MBUNGE ANATAKA TENA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2020
  • Kipindi hiki kila mtu anakufa na chake, maana hata wananchi wamekua wajanja...
  • ตลก

ความคิดเห็น • 550

  • @babasandra638
    @babasandra638 3 ปีที่แล้ว +424

    Mm ni mkenya ndio maana sipati likes kwa kila comment

  • @samchacha2320
    @samchacha2320 3 ปีที่แล้ว +23

    Kicheko cha Sopa aki-act as mtu mwenye pesa uhakika sana, jamaa hakosei
    Big up SOPA

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 3 ปีที่แล้ว +268

    Kama unakubali sisi wa Kongo🇨🇩 pia tunamkubali sana joti, tupe like jamani😁👍🏾

  • @starridge3615
    @starridge3615 3 ปีที่แล้ว +20

    From Kenya likes za kuchelewa ufike

  • @StarBoy-oi7vx
    @StarBoy-oi7vx 3 ปีที่แล้ว +108

    Hivi hizo likes mnapata Vp mbona me sipati au nakosea wap jamen😢😢

  • @djbee257
    @djbee257 3 ปีที่แล้ว +33

    Love from Burundi 🇧🇮 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 #runtowndjs

  • @johnnabie5445
    @johnnabie5445 3 ปีที่แล้ว +5

    "Kila Mbuzi anakula kwa urefu wa kamba lake." 😂😂😂😂😂😂

  • @Keymambo_
    @Keymambo_ 3 ปีที่แล้ว +6

    Big up sana joti!!!!!!!!joti baba lao%%%%%%%%%%

  • @misapinamiswi5751
    @misapinamiswi5751 3 ปีที่แล้ว +5

    Hahaha joti hiyo nguo balaaa
    Mama dame Kenya tunakupenda tembea
    254...

  • @jessicabrown5885
    @jessicabrown5885 3 ปีที่แล้ว +9

    Napenda mbunge anavyocheka😁

  • @rashidahmed7504
    @rashidahmed7504 3 ปีที่แล้ว +34

    yani sopa umeuwa baba nakupenda buree chukuwa hilo 💋💋

  • @samsonsimon7882
    @samsonsimon7882 3 ปีที่แล้ว +20

    Kumbe joti ni mnafiki yupo kimaslahi!!!km umenielewa gonga like

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 3 ปีที่แล้ว +10

    "Kukuangusha inatokana na uzito ";🤣🤣🤣 jamani joti hufai.

  • @abdiaziz2978
    @abdiaziz2978 3 ปีที่แล้ว +61

    My dream Car InshaAllah may Allah make my dreams come true

    • @khizralghawy9489
      @khizralghawy9489 3 ปีที่แล้ว +4

      😂😂😂😂😂 fanya mema uende peponii hizoo ni zakupita

    • @affaanothmaan6287
      @affaanothmaan6287 3 ปีที่แล้ว +2

      Wakati unaliwaza hili gari, usisahau kuliwaza na kaburi,,,

    • @feyzalyusuph14
      @feyzalyusuph14 3 ปีที่แล้ว +7

      @@khizralghawy9489 hizi fikra ndo zinatufanya tunatawaliwa kiuchumi sisi waislam...Allah anasema tuitafute pepo kama tunakufa kesho na tutafute mali kama tunaishi milele..ukiwa maskini utafanya uchafu mwingi sana na utashindwa kuinua jamii yako ndo maana ikawekwa zaka kwa matajiri sasa jiulize kama hakuna utajiri zaka itatolewa vipi?

    • @feyzalyusuph14
      @feyzalyusuph14 3 ปีที่แล้ว +6

      Bro pambana na Allah atatimiza hitaji la moyo wako pia hakikisha una mshukuru kwa kila kitu kufanya hivyo utakua umetoka kwenye kundi la wanaokufuru.

