Bro katika zimoja interview iyi nime kubali iyi kweli #clam vevo ni namba nyingine bro Clam vevo ni simba mkongwe ❤❤❤acha sitivu mweusi unaangalia zake comedy 😅afikishi adi mwish au cheki 😂😂tunao kubali Clam VEVO gonga like apa ❤❤❤❤❤
Ata shukrani amna Steve ndo amewapa Jina, ndiye kawafikisha apo Lakini Sasa Asante yenu ni mateke Punguzeni kiburi bana Steve utazidi kung'aa tu... Ww fanya tu kazi yako
Kenya twakuta kazi za Steve ziko sawaa Sana that guy is struggling bana ako sawaa mchekeshaji Sana clam bado mdogo Sana Kwa Steve atakama anasema anapesa
Jaman ukweli usemwe sisi wakenya tulikuwa tumesahau bongo movie baada ya kufa kanumba but saa hii tunashinda TH-cam kuona clam vevo amepost nini.clam anajua aise huyo ni kanumba wa pili
Clam ni mdogo lakni amefanya mengi,,akona maono ya Bali Sana huyu bwana,,Kuchekesha aliwatoa sa hizi ako pande ingne anatesa,,Mungu ameleta kanumba mwingine baada ya miaka
Kwakweli nilikuwa fun wa steve na nilikuwa nachukia clam chapati malage lkn after kubadilisha muonekano na kutengeza vitu vikali ahh steve akae kujieka kama mtoto mwenzake akipiga show kali yutube yani tunasubiri big boss, best friend na sahi tukiendelea snake boy yani achana na vevo aitwe vevo kijana anajuwa😊😊
@@drnasirmjuma15hata hvo Hawa wanafanya kazi mbili tofaut mmoja anaigza serious (clam) mwingne vichekesho (comedian) ambae ni Steve ,,,so Kwa upande wa serous comedy clam yupo Tz na Kwa upande wa funny at comedy Steve Yuko vizuri akifuatiwa na joti etc etc
Steve wewe ni kuku kabisaa maana nilikuwa nakukubali lakini kwa interview uliyoifanya Leo nimegundua kuwa unawasha moto mwenyewe Kisha unakuja kufanya interview za kujitetea ili watu wakusifie eti kisa clam haongei hivyo kama wewe acha wivu wa kijinga kaka steve
Kipara bwege tu wewe hukumbuki ukifumaniwa Steve kakuletea nguo kumbe ndo ulikuwa waonyeshwa njia ndo uwe mtundu zaidi ya kuingia majumbani mwa watu!! Puuzi fatuma we na clam, Mmmmwah!
Tatizo lenu nyinyi watu wa clam vevo mnajiita wa igizaji alafu comedian ana wa umiza kichwa😂😂 steve mweusi hakika uko simba kilaka😂 muache muigizaji ashindane na muigizaji mwenziye comedian naye ashindane na comedian mwenziye😊😊
Yani kushindanisha na claim steve hebu angaliaeni michezo yake iko shalo sana ya kitoto mitandaoni kote snake boy kila mtu ameweja picha ya ckaim vipi kuhusu steve
Bro katika zimoja interview iyi nime kubali iyi kweli #clam vevo ni namba nyingine bro Clam vevo ni simba mkongwe ❤❤❤acha sitivu mweusi unaangalia zake comedy 😅afikishi adi mwish au cheki 😂😂tunao kubali Clam VEVO gonga like apa ❤❤❤❤❤
Hapo umesemakweri
Steve si mtu wa kutishia👐 naongea hivi kama fan wa Clam na Steve Steve ni Lagend ❤
Bg up bro
Nakubali mzee clam niatari ❤❤🎉
Team clam hatutishwi na lolote...nampenda Steve pia ila mapenzi yangu kwa clam❤weeeeacha tu nampenda mpaka basi❤
Kabisa we unajiuja kafara ya stivu crem ni simba simba simba hiyo ni wivu itakuuwa we maraya kama maraya wengine
@@KwizerJackson-is7fh nani malaya mimi au??
