MASKINI MAMA MZAZI ASIMULIA KWA UCHUNGU JINSI MTOTO WAKE ANAVOTESEKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- #Diamond #PLATNUMZ #esmaplatnumz #wemasepetu #hamisamobetto #FAHYMA #FAHYVANNY #RAYVANNY #paula #kajala #marioo #auntyezekiel #kusah #milardyayo #bonatv #shughulizetu #harmonize #queendarlin #zuchu #nandy #bilnass #mangekimabi #ireneuwoya #krish #jacklinewolper #richmitindo #lukamba #alikiba #alikamwe #faytoto #abdukiba #Elizabethmichael #lulu #majizzo #zarithebosslady #tiffah #nillan #Dylan #shakib #Akothee#lavalava #mbosso #ommydimpoz #faizaally #sabra #isihack #msizwa #prisicakisuda #hajimanara #rushaynah #cecy #pilikitimtim #ammygal #whozu #tunda #niffer #Patrickkanumba #mikala #thelosttwins #zumaridi #mwanafa #mamadangote #tanashadonna #naseebjr #ruby #wasafi
Mtoto mzuri mashalla
Allah atakufanyia wepesi inshaalh usikate tamaa
Fabi assalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuh?😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Assalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuh inshallah😢😢😢😢😢
Usijali mama kila kitu kitakuwa sawa kwa uwezo wa Allah
Pole sana mamy Allah atajaria atapona❤❤
Jipe Moyo Mama. Tulia kwa Mwenyenzi Mungu. Yeye anaweza kumaliza Hilo tatiizo kufungsa na kufungua.
Umaskini ni mtihani mkubwa sana😢 Allah akufanyie wepes dadangu hakuna kinachoshindikana mbele ya Allah
Nauyo mwengine pi jitahidi kumuangaikia km hali imefikia uko anaanguka na kung'ata meno kutoa povu ii ni atari nayeye pia anaweza akaja poteza kumbukumbu pole ndugu yangu mitihani ni yetu kila mwanadamu umkuta kwa wakati wake allah akufanyie wepesi inshallah
Allahuma Aameen 🤲
Ndugu yangu Adam "Allah" Tuwe makini kuandika kwa herufi kubwa Shukran
Pole sana mamy mungu yupo pamojanawe nakuombea kwa mungu mama ipo siku utatka kwenye wakati huu mgum ameen
Pole sana mamy mungu yupo pamojanawe nakuombea kwa mungu mama ipo siku utatka kwenye wakati huu mgum ameen
Hivi kweli: mama samia yupo tayari kulipia mamilio kwa ajili ya mpira lakini watu wanateketea😢 subbuhanallah Allah akupe subra na uvumilivu
Pole mwanamke mwenzangu pole ndugu yangu uyu mtoto inavyoonyesha kutokana na maelezo ya hawali jinsi alivyojielezea inaonyesha kuwa ilo joto la homa ndio liliomuathiri ubongo
@@AdmAlhinai 🙏
Nyinyi washenzi sana huko muhimbili kwa nn mkawa yanyasa watu ma mitihani km hio walionayo. Fabi huyu mama hemu mfanyie safari na mtoto wake umlete hapa zanzbar. Sisi hapa hiki kipimo ni bure kabisa mnazi mmoja. Watawauwa watu huko muhimbili kiilla kitu. Kuwadai watu mapesa kibao wala haipo.
Pole Sana ndugu yangu 😢 wallah inauma huu umasikini 😢. Pia mlaze kwenye mkeka sehemu iliyonyooka usimuegemeshe hivyo anazidi kuumia huo mgongo
Mm mtoto wangu bure tumepimwa na majibu tukapewa na sasa ni mzima dawa tu nnazomtumilisha hapa hapana ndo nakuja kuchkuwa upanga kwa matuja daress apo.
Pole dada angu mitihani tumeumbiwa usilie dada angu Mungu weke wepesi mwanao apate matibabu
Pole sana Allah Yupo pamoja nawewe
Allah ni mkubwa Ndio kila kitu kwetu na ni tegemeo letu kwake Imani zaidi kwake Ameen🤲🤲🤲
🙏
Mwenyezi mungu akupe nguvu mama
🙏
Wewe mfikishe hapa zanzibar tu kipimo atapimwa bure hapa mnazi mmoja. Huduma kwa wananchi. Bongo punguzeni uadui.
nisaidie bas ndungu nafanyaje fanyaje labda nielekeze vizuri
Pole sana mamangu Allah akupe subra kwa mitihan unayopitia,Allah atakufanyia wepes inshaaAllah
🙏
😢😢😢😢😢😢pol mam dah
Hakuna kama mama
Pole san mama yang
Ila mtawaumiza watu msiwafanyie mambo km hayo. Chakula na matibabu ndio vitu vya msingi sana jamani. Mbona nchi hazina haqqi za kibinaadam hizi. Tunaelekea wapi. Tumekuwa tunadhalilika km wadudupori.
