😂😂😂du nilitaka kwenda kwa mganga ila kama kp mwenyewe masharti anashindwa kuwa makini na huu usaulifu wangu sijui itakuwaje 😂 ningekuwa mimi ningepasua vioo vyote na tivi yenyewe maana ayo makofi ya zebuu siwezi aki . hongera sana tunawapenda sana na tunajifunza mengi sana Mungu awalinde sana nyie wote pamoja na familia zenu popote walipo ❤❤❤❤
Kama una mukubali Mungu kuliko hii movi like
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Ndio mungu ni Bora kulikon chochot
Ya kaisari mpe kaisari
Ila Mzee likoma nakupenda bure😂❤❤
pia Mimi too funny 😅😅😅
Hdhdh and the same ❤hgvvv
Cetha na mzee likoma nawakubali sana nimependa mchezo wenu. Na kp ndokasha yatimba na cetha ndoanazidi kumvuruga tu😂😂😂❤❤
Mzee Likoma🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂ati mimi na yule si bora mimi 😂😂😂😂😂mmmmh mmmmh hamuna utofauti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nyinyi wote ni wale wale🤣🤣🤣🤣🤣
Nipeni like zangu 10 tu. This is first love from Mozambique ❤🇲🇿
Ketta na Mzee likoma mko fire bwana big up nawapenda wote😂😂😂😂🎉🎉
KETTA nakupenda sanaa, unakua kila siku,utakuwa mtu mkubwa Sana.
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team likoma brand❤❤
Aah i am so surprise kisai ni mnyaturu what ar amazing Guys hiyo lugha umeongea nimeelewa kabisa aah saporti sana naishi kenya 🇰🇪
Jamani msicheleweshe albastin nangojea san kwa hamu
😂😂😂du nilitaka kwenda kwa mganga ila kama kp mwenyewe masharti anashindwa kuwa makini na huu usaulifu wangu sijui itakuwaje 😂 ningekuwa mimi ningepasua vioo vyote na tivi yenyewe maana ayo makofi ya zebuu siwezi aki . hongera sana tunawapenda sana na tunajifunza mengi sana Mungu awalinde sana nyie wote pamoja na familia zenu popote walipo ❤❤❤❤
Mnachelewesha sana nyie. Cku nane nzima tunasubiri tuuuuuu
Love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Baba na mwana na mkwe 😂😂😂😂
Kazi nzuri wamwisho kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 BJ ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Jamani likoma hoyeeeeeee nabinti yako
Kp kazi unayo aiseee
❤❤❤❤❤❤❤
Komesha Kp kajifanya mjanja hajuwi kama likoma ni mjanja zaidi
Hii movie imenoga kweli nimeipenda
Nilikuwa nampenda sana Sheilaa ilaa saiv nampenda sana Ketta anajuaa kuigizaa balaaaaa❤
Movie inafurahishaa na imechangamkaa hadi rahaaa❤❤❤
Hahaha na kitambulisho cha nida na cheti cha ukimwi daaah nimecheka sana
Mzee likoma kazi mzuri 🔥🇲🇿 Mozambique msumbiji 🔥
Likoma n mwanawe mnanivunja mbavu
Aisee naumwa na kichwa hatari ..sio kwa vurugu ilo mzee likoma na bint yako😅😅😅
Nice job🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤mzee likoma ni 🔥🔥🔥🔥 sana😂😂😂😂😂
Ninawapenda sana kp zebuu
Tuaomkubaliii keitaaa tujuaneee aseee mwamba kapata mtu
Wow KAZI nzuri kp hapo hongera team likoma
Wa kwanza Léo kutokeya Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nawapenda sana 🎉🎉
😂😂😂😂😂😂kumbe mganga ni kisai
Kisai kila mahal hana bahat😂😂😂😂
Iyi Léo kali kweli 💪🔥🔥🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hii ya leo nmecheka mpaka nko icu venye mlitaka😂😂😂😂😂
Noma Sana nimeipenda Mzee likoma kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂 likoma kila sekta unachekeshaga❤❤
Wapi mauwa ya mganga matikita😂😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤ pamoja n Mzee likoma n Binti yake❤❤❤
