Hongereni sana kwa wimbo nzuri. Ila ndugu Joshua promise,huyo dada mtumaji huwa nzuri kwa nyimbo za kibembe na siyo kiswaili, maana huwa anatuma kiswaili kama kibembe. Kwa wakati mwingine,hangalie vizuri kwa kutumia mwengine au ajirekebishe kwa nyimbo za kiswaili. Maneno mazuri kwa utumaji wa kwanza na chorus ya kwanza.
Da Pasi Mama ubarikiwe na mbingu ziwe na nena mema kwajili yako Dada yahani utumaji upo unanena wasi wasi kwajili ya kanisa za Leo ndo ivyo tu wanavyo fanya Ila Mungu atufungue macho 💔💔
Mungu awabariki sana uhimbaji nzuri mnaoimba ksabisa.Nimebarikiwa sana
Mko vizuri sana Kwa uimbaji mbarikiwe YESU Kwa huu utumishi
Alie tunga hiiii nyimbo Nampa big up sana
Hongereni sana kwa wimbo nzuri.
Ila ndugu Joshua promise,huyo dada mtumaji huwa nzuri kwa nyimbo za kibembe na siyo kiswaili, maana huwa anatuma kiswaili kama kibembe.
Kwa wakati mwingine,hangalie vizuri kwa kutumia mwengine au ajirekebishe kwa nyimbo za kiswaili.
Maneno mazuri kwa utumaji wa kwanza na chorus ya kwanza.
Asante mtumishi kwa mashauri ubarikiwe 🙏
Ahsante mtumishi kwa maoni yako. Tutayafanyia kazi.
Mbarikiwe Sana madhabauni hapo panauwepo
Huyu dada Mungu hazidi kumuinua kwenye viwango vya juu.❤️🤲🏾
Mimi nampokelea izo baraka 😊😊😅 ubarikiwe pia da Molina 😊
Ohhhh it was very wondering kuona jinsi mlivyo shusha magogo
Da Pasi Mama ubarikiwe na mbingu ziwe na nena mema kwajili yako Dada yahani utumaji upo unanena wasi wasi kwajili ya kanisa za Leo ndo ivyo tu wanavyo fanya Ila Mungu atufungue macho 💔💔
Amen amen dada 🙏
Wow ❤❤❤
Amen !!!❤
Batheli ❤❤❤❤
Amennnn❤