nikweli kabisa jamani kama hivi tumekuwa tunahangaika tuu yani kama mtu huna imani kwa mateso unayo pitia unakufa kabisa sikuwahi kufikiria hata siku moja kama ntafikia mtu wa kuws naonekana kwenye media inaniuma ila ntafanya nn sina njinsi imenibidi nakama nakosea mungu anisamehe
@@KhadijaMbuma pole wajina
@@KhadijaMohamedy asante sana
Dada upate na dua una mitihani mikubwa hata yangu nayaona madogo niliposikia yako pole sana ndugu yangu
🙏
Calcium
🙏
Pole sana ndugu Allah atakuwekea wepesi ameen mtoto mzuri MashaAllah
Mbezi kanisani huko ndiko kuna huponyaji Rudi Tena utapata huponyaji kwa jina la Jesus amein
Daah nimeumia nikiwa km mzazi 😢😢pole sana ndg yangu Allah akupe subra ila pia anavyokaa inachangia mgongo kuuma awe anamlaza bila kuweka kitu kichwan hapo alipokaa hivyo pia inachangia maradh ya mgongo 😢😢mungu atamfanyia wepes inshallah 😢
Kuna shida na majaribu nyingi sana humu duniani lakini Mungu yup nasi. Pole sana dada.
🙏
Pole sana mama allah akupe wepesi inshallah
Subhana Allah 😭
Allah atatoa njia pasipo na njia
Namba ya Voda ipo kaka Fabby
Pole sana dada mungu atakufanyia wps kila jambo alh anasababu xake🙏
Pahii itakuw kunauchaw hapo siyo bure
Katoto kazuri
Pole sana kwa uwezo mungu atapo
Binadamu wana roho mbaya
pole sana😢😢😢😢
Mtoto mzur
Mmmmm dunia hii
Pole sanaa ndugu yangu
M/ mungu atamuafu
Subhanalllah
Subhanallah
Pole sana dada hiyo ni mitihani M/mungu kakuletea utashukuru au utakufuru na matajiri wacheni kuwapa kauli chafu wanaohitaji misaada kwani hata yy anatamani maisha kama yenu yote ni mipango ya Allah anampa mtu kwa wakati wake
👍👍
Pole sana dada
🙏
Pole Sana ALLAH atampa shifaa da Tu wetu aamiyn
🙏
ℙ𝕠𝕝𝕖 𝕞𝕒𝕞𝕒 𝕦𝕤𝕚𝕜𝕒𝕥𝕖 𝕥𝕒𝕞𝕒𝕒 𝕓𝕒𝕕𝕠 𝕞𝕕𝕒 𝕦𝕥𝕒𝕗𝕒𝕟𝕚𝕜𝕚𝕤𝕙𝕒 𝕝𝕟𝕤𝕙𝕒𝔸𝕝𝕝𝕒𝕒𝕙
🙏
😢😢
Dada nenda kwenye maombi wanakuloga
🙏
Dada pire sana 😭😭😭 nimejikuta natokwa na machonzi
🙏
Yaani hii mitihani ya duniani kila mtu anayake kikubwa subra yaani ukisikia ya wengine unasema yangu afadhali mungu nashukuru kwa kila jambo nilihangaika na mwanangu ila nashukulu kapona bugando ilikuwa kama nyumbani yàani nikiingia tu unasikia naitwa dactar wote walinijua jina yaani kuuguza kunahitaji subra
🙏
Pole mamaa
Aaaalllah atakufanyiye wepesi yarab
🙏
Pole sana Mama usikate tama😭😭😭😭
🙏
Mama kuwa na subra .mungu anampenda mwenyea kusubire huyo mama Samia hamuonia jamania mungu msaidia
🙏
Polen san ndug yetu wakondoa mungu akupe nguv mungu yupo atakusaidia yan ndugu wasiku hiz ni mtihan ndug yako katoka kijijin anamtt mgojwa bad unalipiw nauli ten w mungu tusaidie yarabii milion 7 lailallh subkhan llah
asante nashukuru sana ila huyo aliye nipeleka ni dd angu ila hana uwezo pili ni mjane hataivyo ananisaidia sana maana anakaa gongola mboto ila alinifuata mbezi akanipokea na tukaja mpaka buza na alilala huku asubuhi tukadamkia hospital niuwezo tuu hana dd angu shukrani
Pole
Pole dada angu
🙏
Mrudishe mtt kwa mam ako inshaallah mungu atakusaidia usikate tamaa dada
🙏
Dah pole sana
🙏
شفاء عند الله
shukrani
🙏
Pole sana mama 😢😢
🙏
𝖯𝗈𝗅𝖾 𝗌𝖺𝗇𝖺 𝖬𝗎𝗇𝗀𝗎 𝗒𝗎𝗄𝗈 𝗇𝖺𝗐𝖾 𝗄𝗂𝗅𝖺 𝗄𝗂𝗍𝗎 𝗄𝗂𝗍𝖺𝗄𝗎𝗐𝖺 𝗌𝖺𝗐𝖺😢😢😢😢
🙏