    • @nashaissa3804
      @nashaissa3804 3 ปีที่แล้ว +1

      Aamin

  • @tembomnyama2310
    @tembomnyama2310 3 ปีที่แล้ว +131

    Tulio wahi Naombeni Likes5 tu.... Zinatosha 🤓🤓🇹🇿🙏

  • @doreenmushi3859
    @doreenmushi3859 3 ปีที่แล้ว +32

    Dah leo nmewah kwa best comedian in east africa

  • @John_Msambya
    @John_Msambya 3 ปีที่แล้ว +54

    Wewe ndiyo unanifanya niwe Furaha 😂😂😂

  • @jonasmongi7811
    @jonasmongi7811 3 ปีที่แล้ว +40

    Leo nimechelewa ila sio mbya joti n best comedian in east africa 😂 😂

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn6851 3 ปีที่แล้ว +9

    Ila Joti anavovaagaaa 😁😁😁😁😁😁. Dah!

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 3 ปีที่แล้ว +3

    Mambo ya takrima hayo,et ikionekana n rushwa ila icpoonekana ni takrima,kunawatu wanatambaa kabsa😂😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @simonmahundo1735
    @simonmahundo1735 3 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana umegusa home Ulanga MALINYI yetuuu

  • @michaelramadhan9466
    @michaelramadhan9466 3 ปีที่แล้ว +3

    Je
    *1. Unasumbuliwa na Presha ya kupanda (B.P) ?*
    *2. Unateseka na Vidonda vya tumbo (Ulcers) ?*
    3. Una U.T.I sugu ?
    4. Umepungukiwa na Damu mwilini ?
    5. Una Kisukari (Diabetes) ?
    6. Umepungukiwa na Kinga ya mwili ?
    7. Una tatizo la Homoni (Hormonal Imbalance) ?
    8. Unashida ya kupata maziwa ya mtoto kwa mama anaenyonyesha ?
    9. Una shida ya mifupa ?
    10. Una aleji (Allergy) ?
    11. Una matatizo ya macho ?
    12. Una mafuta mengi mwilini / lehemu (Cholestrol) ?
    13. Una shida kwenye mmeng'enyo wa chakula tumboni (constipation) ?
    14. Una tatizo la nguvu za kiume ?
    15. Je, mayai ya uzazi hayapevuki kwa wanawake?
    16. Huwezi kupata mtoto kwa shahawa kutoka ikiwa nyepesi mno kwa wanaume (low sperm count) ?
    Piga0629280027
    WhatsApp+255629395655

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 3 ปีที่แล้ว +178

    Kama unamkubal JOTI 100 parcent gonga like hapa!

  • @alpherhaule179
    @alpherhaule179 3 ปีที่แล้ว +2

    Joti baba lao la comedy tza naomba like za kutosha tuuuuuuuuuuuuu🤣

  • @adiahassan2416
    @adiahassan2416 3 ปีที่แล้ว +41

    Washabiki wa joti tujuane hapa🤣🤣

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 3 ปีที่แล้ว +3

    Uzuri wajumbe na wao wakafanya kweli🤣🤣😂😂😂😂

  • @abdallahmohammed7947
    @abdallahmohammed7947 3 ปีที่แล้ว +12

    United states apa California nawaona gonga like hujachelewa

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 ปีที่แล้ว +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti tupo tumechakaa kama hivi😂😂😂😂😂😂

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 ปีที่แล้ว +27

    Na Mimi kanifanyia hv hv 😂😂 inuka Baba kawa mpole 🤣🤣🤣

  • @setinswila9499
    @setinswila9499 3 ปีที่แล้ว +2

    Daa sopaa ""eeh nmeshangaaa zaman ulikuwa na magagaa mwili wotee dahh😂😂

  • @pauljosephmashaur3118
    @pauljosephmashaur3118 3 ปีที่แล้ว +5

    Leo ndo wametoa kitu poa kabxaaa like twende sawa

  • @eastafricabrokerkiller8028
    @eastafricabrokerkiller8028 3 ปีที่แล้ว +5

    Hahahaa Kama unavyotuona mmoja mmoja km matone ya mvua😂😂

  • @samirimunguawazidishiekher7319
    @samirimunguawazidishiekher7319 3 ปีที่แล้ว

    Kwani izo like mnazo ziomba mnazipeleka wapi Maana atuwaelewi mmecharuka kuomba like

