Mbowe Adai Slaa, Diaspora Wanamhujumu, Ataka Lissu Aadhibiwe Kwa Kumtukana, Ntobi Aliwa Kichwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • Makala nyingine katika mfululizo wa makala zinazohusu kinyang'anyiro cha kuwania uenyekiti wa Chadema Taifa ambapo wagombea wawili, Waheshimiwa Freeman Mbowe na Tundu Lissu wanachukana vikali. Makala inaongelea kuhusu madai ya Mheshimiwa Mbowe kuwa Dkt Slaa na wana-Chadema waliopo ughaibuni wanamhujumu. Pia inagusia wito wa Mheshimiwa Mbowe kwa chama hicho kwamba pindi uchaguzi ukimalizika, kimchukulie hatua Mheshimiwa Lissu "kwa kumtukana na kumzushia tuhuma za uongo." Mwisho ni kuhusu propaganda kwamba Mheshimiwa Lissu amesajili chama mbadala cha siasa.
    Ikikupendeza, fanya ku-subscribe vijarida hivi vya #Jasusi
    www.baruayachahali.com
    www.ujasusi.com
    www.adelphilacademy.org

ความคิดเห็น •