ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
HAJI MANARA AOMBA KUMUOA ZUCHU LIVE/ AMSIFIA KUPATA MALEZI BORA/NIMETUNZA MILIONI SABA
แชร์
ฝัง
ขนาดวิดีโอ:
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ค. 2020
- #wasafi #imzuchu
ความคิดเห็น • 159
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
MZEE SAID | GOLI LA DEBORA LIMENIKUMBUSHA MWAKA 1998 😂HATA TUKIFUNGWA NA YANGA TIMU TUNAYO HASWAFinest Online
มุมมอง 4.9K
Tunnel of Doors to Secret Room!! #spd #chucky #Secretrooms #shorts #youtubeshortsSpriteDer SPD
มุมมอง 1.5M
น้ำใจคนดี #แม่สุน้องซูกัส #ตลก #shortsHeHaa TV
มุมมอง 2.3M
TAZAMA DULLA MAKABILA ALIVYO MSHUKURU MGANGA WAKE BAADA YA KUPATA TUZO...Swahili online Tv
มุมมอง 60K
MCH :HANANJA AMTOLEA UVIVU NABII KIBOKO YA WACHAWI SIRI ZA KUTOA MAPEPOBongo Touch
มุมมอง 222K
HAJI MANARA AZICHAPA LIVE NA MANDONGA REFA MWIJAKU AAMUA MPAMBANO CLOUDS MEDIAManara TV
มุมมอง 301K
🔴MECHI LIVE YANGA V RED - HII NDIO JESHI LA YANGA 2024/25Challitv
มุมมอง 41
กล่องสุ่มลาบูบู้ #shorts #short #non1life #นนท์วันไลฟ์ #นนท์ #พี่นนท์NON1LIFE
มุมมอง 131K
วันแรกลงทะเบียนรับเงินหมื่นผ่านแอปฯ “ทางรัฐ” มีผู้ลงทะเบียนสำเร็จกว่า 2 ล้านคนสํานักข่าวไทย TNAMCOT
มุมมอง 327K
อหังการ์ตามล่ากลางเวนิส - Once upon a time in venice หนังเต็ม HD Phranakornfilm Officialพระนครฟิลม์ Phranakornfilm
มุมมอง 83K
แฟนแกล้ง ป่วยหลับไป 10 ปี ตื่นมาแฟนมีลูกกับคนอื่นแล้ว | อาจุมม่ายึดช่องOppa Thuchy
มุมมอง 808K
เที่ยวพีระมิดโนแพลน...ยากที่สุดในชีวิต...Kyutae Oppa
มุมมอง 613K
Ha yo sio malezi bora kaka Manara we we ni muislamu unajuwa mfumo wa Malezi yetu
Huyu jamaa nimbwange moja tu
Mmmh hizi ni Kali bhana.. Angalia ukicheka tu bonyeza subscribe th-cam.com/video/uN5vigp2fwE/w-d-xo.html
Kwa kweli,malezi bora ni ya kufuata maelekezo ya dini
akuna watt walio alibika kam wa mashehe au bab zaoau familly yao wanajua din san kizazi chake utashika kichw
We nawe kwaiyo wt wasi afanye maisha au ww unayafahta hayo daini
Jux mm uwa nakupenda sn ww si mnafiki kbs yn hongera broo
Waislam!
Bora kujitambua tulicholetewa hapa Duniani kabla ya kuvikwa sanda na kuenda kuishi nyumba yenye chumba kimoja na ukumbi
(Kaburi na mwanandani)
Tunaishi kiduniaa zaidi akhera tumeweka mgongon hakika tutalia na kusaga meno siku ya mwisho
Wallah umesema jambo ambalo Jana nimesikitika Sana, halafu wengi ni sisi waisilamu, yaani tunakesha mitandaoni kutizama uchafu, nimemuuliza dadangu laiti yangekua ni mawaidha Ata kusingefika watu elfu Moja, subhanalah. Wallahi Allah atuepushie na anasa za Dunia
@@joharijj2164
Johari! Tumuombe Allah atuhidi.
Nnakumbukumbu ya magazeti.