Wewe kafara a stivu crem me love love love you you
@@KwizerJackson-is7fh we hata sikuelewi waongea lugha gani mwanzo
Sas wew unamuchukia crem vevo hiyo ni wivu wivu itakuuwa Wew msheji mimi nasema hivi crem vevo na love you sana
Clam ametisha from DRC Congo. Mkongomani gonga tano kama unaamini parole Yangu. so toza pamoko na ndeko na biso Clam Vraiment
Ata shukrani amna
Steve ndo amewapa Jina, ndiye kawafikisha apo Lakini Sasa Asante yenu ni mateke
Punguzeni kiburi bana
Steve utazidi kung'aa tu... Ww fanya tu kazi yako
clam is the best comedy achana na steve ni wivu tuh....clam the king..❤❤❤❤❤❤❤❤
Stivu mweusi ninoma cram bado sana mpaka afike nyando za Steve mweusi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Steve Is Another Level Ko Achen Kumfuatiliy Steve Coz Mnawez Kupotey Bila Kujuwa🤣🤣🤣🤣
Watching from Saudi Arabia stive sio kuku please kipara Toka hapo ulitoa maharifa Kwa stive
Munamambo poleni sana mwenye sifa ni mungu tu aceni shobo ata steve anatobowa aceni palala
Uku Mozambique tunakubali sana Clam vevo 🎉🎉🎉🎉Saluty sana moto moto 🔥🔥 tunasubili vitu vikali mwakau2024
Mozambike yanani????
Namkubali very sweet soul
Wote ambaye kipala anachosema Ni kweli love❤ from Uganda
Kenya twakuta kazi za Steve ziko sawaa Sana that guy is struggling bana ako sawaa mchekeshaji Sana clam bado mdogo Sana Kwa Steve atakama anasema anapesa
Clam vevo big up twakupenda bure❤❤🎉🎉🎉stive atulie asijidhalilishe bure
Hujuwi unacho kiongea
Mimi na mpenda Steve mweusi coz he live really
Kwakweli ukweli usemwa clam namba moja anaweza tena sana ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jaman ukweli usemwe sisi wakenya tulikuwa tumesahau bongo movie baada ya kufa kanumba but saa hii tunashinda TH-cam kuona clam vevo amepost nini.clam anajua aise huyo ni kanumba wa pili
I don't know why you hate CLAM VEVO but according to me CLAM is abig man namkubali vinoma sana and we as Kenyans tunampenda sana❤❤❤❤❤❤❤
Kwani hata wew siumetoka kwa Steve acha dharau brother maisha yanaenda alafu yanarudi brother acha shobo brother acha umbea umbea
Stivu mweusi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Tanzania 🇹🇿
Clam ngogo sana na stive, ata wewe auna kito, stive Noma ❤️❤️❤️💗
Njaa ina wasumbuwa badoh ...wew una kuzwa na Steve afu Léo hii uje useme vile vibaya Steve kweli ???
