@@khizralghawy9489 hizi fikra ndo zinatufanya tunatawaliwa kiuchumi sisi waislam...Allah anasema tuitafute pepo kama tunakufa kesho na tutafute mali kama tunaishi milele..ukiwa maskini utafanya uchafu mwingi sana na utashindwa kuinua jamii yako ndo maana ikawekwa zaka kwa matajiri sasa jiulize kama hakuna utajiri zaka itatolewa vipi?
Je *1. Unasumbuliwa na Presha ya kupanda (B.P) ?* *2. Unateseka na Vidonda vya tumbo (Ulcers) ?* 3. Una U.T.I sugu ? 4. Umepungukiwa na Damu mwilini ? 5. Una Kisukari (Diabetes) ? 6. Umepungukiwa na Kinga ya mwili ? 7. Una tatizo la Homoni (Hormonal Imbalance) ? 8. Unashida ya kupata maziwa ya mtoto kwa mama anaenyonyesha ? 9. Una shida ya mifupa ? 10. Una aleji (Allergy) ? 11. Una matatizo ya macho ? 12. Una mafuta mengi mwilini / lehemu (Cholestrol) ? 13. Una shida kwenye mmeng'enyo wa chakula tumboni (constipation) ? 14. Una tatizo la nguvu za kiume ? 15. Je, mayai ya uzazi hayapevuki kwa wanawake? 16. Huwezi kupata mtoto kwa shahawa kutoka ikiwa nyepesi mno kwa wanaume (low sperm count) ? Piga0629280027 WhatsApp+255629395655
Mm ni mkenya ndio maana sipati likes kwa kila comment
Chukua hyo
Pole ndoukubwa Uwo Mtanzania mbaka Akukubali utafanya kazi kubwa sana Baby😂😂
Thanks
Pole
Ckukua hyo
Kicheko cha Sopa aki-act as mtu mwenye pesa uhakika sana, jamaa hakosei
Big up SOPA
Kama unakubali sisi wa Kongo🇨🇩 pia tunamkubali sana joti, tupe like jamani😁👍🏾
Wakongo bolingo! 🤓
Hahaha vizuri
Nakubari sana jot
Good brother
@@kingbashar4293 ⁰
From Kenya likes za kuchelewa ufike
Hivi hizo likes mnapata Vp mbona me sipati au nakosea wap jamen😢😢
Wenzio wakubwa umeelewa maana yake
,pambna mwanang
Love from Burundi 🇧🇮 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 #runtowndjs
Wajinga ma DJ wote wa Burundi, wasiopenda vya kwao, pumbavu zenu😏😏
"Kila Mbuzi anakula kwa urefu wa kamba lake." 😂😂😂😂😂😂
Big up sana joti!!!!!!!!joti baba lao%%%%%%%%%%
Hahaha joti hiyo nguo balaaa
Mama dame Kenya tunakupenda tembea
254...
Napenda mbunge anavyocheka😁
yani sopa umeuwa baba nakupenda buree chukuwa hilo 💋💋
Kumbe joti ni mnafiki yupo kimaslahi!!!km umenielewa gonga like
"Kukuangusha inatokana na uzito ";🤣🤣🤣 jamani joti hufai.
My dream Car InshaAllah may Allah make my dreams come true
😂😂😂😂😂 fanya mema uende peponii hizoo ni zakupita
Wakati unaliwaza hili gari, usisahau kuliwaza na kaburi,,,
@@khizralghawy9489 hizi fikra ndo zinatufanya tunatawaliwa kiuchumi sisi waislam...Allah anasema tuitafute pepo kama tunakufa kesho na tutafute mali kama tunaishi milele..ukiwa maskini utafanya uchafu mwingi sana na utashindwa kuinua jamii yako ndo maana ikawekwa zaka kwa matajiri sasa jiulize kama hakuna utajiri zaka itatolewa vipi?
Bro pambana na Allah atatimiza hitaji la moyo wako pia hakikisha una mshukuru kwa kila kitu kufanya hivyo utakua umetoka kwenye kundi la wanaokufuru.
Aamin
Tulio wahi Naombeni Likes5 tu.... Zinatosha 🤓🤓🇹🇿🙏
Dah leo nmewah kwa best comedian in east africa
Wewe ndiyo unanifanya niwe Furaha 😂😂😂
Leo nimechelewa ila sio mbya joti n best comedian in east africa 😂 😂
and his team too
Ila Joti anavovaagaaa 😁😁😁😁😁😁. Dah!