  • @naomirobert4867
    @naomirobert4867 3 ปีที่แล้ว +5

    Kwahyo ukificha ni takrima ila ukitoa waziwazi ndio rushwaa..😂😂😁😁😁 uhuwiii 🙌

  • @zulekhamnene9462
    @zulekhamnene9462 3 ปีที่แล้ว +14

    Likes zanguu Kama unamkubali mama dame😅

  • @CertifiedStoic
    @CertifiedStoic 3 ปีที่แล้ว +12

    Dah Sopa ni bonge moja la supporting act. Anajua sanaaaa 😂

    • @omaryrashid1873
      @omaryrashid1873 3 ปีที่แล้ว +2

      Kwel yuki poa sna et wananchi wamekufaaa

    • @CertifiedStoic
      @CertifiedStoic 3 ปีที่แล้ว +2

      Omary Rashid Ni bonge la comedian mshkaji.. soo natural !

  • @josephNdichu879
    @josephNdichu879 3 ปีที่แล้ว +15

    Qatar tuko ndani 🇶🇦

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 3 ปีที่แล้ว +4

    Kuku angusha inategemeyana na uzitoo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salehechuma3970
    @salehechuma3970 3 ปีที่แล้ว +1

    Mama Damme umetisha upo kwenye ndoa ya Nane hiyo.....Hahahahahahahaha

  • @hopechami521
    @hopechami521 3 ปีที่แล้ว +6

    Vitu iv nlivipata kwenye ndoa Yang ya 1saiv nandoa 8,😃😃😃

  • @severinatyphone6122
    @severinatyphone6122 3 ปีที่แล้ว +4

    KAMA YA GEITA 🤣🤣🤣🤣🤣 KATOMA MTUSAHAU!! DAA NANI ATAISEMEA JAMANI!

  • @tausihasheem5051
    @tausihasheem5051 3 ปีที่แล้ว +4

    Hyu n dereva ake hyu n dereva ake...joti kanichekesha wallah🤣🤣🤣

  • @kenmute7737
    @kenmute7737 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahaaa..wee unakuja na kushikashika miguu kuna watu wanatambaa kama kenge 🤣🤣🤣 wapi like ya joti kama unamkubali..

  • @khadijaamour7654
    @khadijaamour7654 3 ปีที่แล้ว +33

    Nimelielewa ilo gari tu apo😂😂😂

  • @jumamecha
    @jumamecha 3 ปีที่แล้ว +2

    Joti wewe mukali big up sanaaa

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje1215 3 ปีที่แล้ว +3

    😂 😂 😂 😂 Kweli trh 28
    Mwendo WA kujiajiri tu

  • @bmbyamstz9408
    @bmbyamstz9408 3 ปีที่แล้ว +2

    Zidisha kutupa raha kaka😁😁

  • @iscobuzness7153
    @iscobuzness7153 3 ปีที่แล้ว +48

    Kipande Yupo Wap Mbona Sikuizi Aonekan

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 3 ปีที่แล้ว +2

    Sopa 😂😂😂😂😂eti watakua wamekufa au wapo🤣🤣🤣🤣

  • @taslimanyange2850
    @taslimanyange2850 3 ปีที่แล้ว +12

    Tarehe 28 ni moto naisubiri Mungu anipe uzima tuuuh

  • @paulinamhecha4420
    @paulinamhecha4420 3 ปีที่แล้ว +1

    Etii watu wamekuja wanatambaa kama kengee🤣🤣

  • @saidyhamidy286
    @saidyhamidy286 3 ปีที่แล้ว +5

    😂😂😂😂 joti talehe 28 nitalehe ya kuchoma sindano

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 2 ปีที่แล้ว +2

    🤣🤣🤣🤣joti bhana

  • @obenitejailos7007
    @obenitejailos7007 3 ปีที่แล้ว +3

    Mvua zote zikipiga 120 ndani 😂😂😂

  • @franciskomba4144
    @franciskomba4144 3 ปีที่แล้ว +1

    Suti ya mbuge imechanika nani kaona 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rasuliathumani8830
    @rasuliathumani8830 3 ปีที่แล้ว +3

    Kama unakubali hahaha tim jot gonga like

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 3 ปีที่แล้ว +1

    Wasiwasi wangu tutawakuta kweli wananchi au tutakuta wamekufa@@@Nimependa hii

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 3 ปีที่แล้ว +3

    Joti ukitoaga kitu kizuri nakosa hata kukomenti. 😂😂😂😂 eti mvua ikinyesha 120 moaka ndani

