Huyu Mzee amenitoa machozi kweli 82yrs haki iko wapi katika court zetu za kenya how come ni ushahidi ngani wamefanya wakampata na makosa . May the Lord intervene the rights of this mzee set him free in Jesus might name.Kama umeguzwa na hukumu ya mzee sema Amen kwamungu yawezekana
Same to my brother....alitolewa nairobi west akapelekwa transfer kamiti....for real life ya kamiti ni ngumu........ombi langu limfikie mwenyezi mungu siku moja bro yangu awe huru😢😢😢😢😢😢my only brother God
Mmmmmh hata Kenya Mahakama zinafunga watu kizembe hivyo!!!! Mungu wangu, wasaidie wazee hawa.. Ila ikumbukwe kuna mahakama ya Mungu niya haki, itawatia hatiani waonezi wa ndg zetu weeeengi wanaolia katika magereza mbalimbali duniani... Haki ya Mungu itathibitika na hukumu ya kweli itakuwa ni milele na milele.. Wateseni wenzenu hata kama ni miaka 7000, ila nanyi mtakutana na hukumu ya MILELE 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
i know among the viewers here are lawyers..why can you stand up and go assist that old man for free? najua msichana amezaa, mtoto afinyiwe DNA na ya mzee to see if it is real. mimi ni hustler wa mjengo sina uwezo,tusikuwe hapa wote tukihurumia mzee na hakuna kitu tunafanya
There is a big problem with the justice system in this country. How can an innocent individual to be sentenced to jail what sort of investigations have been done.
Hio machozi ya huyo mzee haitaenda bure,,,huyo mtoto n mamake mtayakuta mazito itawashinda kubeba,,mtaomba adi muone kama mungu amewaacha,,machozi ya mtu take very care
President William Ruto should see this clip and do something about this old man. This shows how our judiciary is rotten without competency. Pertanity DNA should be done for both the born child and the old man to determine the truth.
Jamii yetu good job, i had heard of this mzee's story while the case was ongoing, It's unjust, it's sad, it's painful....I wish we can go a demand justice for him(Mutungi Nzioki) in our online platforms, share a video and create a Hashtag for him to attract potential lawyers.
What makes me even more sad is he is not the only one who've been set up & rotting in jail, so many innocent people are in prison,, Other are there for just a split second indecisions, 1st time offenders and all sorts of unfairness within the system. I wish we could have a better reformed judicial system that would prioritize revising those cases again to find out the truth. We could save so many souls & there could be hope for many as well. All in all May God revisit their cases & perform His Miracles upon those who really need them🙏🏽
😭😭😭😭😭Mbona hao wengine hawa kushikwa hata huyo msichana na halaniwee kuweka mzee kama huyu over ya hata babake gerezani na asione mazuri yoyote kwa maisha yake huyo msichana asione machozi ya huyu mzee itaenda bure hivyo hao watu wa nne wako wapi?😭😭 Hao pia na walaniwe
Very inpatient interviewer,.. Wacha upewe juice za story, and kama time ni limited prep your interviewee, and have agenda based questions don't ask broad questions
This second man is my father's agemate😢yaani Ile uchungu nasikia sai akisema iyo miaka kumi na Tano anefungwa atatoka akiwa kitu 97, akasema iyo ni kumuua asione familia yake Tena iyo imenimaliza nguvu kabisaa😢tungekuwa na uwezo wa kufanya lolote justice ifanyike😭 what kind of life is this now 😭 they just release him for the sake what just happened, that wasn't fair at all, SI uyo mtoto wa 15 years amefungwa juu yake alizaa, si they just do the DNA alaa, kama ako guilty ama hayuko mambo iwe wazii😢 I hate to see this to such an old man suffering for nothing and they can just do serious investigations and sought everything out😏🤦
The government should listen to such cases and save our elderly people who are suffering because of false allegations.God is a fair judge.May he rescue such poor people.
