 !Don't take the sacrifice , the blood of Jesus for granted ! Yesu anatupenda ! Sisi ni watoto wake !usiruhusu mutu akutshezeye ! Kimbiliyo ni YESU tuuu 💃❤! Davista thank you for all ! You are an inspiration for many❤
asee kumbe tusiwe tunawalaum ndugu zetu wenye pesa nyingu kuw hawatupatii msaada kumbe wanatuokoa na kutuhurumia na mauti na kuliwa nyama, asee had naogopa
Lakini wengine ni raising juu wamepewa masharti akikupa tu wanachukua nyota au wewe ni sadaka why do you think k rich folks like to give to orphanages etc
WanAwake wa sasa wanapenda mkwanja utajiri,pesa na mali lakĩnĩ mwisho wake mnajuta,Mnataka magari,pesa,jumba na mawigi,nguo,iphone lakĩnĩ tukiwatoa kafara mnalaum
Wadada wa sasa wanapenda Waume wenye pochi nene,pesa,mali,jumba,magari,biashara,iphone nk lakĩnĩ mwisho wake mnaishia kujuta na kuzaa watoto wanaliwa na kuzimu
💃Bwana Yesu asifiwe ! Mwanadamu ni kiumbe wonderful🎉 !Don't take the sacrifice , the blood of Jesus for granted ! Yesu anatupenda ! Sisi ni watoto wake !usiruhusu mutu akutshezeye ! Kimbiliyo ni YESU tuuu 💃❤! Davista thank you for all ! You are an inspiration for many❤
asee kumbe tusiwe tunawalaum ndugu zetu wenye pesa nyingu kuw hawatupatii msaada kumbe wanatuokoa na kutuhurumia na mauti na kuliwa nyama, asee had naogopa
Hakika
Have been learning from this interview, tusiwe na tamaa, tumuombe Mungu atusaindie kwa kila jambo
Inahitaji Nguvu ya mbinguni sio binadamu kumshinda shetani
Mungu wetu aliyetuumba ni mwema sana anasamehe uovu wa aina yoyote ile na upendo wake hauna mwingine.Kaka yesu ndo jibu la mwisho.
Hakika WanAwake wengi hũwa mnatamani Waume Matajiri lakĩnĩ hũwa hamjuhi siri ya utajiri
Big up brother Davister, kazi nzuri, tunajifunza mengi sana
Naomba iendelee nimeipenda sana simulizi yako ila inatisha
Mi Hadi naota usiku
He is so much detailed.. he should books
They will be so interesting to read
nimesubilia sana jamani ❤
Dah huyu kaka anajua kuhadithia
Wamayo nimefikamo
Wamayo from Lusaka story 🔥🔥🤣😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Kama kawaida yangu wa kwanza 😂
Kumbe ndo maana matajiri hawapendi kutupatia pesa ,duuh kumbe wananusuru maisha yetu.Yesu nikumbuke
WanAwake wengi hũwa mnapenda wanaũme Matajiri bila kũjũa siri ya utajiri
Jamaa anapenda kuoga hatar😂
🤣🤣🤣
umeona eh adi alimuuliza jini anataka kuoga😂
@@NM-yl2uw nimecheka kinouma🤣🤣🤣
Mwanaume mazingira
Pesa za wepesi lazima zikusumbue tu
Pesa pesa pesa pesaaaaaa ..wtz siku hizi mnamsemo wenu wa tafuta pesa eti?? Zitafuteni
Mmmmmh, naogopa wanadamu👐👐👐 pita kule na utajiti wako kwakweli....Jesus can bless u without going thru all this shit.
Nchi ya Tz..duh you need God alot..maana haya mambo ni ya kila siku duh!!
nmecheka km mjinga et unajidanganya, yan mtu anawaza lkn anajibiw daaaaah dunia hii hatar
kumbe ndyo maana matajir weng wagumu kutoa hela!!!
Lakini wengine ni raising juu wamepewa masharti akikupa tu wanachukua nyota au wewe ni sadaka why do you think k rich folks like to give to orphanages etc
Nawee ulikua unaujasiri sana
huyu jamaaa alkuw na ujasir sana sana yan anahojiana na majin co ktu rahic
Hasa atafanyaje mwana kulitafuta mwana kulipata
Huyu apewe maua yake kama zabron mzee wa GAMBOSH
WanAwake wa sasa wanapenda mkwanja utajiri,pesa na mali lakĩnĩ mwisho wake mnajuta,Mnataka magari,pesa,jumba na mawigi,nguo,iphone lakĩnĩ tukiwatoa kafara mnalaum
Asante sana davistar
27 min 02
Huko kwa mchungaji unaendaga kuchukua nn mm nimepitwa jamn mwenye anajua anisaidie
Damu na moyo wa mabinti bikra
Huyu Naye shetani wake alikuwa na tamaa sana😂😂😂
Hakika 😂😂😂
😂😂😂
Heee balaaa
Nyie kama movie
Another episode mr everything
Nilikuwa na tamaa Ila kwa hii stori puuuh Sina hamu na pesa Tena
WanAwake hũwa Mnataka wanaũme Matajiri,wenye pesa na mali na magari na majumba lakĩnĩ hamjuhi hũwa wanatoa pesa wapi?
👊👍🙏.
Je huyo mkeo Kwa macho ya Kawaida watu walikuwa wanamuona!???
WanAwake wengi hũwa wanapenda pesa ,mali,jumba na gari lakĩnĩ wakitolewa kafara wanalia
Muendelezo please
jamaa anapenda kusema'' nikamuuliza...Akanijibu..Nikasema hapana
😂😂😂
Mimi #0
mmmmmmmh kwel usije taman mafanikio ya mtu bila kujua kapataje hzo mali kumbe zngne n nguvu za giza tu
Watu mnaosemaga kuwa usafi wa mwili unaondoa jini chafu haya sasa
Ati mwanamke huyo anajua wewe una tamaa?Tamaa mbaya
Twende kazi
Nimewahimo leo
Wimbo unaishi huu kwanza video yake nilikuwa namuonea huruma yeye mwimbaji yani daah
Rip Mr.Zumo
Una penda pesa kuliko Mungu je ukifa Uta enda wapi
Duuuu nilifikilia wakwanza!!!!kumbeeede!!!
Ndo mambo sasa
Desires for money appear in your nose
Sasa mbona kama sijakuelewa mchungaji si alibaki mwanza na ww uko Tabora vip ulienda Tabora
Asante
Sumu ya jini mahaba ikikuvaa huwezi chomoka kwao
Duh
Haya majini jamani mbona wengine hatuyaoni yatununulie na sisi range😢
😂😂😂😂😂😂
Yapo nenda kuzimu utawaona
Tamaa mbele mauti nyumba
Wadada wa sasa wanapenda Waume wenye pochi nene,pesa,mali,jumba,magari,biashara,iphone nk lakĩnĩ mwisho wake mnaishia kujuta na kuzaa watoto wanaliwa na kuzimu
Mmh umtoe mtoto wako tena
Ndio WanAwake wa sasa wanapenda wanaũme wenye pesa hii huwafanya kujiuza kudanga na hata kutolewa kafara wao
Santee
Poa sana
Haya mnaopenda wanawake wazuri mmesikia
Uwiiiiiiii!!!!!!uwiiiiiiii!!!!!!uwwiiiiiiiiiiii!!!!!uwwiiiiiiiiiiii!!!!!!
27 iko wapi
Wamayo mwingine huyu