Mambo ya takrima hayo,et ikionekana n rushwa ila icpoonekana ni takrima,kunawatu wanatambaa kabsa😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Safi sana umegusa home Ulanga MALINYI yetuuu
Je
*1. Unasumbuliwa na Presha ya kupanda (B.P) ?*
*2. Unateseka na Vidonda vya tumbo (Ulcers) ?*
3. Una U.T.I sugu ?
4. Umepungukiwa na Damu mwilini ?
5. Una Kisukari (Diabetes) ?
6. Umepungukiwa na Kinga ya mwili ?
7. Una tatizo la Homoni (Hormonal Imbalance) ?
8. Unashida ya kupata maziwa ya mtoto kwa mama anaenyonyesha ?
9. Una shida ya mifupa ?
10. Una aleji (Allergy) ?
11. Una matatizo ya macho ?
12. Una mafuta mengi mwilini / lehemu (Cholestrol) ?
13. Una shida kwenye mmeng'enyo wa chakula tumboni (constipation) ?
14. Una tatizo la nguvu za kiume ?
15. Je, mayai ya uzazi hayapevuki kwa wanawake?
16. Huwezi kupata mtoto kwa shahawa kutoka ikiwa nyepesi mno kwa wanaume (low sperm count) ?
Piga0629280027
WhatsApp+255629395655
Kama unamkubal JOTI 100 parcent gonga like hapa!
UK;;;; is;:;;;
Joti hoyeeee
Joti baba lao la comedy tza naomba like za kutosha tuuuuuuuuuuuuu🤣
Washabiki wa joti tujuane hapa🤣🤣
Uzuri wajumbe na wao wakafanya kweli🤣🤣😂😂😂😂
United states apa California nawaona gonga like hujachelewa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti tupo tumechakaa kama hivi😂😂😂😂😂😂
Na Mimi kanifanyia hv hv 😂😂 inuka Baba kawa mpole 🤣🤣🤣
Daa sopaa ""eeh nmeshangaaa zaman ulikuwa na magagaa mwili wotee dahh😂😂
Leo ndo wametoa kitu poa kabxaaa like twende sawa
Hahahaa Kama unavyotuona mmoja mmoja km matone ya mvua😂😂
Kwani izo like mnazo ziomba mnazipeleka wapi Maana atuwaelewi mmecharuka kuomba like
Kwahyo ukificha ni takrima ila ukitoa waziwazi ndio rushwaa..😂😂😁😁😁 uhuwiii 🙌
Likes zanguu Kama unamkubali mama dame😅
zulekha upotea wp? Dadaa 🇰🇪
😝😝😝
Dah Sopa ni bonge moja la supporting act. Anajua sanaaaa 😂
Kwel yuki poa sna et wananchi wamekufaaa
Omary Rashid Ni bonge la comedian mshkaji.. soo natural !
Qatar tuko ndani 🇶🇦
Kuku angusha inategemeyana na uzitoo🤣🤣🤣🤣🤣
Mama Damme umetisha upo kwenye ndoa ya Nane hiyo.....Hahahahahahahaha
Vitu iv nlivipata kwenye ndoa Yang ya 1saiv nandoa 8,😃😃😃
KAMA YA GEITA 🤣🤣🤣🤣🤣 KATOMA MTUSAHAU!! DAA NANI ATAISEMEA JAMANI!
Umeona
Hyu n dereva ake hyu n dereva ake...joti kanichekesha wallah🤣🤣🤣
We
Hahaaa..wee unakuja na kushikashika miguu kuna watu wanatambaa kama kenge 🤣🤣🤣 wapi like ya joti kama unamkubali..
