Inanikuta Sana hiyo ghafra nakosa Amani moyo unaugua Sana nakosa hata nguvu yakufanya kitu chochote huwa nikiwa nyumbani naingia chumbani naomba sana,nikimaliza naendelea na shughuri zangu mda mwingine namaliza kuomba lakini bado Hali ni ile Ile naingia kuomba Tena Naomba Sana namwambia loho mtakatifu anisaidie kuomba maana sijui kipi kipo mbele yangu baadae nikiomba sana nikimaliza Kuna mda huwa napataga cm ya Jambo ambalo c zuri Ila halijaleta zala huwa linakuwa limejisolve lenyewe kwa Uweza wa roho mtakatifu,Leo hili somo limeandaliwa kwaajili yangu Maana huwa nilikuwa najiuliza ninini hili.
Makongo juu dar es salaam unapanda magari ya makongo juu unashuka kituo kinaitwa mashineni ukiangalia upande wa kulia utaona kibao kimeandikwa E.C.G church ndio kanisan hapo.
@@robinajohanssen697 yani siku iyo msipo jitambua hamta fanya kitu kinacho itwa maombi asipo tokea mmoja wenu akashtuka basi mmetekwa anafundisha nilazima muwe imala kwenye family zenu na maombi yenu yawe imala siku zote yawe yakudumu
Kama upo dar es salaam kanisa lipo makongo juu panda magari ya kwenda makongo juu shuka kituo kinaitwa mashineni utaona kibao cha kanisa kimeandikwa E.C.G CHURCH ndio kanisani utapa maelekezo kwa wachungaji jinsi ya kumuona karibu sana kanisani.
Mungu Baba akubariki sana brother apostle Mungu azidi kukupa mafunuo zaidi
Ameeen mtumishi nime jifunza kitu muhimu sana mungu anitie nguvu za kuzanya silaha ili adui anapojipanga asifaulu Ameeen be blessed 🙌
Amen...asante sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri sana...nimejengeka kiimani am Phanice Okongo watching from Saudi 🇸🇦
Ohoooooo hallelujah kwakweli Apostle unanikosha Sana mungu akubariki.
Amina barikiwa sana muchungaji
baba ubarikiwe.leo nimejifunza kikubwa kuliko siku zote.Hallelujah.kumbe wakati wa Amani ni wakati wa kuweka akiba ya maombi na Neno.yes!
Mafunzo mazuri sana Asante.
Amen mafundisho mazur mchungaji mungu azidi kuinua huduma yko...ur a blessing
Amen Apostle hakika nimejifunza na kufahamu muda sahihi wa kuandaa makombora dhidi ya siku ovu.
Thank you for answering my questions through this teaching
Mungu akubariki mtumishi wa mungu umenibariki mno🙏
Thank you Chief Apostle
Mtumishi barikiwa sana kwa somo zuri hili
Amennnn nashukuru ubarikiwe Asante kbs 👌🙏
Asante sana Apostle MUNGU akubariki
Ndiyo Apostle ubarikiwe sanaaaa
Thx chief apostle mungu akubark SoMo zur nimeelewa
Ameni napokea Na Mungu atupe mwsho mwema
Asante Chief
Powerful!!!!!!!!! Asante sana Chief Apostle, nimekuelewa sana 🙏
Mungu akubariki mtumishi
Amen Chief Apostle
Amen chief
Amen Amen Apostle Mungu akubariki sanaaNimebarikiwa kwelikweli ,,Amen
So powerful. Nimejifunza
Ubarikiwe nafatilia mafundisho nikiwa Dubai ubarikiwe mtumishi wa Mungu...
Nina kupata kutoka, sumbawanga, na mafundisho yako ya nitia nguvu sana katika safari yangu ya imani,,,Mungu akubaliki Apostle Mtalemwa
Powerful pastor 🙏🙏
Wow thank you papa for message.
This Message Saved my Life
Thanks and stay blessed bro
Be blessed apostle thank you so much
Thank you for the teaching Chief God bless you
Nani anasikia hii ubiri?
Barikiwa mtumishi wa Mungu.
Apa tumerogwa wote ni kuchukua hatua🙌🙌🙌
AMEN Apostle... nimekuelewa sana baba yangu Mlezi. Eeh Mungu naomba utusaidie kusimama siku ya uovu.
Barikiwa sana
So powerful. Data well spent !
Ahmeen
Amen Mtu wa Mungu.
