Polisi wakabiliana na waandamanaji eneo la Kibra
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
- Maafisa wa usalama wameshika doria sehemu mbalimbali nchini ambako maandamano ya upinzani dhidi ya serikali yameendelea kwa siku ya pili. ni siku ambayo shughuli zimetatizika sehemu nyingi, huku wakaazi wa baadhi ya maeneo kama nairobi, kisumu, migori, homabay, mombasa wakifunga biashara na hata shule kuhofia athari za maandamano haya. makabiliano kati ya maafisa wa usalama na waandamanaji yakishuhudiwa sehemu kadhaa. wanahabari wetu wamepiga kambi sehemu mbalimbali wakifuatilia matukio haya kiboro primary school sends pupils who reported to school back home over fears of their security
He himself is fleeing while at the same time telling his coward juniors not to run away. People power 😂
😂😂😂😂😂😂😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Ndiyo hapo
😂😂😂😂😂,
"Imagine fighting your enemy and the rule is make sure you don't hurt them but they have the freedom to hurt you"...I totally understand men in uniform....we all have one life.
Na mwenye anasema wacha kutoroka ndie muonga no 1 anarudi nyuma😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Being a police in kenya is a calling 😢
Which calling 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
imagine a country without police, even those talking ill of them wouldn't sleep in their own house,those youths will turn to you
They don't know
Mungu ndo anatulinda sio polisi
@timothy police are worst thungs hakuna kitu wanatulinda
Tell that to the 13 year old boy who was shot at point blank range by police yesterday
I always pity the police ,they are also human ,may the Lord protect us all ,we need each other
Polisy ni watu wabaya sana, sio binadamu
What human
good job to the demonstrators God is with you. Your actions are justified
Sema nimekua ground na kesho ni fainali
Good job and we can see them crying and yelling with pain in hospital beds and their seniors are watching them in big screens. Oooh I better sleep hungry than being a fool
@@shabbirmalik8123 reberation is not for cowards.
@@gatbossfantasa3928Roho ya kifo inakuandama.. unaonekana huna wazazi wakukushauri...
waja kuthoroka another policeman says thiagas imeisa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
God protect police,they are suffering and they cant say no😢
"When tear gas is finished Askari's are diminished"😂😂-
What about bullets?
Brother fighting brother that’s why they are running
w e risk their lives too, ruto said they are doing good job okkk
"Mnatoroka nini,nyinyi ni wajinga ama namba gani"😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sitaki kucheka but imebidi, wacha kutoroka, hatuna teargas mlipeleka wapi😂😂😂
😂😂😂😂
Tear gas iliisha jana ata askari wanarusha mawe
😂😂😂
@@halimasalim3985😂
😂😂😂😂
The commander is running himself yet he's telling his troops not to run....😅😅
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂uuuuuuuuuuwi ati nyinyi ni wajinga 😂😂😂😂😂😂😂
Good job demonstrators.
Ibilis wewe
Mungu saidia Kenya,,,Wacha kutoraka ,,tangu lini mtu kangojea kifo
😂😂😂nashindwa
😂😂😂😂
,,😂😂😂😂Afande acha kutoroka😂
Ako na bunduki na anatorika!!!
Shoot the fools.
Wanatoroka why😅😅😅😅
Thankless job indeed raia is not your enemy and police too police should lead this pple to statehouse they cry outside like USA
Wananchi power askari ni kimbikimbi leta nys 😂😂😂😂
Doh nawaonea huruma askari wetu basi tuoneei huruma hata sisi raia mukiwa kaxini kwenu sisi wote ni wa kenya moja
Yaani tumekuwa kama wakimbizi kwa nji tetu,tangu mungu aumbe dunia kenya haijawai fika hapa,bona mungu usimchukue ruto wakenya tupate amani
Police pia ni binadamu hawa watu wanajita wakubwa si watu wazuri
I feel bad for kibra one mama told me she didnt open bz for 3dayzand she depends on it...surely kibra pipo remember ur raira is safe in his mansion
Must you mention Raila who told you the issue is Raila
Sewage
💙💙💙💙💪 bei yaunga
Baba ya mtu alienda job kuitwa mjinga waaah okay
Shameful 😢
Waache kutoroka wakule degree Yao😂😂
If kindiki is depending on this guys then Kenya tuko na shida😂😂😂😂
kimbikimbi ndio hii sasa polisi mguu niponye😂😂
😂😂😂😂
kumbe Askari anaeza piga duru namna hiyo 😂😂😂
Hii ya kutoroka ndo ina bamba sasa😂😂
Kibra ni moto
😂😂😂😂😂😂😂 Kenya police bwana 😂😂 team odinga
Maandamano ya AMANI.