Nikiyapitia naona wengi kati ya majambazi sugu ni majina ya Waislam.
Wasanii wengi waislam.
Matapeli wamo waislam.
Malaya tumoo!
Hatujabakisha kitu.
Yarabi tujaalie mwisho mwema.
Amiin.
🔥🔥🔥🔥🔥 WCB4LIFE
Manara umependeza sana
Kazi nzuri WCB FOR LIFE
Na Mimi Niko singleeee
Kwahiyo unataka Manara akuoe pia au??
Manara hoyee🇰🇪🇰🇪❤️
Ww manara mungu anakuona malezi bora ya kumchukiza allah duh
Nini inakuchukiza!!!!
hizi ni zama zilee zilizotajwa na wema waliotangulia kwa hio hatushangai sana . malezi bora ni malezi ya kiisalam tu hakuna mengine, kumuogopa ALLAH S.W NA KUYAFATA ALIOTUAMRISHA NA KUYAACHA ALIOTUKATAZA.
G
Na mimi niko single 😂😂😂😂
😁😁😁😁 wana jirahcixha xana wadada wenu uko
Unani faaa
Am coming
Iyo kauli ya manara jmn msini misquote 😂🙌
@@princessfa9048 me nakutaka kweli hata kama ni maneno ya manara
Jamani dunia iko kinyume nyume kweli malezi bora?
Shout out sana mnyama jux uko simple sanaa
Manara acha upumbavu wako Hugo anakaa uchi pumbavu
Haji Manara Msemaji wa Taifa✌️
Love u haji
Huu mzee bana😂😂😂
Malezi bora yakuimba kweli wewe umeyumba
Piga kelele kwa manara wake kum love Zuchu akeeee
Budweiser zimefanya kazi🤣🤣🤣🤣
Aaaaah Haji mwanao huyo
Malezi gani anavaa uchi
Ww manara ni msenge sana yaan zuchu amelelewa kwenye maadili ? Afu unasema ni muislm ,muislm wa kweli haende pale!!/hizo milioni 7 kuna masikini kuna watoto yatima
NAOMBA NIKUALIKE
Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona th-cam.com/video/kHp-9wK9Tyw/w-d-xo.html
jux yupo kumbee safi sana
Lily omy suite yake safi
Fact bro
Ujana wako umekula na nani .utuuzima wako umalize na mtoto wa mwenzio
Hao wasanii wanaliwa na wazee kama Baba yake kwa tamaa za pesa
Wanaendana
We mzee kafie mbele uko tafuta mzee mwenzko boya ww
Buggati dela boss basi basi basi basi
watu kwa kuhukumu, mnahukumu malezi yake nyie mngelelewa vizuri msingekua mnakuja TH-cam kutafuta makosa ya watu,
Sawa sawa kabisa
Wajinga Hao km wao wanelekewa vuzur wanafanyq nn kwenye mitandao Hao ndo wanao zunguka na mabaibui wakifika vichochorono uko wanavaki na vichupi
unapenda sifa sana wewe,mkeo amekushinda Zuchu utamuweza?kwenda zako wewe...
Hayo malezi gani kukaaauchi
Ndoa ya diamondi na zuchu
Ila kumbuka malezi bora ya dini yetu ya kiisilamu si unayajua yanavyotakiwa?
malezi bora ataimba mziki na kutembea uchii
Hawa ndo wale mnaobaka watoto wenu shenzi kabsa
😂😂😂😂😂😂😂mashaallah
😂😂🤣😅😅😅😅😅Manara uko single eti
Manara acha kusifia uozo malezi gani hayo ya kukaa uchi mbele za watu?
Kumbuka wewe ni mwalimu wa madrasa halafu unaongea ujinga mbele za watu.
Kumbe manala n mwalim duuuuh
Hata kama asingekuwa mwalimu hizi ni anasa za kidunia kisha linasifiaa mbele ya umma mungu amufungue ubongo wake
Aisee huyo no mwanamziki ko razima awe anavaa Kama mwanamziki ko ulitaka aende stejini kaji still Kama anaenda ku swali..??