Unamafundisho mazuri sana, 🙏🏾
Inanikuta Sana hiyo ghafra nakosa Amani moyo unaugua Sana nakosa hata nguvu yakufanya kitu chochote huwa nikiwa nyumbani naingia chumbani naomba sana,nikimaliza naendelea na shughuri zangu mda mwingine namaliza kuomba lakini bado Hali ni ile Ile naingia kuomba Tena Naomba Sana namwambia loho mtakatifu anisaidie kuomba maana sijui kipi kipo mbele yangu baadae nikiomba sana nikimaliza Kuna mda huwa napataga cm ya Jambo ambalo c zuri Ila halijaleta zala huwa linakuwa limejisolve lenyewe kwa Uweza wa roho mtakatifu,Leo hili somo limeandaliwa kwaajili yangu Maana huwa nilikuwa najiuliza ninini hili.
ROHO MTAKATIFU
@@evilahmponzi5312 ame mtambulisha
Amen.Ninakufata nikiwa US ninabarikiwa saana BABA wa MBINGINI akuongezeye mafita
Amen
Hallelujah 🙌🙏🧎♀️
Eeh Yesu nimejifunza naomba nisaidie, nakuomba Yesu wangu
Ooh hallelujah
Amen Chief 🙏🏼
Ubalikiwe sana mtumishi yan nikisikia mafundisho yako kunasem nasogoa ubalikiwe san
Amina kubwa nimejifunza kitu kikubwa sana leo
hakika mtumishi ubarikiwe
APOSTLE MUTALEMWA NINABARIKIWA NA MAFUNDISHO YANAYOENDELEA .
mafundisho yako yamenisogeza mahali fulani
Asante sana chief nabarikiwa sana msharika wako wa zamani nawapenda sana Ecg Mungu awabariki sana
Nikweli kabisaa Mtumishi wa mungu
Following
Hao vijana Wanavaa kapelo kanisani jamani
Kweli kabixa axa mm niktaka kuomba uxingzi mzto unaniijia uxngz mzto
Ameen
Asante Yesu!
Nimekuelewa chief, ninalifanyia kazi.
Hili kanisa liko wapi?
Makongo juu dar es salaam unapanda magari ya makongo juu unashuka kituo kinaitwa mashineni ukiangalia upande wa kulia utaona kibao kimeandikwa E.C.G church ndio kanisan hapo.
@@mikemrosso5679 asnt kaka sijui Dada lakin asnte
AMEN MUTUMISHI
Nimebalikwa sana mtumushi wa Mungu
Mafundisho yako yamenitoa mbali sana Mtumushi wa Mungu
Amen mtumishi nabarikiwaga sana kwa mafundisho yako hua yananivusha kwenda kiwango kingine
Poweer.. Karibu moshi papaaa
Nawapata kutoka istanbul turkey
Nimekuelewa mchungaji
Unaningia rohoni sanaa!
MUNGU utufundishe namna ya kutambua majira na nyakati ,l can't do anything without you Jesus GOD help me.
Mungu anaomba niwe mombaji siku za Amani amen
Yeah🖐️🖐️🖐️
Asante mmtumishi kwa kuenderea kutufunfisha ubarikiwe sana
Baba tuombee nabarikiwa sana sAna n.a. maubiri yanayo endelea youtube
Jmn huyu baba kila nikimsikiliza uwa nailewa bible Yan uwa najawa na roho mtakatifu
Kwa sababu anajua kulisoma neno na kufundisha neno
@@happyjohn7630 ✔️yupo vizuli sana
Kwa mtindo huu tumelogwa wote
Kivipi
@@robinajohanssen697 kamaanisha kama shetani kaingia apo kwa nyumba yenu nilazima mtekwe wote
@@robinajohanssen697 yani siku iyo msipo jitambua hamta fanya kitu kinacho itwa maombi asipo tokea mmoja wenu akashtuka basi mmetekwa anafundisha nilazima muwe imala kwenye family zenu na maombi yenu yawe imala siku zote yawe yakudumu
Ninaitaji kumuona mtumishi huyu jamani nifanyeje?
Kama upo dar es salaam kanisa lipo makongo juu panda magari ya kwenda makongo juu shuka kituo kinaitwa mashineni utaona kibao cha kanisa kimeandikwa E.C.G CHURCH ndio kanisani utapa maelekezo kwa wachungaji jinsi ya kumuona karibu sana kanisani.
Asante sana
Ujue nakufuaatilia,ukovizur
Amen
Ameen