Huyo mzee wa pili mungu amlinde he seems to be truth man .😢😢😢nimeumika .serikali ya kenya inafanya makosa kushika innocent people 😢😢😢😢😢😢 inasikitisha sana kiukweli
Mungu yuko.Pole babu hakika wewe nikuekelewa na kusingiziwa ukangushiwa kesi na vijana wenye pesa wakajinasuwa. Sioni vile unaweza najisi vile umechoka
In Kenya, A thief is praised and given a hero welcome once committed a crime but the innocent spends many years behind the bars without proper investigation.
Jesus Lord we honor and glorify you. May stretch your hands and reach this old man. Give him justice my Lord, set him free as you did to Paul and Silas. Look at his age Ooh Lord, have mercy on him. I feel his pain Lord. I'm a sinner before but Lord kindly hear my humble prayers. Any other person in prison, my Lord hear their cry. In Jesus name I ask. Amen.
I have read the judgement against the old man(Nzioki) and I can conclude that he was rightly convicted. The 15 years old girl named him. DNA cannot be relied because the child may not be his, since the girl was engaged in illicit sex with multiple partners. The axe fell on Nzioki, either bacause of bad blood with the community or area chief. The old man therefore carries the cross of all others.This cases are rampant in villages where underage girls engage in illicit sex but if such a case is taken to court, the law will just catchup with anyone of the partners. Sorry for Nzioki.
Tufanyeaje haki we support this old man hatoke hapi?prayers first then we find a lawyer for him.....kindly good pple lets assist..yaani analala bila blanketi at this age😢😢😢
Very painful in deed....why do judges and magistrates do this ? From the stroy of this mzee he is quilty??? But mzee Almighty God will open doors one day... actually God is the true judge...
Mungu alie juu awakumbuke ona Hawa wazee aki mungu watete kweli hapana Hawa majaji wanafa Wachunguzwe saingine wanatowa hukumu wakiwA walevi na kuhogo wathurumu wanyonge
Huyu Mzee amenitoa machozi kweli 82yrs haki iko wapi katika court zetu za kenya how come ni ushahidi ngani wamefanya wakampata na makosa .
May the Lord intervene the rights of this mzee set him free in Jesus might name.Kama umeguzwa na hukumu ya mzee sema Amen kwamungu yawezekana
Mungu awafungue wote waliofungwa bila makosa katika jina la Yesu
There is God in heaven justice for this mzee in Jesus name .pole tena sana baba .
NAOMBA NUMBER FAMILIA YA KWAO AMA WATOTO WAKE....WE CAN REFLESH HII CASE
I wish we can all work hard n make sure this case is refreshed.
Mungu wangu
Alio na njia ambao anawesa kusaidia uyu mzee afanye kitu , yesu mwana wa mungu alie hai wacha uyu mzee asiyo na atia uhuru
Same to my brother....alitolewa nairobi west akapelekwa transfer kamiti....for real life ya kamiti ni ngumu........ombi langu limfikie mwenyezi mungu siku moja bro yangu awe huru😢😢😢😢😢😢my only brother God
@laura hugs dear,it shall be well 🙏
@@paulkarani559 🙏🙏🙏🙏🙏
May God answer your prayers 💯🙏🙏
Wetu tukifwatilia kesi anapigwa transfer amezungushwa hizi prison sahii ako naivasha
What happened
Mungu nakuomba utoe huyu mzee plz 🙏🙏kwa jela, ni wewe ndio umemjua tafadhali umsaidie atoke kwa jela
Only God knows... There is hope for the living. Usikate tamaa. Aliyenitoa huko atawatoa pia. Nawakumbuka bado
😢😭😭😭😭😭😭😭Haya Machozi ya hyu Mzee yatatesa roho ya hyo Judge alomfunga hyu mzee eeerMungu tenda miujiza kwa hawa wazee
Poleni sana MUNGU awasaidie wote mliomagerezani Mungu awe mtetezi wenu
Justice for mzee inakaa judge alikula hogo lets share this video to all groups
Hata paulo na sila walifunguliwa
ataaa miii imehuudhiii akiiiii mungu wetuuu zaidieee mzee kama huyuuu😢😢😢
Ifikie Ruto.