Tumsamehe
@@pendondossy2158 manara ni aalim sijui kakwama wapi hiyo m7 angepeleka madrasa ingekuaje?
Huyu manara anajuwa kucheza na maiki kweli
Wewe wataka Vita na simba
Manara
😂😂😂manara acha tamaaa
Hili jamaa xilikubli ata kidogo linajifanya shee sana kumbe senge tu msukule wa simba
Wee cyanga
Mwamba unakosea sana mimi ni yanga kindaki kindaki lakini kwa upande mwingine namkubali haji manara kwa sababu anaichangamsha ligi yetu
@@abasialimussa5372 ttzo sio uyanga au usimba ttzo ni mwalimu wa madrasa but Anglia mambo anayofanya
Jaman mm mpenzi wa Simba lkn huyu si Haji manara ni Haji Misifa
kwan unateseka
KAMA BADO HAUJATAZAMA USHUHUDA WA MAMA ALIEPONA KANSA YA ZIWA KARIBU KUTAZAMA LINK HII CHINI th-cam.com/video/NEpJOZ1FsCM/w-d-xo.html
Umezeka
Haji manara hapo panamalezi bora kweli?
Dah huyu ms*ng* sana hahahaha 🤣🤣
Semaji la dunia
Wewe ni mpiga kelele wa simba na mziki wapi na wapi?
Na wewe ni mpiga kelele wa wapi
😂😂😂😂
Kweli manara c
Naili haji Manara chadema Eee.?
No views
Huyo chukua tu
Simba baba lao
Mbona umekuwa babu
Hapo si mahali pa kuongelea habari za Mikia
unasema hao sasa hivi badae yumzwia yasiimbe tena kwa sababu wivu utakushika
Mm pia niko single pia Siku hizi afadhali uwe single .🤣
Mm
🤣🤣🤣❤️niko single
mmh
Oyeeeeeee
Eeeee baba weee ushazeeka ww
😂😂😂😂
Zuchu hapendi mazeluzelu
Usiseme hayo naye pia nibinadam
Saf
Simba oyeeeeeee😜😜
🤣😂😂😂😂
Mmj
Misifa ya kifira
Follow account yangu kwa cartoon animation movie fanya kusubscrible hizi ni kwa wote wakubwa kwa watoto. 🔥🔥🔥🔥
Hahaha
😂😂😂
msemaji WA simba
Wewe manara wewe unamwambia naseeb akupe zuchu umuoe huku na yeye anampigia hesabu ya kumtafuna na mifupa yake mtoto mdogo mbichi hajatumika sana kwa akili yako diamond atamuacha aliwe na wengine subutuuu niko pale nimekaa huko mbeleni lazima utakuja kujua diamond anamla zuchu wewe manara wewe acha zako kabisa diamond hawezi kukupa wewe zuchu huku yeye mwenyewe yupo 😂 😂 😂
Haji manara kuna wakati hajui anachoongea,lakini watu wanaona kila anachoongea nisawa
Afu uyu manala wmefanana na magufuli
Hapo ndo umeharibu mbwa we hapo ni starehe za watu ww unapeleka usimba wako
Haha
Mnajifanya wengn mnajua maadili mnaingia hum kutfta nn
nashangaa na mimi
Nimecheka sana huyu baba eti yuwataka zuchu ajioni kuwa yeye nimtu mzima zuchu nikama mwanawe
Manara ujielewi iyo dini umesoma wap tufatilie labda umesoma kwa mashia! Mtu anakaa uchii! Mziki ni haramu unasifia ujinga alafu unajiita umesoma dini
Rudi madrassa
kama umri huo ujaowa basi bora uolewe tu
Anakaa uchi mbele za jamii unamsifia Aiseee Muislam wewe
ww
Angeanza mama mtu kujistiri anaonekana hakumlea vizuri ktk mavazi ndio maana anatembea uchi
Acha ujinga huyo simwanao
Huu mzee bana😂😂😂
NAOMBA NIKUALIKE
Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona th-cam.com/video/kHp-9wK9Tyw/w-d-xo.html
NAOMBA NIKUALIKE
Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona th-cam.com/video/kHp-9wK9Tyw/w-d-xo.html