MSTAAFU KARUME AFICHUA - "MAALIM SEIF ALINIOMBA MSAMAHA, AKANITAJI WANA CCM WANAONISEMA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- MSTAAFU KARUME AFICHUA - "MAALIM SEIF ALINIOMBA MSAMAHA, AKANITAJI WANA CCM WANAONISEMA"
Rais mstaafu wa Zanzibar, Amani Karume, ameshiriki katika Mkutano wa Kumbukumbu ya Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad, katika ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Seif Hamad dedicated his whole life to Zanzibar. A good & humble human being.
May Allah reward him with Jannah. Amin
Allaahumma Aamiyn
Allaahumma Aamiyn
Allaahumma Aamiyn
Sifa zote hizo Wapemba wanajisikiaje wakati wote wa uhali wa Mzee Maalim Seif waliempenda na kumfuata? Hongereni kumuenzi. Umoja wa Zanzibar ni mkubwa kuliko Mzanzibar mmoja moja.
Kama walivyomusingizia Hayati Magufuli. A katukanwa, akasingiziwa, kila mtu CCM kimya. Mtu aliyewasafishia chama chako, , na kuwatengenezea uchumi na kuwanunulia ndege, leo wanazipanda huku wakimutukana. Binaadamu bwana ogopa. Lala salaama baba Magufuli umepumuzika wanyonge uliokuwa ukiwaterea moto wana uone. Wanakulilia na wanakukumbuka. Yote uliyokuwa ukiyasema kweli tupu. Hayo uliyokuwa ukiyafanya hakuna mwingine anayeweza kuyafanya. .
Global tv on line , muko vzr tena matangazo yenu yanatoka bila chenga
Kufa usifiwa 🤔🤔 pumzika kwa amani Maalim
Kwa kujisifu uyu Babu uyu
Kweli unafiki ndo unaotafuna watanzania na maendeleo yanakwama
♥️
"Mimi pia mtoto wa mjini" Wazee wa busara na hekims. Mungu awajali maisha marefu.
Dahh Dunia inakwenda mbio unatoa Siri yamarehemu unaficha Siri ya aliehai 😁😀😁😀
😂😂😂😂Hao ndo binadamù
@@khadijahali4837 Tunajifunza mengi kupitia wanadamu yaani ukifa takataka zote zitakua zako sasa anahabari yawatu ambao wapo hai anasema amewastahi nasubilia wafe awaaibishe
@@sadikidaudi1223 hana lolote hy nae mnafiki tuu
Waliijuwa na wanaijuwa haki lakini bado wanafanya dhambi ishara ya watu walio pigwa muhuri wa motoni ktk nyuso zao hutubia mchana usiku wakatenda dhambi palepale. Tubuni toba ya kweli na mungu atawapokea.
🙏🙏
ukifa ndio sifa zako niaonekana
Leo haongei amekufa mna msingizia Maalim Seif
Maalim Seif amesha enda peponi je wewe utaenda wapi ?
Mh Karume hyo ndo zambi ya uongo tu imeendelea walikusingizia basi na hao alokutajia ni uongo pia hatambui km walitaka kujikosha tu na huyo Jussa ndo tabia yake hadi sasa anamsingizia Mh Rais wa Zanzibar na kumtolea jeuri majukwaani
Amani yupo vizur
Kisa kafa ndiyo mnaongea unafiki mwacheni Maalim apumzike mnaona hawezi kuwajibu ndiyo mmeona mahalo hapo pa kumsingizia?
Wanajisafisha tu hao ni uongo mtupu mbona haja wahi kusema kipindi yupo hapo. Hiyo ndo ccm
Hukuyasema kipnd upo kwenye uongoz unayasema Leo ww mnafiki na hapo hutengezi ila unaboa
Kitambo