  • @fadhiliignusy3790
    @fadhiliignusy3790 3 ปีที่แล้ว +1

    koti la mbuge sopa hapo nyuma ya bega 😂😂😂😂

  • @ramadhaniramji7048
    @ramadhaniramji7048 3 ปีที่แล้ว +2

    Kuna watu wanatambaa kama kengee😂😂😂

  • @simonsweka7305
    @simonsweka7305 3 ปีที่แล้ว +17

    Mhe..sopaa....duh hii ni kampen...real life in tz

  • @danielpallangyo380
    @danielpallangyo380 2 ปีที่แล้ว

    Alie ona koti la Mbunge limechanika kwapa like tujusne🤣🤣😆😆😆😆🤣🤣

  • @zainabzuber1779
    @zainabzuber1779 3 ปีที่แล้ว +4

    Vitu hivi nimevipata ndoa yangu ya 1 maana Sasa hivi nipo ya 8😂😂😂

  • @tecklaadam6146
    @tecklaadam6146 3 ปีที่แล้ว +2

    Kicheko cha mbunge 😂😂

  • @queenalimoja4386
    @queenalimoja4386 3 ปีที่แล้ว +1

    zamani ulikuwa namagaga😃😃😃

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 3 ปีที่แล้ว +3

    Mzuri sana nimeipenda hii Safi joti😀😀😀😀🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.

  • @user-gz2zm9ro1h
    @user-gz2zm9ro1h 3 ปีที่แล้ว

    Mim ni mzung ndoman sipati like

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 3 ปีที่แล้ว +2

    Joty bhan umetisha Sana'a na sopa.ila kipande simuoni hapo daaah ela yakeeeeee.

  • @tz7976
    @tz7976 3 ปีที่แล้ว +1

    Kukuangusha inategemea na uzito🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 joti hatariiiii

  • @adiahassan2416
    @adiahassan2416 3 ปีที่แล้ว +5

    Kama unayakubar mashat ya nishai🤣🤣 gonga like hapatikan

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 3 ปีที่แล้ว +1

    joti nashindwa niwekeje commert maana hii comedy ya leo kiboko cha wale😂😂😂

  • @bonifaceanthony309
    @bonifaceanthony309 3 ปีที่แล้ว +8

    7:26 koti limechanika

  • @user-cg1wg3ll9h
    @user-cg1wg3ll9h 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mda wote naikubali hii clip😂😂😂

  • @danielpallangyo380
    @danielpallangyo380 2 ปีที่แล้ว +1

    Nishai the Great one💚

  • @samytexas
    @samytexas 3 ปีที่แล้ว +5

    Man so creative 😂👌🏽🤲🏾🤝🔥

  • @sabinaleonard504
    @sabinaleonard504 3 ปีที่แล้ว +2

    Alieona koti LA sopa limechanika gonga like

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 3 ปีที่แล้ว +13

    "Takrima" nimeongezekewa na msamiati Leo.

    • @stivekaputa6870
      @stivekaputa6870 3 ปีที่แล้ว

      Kama umeona koti la mh. Mbunge limechanika maeneo ya kwapan gonga like hapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @shantalismailhassan9878
      @shantalismailhassan9878 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣

    • @shantalismailhassan9878
      @shantalismailhassan9878 3 ปีที่แล้ว

      @@stivekaputa6870 🤣🤣🤣🤣

  • @naomirobert4867
    @naomirobert4867 3 ปีที่แล้ว +2

    Nan ameckia mama Dame anawakilisha mbele 😁😁😁😁😁😁😁

  • @claraedwardmalingumu3565
    @claraedwardmalingumu3565 3 ปีที่แล้ว

    Baba wawili weeee unanifanya nisahau shida zangu zote za mchanaa,suluali hiyoooo baba wawiliiii mie hoi ,mungu azidi.kukupa.ubunifu wako.mzuri mnoooo

