Kaka yang Allah akulinde na husda za kila kiumbe Akupe Baraka zote ktk utafutaji wako hongera heshimu kazi yako weka malengo yako ktk kila jambo ❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyu mueteni kilwa road, uhasibu. Askari wa pale wanajaza magari Hadi 200 ndio wanaruhusu. Unachukua zaidi ya dakika 20 kungojea uruhusiwe. Nilikuwa mombasa askari alikuwa anahessbu magari sawa na dakika 1ama 2 na kuruhusu. Wapewe mafunzo zaidi. Kama hawskai katikati magari yanatembea bila foleni
Ni km anafanya mbwembwe lkn yuko kazini na anafanya kazi kubwa sana,hapumziki,akimaliza huku anaruhusu huku,kwahiyo ni kaza ngumu sana na anachoka sana kuwapanga magari hongera kwake
Tanzania ni nchi isiyokuwa na shape ni Taifa la WAJINGA unaoongezeka, Askari anafanyakazi mbwembwe na molali kujipunguzia stress wapo wataomuona kalewa, wapo waonana aongezwe cheo, wapo wataona afukuzwe kazi. Mimi namuona kalewa motisha ya Mama Samia, Hongera Mhe. Rais.
Wew Juvent, siku ya mtu ikifika imefika tu hata awe wapi. Kwahyo kugongwa au kutogongwa ni mipango ya MUNGU tu na ni siku yake ya kugongwa itakuw imefika. Tambua ata wew unaweza kugongwa tu ata kama wew sio traffic.
This guy is doing a great job. Chapa kazi ndugu yangu. Watching from Johannesburg South Africa 🇿🇦🇨🇩
Talented and creative police man,well-done,motivation is important to him!
Kaka yang Allah akulinde na husda za kila kiumbe Akupe Baraka zote ktk utafutaji wako hongera heshimu kazi yako weka malengo yako ktk kila jambo ❤❤❤❤❤❤❤❤
This is so cute, let me share it, so it can go viral, love this.
HUYU trafik nampenda kwa sabsbu snapenda sana Kazi yake Hans muda wa longolongo Mungu ambariki sana wakubwa wake wsmkumbuke
Nice one, he loves his job. Watching från Sweden
Huyu aachwe hapahapa na pasijengwe flyover. Apandishiwe mshahara tu wasimpe cheo cha kumuweka ofisini. Anatuboreshea cku🤣🤣🤣
Huyu mr hana ugomvi na watu yaani haboi Mungu amjalie afiya njema na maisha marefu
Namkubar sanae uyu mwambia
Kamanda yuko vizuri, kazi nikupe raha siyo karahaa, anastahili kupandishwa cheo. Siyo mtu wa kukimbia kusema nakuandikia.
This is art.
The best traffic police ever!,
Kutoka Nairobi.kazi safi❤
Daaaah jamaaa namkubali sna
Daaaaah!!.... Mama naomba umuonekee huyu trafc lakini usimtoe barabaran tafadhari.
Dah! Huyu Mama Samia amwongeze mshahara maana anaipenda kazi yake.
Huyu mueteni kilwa road, uhasibu. Askari wa pale wanajaza magari Hadi 200 ndio wanaruhusu. Unachukua zaidi ya dakika 20 kungojea uruhusiwe.
Nilikuwa mombasa askari alikuwa anahessbu magari sawa na dakika 1ama 2 na kuruhusu. Wapewe mafunzo zaidi. Kama hawskai katikati magari yanatembea bila foleni
Hi i don't understanding well this language
Ashraf yupo vzr hakika
Afande Huyu Anaipenda Kazi yake jamani hadi raha
Wakati mwingine kazi ukiifanya kwa molali inakuwa nyepesi Sana ndicho anachokifanya huyo kamanda
Hongera Sana piga kazi kwa moyo wako
Uko vinzuri Sana kazi na mbwembwe zinaendelea hongera traffic uko pow
Ni km anafanya mbwembwe lkn yuko kazini na anafanya kazi kubwa sana,hapumziki,akimaliza huku anaruhusu huku,kwahiyo ni kaza ngumu sana na anachoka sana kuwapanga magari hongera kwake
Natamani kumuona mzee huyu
Anapatikana wapi jaman?
Penda kazi yko😆😁😄😄😃😀🤗
Nimempenda bule yupo vzur
Huyu askali awe mfano wa kuigwa natamani hata ahamishiwe kwetu Iringa,
😂😂😂apandishwe cheo huyo
Shua yan. Bigi apu ssana yan.
Tanzania ni nchi isiyokuwa na shape ni Taifa la WAJINGA unaoongezeka, Askari anafanyakazi mbwembwe na molali kujipunguzia stress wapo wataomuona kalewa, wapo waonana aongezwe cheo, wapo wataona afukuzwe kazi. Mimi namuona kalewa motisha ya Mama Samia, Hongera Mhe. Rais.
Huyu alikuaga hivi tangu miaka kadhaa nyuma akiwa pale kwenye mataa ya Sayansi na pale Bamaga hajaanza katika utawala huu.
safi sana kamanda wangu
Hongera,afande
Mda sio mrefu snabadilishwa sekta kisa tu anafanya kazi kwaumakini hii ndio Tnznia.😂😂😂😂
❤❤❤
Apewe kitengo maalumu cha kufundisha matrafic wengne kisha awe msimamlz mkuuu na apandishwe cheo
namkubal mno yupo mwenge hapo, sa zngne kawe
Anda boleh memilih untuk salah satu daripada hadiah di atas
Hapo ni mbezi beach tangibovu
Unajua bangi hukaa kwa kishwa kwa miaka 20😱
kazi za kijeshi ngumu zinahitaji molali
Kakaangu maokoto vile tu afu mbili mbili unavupata saa ngap jmn🥱anyway anaipenda Kaz yake
HII NDIO KAZI NA WITO SIO UNAMPELEKA MTOTO KWENYE KAZI UNAYOITAKA MZAZI
KWA kweli ananipenda kazi yake
Aje na mnazi mmoja apa kuna bajaji za kivukoni
😂😂😂😂
Du
Ma
Uoni kama kalewa?
Siku akigongwa ndo atajua
We katka vyot unamuombea mabaya tu kwel ndo mana wachaw mmejaaa kote Mt hajakufanya chochot Kwan umeombee ubya
Wew Juvent, siku ya mtu ikifika imefika tu hata awe wapi. Kwahyo kugongwa au kutogongwa ni mipango ya MUNGU tu na ni siku yake ya kugongwa itakuw imefika. Tambua ata wew unaweza kugongwa tu ata kama wew sio traffic.
Shindwa pepo chafu
@@masturasudi7394we umbwa kwel unawatakiia wenzako mabaya tu
@@ELIPHAZAMON-ex9zc Sasa mbona unanitukana Mimi nimefanya Nini?
Huyu hana muda wa kumuandikia mtu....
😁😄😃😃😃😀
Dish limeyumba nini
Ndio wanasababisha ajali alafu .wanakimbia mlevi uyo tunamjua bhanaa
Anakichaa😅
Sio ukichaa katoka bar
hana jipya
Ww una nn sasa😏
HUYU trafik nampenda kwa sabsbu snapenda sana Kazi yake Hans muda wa longolongo Mungu ambariki sana wakubwa wake wsmkumbuke