Steve ni Number nyingine bhana❤❤❤
Uyu jamaa ni msege sana
Hata ww bila Steve mweusi ungefika hapo penye uko sai team Steve from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tupo my dear 😘
Clam number one love from Burundi❤❤
Clam ni mdogo lakni amefanya mengi,,akona maono ya Bali Sana huyu bwana,,Kuchekesha aliwatoa sa hizi ako pande ingne anatesa,,Mungu ameleta kanumba mwingine baada ya miaka
Mimi nakupali clam veve nimpenda sana🇲🇿
Kwakweli nilikuwa fun wa steve na nilikuwa nachukia clam chapati malage lkn after kubadilisha muonekano na kutengeza vitu vikali ahh steve akae kujieka kama mtoto mwenzake akipiga show kali yutube yani tunasubiri big boss, best friend na sahi tukiendelea snake boy yani achana na vevo aitwe vevo kijana anajuwa😊😊
Clam Vevo ni Simba kweli kweli huku drcongo.twa mupenda sana❤❤❤❤💪💪💪💪💪💪💪🤙
Uongo
Kipara achat bangi zako stive ni noma
Steve is another level half kipara unachoongea no utumbo halfu wa nyau tenah haujakamuliwa
VEVO nakukubali.lakini stive ndo kingi
We mambo yako wazi stive mweusi yupo juu sana
Clam ni level ya kanumba ...tuache ushindani wa kitoto Steve bado sana
Kipara boyaa tuh unajitengenezea urafikii 🥺🥺🥺🥺
Smart sana watu mlio gonga likes🤓
Ww kipara ni kweli njaa inakusumbuwa Tena inakusumbuwa sana
Steve ndo namba moja
Steve ni comedian clam ni actor 😅 Kuna utofauti clam ako juu akiendelea Ivo ni star kabisa mimi ni mkenya
Mimi na mukubali clam Vevo ❤❤🎉
Maono yangu clam vevo amzidi steve mweusi ... Sababu n kwa
Clam vevo is the KING whether you like or not❤
Volume dear namkubali vinoma
we kipar wenimshamba
wanaume atuongei tunafanya vitendo acheni upinzani
kweli kumbe nawe umemuona
Hivi kaka clam vipi pale unageuka nyoka,,,,,unatisha vinoma mwanangu,,,,,hila kenya twakupenda sana
Steve ndo msani wa kwanza kwenye comedy
Ila kiwango Cha clam kikubwa Kwa Sasa kulinganisha na steve
@@drnasirmjuma15acha ushamb bob
We bado ni kipofu
@@drnasirmjuma15hata hvo Hawa wanafanya kazi mbili tofaut mmoja anaigza serious (clam) mwingne vichekesho (comedian) ambae ni Steve ,,,so Kwa upande wa serous comedy clam yupo Tz na Kwa upande wa funny at comedy Steve Yuko vizuri akifuatiwa na joti etc etc
Steve is the best comedian in East Africa for the moment, you can't compare with clam
Mm sina ubaya na nyinyi maana na wa penda wote❤
Kipara 😂😂😂😂Unajuwa mimi huwa sina tabia ya umbea umbea 😂😂😂😂😂Snake boy watching from kenya
Clam vevo is the world superstar ✈️✈️✈️
Steve ni mchekeshaji.
Clam ni muigizaji.
Clam ni ameshajichanganya na vikundi vya kishetani
❤❤❤❤❤eti anakaa buza kwa wapiga
Stv❤ from Kenya 🇰🇪
Wewe kipara acha uchawa cram anakuhonga ndo maana unajishobokeza
Clam vevo is the King's thats true
We kipara Acha upumbavu huwezi kumlinganisha cram na stivu
Kipara weeee huoni aibu????? Steve mweusi na clam??? Steve bado baba wenuu kiparaaa🇧🇮
Clam vevo , ana nyota kubwa kuliko huyo Steve
Huyu ni chawa tu njaa hana lolote steve ndo kamfanya kajulikana na hiyo gar yenyewe kaazima lkn hawaendi mbali
Umeacha gari on subiri kama litawaka 😂😂
Clam is the Best ❤❤
Clam is the king like as kanhmba....🎉
Clam vevo 100%
Steve wewe ni kuku kabisaa maana nilikuwa nakukubali lakini kwa interview uliyoifanya Leo nimegundua kuwa unawasha moto mwenyewe Kisha unakuja kufanya interview za kujitetea ili watu wakusifie eti kisa clam haongei hivyo kama wewe acha wivu wa kijinga kaka steve
Kaka shijuwi kama wewe nimama heshima iwe juyako umesema ukweri kwakweri me love you ungekuwa karibu ningekupa zawadi nimekupenda
steave yuko juu..wacheni kuongea ujinga....