Woieeee tukiomba tukumbuke wafungwa wanao fungwa bila makosa😭😭😭😭😭😭uchungu sana
Ukweli,, uchungu sana🙇🏾♂️
Kweli kabsa dadangu it's so painful
Nimeumia sana kwa huyu mzee Usually 🙏
I think she needs to do part 2 tujuane mzee anaendelea aje even since i watch mzee nzioki it has never getting out of my mind
Mmmmmh hata Kenya Mahakama zinafunga watu kizembe hivyo!!!!
Mungu wangu, wasaidie wazee hawa..
Ila ikumbukwe kuna mahakama ya Mungu niya haki, itawatia hatiani waonezi wa ndg zetu weeeengi wanaolia katika magereza mbalimbali duniani...
Haki ya Mungu itathibitika na hukumu ya kweli itakuwa ni milele na milele..
Wateseni wenzenu hata kama ni miaka 7000, ila nanyi mtakutana na hukumu ya MILELE
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Omg this is very sad to watch. Huyu mzee Jaman .Mungu mtetee
i know among the viewers here are lawyers..why can you stand up and go assist that old man for free? najua msichana amezaa, mtoto afinyiwe DNA na ya mzee to see if it is real. mimi ni hustler wa mjengo sina uwezo,tusikuwe hapa wote tukihurumia mzee na hakuna kitu tunafanya
well said
Ghai nimelia yangu yote God of heaven do miracles 😢😢😢
"The Akamba community has a battery of high level Lawyers! Where are Sen.Mutua Kilonzo, Wiily Mutunga, and Stevo Kalonzo etc!?
I really pity this old dad. Haki mwenye amemzingizia huyu Mzee Mungu amuone.
amuone kabisa
Judges can be so emotional especially when handling defilement cases
Bro let me ask you? Before that defilement case was there no agreement actually there was so this judges should think.
@lynnngugi uko wapi. Welcome here and see this
There is a big problem with the justice system in this country. How can an innocent individual to be sentenced to jail what sort of investigations have been done.
Huyo Mzee atolewe! It's painful
Heshima kwa mzee...even judge himself ajui kama atafksha that age😭😭
Hio machozi ya huyo mzee haitaenda bure,,,huyo mtoto n mamake mtayakuta mazito itawashinda kubeba,,mtaomba adi muone kama mungu amewaacha,,machozi ya mtu take very care
President William Ruto should see this clip and do something about this old man. This shows how our judiciary is rotten without competency. Pertanity DNA should be done for both the born child and the old man to determine the truth.
Jamii yetu good job, i had heard of this mzee's story while the case was ongoing, It's unjust, it's sad, it's painful....I wish we can go a demand justice for him(Mutungi Nzioki) in our online platforms, share a video and create a Hashtag for him to attract potential lawyers.
As you look upon their faces, all you see is sadness. God Be with them all🙏🏽
Haki watu Havana huruma Manthorpe ma musee matuma jigue uru mono
Pole sana,mmi pia marafiki wamewahi Fanya nifutwe kazi nzuri sana,sihaminingi MTU yeyote!!!!
God have mercy on this old man and save him from this trouble.
