Ingawa amefungwa 20 year, ametoka kama knowledge ni zengine, lakini huyu mtu ana akili sana, anajibu vizuri sana, ako vizuri sana kuongea, haropokwi, ako vizuri sana kuongea, Mwenyezi Mungu ambariki sana, na amuongoze katika njia ilionyooka, i really love his talk, may God bless 🙌maximum TV.
Kwani wanawake tunafeli wapi yani mtu timchangiye sisi halafu atufanyiye mchujo kweli hapana hebu tutafuta pesa tuache kujifedhehesha hapa kwenye mchujo sijapapenda kweli wadada tufanye kazi wanaume wapo tu wazuri sana ukiwa na maisha yako uko vizuri utapata maanaume mzuri kabisa
Asalam Alaykum! Masha Allah mtangazaji wetu Allah atakulipa kwa kazi nzuri unayofanyia umati Mohamad! Ila kakangu huyo Allah atamwogoza Amin! Tena kama ni utungaji wa mziki? Mm singependa kabisa kulingana na Mtihani aliyo pitia, Ajalibu sana kutowa ( NASHID) YY NI MUISILAM ASIKUFURU! DIYO NABII ISSA TWAMTABUA SANA , LAKINI ANAE TIBU NI ALLAH PEKE YAKE! ALLAH AMWONGOZI NA USHINDI ATAPATA AMIN AMIN
Na sisi wanawake tuwe waelewa Huyu ni mmoja ,na ashaweka wazi kuwa amepata mtu,;mbona tuwe wabishi?hebu tuwaombee mema Kwenye safari ya ndoa yao,kuliko wanawake wengine kukaidi na kulazimisha kumtaka,na yeye ana mchumba ,inaweza ikaleta tafaruku plzz siyo kwa ubaya ,wale ambao bado wanamtaka selemani plz mucheni,na nyinyi mungu atawajaaliya mahusiano yenu /ndoa
Mmh huyu dada alio mkubali huyu kaka anamoyo sana anataka ku share biashara pamoja bila kijali wanaume wanatabia ya kubadilika musitazame uzuri kwa haraka mzuri ila huyu mwanzo alisema anamtaka yoyote wafanye maisha mala kabadilika haya tunangoja mlejesho musije kulia tu na pesa zenu za timu hamamu pesa rial zinauma mno
Zakhiri unazdi kuwabonge ukuwa na rohonxuri bwana mungu hukupa neema Sema unasauti ya mafua Kaka sele kufanana haina shida ni bibi ake maana dada wa baba kwa mtoto ni shangazi na shangazi wa mama au baba kwa mtoto wa mama au baba tunaita bibi hivo kafanana na bibi ake
Angalia sana wanawake usio wajua wasije wakakutoa kafara kwa utajiri wao. Mjue kwanza ujue anafanya nini walau ujue wanaomzunguka kidogo. Usije ukavutika kwa sababu yupo nje ya Tanzania.
Ue Makini kwenye upande wakutafuta mke,ungetafuta wa tz hapahapa nyumbani ili Tabia uzitambue,kua Makini,utadumbikia kwenye shimo Kama hutokua makini,. ushauri wangu ni huo.
Zahir ungefungua kipengele cha kuhoji wafungwa na umuweke Sele atangaze, anayo sauti ya kuhoji, anajua kupozi sauti, ana busara ya kujibu maswali na anajua kusoma nyakati, Zahir lifanyie kazi
Angetafuta mke kwao kijijini, au atambulishwe na jamaa zake wanaojua wasichana, hawa wa mitandaoni siwaamini, tena wa Uarabuni ameshazaa na watoto inaonekana kabisa sio mwanamke wa kuachia mwanaume atumie pesa zake anazopigia deki kwa jasho kwa muarabu, Sele jihadhari sana
@@darajalakidatukilomgi2362 hata hao wadada waliopo uarabun baadhi yao hawajielewi nn wamefata uarabun mm nipo uarabun sitaki shobo na mwanaume kuhusu pesa hapo kwa pesa mwanaume atanisameh ninachowashaur wadada waliopo uarabun waache kumshobokea mwanaume
Uncle sule weweeeee umenifurahisha.eti mi nataka kuowa sitaki kuolewa.wapi likes za sulee...