Ubwa wewe wewebado yuko kafala ya Steven wa sheji wewe mkundu
Steve is the best comedian ever
Like zangu Kwa clam vevo.kutoka Kenya.
Clam na steve i love you all na pia kipara nakupenda kwa umbea wako yaani Ww umezidi umbea Kipara ngoto
Ila iki kitu kime niumiza sana Steve mbona ana view wengi
Clam yuko juu wallahy anajua mn0🙌
Kipara bwege tu wewe hukumbuki ukifumaniwa Steve kakuletea nguo kumbe ndo ulikuwa waonyeshwa njia ndo uwe mtundu zaidi ya kuingia majumbani mwa watu!! Puuzi fatuma we na clam, Mmmmwah!
Team clam tukusanyike hapa , Team snake 🐍 boy
tupo
@@khadijahamina8457 wengine wako wapi
Clam VEVO mtoto mdogo anazidi Steve na nini??
Umelogwa were kipara stivu ni number 1
Kipala hauna akili WEWE mjingatuh WEWE ndezi fatuma weeh !!! Niko Congo
Mheshimu sana mtu aliewahi kukupa ugali
Huyu jamaaa kumbe mngese kiasi iki
Tatizo lenu nyinyi watu wa clam vevo mnajiita wa igizaji alafu comedian ana wa umiza kichwa😂😂 steve mweusi hakika uko simba kilaka😂 muache muigizaji ashindane na muigizaji mwenziye comedian naye ashindane na comedian mwenziye😊😊
Umbea mwanaumee😢😢
Anasema ukweli kwani uongo clam vevo kwa sasa ndo mfalme wa movie wengine wote ni mikia tu wanaburuza clam vevo ni pembe
Huyo stivu labda baada ya miaka 16 ndo kidogo atamkaribia clam vevo aende Saluni akakate manywele yake machafu hayo yana chawa
Kufananiswa n kanumba ??
Brother usimalize maneno hii n Dunia inazinguka 🌍🌍🌍🌍
Team Clam 🔥🔥
Kipara hanaga tabia za umbea umbea 😂😂😂
Unazani unanifahamu mimi si mtu wa umbea umbea
Clam anaweza jaman
Steve ndo Simba ❤️
Mwanangu stiv ❤
Nimeamn kwamba siyo kila mwenye kipara ana akili
mpezako basi
Yani kushindanisha na claim steve hebu angaliaeni michezo yake iko shalo sana ya kitoto mitandaoni kote snake boy kila mtu ameweja picha ya ckaim vipi kuhusu steve
🇰🇪🇰🇪 BEHIND STEVE MWEUSI
Steve forever
Kama anazo bilioni mbili anafyatuka Nini sasa maisha yenu nyinyi machoko tu
Stive number 1
Stive moto Jamani Mimi Oman na mikazi yote nigum lakini nikipata muda laxima niangalie mistake ya Clam VEVO ❤❤
Kipara wewe mjinga sana pumbafu zako.. stive mweusi ndo kakufunza kazi wewe nikifaranga cha stive mweusi
Ww ndio mjinga kifaranga na amempta Steve kwa pesa ww vp jiangalie
@@MariamMzee-kz2bruzani unanifahamu mimi si mtu wa umbea umbea
Kipara una kichaa wewe
Clam Ako juu sana
Crem namba 1 Tanzanie hata Zambia tunamusapoti sisi tupo Zambia
Kipara unaongea usenge tu huna point Steve ni legend
Clam is the king wengine watasubiri
Mimi nawapenda wote clam na stive
Nmkubali steven from Congo
Kwali imefikia kipindi kanumba anafananishwa na uchafu mmh aise
Clam VEVO is the best
Et gari yangu
Kwendaaaaaa😂
Clammmmmmmmmm moto uyo steve ajibebe
Dunia kweli ni bure kipala naye anaanza jipima na Steve Mweusi
nifala tu
Stev yuko Africa nzima
japo kua wote nawakubati sana ila cram vevo nawakubari sana kundi lenu