Amen
What makes me even more sad is he is not the only one who've been set up & rotting in jail, so many innocent people are in prison,, Other are there for just a split second indecisions, 1st time offenders and all sorts of unfairness within the system. I wish we could have a better reformed judicial system that would prioritize revising those cases again to find out the truth. We could save so many souls & there could be hope for many as well. All in all May God revisit their cases & perform His Miracles upon those who really need them🙏🏽
😭😭😭😭😭Mbona hao wengine hawa kushikwa hata huyo msichana na halaniwee kuweka mzee kama huyu over ya hata babake gerezani na asione mazuri yoyote kwa maisha yake huyo msichana asione machozi ya huyu mzee itaenda bure hivyo hao watu wa nne wako wapi?😭😭 Hao pia na walaniwe
Too sad machoz ya mzee itamramba
Oh God of justice, hear this old man out
😢😢 Justice of God prevail
Mungu awaongoze awatete katika kila jambo, mungu wewe ndiwe unajua makosa yetu
So sad kwa mzee nzioka waja kila mtu haukumiwe kulingana na haki na ukweli pole sana mzee mungu atakuteea
Mungu muonekanie huyu mzee ihope ametoka astahili kua apo 😢 😢 😢
Haki nimeona pastor Njau hapo, God have mercy on your servant
Very inpatient interviewer,.. Wacha upewe juice za story, and kama time ni limited prep your interviewee, and have agenda based questions don't ask broad questions
This second man is my father's agemate😢yaani Ile uchungu nasikia sai akisema iyo miaka kumi na Tano anefungwa atatoka akiwa kitu 97, akasema iyo ni kumuua asione familia yake Tena iyo imenimaliza nguvu kabisaa😢tungekuwa na uwezo wa kufanya lolote justice ifanyike😭 what kind of life is this now 😭 they just release him for the sake what just happened, that wasn't fair at all, SI uyo mtoto wa 15 years amefungwa juu yake alizaa, si they just do the DNA alaa, kama ako guilty ama hayuko mambo iwe wazii😢 I hate to see this to such an old man suffering for nothing and they can just do serious investigations and sought everything out😏🤦
I conquer, a DNA should be better. Serving a genuine sentence is better.
You are right lilian
All I can do for now is just cry for this Mzee😭😭😭may God remember him.
Oooh God😢😢😢😢
Am just crying .where is justice in Kenya??.God have mercy
The government should listen to such cases and save our elderly people who are suffering because of false allegations.God is a fair judge.May he rescue such poor people.
Mungu kumbuka huyu mzee jameni
So sad ended up shedding a tear for second mzee
Huyo mzee wa pili mungu amlinde he seems to be truth man .😢😢😢nimeumika .serikali ya kenya inafanya makosa kushika innocent people 😢😢😢😢😢😢 inasikitisha sana kiukweli
he is not telling the truth...read the judgement..dangerous old man
Mungu yuko.Pole babu hakika wewe nikuekelewa na kusingiziwa ukangushiwa kesi na vijana wenye pesa wakajinasuwa. Sioni vile unaweza najisi vile umechoka
its sad when family members turn against you.JUSTICE FOR THIS MZEE NZIOKI
In Kenya, A thief is praised and given a hero welcome once committed a crime but the innocent spends many years behind the bars without proper investigation.
Woyeee president Ruto aki si awachilie hawa wakogwe😢😢😢😢😢
Ata sio ruto mbona jaji wengine wako na roho mbaya hivi
Aki jamani hii ni mateso
nawaombea nyinyi nyote Mungu awabariki na akuwe mtetezi wenyu🙏🙏may God protect you all
Ati nimekuja sanaa ... he's very honest walai the 2 old man
Huyo mzee it's too painful 😒 why people are wicked mungu mtoe kwa hii shida
Justice for mzee so painful 😢
Mtangazaji una Kiswahili fasaha sana. Hongera sana
#justice for Mzee nzioka this is unfair guys
Pole sana mzee mungu hakutie nguvu
God remember your servant Lord. You are a God of a second chance. Restore back his ministry
Oooh dear Lord remember mercy and save this kuka
May God release this man
Huyo mzee mungu amusaidie
hio machozi ya huyo babu na iwapate wenye walimfanya hio kitedo😢😢😭😭😭
Hakika machozi ya huyu mzee wa pili,judge na waliomshtaki watalipa hii machozi
Jesus Lord we honor and glorify you. May stretch your hands and reach this old man. Give him justice my Lord, set him free as you did to Paul and Silas. Look at his age Ooh Lord, have mercy on him. I feel his pain Lord. I'm a sinner before but Lord kindly hear my humble prayers. Any other person in prison, my Lord hear their cry. In Jesus name I ask. Amen.
God have mercy for them 🙏
Working for the government is bringing curses to your home❤...even the judge made a mistake...how can you judge someone bila evidence surely?