Ingawa amefungwa 20 year, ametoka kama knowledge ni zengine, lakini huyu mtu ana akili sana, anajibu vizuri sana, ako vizuri sana kuongea, haropokwi, ako vizuri sana kuongea, Mwenyezi Mungu ambariki sana, na amuongoze katika njia ilionyooka, i really love his talk, may God bless 🙌maximum TV.
Kwani wanawake tunafeli wapi yani mtu timchangiye sisi halafu atufanyiye mchujo kweli hapana hebu tutafuta pesa tuache kujifedhehesha hapa kwenye mchujo sijapapenda kweli wadada tufanye kazi wanaume wapo tu wazuri sana ukiwa na maisha yako uko vizuri utapata maanaume mzuri kabisa
Tulikua tunamani kumuona jamani zahiri twakuaminia natwkupenda 🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍
Asalam Alaykum! Masha Allah mtangazaji wetu Allah atakulipa kwa kazi nzuri unayofanyia umati Mohamad! Ila kakangu huyo Allah atamwogoza Amin! Tena kama ni utungaji wa mziki? Mm singependa kabisa kulingana na Mtihani aliyo pitia, Ajalibu sana kutowa ( NASHID) YY NI MUISILAM ASIKUFURU! DIYO NABII ISSA TWAMTABUA SANA , LAKINI ANAE TIBU NI ALLAH PEKE YAKE! ALLAH AMWONGOZI NA USHINDI ATAPATA AMIN AMIN
Asee kaka unajuwa kohojii ila sulemn anaonekana ayuko wazii sana ajitahidi afanye biashara ela inaisha inatakiwa iingie siyo kutoka
Huyu ndugu yetu ni MWAMINIFU sana
Tena sana ...na ukichat nae kam mpo umri mmoja hana kujiskia had rah
Allah amzidishie kaka yetu
@@fahadjinni5845 Naomba km Una namba yake nitumie pls
Miaka 19 mama witi mwanamke wa 3 mashallah ulikua si mchezo
Msanii wa kaka zahir fireee twampenda sana kaka selemani,na nawaombeya sana mungu awabariki team maximum yote🥰❤❤❤❤
Umependeza sana kaka sele,kazi nzuri kaka zahir, mungu ni mwema sana
Zahir vp Edina wetu tunaomba habar sasa
Huyu sele ana shukran na mtu anae ajielewa subhanallah hodari sana maskini lakini mwenyewe ana mshukuru allah
Amina kaka yangu Mungu awabariki pamoja na kaka Zahir🙏🏼🙏🏼
Waooo twakupenda sule ukomakin sana
Ila huyu kaka anajielewa sana .. Allah aendelee kumfanyia wepesi
Masha Allah,seleman umenawiri lakini chunga hicho kitambi kitaharibu mambo
Naomba like zenu
Hongereni sana mlisababisha kumfikisha hapo alipo😘😘😘
Very good bro mwenyewezi mungu akupe umri
Kwakweli huyu kaka ni mzuri Mungu amjaaliye apate mke mwenye kujuwa Mungu
Hongera sana kaka zahiri kwa kazi yako,
Sasa yule shangazi mwenye alikufunga si ni aibu sana kwake sahiii juu dunia mzima imejua ukweli wake
Na sisi wanawake tuwe waelewa Huyu ni mmoja ,na ashaweka wazi kuwa amepata mtu,;mbona tuwe wabishi?hebu tuwaombee mema Kwenye safari ya ndoa yao,kuliko wanawake wengine kukaidi na kulazimisha kumtaka,na yeye ana mchumba ,inaweza ikaleta tafaruku plzz siyo kwa ubaya ,wale ambao bado wanamtaka selemani plz mucheni,na nyinyi mungu atawajaaliya mahusiano yenu /ndoa
Wa kumuo Sele ni mkristu au mwislamu
Maashallah uyo mpambanaji mwenzetu vizuri Sana Allah a wafanyie wepesi mkutane mfunge ndoa lnshallah
Ameen
Amin jmn tupambane ,✌️
Ameen
zahir upo vizuri na kipindi chako hongera
Mashaallah mashaallah kazi nzur sana @ Maximum TV.
Safi sana Mungu akawafanyie njia pasipo na njia.
