Hebu tuambieni huyo aliewafanya wazee wenu watumwa na kuwadhulumu waje watoe ushuhuda wao isiwe maneno matupu ya hadithi za kubuni na kwenye nyimbo na vitenge. Maendeleo yapi hayo hebu ulizeni znz ilivyokuwa kabla na bada ya mapinduzi kisha ndio muimbe 😂😂
Wimbo mzuri sana❤
Paambe tsu❤
Sheby nakukubali kwa kinandaa
Hebu tuambieni huyo aliewafanya wazee wenu watumwa na kuwadhulumu waje watoe ushuhuda wao isiwe maneno matupu ya hadithi za kubuni na kwenye nyimbo na vitenge. Maendeleo yapi hayo hebu ulizeni znz ilivyokuwa kabla na bada ya mapinduzi kisha ndio muimbe 😂😂