Corruption
Mungu yupo atawatoa kwa jina la yesu
Mungu akutunze Mzee, akuhurumie sana
Sasa uyo Mzee anapower gani
Aki this old man God have mercy
😢😢😢😢😢😢Very sad for that old mzee sio wote wako gerezani wametenda maovu
Hi
@@AddaOdhiambo too
😢😢😢😮 justice for this old man aki
God have mercy plz huyu mzee angefanya hivyo enyway tuombe wafungwa mungu atawakumbuka
May God come upon your everything mzae ,,,I speak your free in Jesus Name ,,God do miracles its really painfull😭🙏
Haiwezi kosa judge aliyefunga mzee huyu alikuwa mwanamke,they mostly judge with emotions not facts
I have read the judgement against the old man(Nzioki) and I can conclude that he was rightly convicted. The 15 years old girl named him. DNA cannot be relied because the child may not be his, since the girl was engaged in illicit sex with multiple partners. The axe fell on Nzioki, either bacause of bad blood with the community or area chief. The old man therefore carries the cross of all others.This cases are rampant in villages where underage girls engage in illicit sex but if such a case is taken to court, the law will just catchup with anyone of the partners. Sorry for Nzioki.
bring the other perpetrators to book
This man is from home ....only that I can't explain the reality 🙏🙏
Do you mean rightly convicted or wrongly convicted
Give me the reference to the case please
So sad 😭😭😭😭😭😭
I wonder how some investigations are done. Mzee needs justice. May be the persons behind this wanataka kugawana shamba.
Tufanyeaje haki we support this old man hatoke hapi?prayers first then we find a lawyer for him.....kindly good pple lets assist..yaani analala bila blanketi at this age😢😢😢
Sad
Guys let's post this ifikie kila mtu
Huyu Mzee mlio mfanyia hiki kitu kama kweli hakutenda hili kosa Mungu atamlipa Kwa kiwango kikubwa
Mtu si ajitokeze kusaidia huu mzee uuuwiii haya machozi surely ooh God
Aki huyu mzee jameni kabisa
Pole sana my grandfather sikujui lakini wakati unalia unaniumiza sana sina uwezo aki sina
Ee mungu waone watu wako wasio na hatia ila bado yesu ni bwana
Seeing this after one year...so painful.😢😢. But i wish you guys apart from the interviews..you would be doing follow ups 😢😢.
Can't control tears😢😢😢 God take control
Mungu akukumbuke pastor
Its so painful mungu saidia wagungwa
Very painful in deed....why do judges and magistrates do this ? From the stroy of this mzee he is quilty??? But mzee Almighty God will open doors one day... actually God is the true judge...
Noooo please justice kwa Nzioki hata huyu muhukumu hana utu kabisaaa please kama kuna mtu atasaidia huyu mzee amsaidie please this is too much
Huyu mzee kiongozi wa nyumbani amshughulikie
Msaidieni Mzee atoke huko
Mungu saidia watu wako, inauma Sana mzee kama huyu kumwaga machozi
Thats why sipendi kuwatch videos kaa hizo ni uchungu saaaana hasa mzazi akiwa hivi naomba mungu hakii atusaidie
Huyu mzee tumuombee sana atoke 😂😂😂😂 uchungu sana
Mbona kicheko ww 😭😭😭😭 mungu anakuona
iyo kicheko yako ata wewe siku yako itafika dunia duara
It's very painful pole ndugu
There is God of justice 🙏
Machozi ya uyu mzee mungu ako mbinguni usiache imwagike bure.
Muhurumie na mkumbuke
Mungu awafungue waliofungwa bila makosa , mungu ona uyu mzee kwa roho yake anaongea ukwel 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu Atakupigania🙏
Mungu alie juu awakumbuke ona Hawa wazee aki mungu watete kweli hapana Hawa majaji wanafa Wachunguzwe saingine wanatowa hukumu wakiwA walevi na kuhogo wathurumu wanyonge
Mungu awe nanyi
Plizzzz plizzzz plizzzz plizzzz plizzzz plizzzz plizzzz plizzzz plizzzz Rais Ruto toa Hawa wakongwe,,,Fanya jambo.....
Kenya courts surely,how can a judge sentence such an old man without proper trial.
God have mercy on your innocent people.