  • @FHassanY
    @FHassanY 3 ปีที่แล้ว +16

    Mm wa kwanza gonga like waungwana

    • @templerfx4212
      @templerfx4212 3 ปีที่แล้ว +1

      🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘‍♀🙏🙏🏻

  • @abelmange5430
    @abelmange5430 3 ปีที่แล้ว +1

    Gari la kibabe Sana 🤠

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 3 ปีที่แล้ว +1

    Nitawakuta wananchi au nitakuta wamekufa 😂😂😂

  • @feisalfarid147
    @feisalfarid147 3 ปีที่แล้ว +12

    Mjomba jotiii ukooo juuuu sanaa👍

    • @templerfx4212
      @templerfx4212 3 ปีที่แล้ว +1

      🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘‍♀🙏🙏🏻

    • @simonimwanamasi6527
      @simonimwanamasi6527 3 ปีที่แล้ว +1

      Joti wewee Mungu Ana kuona

  • @dearnamypastime2435
    @dearnamypastime2435 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwan na huyu anataka kugombea. Hahahaaa

  • @mohamedimustafa4540
    @mohamedimustafa4540 3 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri big up wote

  • @thierybien7051
    @thierybien7051 3 ปีที่แล้ว

    Uyu jamaa cheko yake ya kitajili inaniacha hoi kabisaaa 😀😀😀😀

  • @harryvice77
    @harryvice77 3 ปีที่แล้ว

    Broooh joti awajamaa zako skuizi umeshawaambukiza ugojwa wa kuvunjambavu jamaa alipoanza apo mwanzo kwa kucheka kanivunja mbavu sanah

  • @saidjaphar1377
    @saidjaphar1377 3 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂😂😂😂Eti kuna watu wanatambaa kama kenge.

  • @badboychitanda7345
    @badboychitanda7345 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana mbunge unatisha

  • @adamclassictz
    @adamclassictz 3 ปีที่แล้ว +45

    Bora leo tangazo halipo mwanzoni

    • @sumakandosa1064
      @sumakandosa1064 3 ปีที่แล้ว

      Kwel kbs

    • @templerfx4212
      @templerfx4212 3 ปีที่แล้ว +4

      🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘‍♀🙏🙏🏻

    • @Dinosucre10
      @Dinosucre10 3 ปีที่แล้ว

      Asante mungu

    • @salumally3128
      @salumally3128 3 ปีที่แล้ว +2

      nilitaka kupeleka mbele nikizani matangazo yapo mwanzo...🤣

    • @mwanaidhassan4079
      @mwanaidhassan4079 3 ปีที่แล้ว

      Hahaha me nilisogeza mbele kdg then nikarud nyuma😀😀😀😀

  • @fetysaidsaid708
    @fetysaidsaid708 3 ปีที่แล้ว +21

    😂😂😂 wapili leo joti tv

    • @templerfx4212
      @templerfx4212 3 ปีที่แล้ว +1

      🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘‍♀🙏🙏🏻

  • @teclasimba5389
    @teclasimba5389 3 ปีที่แล้ว +3

    Leo sijasikia mtoto akilia 😂😂
    Wapi tangazo letu la giggles

  • @Busilana
    @Busilana 3 ปีที่แล้ว +4

    Kuna Watu Wana tambaa km kenge heshimu 😂

  • @andersonjacob7638
    @andersonjacob7638 3 ปีที่แล้ว +3

    kama umekubali mbunge gonga like

  • @omariamiri5556
    @omariamiri5556 3 ปีที่แล้ว +10

    Hhhhhhh hhh sopa unapendezea kuwa mbunge

    • @templerfx4212
      @templerfx4212 3 ปีที่แล้ว +2

      🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘‍♀🙏🙏🏻

  • @allymashaka3471
    @allymashaka3471 3 ปีที่แล้ว +2

    Inamashiko sana, sema sie Wapiga kura sasa

  • @youngchillags998
    @youngchillags998 3 ปีที่แล้ว +4

    Nanukuu 7:30
    ``kwani huyo anataka kugombea huyo"
    Joti bana..😂😂

  • @producermaiko1762
    @producermaiko1762 3 ปีที่แล้ว

    Malinyi uranga ahahahahaha😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃nyumban uko ifakara mbele ukooo

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂mbona takrima

  • @alexanderbruno5048
    @alexanderbruno5048 3 ปีที่แล้ว +3

    nishai plus sopa, nimekuja na mipango mipyaa