Nimelielewa ilo gari tu apo😂😂😂
Lexus hio
Hiyo ni LX570
Joti wewe mukali big up sanaaa
😂 😂 😂 😂 Kweli trh 28
Mwendo WA kujiajiri tu
Zidisha kutupa raha kaka😁😁
Kipande Yupo Wap Mbona Sikuizi Aonekan
Sopa 😂😂😂😂😂eti watakua wamekufa au wapo🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁
Tarehe 28 ni moto naisubiri Mungu anipe uzima tuuuh
Etii watu wamekuja wanatambaa kama kengee🤣🤣
😂😂😂😂 joti talehe 28 nitalehe ya kuchoma sindano
🤣🤣🤣🤣joti bhana
Mvua zote zikipiga 120 ndani 😂😂😂
Suti ya mbuge imechanika nani kaona 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama unakubali hahaha tim jot gonga like
Wasiwasi wangu tutawakuta kweli wananchi au tutakuta wamekufa@@@Nimependa hii
Joti ukitoaga kitu kizuri nakosa hata kukomenti. 😂😂😂😂 eti mvua ikinyesha 120 moaka ndani
koti la mbuge sopa hapo nyuma ya bega 😂😂😂😂
Kuna watu wanatambaa kama kengee😂😂😂
Mhe..sopaa....duh hii ni kampen...real life in tz
Alie ona koti la Mbunge limechanika kwapa like tujusne🤣🤣😆😆😆😆🤣🤣
Vitu hivi nimevipata ndoa yangu ya 1 maana Sasa hivi nipo ya 8😂😂😂
Kicheko cha mbunge 😂😂
zamani ulikuwa namagaga😃😃😃
Mzuri sana nimeipenda hii Safi joti😀😀😀😀🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Mim ni mzung ndoman sipati like
Joty bhan umetisha Sana'a na sopa.ila kipande simuoni hapo daaah ela yakeeeeee.
Kukuangusha inategemea na uzito🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 joti hatariiiii
Kama unayakubar mashat ya nishai🤣🤣 gonga like hapatikan
joti nashindwa niwekeje commert maana hii comedy ya leo kiboko cha wale😂😂😂
7:26 koti limechanika
Mda wote naikubali hii clip😂😂😂
Nishai the Great one💚
Man so creative 😂👌🏽🤲🏾🤝🔥
Alieona koti LA sopa limechanika gonga like
"Takrima" nimeongezekewa na msamiati Leo.
Kama umeona koti la mh. Mbunge limechanika maeneo ya kwapan gonga like hapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
@@stivekaputa6870 🤣🤣🤣🤣
Nan ameckia mama Dame anawakilisha mbele 😁😁😁😁😁😁😁
Baba wawili weeee unanifanya nisahau shida zangu zote za mchanaa,suluali hiyoooo baba wawiliiii mie hoi ,mungu azidi.kukupa.ubunifu wako.mzuri mnoooo
Mm wa kwanza gonga like waungwana
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘♀🙏🙏🏻
Gari la kibabe Sana 🤠
Nitawakuta wananchi au nitakuta wamekufa 😂😂😂
Mjomba jotiii ukooo juuuu sanaa👍
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘♀🙏🙏🏻
Joti wewee Mungu Ana kuona
Kwan na huyu anataka kugombea. Hahahaaa
Hatar
Kazi nzuri big up wote
Uyu jamaa cheko yake ya kitajili inaniacha hoi kabisaaa 😀😀😀😀
Broooh joti awajamaa zako skuizi umeshawaambukiza ugojwa wa kuvunjambavu jamaa alipoanza apo mwanzo kwa kucheka kanivunja mbavu sanah
😂😂😂😂😂😂Eti kuna watu wanatambaa kama kenge.
Safi sana mbunge unatisha
Bora leo tangazo halipo mwanzoni
Kwel kbs
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘♀🙏🙏🏻
Asante mungu
nilitaka kupeleka mbele nikizani matangazo yapo mwanzo...🤣
Hahaha me nilisogeza mbele kdg then nikarud nyuma😀😀😀😀
😂😂😂 wapili leo joti tv
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘♀🙏🙏🏻
Leo sijasikia mtoto akilia 😂😂
Wapi tangazo letu la giggles
Kuna Watu Wana tambaa km kenge heshimu 😂
kama umekubali mbunge gonga like
Hhhhhhh hhh sopa unapendezea kuwa mbunge
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘♀🙏🙏🏻
Inamashiko sana, sema sie Wapiga kura sasa
Nanukuu 7:30
``kwani huyo anataka kugombea huyo"
Joti bana..😂😂
Malinyi uranga ahahahahaha😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃nyumban uko ifakara mbele ukooo
😂😂😂😂😂😂😂😂mbona takrima
nishai plus sopa, nimekuja na mipango mipyaa