Mapovu akili nyingi..anawazidi wengi.. viewers 10k just in 13hrs, bado watu wanaona hamnazo.. manara 1.6k viewers 2d; wanamfuatilia wengi huyu AVR..Jicho la 3
Huyusiomnafiki nyinyi hamjamuelewa leonaelewesha anavotoamcango mchome anasema kweli tumetaka vijana ila kwalitiyao ipoje ni vijana ndio ila ligizaohuko walipotoka wataweza Tanzania ngojatuone 8 8
Tulikubaliana waandishi na tv uchwara zinazomuhoji huyu tuzipotezee mazima. Shabiki wa simba kama ume subscribe hii chanel bonyeza hapo unsubscribe fasta then potea fasta
Mchome uko sawa Mimi nakuerewa sana
Me ushauri wangu ni mmoja tu Tz ni nchi huru Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake acheni kumtukana Mchome
Mtafunguliwa kesi ni hayo tu
Matus hapana mchome atumik eshimu mtazqmo wake yy, na naonaga kwenye hii nchi ukiwa umenyooka tabu Sana.
Mapovu akili nyingi..anawazidi wengi.. viewers 10k just in 13hrs, bado watu wanaona hamnazo.. manara 1.6k viewers 2d; wanamfuatilia wengi huyu AVR..Jicho la 3
Mchome kaka unajua sana mpira umenyook kak😂😂😂
Mwanangu kaza hapo ukweli ndo huu
Hakuna RAHA unamwambia mtu ukweli na akitaka kukubishia haoni ulipokosea kama uzi mpya ww unazo 3 wao hawana hata moja
Nakuelewa kak
Broo achen matusi nchi hii n huru
Ww unajua kuchambua
Huyusiomnafiki nyinyi hamjamuelewa leonaelewesha anavotoamcango mchome anasema kweli tumetaka vijana ila kwalitiyao ipoje ni vijana ndio ila ligizaohuko walipotoka wataweza Tanzania ngojatuone 8 8
Acha kufuata upepo,wewe ulitaka je? Tuendelee na wale wazee?au?.
Acha kupenda timu penda mpira huyu mchome apend timu anapenda mpira hii ndo shida ya wabongo
Wewe shoga mbona hauna akiliii yanga wanakutumia vibayaaa
Acha ukuma
Mpeni jezi ya yanga uyo asijifiche
Tulikubaliana waandishi na tv uchwara zinazomuhoji huyu tuzipotezee mazima. Shabiki wa simba kama ume subscribe hii chanel bonyeza hapo unsubscribe fasta then potea fasta
Kbsaaa
halafu bado mpo!!! 😂😂😂
We ni puppet tu iyo jezi vua maan unatunafkia tu apo
Kwani we mchome hujihisi kama ni msenge simba we inakusu nini we yanaga ongelea tim yako
😂😂😂😂limekuchomaa
Anaonge maneno kuntu nyie mmesajili wavulana sio wanaume
Tumesha mjua kaka yako wamjini
Huyo kweliiiiiiii Mnafiki mwaka jana akisema simba ina wazee leo wako yanga anawasufia Tumwite Nani
Mchome kigoma mapovu upo sahii mwana k g m Ila wanasimba nina amini 03 lazima tukusapoti mwana hume
Nahisi watu wanakubandua ww
Kama unavyo banduliwa wewe
User name yako tu na wewe inaonyesha unabanduliwa!
MTU WA MAANA KABISA NA MKWELI.
Mchome shogaaaaa kweliii
Mchome unabanduliwaaa