Maamdamano ni kipimo cha sehemu zenye watu wa akili finyu
Kumbe police ni waoga hivyo bila teargas ,wacha kutiroka na yeye pia anatoroka😂😂😂😂🙄
Uyo police anafanya vibaya ajui watoto wako uko ndani
Bedroom ya Baba 😂😂😂
Nimesikia polisi akisema hakuna tear gas ama niko jaba😂😂😂😂😂😂😂serikali surely???
Congratulations wavijana wetu
Vijana wako job ya siku leo
Shikamoo kenya 😂😂😂
Amazing
Nice one congrats 👏
Polis watachoka ..natabiri hivyo kutoka Tanzania..ruto angalia namna kwa kweli..sauti ya watu ni sauti ya...
Acha kutoroka Kwan si watu,,
😂😂😂
Wanasema watoto warudi shule na wanatuma polisi watupe tiagas sasa ona
Wame maliza teargas na bado kuna kesho day three!!!!
Eti afande acha kutoroka na yeye pia ywatoroka😂😂
😂😂
😅😅😅😅😅Sina maoni
😅😅😅😅 na bdo kesho same palaces same time
Waah adi maafisa wanakimbia
Hiyo ni gari ya mtu imepatikana😢😢😢
Police anatoroka lkn anasema watu wasitoroke
When we lose our fear they lose thier power viva
murife dont run,
Mambo😂 nikama hiii😂😂😂😂
Nyinyi niwajinga namna gani😂😂😂😂😂
Ati baadhi ya kikundi kidogo😂😂 to justify "afuade wacha kutoroka...." we shall review this
Good job demostartors 😅😅😅
Police without teargas watakoma😂😂😂😂😂
Sasa mlitaka watoto waende shule muwamalize na teargas na live bullets?
"Hakuna kutoroka" na wewe ndo wakwanza ukitoroka.
Inaitwa kimbikimbi.
And let it be known that it's not 'kutoroka' as such!!
It's regrouping to reorganize on the next strategy. Kindly.
Just one concern.... to whomever the owner of that voice is, (which am sure it's not an officer) those are not the kinds of words to be used in the field.
PEACEFUL KENYA.
GOD BLESS OUR LAND.
Nimeona police mmoja anathema juu juu🤣🤣
Sasa watu wa kibra mutakula wapi na vibanda na duka zimefungwa
Imagine while the mighty are well😢
Usikonde sisi tuko sawa
Watachemsha tear gas canister 😂
Mnatoroka namna gani😂😂😅
Afande acha kutoroka😂😂😂
Huu mtaa hakuna siku itaendelea nyumba zenyewe ni za matope, simukuje mukuru kaiyaba mukuru Kwa Ruben, mjionee vile kume endelea,
Tushaskia citizen tv wamesema hakuna tear Gass😂😂😂
Hahahaha asikari wanaogopa rais😂😂😂
The police are very much okay
Hii nikifi mnawapingesa juu sio watoto wenu.
Teargas ni dawa ya homa
God intervene
Aki police are the one suffering aki,,,,Dear lord bring peace in our country
Kibra ndio kuko na watu hawana kazi ndio wanatumiwa vibaya na watu waliharibu uchumi wakati wa handshake lazima mherevuke
Ati mnatoroka nini?na yeye ndo wakwanza kwa kaende kaende
UkO nA TyAgAaS
Wah,hatari kweli kweli
Hamani kenya
Why do u mute,we need yo hear everything
Ruto anajesha na wanaichi
Kimeumana
Aya maandamAno yamefanya tuijue twasira halis yamitaa yanairob bure kabisa mabanda kilapahali
😂😂😂😂Afande acha kutorokaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wacha kutoroka wauliwe? Wewe enda
Hii kazi ya police ni ngumu sana waaaaaah 😂😂😂
Salary ni 20k 😂😂😂
@@maureenerobert4122😂😂😂😂
Watu wa kibra ni kama Manchester city 🤣🤣🤣
Wacha ku toroka na yeye anatoroka mbio😄😄😄😄
Eti wao ni wajinga namna gani na yy mwenyewe amekunja mkia ameweka katikati ya makende.kama ni mwanaume mpona asiende ndani
Kutoroka ni ujinga ama uoga
TEARGAS HAKUNA😂😂😂
Hao ni polisi wanapiga nduru?!!!.
We need peace in our Kenya 😢😢we shall not eat mandamano let work hard and pray God
The cost of living and high taxes is forcing Kenyans to the street...if you are okay with your life you can go on with your work otherwise let the rest of us demonstrate as enshrined in the constitution
polisi waoga😂😂😂wakuje na mawe tuwaoneshe
This ODM SYCOPHANTS the only language they understand is not teargas.
I hope tumeeleewana.
Leo kume changamka tafadhali 😂😂😂😂😂😂
I was here mbona walitukimbia
Eti ukona nini? Sijaskia poa😂
Police is armed but weakened by law juu cant shoot so ave to evade being hurt