🛑FRIJI BOVU, SIMBA WASIKATE TAMAA BADO WANAUWEZO WAKUBEBA UBINGWA UMAKINI TU , CHASAMBI ALIKOSEA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • SIMBA WASIKATE TAMAA BADO WANAUWEZO WAKUBEBA UBINGWA UMAKINI TU , CHASAMBI ALIKOSEA#azamfc #football #footballclub #globaltvonline #live #millardayo #simbasc #wasafi #simba #yanga

ความคิดเห็น • 15

  • @KosovoAwadh
    @KosovoAwadh 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Frigi bovu Mimi nakukubali sana una macho makali sana unaona Kila kitu ahsante

  • @KosovoAwadh
    @KosovoAwadh 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mimi frigi bovu nakukubali sana

  • @FrankKwanama-lo6fj
    @FrankKwanama-lo6fj 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Friji bovu simba ikifungwa unapotea!

  • @KosovoAwadh
    @KosovoAwadh 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wachezaji wa Simba malingo mwengi viongozi tuanglie hii kocha nae kamaliza kiwango chake anaendekeza wachezaji wachezaji awachezi Bado anawaacha kuwatoa hii sio sawa

  • @demaccontractorsltd
    @demaccontractorsltd 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    AHUWA anakiburi naomba Viongozi na. Banch Mtazameni sana anatabia mbaya Nidham ni ndogo

  • @ahmedabdulla2549
    @ahmedabdulla2549 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Friji Bovu umechemsha kuhusu Foul angalia tena video Kwani Refa alinjoosha mkono mpira upigwe. Usiharibu Brand yako.

  • @KosovoAwadh
    @KosovoAwadh 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sio Azam pekee Simba tulipata goli kwa Nkana fc kwenye caf champion au mmesahau

  • @EliakimEmily
    @EliakimEmily 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Umesema ukweri kocha anawalea wachezaji ata kuludisha mipira nyuma kocha awasemi

  • @LamwaySindiko
    @LamwaySindiko 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Achana na ishu za chama Babu chama ndo alituleta shirikisho ni msenge tu uyo

  • @nzegulagkofficialaccount3496
    @nzegulagkofficialaccount3496 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Friji bovu . Thamani yako inashuka kumataja Chama . Acha kabisa.

  • @demaccontractorsltd
    @demaccontractorsltd 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwl kwa nini Char / AHUWA Anakosea sana Uwanjani

  • @KosovoAwadh
    @KosovoAwadh 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mimi Kila siku kama sijasikiriza frijo bovu sioni raha wangine wote chanel na wachanguzi wazushi tu lazima nimsikilize frigi bovu ndio mkweli

  • @KosovoAwadh
    @KosovoAwadh 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kocha ndio sababu ya goli la chasambi wachezaji wanarudisha mpira nyuma Kila wakati mnamuonea tu chasambi Sasa hivi Kila mpira lazima apewe kipa mmeona wapi ndomana wanafanya misteki tunajifunga au wanafungwa acha ligi kuu hata FA kocha huyu hataku kukaa Simba Tena FAR BAT si wanamtaka labda ndio anatafuta sababu umtakuja kuona pesa balaa dau kubwa hapa kaja kutafuta njia tu

    • @anthonymilinga8696
      @anthonymilinga8696 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe unamjua kocha mzuri atakae ifundisha simba nakuifikisha mbali? Au unaongea tuu kama unaliwa! Tulia maana hujui lolote unaropoka tuu

  • @NasraMoshi-s1l
    @NasraMoshi-s1l 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Fala xna