Mashabiki wa simba hata wakiifananisha timu yao na REAL madrid nyinyi inawahusu nini? Uchungu na Utamu wa mwana aujuae mzazi. CAF wanaitambua simba ni kubwa kuliko Yanga sisi makando makando wa Tanzania ndio tunamawazo kuwa simba timu ndogo .Wanachofanya mashabiki wa simba ni sahihi kabisa kuwajaza confidence wachezaji wao that can lead them to do the unthinkable things of wonders.
Wachambuzi msiwatie pressure wachezaji,,hii ni ligi,,tunashinda huku tunajenga timu,,chambueni yanga iliyojengeka,,hivi timu ya tabora imeapaki bus,utachezaje mpira?ichambueni na tabora,,kwani simba kacheza peke yake?leo ni simba na tabora,,yanga katokea wapi?
Ninyi mnashabikia subirini tuone nani atafanya vizuri simba na yanga. Yanga Jana kacheza na timu gani? Azam ndio kacheza na timu ngumu si yanga. Vitalo kwa simba hii angekula 6 ninyi endeleeni na propaganda. Apr kwa simba alikula 2 Azam kamshindwa bado unasema simba mbovu. Yanga alipigwa 3 mapinduzi na Apr Leo anadhinda vitalo timu ya chini mnashangilia subirini aibu kwenu.
Mashabiki wa simba hata wakiifananisha timu yao na REAL madrid nyinyi inawahusu nini? Uchungu na Utamu wa mwana aujuae mzazi. CAF wanaitambua simba ni kubwa kuliko Yanga sisi makando makando wa Tanzania ndio tunamawazo kuwa simba timu ndogo .Wanachofanya mashabiki wa simba ni sahihi kabisa kuwajaza confidence wachezaji wao that can lead them to do the unthinkable things of wonders.
😊😊
Wachambuzi wa hovyoo Simba wangeflow vipy wakati Tabora wote wamekaa nyuma Simba wana team nzr sanàa
Ule sio uwanja wa kmc fc ni uwamnja wa manispaa ya kinondoni mnapotosha
Kwani kirefu cha kmc ni kipi? KMC = kinondoni municipal council = Halmashauri ya manispaa ya kinondoni timu ya ni KMC fc.
Yaani nyinyi ni kuisema simba tu hata ingefanya mazuri lakini bado mtaisema tu
Unatakaa tuicompare na coastal Union na huku simba n club na 7 baran Africa
Wachambuzi bure kabisa,,msimamizi wa mwisho wa tickets ni board ya ligi,,siyo clubs,,acheni uzushi
Simba bado sana ha inapaswa kuwa makini hata kwenye makundi inaweza kushindwa kupenya
Hawa msiwapambe Sawa Abdallah aitwe Dula Hawa ni wale wale kama msimu uliopita
Wachambuzi msiwatie pressure wachezaji,,hii ni ligi,,tunashinda huku tunajenga timu,,chambueni yanga iliyojengeka,,hivi timu ya tabora imeapaki bus,utachezaje mpira?ichambueni na tabora,,kwani simba kacheza peke yake?leo ni simba na tabora,,yanga katokea wapi?
Kweli kabisa
Ninyi mnashabikia subirini tuone nani atafanya vizuri simba na yanga. Yanga Jana kacheza na timu gani? Azam ndio kacheza na timu ngumu si yanga. Vitalo kwa simba hii angekula 6 ninyi endeleeni na propaganda. Apr kwa simba alikula 2 Azam kamshindwa bado unasema simba mbovu. Yanga alipigwa 3 mapinduzi na Apr Leo anadhinda vitalo timu ya chini mnashangilia subirini aibu kwenu.
Ilikuwa ni mechi ya levo ya UMISETA.