ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
AM A UGANDAN BUT AM TEAM MAJALIWA WE LOVE U SO MUCH SIR
Fanya kazi baba. Tunaamin haya yatapita uongozi wenu na JPM utarud palepale👍👍👍👏👏🙏🙏🙏
Waziri wangu mkuu mwenyezi MUNGU yupo pamoja nawe
Tunakupenda sana tatizo umezungukwa na asid wasije wakakuyeyushatu tunajua unaumia hakuna namna
Itaisha vipi na Royal ndyiko kweny chat
Tunasubiri rais acheze sinema nyingine
Safii sana msaidie mama
Hadi rahaaa.
Nchi hii inahitaji viongozi kama majaliwa.
Jpm angemkataa huyo mama,waziri mkuu ndiye ungekuwa Rais wetu
Una umri gani? Tuanzie hapo kwanza!
Majaliwa wewe chapakazi👏
Ingekuwa magu yuko hai lingeisha mda. Ufwatiliaji hamna
Lisingeisha. Makubaliano ni miaka sita. Imefika? Ujenzi ulianza 2019.
RIP Magufuli,ulisema tutakukumbuka kwa mengi now ndo tunaona baba this country we have long way to go.!!
Majaliwa wew ndiwe Magufuli alie hai.kuwa mkali hivyo kazi ziende haraka.
Majaliwa sasahivi Hana mshikaji WA kweli ,kabudi ,lukuvi wamehamishwa position zao zimechukuliwa na watu wengine Wadwanzi
😀😀
Nikizaa mtoto namwita majaliwa
Wanajifanyaga wako busy wakiona viongoz
Mohammed builder ameshindwa kukamilisha soko na stendi kwa wakati afadhali mchina
inatia hasira nikisikia wizi wa vifaa vya miundo mbinu bongo ipo shughuli
Wasukuma tuna shida wizi wa kijinga namna hii hautusaidii unakwamisha miradi mingi ya maendeleo mkoani Mwanza.
Mh kuwafokea pekee hakutoshi watumbue na uwasweke rupango maana hao ndio wslikua wanachekelea kifo cha jembe mwenzio hivi hapo wanakuombea mabaya yakupate ili watupige bira hurma.
Ww,ndio,tunakuagaria,baba,tunakupenda,mwanza,
Tuokoe Baba ww ndio umebaki unaangaliwa wengine wako bzy na Filama
AM A UGANDAN BUT AM TEAM MAJALIWA WE LOVE U SO MUCH SIR
Fanya kazi baba. Tunaamin haya yatapita uongozi wenu na JPM utarud palepale👍👍👍👏👏🙏🙏🙏
Waziri wangu mkuu mwenyezi MUNGU yupo pamoja nawe
Tunakupenda sana tatizo umezungukwa na asid wasije wakakuyeyushatu tunajua unaumia hakuna namna
Itaisha vipi na Royal ndyiko kweny chat
Tunasubiri rais acheze sinema nyingine
Safii sana msaidie mama
Hadi rahaaa.
Nchi hii inahitaji viongozi kama majaliwa.
Jpm angemkataa huyo mama,waziri mkuu ndiye ungekuwa Rais wetu
Una umri gani? Tuanzie hapo kwanza!
Majaliwa wewe chapakazi👏
Ingekuwa magu yuko hai lingeisha mda. Ufwatiliaji hamna
Lisingeisha. Makubaliano ni miaka sita. Imefika? Ujenzi ulianza 2019.
RIP Magufuli,ulisema tutakukumbuka kwa mengi now ndo tunaona baba this country we have long way to go.!!
Majaliwa wew ndiwe Magufuli alie hai.kuwa mkali hivyo kazi ziende haraka.
Majaliwa sasahivi Hana mshikaji WA kweli ,kabudi ,lukuvi wamehamishwa position zao zimechukuliwa na watu wengine Wadwanzi
😀😀
Nikizaa mtoto namwita majaliwa
Wanajifanyaga wako busy wakiona viongoz
Mohammed builder ameshindwa kukamilisha soko na stendi kwa wakati afadhali mchina
inatia hasira nikisikia wizi wa vifaa vya miundo mbinu bongo ipo shughuli
Wasukuma tuna shida wizi wa kijinga namna hii hautusaidii unakwamisha miradi mingi ya maendeleo mkoani Mwanza.
Mh kuwafokea pekee hakutoshi watumbue na uwasweke rupango maana hao ndio wslikua wanachekelea kifo cha jembe mwenzio hivi hapo wanakuombea mabaya yakupate ili watupige bira hurma.
Ww,ndio,tunakuagaria,baba,tunakupenda,mwanza,
Tuokoe Baba ww ndio umebaki unaangaliwa wengine wako bzy na Filama