Kaka Zahir sagi sana allah azidi kukuongoza ktk maisha yako na kaka zahir fanya mpango wa sister Edina tujue mrejesho
Nakupenda ndg yangu tumechagua Vyema kigoma Juu 🙏🙏🙏
Mmh huyu dada alio mkubali huyu kaka anamoyo sana anataka ku share biashara pamoja bila kijali wanaume wanatabia ya kubadilika musitazame uzuri kwa haraka mzuri ila huyu mwanzo alisema anamtaka yoyote wafanye maisha mala kabadilika haya tunangoja mlejesho musije kulia tu na pesa zenu za timu hamamu pesa rial zinauma mno
Masha Allah masha Allah
Kikubwa anatakiwa apate kazi Ili ajisimamie kwa kweli
Kazi iendelee Mungu ailinde maxman tv na tim nzima.
Amin
Amina Yarab alamin
Kaka zahir mwambie huyo atafute mwanamke asiye na kitu aanze nae maisha huyo asikurupuke
umeonaee
Hawezi anatamaa huyo
MashaAllah
Mungu akubariki mke mwema
Jamani peesa siyo kitu Sisi tuko omani tunaogopo waniumu watazani wanapenda pesa Sana 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Sanaa
Uyo mwanamke ajiongeze kuchanga ela namwanaume mh sijui lkn kwadunia yareo
Allah akusaidie tu ila tumuombee dua huyo shemegi awe mtu Mzuri asijekukugeuka mana sio hoja kuzungumza nae anaweza kujiact tu ila zidisha dua tu.
Jamani zahir Allah akueke
Naomba kama ataweza amsilimishe mwanae na x wake inshaallah
MashaAllaah
Kiukweli bro zaihir Allah akuongozee unayoyafanya taraji malipo kwa allah!
Waooo tulimmis sana nikweli unakumbuka fadhila wengine hata shukran hawana
MashaAllah Allah barik zahir na team maximam hongereni
Khadija
Mashaallah
Baba Witi kitambi hichooo
Nimefurahi kumwona kaka tena,,
Masha Allah
Maa shaa Allah
Zakhiri unazdi kuwabonge ukuwa na rohonxuri bwana mungu hukupa neema
Sema unasauti ya mafua
Kaka sele kufanana haina shida ni bibi ake maana dada wa baba kwa mtoto ni shangazi na shangazi wa mama au baba kwa mtoto wa mama au baba tunaita bibi hivo kafanana na bibi ake
Wakwanza kucomemt nawapenda saana
Mungu akurehemu selemani huko uliko
Kiuhalisia seleman anajipenda
Mbona mmefanana sana
Angalia sana wanawake usio wajua wasije wakakutoa kafara kwa utajiri wao. Mjue kwanza ujue anafanya nini walau ujue wanaomzunguka kidogo. Usije ukavutika kwa sababu yupo nje ya Tanzania.
Jamn uyo mtoto atakuwa muislam au mkristo?
Maximum TV hongereni.huwa nafrai nikiona mtu amekuja na shida na matatizo na akafanikiwa kupitia maximum.zahir big up bro.
Saiv kawa smati hongeren maximum tv kwa juhud zene
Mtoto ulokia mamaake hujamuowa simwanao sele hasa weee ukikita nimuislam
Sele kinyonzi mzuriiii sana,hivi unamkumbuka dada FARDA mwarabu wa Manyoni?
èhh selemani anajiona bonge moja la handsome😂😁😃😀😅😆
na sisi tuna kipindi Chetu cha namtafuta mwenza😃😂😁
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸
Hongera sana jaman utatoboa tuu bora naww ujiongeze kwautafutaji amin tuu kwamungu🙏🙏🙏🙏🙏
Kaka tuambie uchelewi kubadilika
Kaka sele usije ukatuletea bibi
Huyu jamaa ni handsome
Mashallah umependeza Baba angu Allah akuongezee riziki yenye khery na ww.
Nilimiss kumuona tena huyu kaka,hivyo nimefurahi
Alafu nilichogundua seleman ana bahati sele kama unasoma hiz comment nakutakia maisha mazur
Kweli ana bahati ya asili watu wa namna hii ufanikiwa katika jinsi ya kushangaza sana mpaka na watu wakabaki midomo wazi
@@Mpakauseme haswa da mi namuombea kila la Kher
Ue Makini kwenye upande wakutafuta mke,ungetafuta wa tz hapahapa nyumbani ili Tabia uzitambue,kua Makini,utadumbikia kwenye shimo Kama hutokua makini,. ushauri wangu ni huo.
Hakika mungu nimwema Kila kitu kitakaa sawa inshallah
Naam umeongea pointy sana kaka zahir mwamme ni wajibu wake kumtunza mwanamke
Zaheer mbav zang ety wewe nakupenda kwel kibabe.
