Unasauti nzuri na talent kubwa sana shida unaongea sana unwanted things jitahidi uongelee kuhusu movie in deep mbwembwe zikizidi zinaudhi utapoteza wafuasi waaminifu
asante kwa ushauri lakini hicho unachokiita MBWEMBWE ndo kimenifanya niwe rahul na nisiwe DULLA MAREVIEW wala HAMIS MIMUVI.. kama utadhani zinanipotezea wafuasi basi sawa wapotee kwa maana zilizoniongezea ni wengi na watanitosha hao..asante
Kweli Kwa review hii kulikuwa na haja ya kukesha Ili tuenjoy, big up kaka.
Wanangu wa Moro town likes zenu hap
Unasauti nzuri na talent kubwa sana shida unaongea sana unwanted things jitahidi uongelee kuhusu movie in deep mbwembwe zikizidi zinaudhi utapoteza wafuasi waaminifu
I told him mwaka 1 uliopita
asante kwa ushauri lakini hicho unachokiita MBWEMBWE ndo kimenifanya niwe rahul na nisiwe DULLA MAREVIEW wala HAMIS MIMUVI.. kama utadhani zinanipotezea wafuasi basi sawa wapotee kwa maana zilizoniongezea ni wengi na watanitosha hao..asante
@@aikt. kama ulishauri kk na ushauri hukupokelewa achana na huyo mtu itakuwa ana mipango yake
Chukua ushauri acha ubishi hautakufikisha popote
1.Unnecessary words
2.Hiyo background music haina haja
@@shareefkamtandejamaa Yuko vizur achen mambo kama upend acha
God bless you brother🙌🏾 Talented sana🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Mzee wa hizi mambo
Nimekua wa kwanz like zenu 🔥🔥
Kaka unakaa kimya muda mrefu sana tambua tupo kwa ajili yako hapa youtube
Jmaa anazngua
🔥🔥🔥
dah noma sana!!
Jamaa Unajua sanaa
Nakuelew sana kaka yangu
good broo. inaitwaje hii movie
Umetisha mzee🔥🔥🔥
Oya unajuaaaa
Vp tunaweza kupata movie nzima maan unajua kinoma
Kwani bando huna MAANA unakua kimywa sana
Nomaaa
🔥🔥🔥🔥
Hatari na nusuuuuu
Rahul Ile movie ya gerads game nimeangalia cjaielewa naomba review Hadi mwisho
Hivi Aya maneno unandikaga au unayapanga tuu
😂
👏👏👏👏
Boss how to connect with u
Hata haumaliz story sa ndo nb
Uweunapunguza hizo beat ili tusikie vizur zina bore
Hii movie ina unyama snaaa kk 🙌🏾🙌🏾🔥🔥
Inaitwaje
@@kassimsaidi7042 A tax driver
Full movie pls
Kaka tupe maelezo mkuu ata kama utakuwa na group tutalipia tu
rahul nahitaj scandal
😂