Yaweeee we nani 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jini zebuu ameamua akutokee live🎉❤❤❤❤
Mmechelewa jamoon mnajua wenzenu tunawapenda😢
Tuendelee kucheka na vituko vya likoma na ketta😂😂😂😂😂
Yaah 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Binti kila sehemu upo😂😂
Ila ketha ni miongoni mwa cast Bora Sana kwa kp na zebuu Kwanza anafiti kila sehem
mnagawa saana mzee Likoma
lakini pia nawapenda sana kutoka Burundi🇧🇮
Mimi wakwanza from Congo Kinshasa naomba like zangu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza kutoka kisii kenya
N vya madirishani pia funika😂😂😂😂😂
Wa kwanza like zangu
Mzee likoma unaweza🤣🤣🤣
Wakwanza leo ❤❤😂
😂 pole sana kep kwa changamoto uliyonayo
15:54 😂😂😂 keta nakupenda ww mrembo yani kuigiza wakujua mno🎉🎉🎉🎉
Mzee likoma tumpe maua yake jamani😊😊😊😊
Nimewahi leo jamani naombeni like kama kumi tu jamani wapendwa 😢😮😮
Safisan kp kazi nzuri....❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Ketta anajua kuigiza aki na wapenda san pamoja na mzee lkom hongeren san❤❤❤❤❤
Mura yaani wee bana lots of love from this side kazi yenu siku zote ni fire🔥
Kp kavusha dawa kwenye kitezo moto hatujaona alipoutoa tumepigwaaa
Kama na wewe unakubali basi gonga like inifikie Uku msumbiji Mozambique 🇲🇿🇲🇿🙏
Kisai nakupenda bure❤❤
Mganga pia anataka kusakamua😂😂love from your neighbour🇰🇪
Likoma noma san❤❤
Nipeni mauwa yangu 🎉🎉🎉😂😂😂😂
Ya kazi gani
Uyapeleke wapi
@salmanassor8732 kwenu kama una weza
Eeer kp 😂😂😂safari hiii Jamani mzee Likoma napenda kazi zenu wapedwa ❤❤❤❤
😂😂😂😂 hakiri ya likoma nikama yautoto😂😂 IRA very good 😂❤
Wakwanza❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤mungu abaliki sana kazi zenu
Jamani kipindi kiko lit🔥🔥
Wale WA plan B heyyyy
Kazi nzuri😊..much love ❤❤
Nakubal wazee
Love from GOGO LOVE OFFICIAL
Video nzuri sana.kazi nzuri
Kp music musichelewi kutowe episode ifuhatayo mahanatunahisubiri kwahamu sana
Jamn nawapenda❤❤❤❤
Waaaaaa kazi ipo kp na baba mkwe 😂😂❤❤❤❤❤❤
Wakwanza Leo Naomba likes zako kp
Msichelewesheee Kutoaa Jmn😢
Zebu mbona unamfokea sana kaka wa watu na wala hajakuona
Ila huyu kama yupo ivi akizeeka kweli itakuaje jaman😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂❤
Mganga Matikisa😂
Yuko vizur mganga matikisa😂😂😂
@RehemaSaid-r4h Hakka.Ajawai kutuangusha
Utamu kapata mwenyewe 😂😂😂😂
Mzee likoma unanimali😂😂😂zaaa
Pole san Keep kwa kupigwa makofi na jini Zeb 😅😅😂
Kivumbi leo 😂😂😂😂😂
Nora unapendeza ukisuka uwe unasukaaaaa❤❤
Kazi nzuri nawapenda sana jini kisirani oyeeeee❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri❤
Mbona imechelewa San
Nipo mwanza mungu tanguliye
Courage ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri 🎉🎉🎉 ila mnachelewesha sana
Mtu anamwwmbia muganga unakicha kweli😅😅😅😅😅😅😅
Kp utajua hujui unataka pesa lakini hujui mashartii😂😂😂😂😂
❤wa kwanz mm
Nawapenda sana munajua kuigiza
Safiiiii nawa ❤❤❤ sana
Yaani nili miss vituko vya Mzee likoma 🎉🎉🎉🎉❤❤❤😂😂😂😂😂
Wa kwanza 🎉🎉🎉
Wow nzuri❤❤❤love
Ketta endelea kujiongezq kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂baba na mwana kaxi mnayoo halafuu hamjui nyumba inamasharti
Munachelesha kazi sna
Anyampaa akikuuu sayooo😂😂😂😂ila kisai shey shey ndo alikufundisha ee😂
Hongereni kbx kazi nzuri
Jamani naomba Dem yeyot mwenye ukimwi.