Huyo sele badae mtajua.. Hana msimamo
😁😁😁huyu anapenda wanawake wenye vijisenti atakuja kufukuzwa mchana kweupe
sasa seleman, je ukioa utakua wampigia sim mama witiny kama unavyo mpigiaga sim kila siku, utaleta ugomvi ujue badilika sasa
Mashaallah pongezi nyingi kwako Zahir
Manshallah tabarakallah 🥰🥰🥰🥰🥰
Kuwa makin na watu wengine wamama wengi wanataka kuua watt wawatu kwa maradhi Allah akuepushe mwaya
umeonaee wee kma ulijua vile juzi tu kuna mkaka mdogo kaambukizwa baadae kabisa ndiooo mama kamwambia kuwa yy kaathirika kamdanganya kwa kutumia pesa
@@heyumi2340 umeona sasa apo kwasababu wamemuona ametoka jela wanajua atakua na mhemko na wanawake kwahiyo awe makin tu
@@didahnidhar8009 pia yy mwenyewe anaoneka mpenda wanawake dar kuna kila aina ya wanawake na wengi wanakula dawa ni wako vizuri huwezi kumjua
Maskini selemani Kama bado yuhai mungu akusamehe makosa yako RIP
Hiyo hela ndio uizalishe kaka bahati haiji mara zote. Make use of it
Asikatae kamba ye sio star , ye ni star manake tunamuona tena watu washampenda kupitia mtandao so ye ni star.
Jamani mama Zabibu vipi hali yake kuhusu jicho na mama Happy nae vipi hali bado wanaendelea kuishi pale pale
Zahir mungu atakulipa
Una vipaji vingi mdogo wangu, Mungu azidi kukuinua
Unasema hukuwajibu vibaya Ila uliwajibu vibaya naona unasahau ulikotoka,Sasa nakwambia ukweli mm Sisi team fulusi hatuaminiki
tuliopo uarabun tuache shobo kumshobokea mwanaume au wanaume wa kwenu mtandao
Mashala 🥰
Usimsahau mungu mungu kaka seleimani kwa yote yaliokutokea Allah zaidi mbele yako💖
Maa Shaa Allah baba yuko very smart
Ata macho mnafanana
Nilimmic Masha Allah hongera Kwa maximum na wachangiaji kiujumla Kaz mmeifany mung atawalipa
Dah. Zahir. Unamaswari. Mazito
Zahir ungefungua kipengele cha kuhoji wafungwa na umuweke Sele atangaze, anayo sauti ya kuhoji, anajua kupozi sauti, ana busara ya kujibu maswali na anajua kusoma nyakati, Zahir lifanyie kazi
Kigoma oyooo😁😁
Saf san kk
Ji song sasa
Ni kweli hasitegee pesa ya mwanamke,majukum ya familia ni ya mume,akitolea macho pesa ya mke hapo ndoa haiwez kudumu wataishia njiani
Upo sahihi kaka uyu kaka ajielewi
@@sadamrisho7719 inabid ashauriwe vizur.huwez kuwa baba mwenye saut kwa kutolea macho pesa ya mke, mwanamke akichoka atamuona mbaya
Angetafuta mke kwao kijijini, au atambulishwe na jamaa zake wanaojua wasichana, hawa wa mitandaoni siwaamini, tena wa Uarabuni ameshazaa na watoto inaonekana kabisa sio mwanamke wa kuachia mwanaume atumie pesa zake anazopigia deki kwa jasho kwa muarabu, Sele jihadhari sana
Hajielewi huyu
@@darajalakidatukilomgi2362 hata hao wadada waliopo uarabun baadhi yao hawajielewi nn wamefata uarabun mm nipo uarabun sitaki shobo na mwanaume kuhusu pesa hapo kwa pesa mwanaume atanisameh ninachowashaur wadada waliopo uarabun waache kumshobokea mwanaume
Umependeza sana kaka angu
Mashaallah mashaallah Allah asidi kukubariki sana
Maashaallaah maashaallaah hakika mungu mkubwa pia ata zidi kukusimamia inshaallah
Mashallah sele mungu azidi kumfanyia wepesi ameen
Kaka zahir umeongea point kumuelewesha kuhusu kutaka mwanamke anaejiweza kimaisha
Mashagala hongereni mnachangamkia fursa.
😂😂😂
Mashallah sauti yako iko poa 👏👏😘
Kaka Yule Dada wa lindi